Jinsi ya kuweka akiba huku ukiwa na kipato kidogo - Elias Patrick
Vložit
- čas přidán 8. 07. 2020
- Kama unasumbuliwa na tatizo la kushindwa kuweka akiba kutokana na kuwa na kipato kidogo au unapata kipato kikubwa lakini pesa inapotea pasipo kujua basi zingatia vitu nilivyojaribu kufundisha katika video hii na naamini utaanza kuboresha mbinu zako za kuweka akiba . Kumbuka hakuna siku pesa zitajaa au kutosheka ila lazima uwe na namna ya kuweka akiba licha ya mahitaji yanayokuzunguka .
Kama Umependa Video hii basi usiache kushare na rafiki zako , huweki kujua video hii itamsaidia nini .
Mawasiliano :
What's App +255 737 490 115
Asante sana mi nauliza mshahara wangu kwa mwaka ni m9 ada watoto ni m6.5 je sininaweza kusave m2.5 nakujiendeleza kimaisha
Nimejifunza sana barikiwa Elly
Asante sana MUNGU AKUBALIKI SANA KWA KUTUFUNDISHA DAMU YA YESU IKUFUNIKE
Nzuri 🤗
Asante umenifumbua macho
Asante brother nmejifunza
Your the best my teacher
Mm nashida ya ela inatumika sana matumizi hayaeleweki unanisaidiaje kak
Mwenye mshahar wa elfu70000
Natamani sana kuweka akiba ila me ni mwana chuo nifanyaje
Uko vzr
Kwelii
May GOD bless you my brother 🙏
Hap utajil nikam nime wushik
👊👊
Well done, am learning
Tunashukuru nduguyangu Patrick Eliya
Mtaalamu unavyo vitabu
Unafundisha vizr san tupo pamoja kaka
Umenisaidia mnoo
👏🏼👏🏼👏🏼
Usia wako
Mwema
Karibu katika uislam
Motivation ndzuri ila video haitulii alafu punguza background music 🎵 utafika mbali
Je ni lazima niweke hela, Badala ya kuweka hela hiyo akiba nikiwekeza Moja kwa Moja mfano akiba yangu ni laki Moja nikaamua kila mwezi nachukua laki Moja nanunua mbuzi
uwekezaji nibora zaaide kliko kuweka Akiba hivyo kununua mbuzi kama mwisho wa siku ela iulionunulia itarudi anafada absidais kununua mbuzi ni bora kuliko kuweka Akiba.
Utakuwa umefanya jambo jema sana kununua mbuzi au kuku
Umafund chavivuli
Xxxx
Ndo mm elias mwnzio najikuta sina hata mia😂