Tabia za Mafanikio | Ushauri kutoka matajiri wa dunia
Vložit
- čas přidán 22. 04. 2020
- Tazama ushauri wa tabia za mafanikio kutoka baadhi ya watu waliofanikiwa duniani. zingatia ushauri huu kujiendeleza sasa!
tufollow kwenye instagram page yetu sasa @elimika__tz na facebook!
#tabiazamafanikio #motisha #motivation #success #elimuyamaisha #siriyamafanikio
asante sana, msemo unaonisaidia katika maisha ni "usisubiri wakati muafaka ama perfect, chukua wakati huo na ufanye muafaka/perfect.
umenena vizuri kabisa, kila wakati unaweza kuwa wakati muafaka! tukisubiri tutasubiri milele na hatutaanza.
Napendaa Sanaa kaziii zakoo ilaa sizipa palee tuu unapoo zitumaa
Uko vizuri nimependa sasa ushauliwako
Asante na Karibu sana 😊
Safi Sana
SoMo zuri
Asante maneo mazuri sana
Safi sana 👍
Thanks alot nimejifunza zaidi na elimika🙏🙏🙏
Karibu sana 👍🏽
Asante sanaaaa
🥰pend San sl
Nimeteswa sana na kupata mda na sipati mda
Thank you
Ahsante sana
Kuzaliwa masikini sio kosa lako, kosa lako ni kufa masikin,, according to billget.
Nzur
Elimu fresh asanteni
Karibu sana
Nawashukulu sana kwahaya maelekezo muriyo tupa mm nimewaelewa kabisa maan nimejifunza mindset asante sana
Nafurahi kusikia hivo :-)
Thanks for your advice
you are welcome
Kutokata tamaa
👌👌👌
😢😢😢kweli
Nice
🙏
❤
🙏🙏🙏
😍🥰
nimeji funza kweri
je, ni ushauri gani uliopokea unaokuongoza katika maisha? comment hapa chini ili tuelimishane kwapamoja.
push harder than yesterday if you want a different tommorow.
@@Angeliquekimz kweli kabisa, tunapaswa kupambana kuliko jana ili tupate kesho bora.
Tx
Taimur Feisal karibu🤗
Mimi napenda sana kujaribu nasikari tamaa
Love this lesson
Am Dalmas nyaribo from Kenya I request you to give me way I can rich on u kunao hushauri nahitaji please
Hi Dalmas, please write to me via tzelimika.sasa@gmail.com
Nina changamoto ya maamuz nisaidien kutatua ilitatizo language niwezekufikia malengo yangu naitwapius
Mambo Pius, tunaweza zungumza kupitia email hii tzelimika.sasa@gmail.com karibu sana
❤