HII NDIO FALSAFA ITAKAYO KUONGEZEA WATEJA NA MAUZO KWENYE BIASHARA | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 21. 10. 2023
- Baada ya kutazama somo hili utajifunza Falsafa itakayo kusaidia kuongeza wateja na mauzo katika biashara yako mara kumi zaidi kama utaitumia kama nilivyo ifundisha hapa.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. Nitumie Majina yako Whatsapp Kupitia namba hiyo ili tukuunge kwenye Kundi letu la Whatsapp uzidi Kujifunza kutoka kwangu.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Mkuu mimi kwa kweli nakukubali vibaya mno
Mimi nataka uwe mentor wangu. Nakushukuru kwa mafundisho yako, god bless you❤
Asantr napata mafunzo kupitia masomo yako
Nipo iringa napataje vitabu vyako...SoMo lako ni zuri sana
Nina Vitabu vitatu, Kupata Vitabu vyangu Nipigie 0744126640. kitabu kimoja elfu 20. Tupo Dar, Kutuma Iringa ni Elfu 5 Usafiri.
👍
Mungu aendelee kukujulia hekima hii ya kuelimisha uweze kuwafikia watu weng zaid
Mbona nyie mnaongeleaga watu wenye maduka tu sisi machinga wakutembea hamna au sio biashara
🎉
Ukiwa mkarimu na ukarimu wako kwa wateja ukazidi ujuwe unakalibisha kukopwa 😂😂😂😂
Nashukuru sana nimeishi kujiulizs maswali mengi lakini nimepata jibu kuhusu biashara yangu
Ujumbe mzuri mkuu, nataka uwe mentor wangu
Ahsanye kaka
Somo zuri Sana Kaka, napenda Sana napia kazi zako nazifatilia Mara Kwa mara
Asante Sana Kaka Mwambene
shukran indeed
mafunzo mazuri
Asante Pia
Nimesikiliza hadi mwisho, Nimepata Somo Mkuu
hongera sana Best
Nawezaje kupata vitabu vyako mimi nipo geita
Naomba Namba yako Mpendwa, Ili Nikupigie.
Brother Victor unafanya Vizuri Sana so nilitaka tusaidiane kitu, nataka nikuboreshee video zako kama zile za Joel Nanauka au Ezden Jumanne... Naweza kuediti vuzuri na kuandaa location. Hii kazi naipenda mno nipe fursa uwone kaka.
Tuwasiliane Kwa 0744126640.
Et unapost vyombo tu😀😀
Mimi niko kenya nawezaje kuvipa vitabu hivyo
Tunakutumia Kwa basi Mpendwa. Nitafute What'sapp 0744126640
Nimekusikiliza mpaka mwisho nahitaji hivyo vitabu navipataje nipo Dodoma
Nina Vitabu vitatu, Kupata Vitabu vyangu Nipigie 0744126640. kitabu kimoja elfu 20. Tupo Dar Mikoani tunatuma.
Vitabu vinapatikana maduka gani kakaa
Tupo Mlimani City Dar es Salaam, Naomba Tuwasiliane Kwa 0744126640.
Kaka tutengenezee group Whatsapp
🎉