JINSI YA KUMJALI NA KUMUHUDUMIA MTEJA - CUSTOMER CARE I Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 25. 03. 2023
- Baada ya kutazama somo hili utakuwa umejifunza ujuzi muhimu zaidi katika Biashara ambao ni huduma kwa wateja (Customer care).
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. Nitumie Majina yako Whatsapp Kupitia namba hiyo ili tukuunge kwenye Kundi letu la Whatsapp uzidi Kujifunza kutoka kwangu.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Kaka Upo Vizur Sana ubarikiwe Sana Nilishawai Kwenda mahara Niliuliza Kuku wakukaanga Kiasi Gani nikaambiwa 5000 Mimi nikajua ELFU 3000 Basi nilicho jibiwa eeh Mungu wangu Ndiye ajuaye moyo Ukafa nguvu
Asante kwa maarifa barikiwa naviingiza kwenye matendo
Nashukuru sana kaka kwa somo nzuli sana
GoD bless you
Very nice
Somo zuri nimejifuza lakini pia ni somo la kukufanya ukue
natamani wanafanya biashara wote tungesikia hili somo
Yeah ni somo muhimu sana kaka
Hongera sana kaka kwa elimu yako ya dhahabu, safi sana
nakbl
Kaka somo zuri mungu akulipe
🙏
Somo zuri kaka victor
Point Tupu Yani Unamchango Mkubwa SANA Ndani Ya Tanzania Yetu na Hata Nje Ya Tanzania
Naomba kununua vitabu
My brother 🤸♂️ am here
Asante sana Kwa kunielimisha.
Naomba niunge kwenye group lako
Imekaa vizuri sana somo la leo,endelea kutuelimisha mwalimu Victor Mwambene.Tunakufuatilia Kwa ukaribu sana!.
kaka mm naitaji namba yako nimefunguwa biashara yangu naitaji msaada wako kaka
Unauzaje kitabu kiongozi
Kitabu Kimoja Elfu 20 Mpendwa, Mimi Nina Vitabu Vitatu
Tutawasiliana Kwa 0744126640