Acha nianze na Chura kuanzia sasa Nitafika tu Mungu ni mwema Asante sana kaka Mungu akuweke zaidi na zaidi ili nije kukurejeshea mafanikio ya mafundisho yako
Allah akulipe kheri kaka Joel, mimi nimuajiri ktk offisi ya mtu binafsi,Ila chura wangu ni kuwa na offisi yangu, kila niamkapo dakika zangu 60 nafanya zoezi la viungo na naiangalia familia,ila my Dreams kuwa naoffisi yakwangu
Eat That Frog Wangu ni kusoma.... Napenda sana kujisomea vitabu. Nakupenda Brother Joel umekuwa moja ya watu waliniinfluence sana kuelekea mafanikio yangu.
Kiukweli Kaka nahitaji kubadilika lakini ugonjwa wangu mkubwa nikiamka chakwanza sm,namudamwingine najikuta nipobze hadi nakosa muda wakupumzika yote hiyo kutokujiwekea mikakati katika kazi
Ahsante sana kwa somo zuri.Hapo kwenye kuandika malengo ya mwaka @ siku pana nipa shida yaani stress ndo zinazidi @ nikiangalia malengo hayo ya mwaka,,,nifanyaje?
Eat that frog the principles of Avoiding procastination,, it really hep alot if u gat tym find it read it,, eat that frog the best among many!! Thank you bro
Brother Nauka ningependa Unipe list ya Vitabu mbalimbali ambavyo ni more valuable to life, boost up my financial &social wellbeing mentality........ Maana tumechoka kupitia Novels tu!
Nakukubali sana bro. Chura wangu mimi ni kula a bowl of green kila asubuhi ili kuongeza damu, lakini nakwepa sana kwasababu sipendi sio tamu. So hata nikijaribu ngumu aisee.. Thanks for ur advice
wengi wetu huwa tunapenda vitu virahis kwanza halafu vigumu vinafuata hali ya kuwa hauna muda na nguvu tena ya kufanya kitu kigumu 'eat that frog first' kauli hii inahitaji mipango madhubuti na mtu jasiri. Mi nakumbuka wakati nipo shuleni mwalim wangu wa hisabati alikua ananambia anza kufanya maswali mepesi kwanza halafu utarudia yale magumu kam muda bao upo. Tumelemazwa tukiwa watoto, sasa tunahitaji kubadilika..
wen i wake up the first thing I used to do daily is to feed ma mind(soul), all i wanna do is to be consistent to ma purpose cuz the harder the battle the bigger the reward, OH YEAH am ready to eat dat frog, n am hungry.
nashukuru mungu kwa kunitafutia torch sahihi inayoniwashia mwanga wa maisha
"Mwanangu, muda wako una kikomo hivyo basi kamwe usiupoteze bure kwa kuishi maisha ya mtu mwingine" asante ndugu kwa marudio ya kutukmbusha.
kabisa Pascal
Kaka Pascal o
Acha nianze na Chura kuanzia sasa Nitafika tu Mungu ni mwema Asante sana kaka Mungu akuweke zaidi na zaidi ili nije kukurejeshea mafanikio ya mafundisho yako
hii principle ya 80/20 ckuwa nmeielewa nlpokuwa nasoma kitabu cha Brian Tracy, sasa nmeelewa leo, thanx sir
Kweli kabisa Kaka JOEL NANAUKA, hii hali inanikumba sana, ahsante sana kww ushauri bora huu
1. Andaa siku yako kabla haijaanza
2. 80/20
3. Finish the task
4. 60
Eat that 🐸
Thanks.
tuko pamoja frm +257 pia naamini yakwamba nitaanza tumiya iyo kanuni ya 5 ili niweze kufanikisha kile ninachoitaji kufikia.asante sana👏
Hii nzuri sana Toka 2018 Mimi. Nimesikia Leo Duuu
kaka mimi ki ukweli umenijenga toka nimeanza kukufatilia, asante saana na Mungu akubariki saana sana, unatupa sana madini
Thanks,am getting an idea about what I wanna start do (GOD bless you)
Asante kaka Joel nazidi kupata ufahamu kupitia we Mungu akuinue zaidi
Eat that flog
Allah akulipe kheri kaka Joel, mimi nimuajiri ktk offisi ya mtu binafsi,Ila chura wangu ni kuwa na offisi yangu, kila niamkapo dakika zangu 60 nafanya zoezi la viungo na naiangalia familia,ila my Dreams kuwa naoffisi yakwangu
safi sana Kassim,namini itakuwa hivyo siku moja na utanipa ushuhuda
asante sana kaka joel najifunza mengi sana toka nimekufaham from+257
tenx bro nanauka keep teach us hope tutafika mbali kupitia mafunzo yako
Thank you so much! Ushauri nzuri Sana.
Eat That Frog Wangu ni kusoma.... Napenda sana kujisomea vitabu. Nakupenda Brother Joel umekuwa moja ya watu waliniinfluence sana kuelekea mafanikio yangu.
My frog....! Barikiwa kaka Joel
Gud brother I like ur motivation.
asante bro,, keep it up! kanuni ya kupanga siku yangu na kanuni ya dakika 60.
Mungu Akutunze brother
Kaka Asante Mimi kiukweli nilikua napoteza muda mwingi ninapo amka muda mwingi nakua nachelewa kuchat
Thanks Joel Nanauka mie mipango yangu ya mwaka ku focus kwenye masomo yangu ili doto zangu kutimia pale nitakapo chukua degree yangu 2019
safi sana naamini nitao picha zako za graduation mwakani
Good idea my brother with clear lesson
Ubarikiwe Sana brother Joel wewe ni mubarikiwa na mteule ....👏👏👏👏👏
Kiukweli Kaka nahitaji kubadilika lakini ugonjwa wangu mkubwa nikiamka chakwanza sm,namudamwingine najikuta nipobze hadi nakosa muda wakupumzika yote hiyo kutokujiwekea mikakati katika kazi
Thanks and Noted Bro.
Ubalikiwe sana. Mwalimu umifundisha mambo mkubwa sana
Asante kaka Mungu akubariki 🎉🎉✍️🇨🇩
Kwangu mm nitaanza kuandika marengo yamgu kwanza kwakirasiku Mungu akuzidishia Nanauka unamoyo smart ndiomana unatuongoza.
Asante sana kaka ....nakufuatilia sana umebadlisha maisha yangu kwa kias kikubwa
Asante sana Mungu akubariki
Asanteeee Mwalim mm chura langu nikuja kua mwimbaji hodar was injili Ila natafuta pesa Kwanza zakunisaidia kurekod hivyo niki amka naamkia KAZI
Asante bro kiukweli tangu nianze kusikiliza crip zako mwaka huu ni wangu naamini
Thanks ipo ok Sana kwa kutanuwa mawanda
Chura wangu ni masomo, napaswa nisome Kwa bidii na kufaulu vzr sana
Thanks brother
Asante brother
Thanks you very much
Yaani huyo chura I'm just going to swallow without chewing, thanks for your advice
I'm from America thank you very much God bless you brother
I real appriciate your work
Good man
Asante my blood
Shukran sana kaka
Hongera kaka nimekuelewa sana
Be blessed bro
Pamoja kaka Joel lakn mi nashndwa kufanya vyot ivo et
Asante mkuu, nakuelewa
be blessed brother Ngoisusu
Leo yangu nzuri nimejifunza
Vizuri Sana Kwa kazi nzuri
Asante bro
Kaka uko vzur na sahii asante sana
Ubarikiwe mwalimu
Ahsante sana kwa somo zuri.Hapo kwenye kuandika malengo ya mwaka @ siku pana nipa shida yaani stress ndo zinazidi @ nikiangalia malengo hayo ya mwaka,,,nifanyaje?
God bless you 🙏 bro
Thanks sir
Asante sana
I like itttttttttttt
Daaah asante bba nakuelewaga sana
Pamoja Sana boss hii topic IPO kwenye kitabu gani
Bomba sana
mungu akubariki kaka .
Ahsante
Safi Sana broo
Safi....!
asante sana kwakunifungua masikio nimeajiliwa na mtu na mimi nataka nijiajili
asante kwa somo zuri
TABIA KUMI NAMBILI ZINALETA MAFANIKIO, nakumbuka kuna hicho kipengele
Eat that frog the principles of Avoiding procastination,, it really hep alot if u gat tym find it read it,, eat that frog the best among many!! Thank you bro
Asante sana kwa hii kaka
Ahsante brother
Asanteeee kaka ujumbe umefikaaaaaaa
NASHUKURU SANA.. NZURI NIMESOMA nimesikiliza NDUGU YANGU NASHUKURU SANA
Mm ntaanza na kanuni ya kwanza ya kuandaa cku yangu kabla haijaanza
Asante ndugu
Habari nashukuru kwa kuwa sikuwahi kufikiria kuainisha kila asubuhi mambo ambayo yatachangia mafanikuo yangu
Brother Nauka ningependa Unipe list ya Vitabu mbalimbali ambavyo ni more valuable to life, boost up my financial &social wellbeing mentality........ Maana tumechoka kupitia Novels tu!
Kaka Nanauka endelea hivyo hivyo Ngoisusu from kenya
Asante sana bro chura wangu ni kwenda kuuza ice-cream shuleni
Umetisha mariam,huwa unauza kila siku?
mafundisho mazuri sana
Nakukubali sana bro. Chura wangu mimi ni kula a bowl of green kila asubuhi ili kuongeza damu, lakini nakwepa sana kwasababu sipendi sio tamu. So hata nikijaribu ngumu aisee.. Thanks for ur advice
Ahsnte sana kiongoz, nabarkiwa saana Na masomo yako, Munvh naakuinue zaidi
Brooo...how to get your books...I want to learn more en more
Naombeni msada mwalimu mimi swala la muda bado situmii mda vizuri
Ahsante sana kaka
Asante
Kanun zote znanilenga ipaswavyo
chura wangu ni physcs
pamoja kaka
am the first one to like today
RAGIN AUTHOR hongera sana,nashukuru kuwa mfuatiliaji mzuri
Frog wangu Natakiwa nianze na Mazoez kabla kujiandaa kuingia kazin ila huwa inanishinda mara nyingi nafanya jioni kwa uvivu sana.
Pamoja sana kaka
Mimi chura yangu ni mazoezi everyday nasema nitanzia mazoezi but najikuta nahairisha kila siku.
ubarikiwe kaka
shukrani
when i wake up my first thing is to pray the lest it a history.
Amina
Me malengo yangu kak Joel Nanauka nikuwa mfanya biashala mkubwa San duniani.
wengi wetu huwa tunapenda vitu virahis kwanza halafu vigumu vinafuata hali ya kuwa hauna muda na nguvu tena ya kufanya kitu kigumu 'eat that frog first' kauli hii inahitaji mipango madhubuti na mtu jasiri. Mi nakumbuka wakati nipo shuleni mwalim wangu wa hisabati alikua ananambia anza kufanya maswali mepesi kwanza halafu utarudia yale magumu kam muda bao upo. Tumelemazwa tukiwa watoto, sasa tunahitaji kubadilika..
Umenifanya ni jitabue sana
nakupata Brother
niko Mza, ni muda sasa nimekuwa nikihitaji kitabu chako cha timiza malengo, sijafanikiwa kukipata mwl.
Na kuelewa sana Joel.
teacher chura wangu Mimi ni kusoma
wen i wake up the first thing I used to do daily is to feed ma mind(soul), all i wanna do is to be consistent to ma purpose cuz the harder the battle the bigger the reward, OH YEAH am ready to eat dat frog, n am hungry.
safi sana Kendrick