MBINU 4 ZA KUCHAGUA BIASHARA ZENYE MAFANIKIO MAKUBWA | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 24. 07. 2024
- Baada ya kutazama somo hili utajua jinsi ya kutambua biashara sahihi ya wewe kufanya ambayo itakufanikisha kwa haraka. Kubwa hakikisha unafanya biashara unayoipenda na ambayo unaiweza na watu wa
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. Nitumie Majina yako Whatsapp Kupitia namba hiyo ili tukuunge kwenye Kundi letu la Whatsapp uzidi Kujifunza kutoka kwangu.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
God bless you
Kweli
Duh asante sana nilikua nahitaji kuanzisha biashara lakin vitu kama hiv nilikua sivijui ila umenifungua!!!!
Ahsante Brother
Nice fact naomba kuuliza me ni dj napenda san muziki naweza kuifanyia biashara gani
U DJ nayo ni Biashara ndugu yangu, Kwa Sababu Kuna Ma Dj wengi wanatengeneza Pesa nyingi kama Dj Sinyorita, Dj Rj na wengine. Jambo la Muhimu ni Kujifunza Kutoka kwao.
Mm kipaji changu ckijui kabisa
Kipaji ni chochote kile unachokipenda... hata comment uloweka hapa, ikiwa unaipendaga kucomment ni kipaji chako... maana kuna mtu hawez comment anatazama tuu
nataka mawasiliano yk
Karibu sana 0744126640.
ahsant