Mambo 3 Ya Kufanya Leo Ili Uondoe Stress Maishani Mwako

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 7. 04. 2018
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 1,5K

  • @carolinamushi5555
    @carolinamushi5555 Pƙed 6 lety +83

    Ni kweli kabisa, lakini pia nikwamba pamoja na hayo yote pia Kuwa na imani, maisha pamoja na Mungu ya naongeza furaha, ujari, kujiamini

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Pƙed 6 lety +200

    Tenda mema hali ya kua unategemea malipo kwa Allah, isikupite swala ya Alfajir na soma Qur-an namaana kua karibu na muumba. Halafu niambie km utakua na stress. Stress ni mzongo unaotokana na shaitwan. Haitegemei ww ni milionea au bilionea. Kwani hatuwaoni mabilionea na mamilionea wanaojiua kwa stress? Na ukiwa karibu utajiona unafuraha tu ww na mawazo mabaya hayaji hata km chakukila hukijui. Niamini mm

    • @saidyathuman4543
      @saidyathuman4543 Pƙed 6 lety +12

      Love Mummy Dadaaa hii ni Kwel Stress zinatokana na Ibilisi na ibilisi kaumbwa kwa moto na moto huzimwa na maji hivyo Mtume muhammad (Sw) Ameseme tunapopataa msongo wa mawazo Tushike uzu na kuendelea na mambo menginee yaan Kuuzima moto

    • @ibrahimaziz7158
      @ibrahimaziz7158 Pƙed 6 lety +4

      Love Mummy umeongea fact kabisa

    • @omarmohd4001
      @omarmohd4001 Pƙed 6 lety +4

      nice. huo ndio ukweli na kufanya dhikri zinatuliza moyo

    • @oleminiss6335
      @oleminiss6335 Pƙed 6 lety +5

      Wazo zuri love!!!!

    • @zaynababdullah6705
      @zaynababdullah6705 Pƙed 6 lety +1

      Joel nanauka nashukurusana kwaushauriwako mungu aendelee kkpa uhai mrefu nilikuwa

  • @LovelyOutdoors-wd5nh
    @LovelyOutdoors-wd5nh Pƙed 3 měsĂ­ci +1

    Furaha yangu haitashikiliwa na mtu,,,am the best woman in this world, be blessed my brother Joel.

  • @akbersalimjuma3761
    @akbersalimjuma3761 Pƙed 4 lety +19

    nimekupenda bure kaka daa!!! nimeteseka Sana miaka mingi,ASANTE SANA M/MUNGU akujaalie IN SHA ALLAH

  • @fatoomi99alghafri97
    @fatoomi99alghafri97 Pƙed 3 lety +23

    I’m strong girl and no one can destroy my happiness 😍đŸ’Ș🏿

  • @racheltarimo7258
    @racheltarimo7258 Pƙed 6 lety +19

    nmependa ushauri wako Leo umenikuta katika wakati mgumu I have to change my mindset.... blessed a lot Bro

  • @mussasongoma9521
    @mussasongoma9521 Pƙed 5 lety +1

    Dah kila mara nisikiapo somo lako baba huwa ni na kitu cha kuondoka nacho...nafurahia sana..kiukweli kwasababu kupitia kuishi katika maneno yako...nimeweza kubadili mind yangu (Mind programming) nimefanya asante Joel...tuko pamoja

  • @ibrahimabdallah7639
    @ibrahimabdallah7639 Pƙed měsĂ­cem

    Here from kenya Kusema ukweli uyu msee he is the best motivation speaker in tanzania💡 very smart guy

  • @lucasmaro4172
    @lucasmaro4172 Pƙed 6 lety +14

    Asante sana. Mafunzo mazuri. Mimi ni mshindi- I am an overcomer.

  • @obeiddaud4999
    @obeiddaud4999 Pƙed 6 lety +6

    Thanks brother joel., the bless of God should upon you!!!
    I will start from today to have mind programming

  • @eliudtimothy2070
    @eliudtimothy2070 Pƙed 3 lety +1

    Mimi ni fundi mwenye uwezo mkubwa! Niliyefanikiwa kiroho na kimwili.
    Nimeruhusu furaha yangu ishikiliwe na Mungu naye husema nami niwe hodari tu na ushujaa mwingi!
    Ahsante kaka! Umenisogeza mahali.

  • @29WavesTV
    @29WavesTV Pƙed 5 lety +3

    Naamini kwa kiwango kikubwa kwamba ndani ya hivyo vitu vitano ulivyovigusia ...to be stressless ni silaha tosha no matter what circumstances we are undergoing ...JOEL YOU'RE THE BEST let's meet at the top!

  • @winniekelvin9143
    @winniekelvin9143 Pƙed 5 lety +16

    Umeongea kitu kizuri sana, nimejifunza hapo 'self talk' thanx brother..

  • @francismangula2715
    @francismangula2715 Pƙed 6 lety +6

    iam healthy iam great...
    barikiwa afya tele tuendlee kujifunza video imekuja wakat mzuri kama umeniona vile leo nlivokua na stress.

  • @jojolyamuya3938
    @jojolyamuya3938 Pƙed 3 lety +5

    I can do it even if others think that i cant.
    Thank you for the best lesson

  • @watumnjangu8312
    @watumnjangu8312 Pƙed 2 lety +13

    Joel, to let you know, your words are ambient and full of sense. You know, whenever I listen to your clips, I get quickly from the deep of valley to the top of mountain. Also to assure you, you are inspiring millions of people. Where ever I share your video, I get thankful responses. May God always bless you.

  • @luciewajesus731
    @luciewajesus731 Pƙed 5 lety +3

    Naamini mimi ni mwanabiashara mkubwa sana, bila kusahau Asante sana kaka Joel Mungu akuzidishe maradufu, wewe ni kio cha wengi,â€â€âŁ

  • @mwakasamuelnyiro6559
    @mwakasamuelnyiro6559 Pƙed 5 lety +4

    Asante kaka kwa maneno yako ya Busara.
    Mimi #Najiamini katika Yesu ndio maana maisha ya stress niliyapiga teke kabisa wala sina stress yoyote. Asante kwa kunitia nguvu zaidi ya kutokaa ndani ya stress

  • @rodgersakaya7158
    @rodgersakaya7158 Pƙed 10 měsĂ­ci

    Mimi ninaweza,mimi ninapedwa na Mungu,Asante sana Kaka,utatufunza mengi,ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @josej9888
    @josej9888 Pƙed rokem +1

    Ahsante Sana mwalimu JO nitabadilika Sana kupitia mafundisho yako.

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Pƙed 4 lety +4

    waoooooooo Joel I am the best and I CAN,...............................BE BLESSED NANAUKA

  • @georgewilliam7319
    @georgewilliam7319 Pƙed 6 lety +19

    Asante kaka. nimejifunza sana na sitaki tena kushikiwa furaha.

  • @francismussa3635
    @francismussa3635 Pƙed 2 lety +4

    Yah! I caught you clearly. I have those problems. I need to start use your advice. Thanks

  • @jumabohar9600
    @jumabohar9600 Pƙed 2 lety

    Brother nanauka salute kwko , naendlea kujifunz sana kutoka kwko , kw kifup mimi najiambia "furaha yangu ipo kwangu mm mwenyew na balance ya furah yangu ni ku keep moving tu"

  • @d03308637
    @d03308637 Pƙed 6 lety +5

    You have been so helpful to us Mr Joe. God bless you

  • @jemamichael4847
    @jemamichael4847 Pƙed 5 lety +8

    Mm najiamini sana and am the best person in this world thnx brother for the good words to us

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 Pƙed 4 lety

    Mimi Ni jasiri!!!!Mimi ninaweza!!!!!,,,,,,Asante kaka maneno yako yana faida sana hasa kwangu!!!!barikiwa MUNGU na aendelee kukuongezea maarifa zaidi na zaidi

  • @julianamichael1848
    @julianamichael1848 Pƙed 3 lety

    Asante kwa somo zuri limenijenga na kubadilisha mtazamo wangu naanza kwa kusema mimi ni baraka nawewe ni baraka kwetu

  • @graceemanuel6305
    @graceemanuel6305 Pƙed 5 lety +9

    nashukuru sana nilikuwa namawazo Ila baada yakukusikiliza yameisha

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 Pƙed 6 lety +4

    Nimejifunza kitu. Asante ubarikiwe

  • @maximillakhatenje9288
    @maximillakhatenje9288 Pƙed 2 lety

    WaaW thankyu for your advice

  • @erickbasombana5685
    @erickbasombana5685 Pƙed 4 lety +10

    I really like this lesson from Congo based in Johannesburg thank you

    • @damaspecha9994
      @damaspecha9994 Pƙed 3 lety

      Unacho kiongea kikosawa kabis Mimi najiamini miminkama mimi

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 Pƙed 5 lety +3

    Asante kaka umenifariji sana kupitia somo lako asante mungu mkubwa insha allah

  • @josephinewluis8871
    @josephinewluis8871 Pƙed 5 lety +3

    I love this..thanks a lot🙏

  • @sethjohnson7266
    @sethjohnson7266 Pƙed 3 lety +1

    I am the CEO of my own life.....
    Nimeipenda sana hii statement.
    Asante sana brother

  • @victoriabulambo2029
    @victoriabulambo2029 Pƙed 2 lety

    Daaaaa pastor jo yani umenisema mimi kabisa, point zote zinanihusu, Asante sana ntajitahidi

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul6824 Pƙed 5 lety +5

    Shukran kwa kunijuza

  • @sheilachemutai5971
    @sheilachemutai5971 Pƙed 2 lety +4

    Iam blessing with this lesson

  • @naisamawalla7773
    @naisamawalla7773 Pƙed rokem

    I'm saying to myself strong woman I love my son so much your good words and how everyday I make myself happy

  • @ambakisyemwanjemba6501
    @ambakisyemwanjemba6501 Pƙed 5 lety

    hongera Joel Nanauka unaponya watu sana were hujui !

  • @seraphinamzurikwao3714
    @seraphinamzurikwao3714 Pƙed 4 lety +7

    Am a hard worker,Am strong and I can do ,I can stand with my own feet đŸŒčđŸŒč

  • @nicecraritypaul231
    @nicecraritypaul231 Pƙed 5 lety +8

    brother am blessed with you're motivation thanks for the message...

  • @babybhalo8723
    @babybhalo8723 Pƙed 2 lety +1

    Furaha yangu ni mm mwenyewe,mm ni mfanya biashara mkubwa... Mungu akubariki đŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’Ș

  • @ellyminja8681
    @ellyminja8681 Pƙed rokem

    umenibariki sana, na shukru kwa somo lako, barikiwa mtumishi wa MUNGU.

  • @debbykibona3813
    @debbykibona3813 Pƙed 6 lety +21

    i am confident, i am intelligent, i can do everything God created me to, i am hardworking, i am talented, i am capable, i am rich, i am fearful and wonderful made.. i am the best

  • @azzeaazza6331
    @azzeaazza6331 Pƙed 6 lety +5

    Napenad kujiambi am the best no one like me napia npenda kutatua changamboto mwenyewe cpendi kumshilikisha MTU yoyote ala mm nu msiri na mambo yangu he ni sawa

  • @worldelectro2787
    @worldelectro2787 Pƙed 2 lety

    mungu akubariki sana baba kwa mfundisho yako , nafata mafundisho yako nikiwa katika mji wa kampala uganda, najengwa sana ,nilikuwa na woga wa maoni ya watu inanifanya nisiendelee lakini leo minaisha vizuri siogopi maoni yao tena naendelea sasa na nimekwisha kuanza business yangu, asante baba

  • @catherinemajura6923
    @catherinemajura6923 Pƙed 2 lety

    Thanks for your words they are helping us to survive.. be blessed

  • @vanebichanga9466
    @vanebichanga9466 Pƙed 3 lety +4

    Santee my brother. Mimi ni mtu wa maana mbele za machoni pa mungu 🙏🙏I can do all things in christ 🙏đŸ’Șbe blessed so much.

  • @sixteenonline9811
    @sixteenonline9811 Pƙed 4 lety +3

    Thanks so much .I am the best and I can get anything that I want.

  • @janethstephen7869
    @janethstephen7869 Pƙed 5 měsĂ­ci

    Umenisaidia sana Asante na Mungu akubariki

  • @annejackondera3659
    @annejackondera3659 Pƙed 2 lety

    Mimi ni mtu wamuhimu sana duniani,
    Pia Mimi ni mwana Basha mukumbwa nduniani,
    Siyuko hapa Niko, naenda Bali zaidi 🙏
    Asante sana mtumishi wa Mungu,
    Nimeipenda ushauri wako, mbarikiwa sana🙏

  • @opeoluwamelodi9952
    @opeoluwamelodi9952 Pƙed 5 lety +5

    Above all,.ni Mungu kwanza mengine ndio yanafuata.
    Barikiwa kaka JN.

  • @ahmadkasunzu5291
    @ahmadkasunzu5291 Pƙed 4 lety +6

    "See you at the top"
    You are always the best brother

  • @jumamabruck7846
    @jumamabruck7846 Pƙed 3 lety

    Asanteee...barikiwa....

  • @thobiasbyarushengo9667
    @thobiasbyarushengo9667 Pƙed 5 lety +1

    Asante kwa ushauli mzuri

  • @verodestiny4927
    @verodestiny4927 Pƙed 5 lety +16

    I am the CEO of my own life....I love that

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Pƙed 5 lety +3

    Mungu yupo nami I can do it!

  • @marrymazengo1002
    @marrymazengo1002 Pƙed 3 lety

    Asante kaka kwaujumbe nzuriiii

  • @doricelihumbo3960
    @doricelihumbo3960 Pƙed 2 lety

    Thanks very much for your help 🙏🙏🙏💯💯💕💕

  • @tumajuma6917
    @tumajuma6917 Pƙed 5 lety +16

    Nasema Asante kaka.umenipunguzia msongo wa mawazo.

  • @joshuagitilo3931
    @joshuagitilo3931 Pƙed 5 lety +5

    Very true. Thank you very much for encouragement

  • @kelvingitau6814
    @kelvingitau6814 Pƙed 3 lety

    Thanks too sana my brother, napenda sana abavyo umezungumuza.

  • @rachealmwale3897
    @rachealmwale3897 Pƙed 3 lety

    Asante sana nimejifunza kitu. Barikiwa brother.

  • @athumanisaid2044
    @athumanisaid2044 Pƙed 6 lety +4

    Kaka mungu akubaliki na akulinde kwa uelevu na uodal ulokua nao kufikisha ujumbe kwa watu inatufumbua vitu vingi na kutuelimisha sana. big up sana Joel Nanauka 👍

  • @eunicemgunda9571
    @eunicemgunda9571 Pƙed 3 lety +3

    Wow, this is wonderful overâŁïž

  • @khayraathassan9915
    @khayraathassan9915 Pƙed 2 lety

    Shukran Sana Dr kwa elimu yako mAma yng anattzo hlo

  • @peaceappolinarygahene9646

    Asante kwa ushauri mzuri.

  • @hidayakasambwa658
    @hidayakasambwa658 Pƙed 5 lety +4

    Najikubali, na sintoruhusu Furaha yangu itawaliwe name mtu mwingine. Biashara ndiyo mpango mzima.

  • @okeamhanga4372
    @okeamhanga4372 Pƙed 6 lety +8

    You're a blessing brother!!

  • @nassraomar144
    @nassraomar144 Pƙed rokem

    Thanks for your advice

  • @elizabethkiluku8015
    @elizabethkiluku8015 Pƙed 5 měsĂ­ci

    Thanks for your lesson I love it

  • @aigidiusandrea1915
    @aigidiusandrea1915 Pƙed 5 lety +6

    I'm the best. I'm blessed. I will go so far.

  • @basamtv6881
    @basamtv6881 Pƙed 6 lety +17

    kaka m napend kazi zako na vitabu vyako napend sana kuvisoma sijawai kumaliza kukisoma kitabu chote ila vitabu vyako sichoki kuvisoma Asante kwa kutubadilisha

    • @joelnanauka3611
      @joelnanauka3611 Pƙed 6 lety +1

      Nashukuru kwa mrejesho,naamini vitakupa matokeo makubwa sana

    • @tonymwalanya4068
      @tonymwalanya4068 Pƙed 6 lety

      Nikwelikabisa

    • @magrethrichard5653
      @magrethrichard5653 Pƙed 5 lety +1

      nmejifunza kitu,coz kunaixhu imetokea nmejilaum Sanaa,nmekuwa n zaid y stress~ila kuxhika cmu tu nkakutana n iki kituuu*thanks alot

    • @abinesskosana9583
      @abinesskosana9583 Pƙed 5 lety

      +magreth richard ni kweli kabisa hata mimi imekuwahivyo

  • @shamesalimusita8152
    @shamesalimusita8152 Pƙed 2 lety

    Asante Sana Haki nimeumizwa na make wangu Ila kwa ushauri wako KUANZIA sai nasema IAM THE BEST

  • @user-wd2uk9qh7f
    @user-wd2uk9qh7f Pƙed rokem

    Ubarikiwe kwa somo lako umenitowa mahala. Na zmenitibu kiroho.,, Msongo wa mawazo kama ndo ulikuwa unanafasi katika maisha yangu nimejifunza kitu😅😅😅

  • @asyamaulidi7857
    @asyamaulidi7857 Pƙed 6 lety +8

    Mimi Ni mfanyabiashara
    Kwa uwezo wa Allah nitafikia malengo hayo
    In Shaa Allah

  • @edsonkikwanyama2609
    @edsonkikwanyama2609 Pƙed 5 lety +3

    Yes ,lM appreciated this speaker is talking the truth, in fact about fear.there for l have learned s lot through is talent knowledge

  • @yuniekivuyo2474
    @yuniekivuyo2474 Pƙed 5 lety

    huwa unanibariki sasa kaka Joel Mungu akuinue zaidiiiii

  • @boke9196
    @boke9196 Pƙed 2 lety

    Thank you my brother kila ninapopitia changamto huwa nayakumbuka mafundisho yako napata ujasir wa kuyashinda đŸ˜­đŸ˜­đŸ™đŸ»đŸ™đŸ»

  • @rosemarym.surati5122
    @rosemarym.surati5122 Pƙed 5 lety +4

    Asante kaka kuanzia leo sitaki mawazo nimekuwa mtu wa mawazo Kila siku na kukonda kisa mawazo

  • @eunicekitenge8878
    @eunicekitenge8878 Pƙed 6 lety +7

    Furaha yangu ni wajibu wangu. Nimejifunza

    • @joelnanauka3611
      @joelnanauka3611 Pƙed 6 lety

      Kabisa Eunice,You are the CEO of your own Life.

  • @aminamigongo1046
    @aminamigongo1046 Pƙed 2 lety

    Asante! MUNGU akubariki

  • @omarimorisho7138
    @omarimorisho7138 Pƙed 2 lety

    Mr joel like this video, it's awaken everything that is seems Impossible in my life and it's reveal things were hidden,

  • @aloyceselina7848
    @aloyceselina7848 Pƙed 5 lety +7

    Nkushukuru sana maana me nskonda kwa sababu ya mawazo

  • @enerstmusa5398
    @enerstmusa5398 Pƙed 5 lety +6

    I'm the best Graphics designer from Zambia but now in tz my wishes I wish to know more kiswahili

    • @samwelaloyce3866
      @samwelaloyce3866 Pƙed 2 lety

      Hey brother

    • @marygodwin8791
      @marygodwin8791 Pƙed 2 lety

      Mimi ni thinker mkubwa ninauwezo wa kufamya mambo makubwa naweza ishi bila kumtegemea mtu nina uwezo wa kuja kuwa mfanyabiashara mkubwa mungu aniongoze na mkabidhi yeye kila jambo langu

  • @allyekome3564
    @allyekome3564 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Nashukuru kwa elimu nzuri uliyonipa

  • @user-rk3rz2qk9r
    @user-rk3rz2qk9r Pƙed 6 měsĂ­ci

    Sant, mm ni kiongozi bora kwa familia yangu na Jamii piaa...najiamini..I'm am the best

  • @jimsonmgaya7399
    @jimsonmgaya7399 Pƙed 5 lety +3

    bro ulizaliwa kwaajili ya watu
    blessed sana sana

  • @lazarosteven4741
    @lazarosteven4741 Pƙed 6 lety +17

    muda mwingine tunapitia changamoto ili tuone fursa behind-the-scenes

  • @ibrahjr5210
    @ibrahjr5210 Pƙed rokem

    Ahsante Kaka Joel,,umenipa funzo kubwa inshallah Allah anisaidie niweze kuishi maisha yangu bila msongo wa mawazo tena

  • @stellapeter6387
    @stellapeter6387 Pƙed 3 lety

    Katika ndoa yangu sijawahi kua na furaha. Tatizo ni Imani. Iman zetu ni tofauti sijui nifanye Nini

  • @fredyshayo7265
    @fredyshayo7265 Pƙed 5 lety +3

    im da master of my own lyf

  • @rashidmohamedi1495
    @rashidmohamedi1495 Pƙed 5 lety +4

    Haiwezekani hakuna binadam atakaeweza kuishi bill stress

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 Pƙed rokem

    Shukran my kaka. Hii ni point sana. Mungu akubariki sana wallah.

  • @martinpatrice9936
    @martinpatrice9936 Pƙed 4 měsĂ­ci

    Brother barikwa saana mtumishi wa Mungu aliye hai hakika your my role model

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam3942 Pƙed 5 lety +10

    Sina chakukulipa ila tu nakuombea kwa Mungu akupe umri mrefu na mafaanikio tele

  • @joynesscharles7583
    @joynesscharles7583 Pƙed 5 lety +3

    There is no way u can live without stress........ila there is the way to overcome stress

  • @kaungemuhiya7296
    @kaungemuhiya7296 Pƙed 3 lety +1

    C'est bon, félicitations

  • @kainibachungege3430
    @kainibachungege3430 Pƙed 2 lety

    Joel Mafundusho yako yamewasaidia Sana Watanzania Wengi na Wengine wanaotumia Lugha ya Kiswahili Duniani! Mungu aendelee Kukupa Ufahamu wa Kutufundisha Zaidi, Zaidi ya yote Mungu Akubariki

    • @alibujaga9728
      @alibujaga9728 Pƙed 9 měsĂ­ci

      Kaka napenda kukusikilza sana na kufuata maelekezo kiukwel inanisaidia sana kwa sasa mm mfanyabiasha mdogo ila nina amini nitakuwa mfanyabiashara mkubwa naitaji sana masada wako ili niweze kuimalika zaid