Tenda mema hali ya kua unategemea malipo kwa Allah, isikupite swala ya Alfajir na soma Qur-an namaana kua karibu na muumba. Halafu niambie km utakua na stress. Stress ni mzongo unaotokana na shaitwan. Haitegemei ww ni milionea au bilionea. Kwani hatuwaoni mabilionea na mamilionea wanaojiua kwa stress? Na ukiwa karibu utajiona unafuraha tu ww na mawazo mabaya hayaji hata km chakukila hukijui. Niamini mm
Love Mummy Dadaaa hii ni Kwel Stress zinatokana na Ibilisi na ibilisi kaumbwa kwa moto na moto huzimwa na maji hivyo Mtume muhammad (Sw) Ameseme tunapopataa msongo wa mawazo Tushike uzu na kuendelea na mambo menginee yaan Kuuzima moto
Dah kila mara nisikiapo somo lako baba huwa ni na kitu cha kuondoka nacho...nafurahia sana..kiukweli kwasababu kupitia kuishi katika maneno yako...nimeweza kubadili mind yangu (Mind programming) nimefanya asante Joel...tuko pamoja
Mimi ni fundi mwenye uwezo mkubwa! Niliyefanikiwa kiroho na kimwili. Nimeruhusu furaha yangu ishikiliwe na Mungu naye husema nami niwe hodari tu na ushujaa mwingi! Ahsante kaka! Umenisogeza mahali.
Naamini kwa kiwango kikubwa kwamba ndani ya hivyo vitu vitano ulivyovigusia ...to be stressless ni silaha tosha no matter what circumstances we are undergoing ...JOEL YOU'RE THE BEST let's meet at the top!
Joel, to let you know, your words are ambient and full of sense. You know, whenever I listen to your clips, I get quickly from the deep of valley to the top of mountain. Also to assure you, you are inspiring millions of people. Where ever I share your video, I get thankful responses. May God always bless you.
Asante kaka kwa maneno yako ya Busara. Mimi #Najiamini katika Yesu ndio maana maisha ya stress niliyapiga teke kabisa wala sina stress yoyote. Asante kwa kunitia nguvu zaidi ya kutokaa ndani ya stress
Brother nanauka salute kwko , naendlea kujifunz sana kutoka kwko , kw kifup mimi najiambia "furaha yangu ipo kwangu mm mwenyew na balance ya furah yangu ni ku keep moving tu"
Mimi Ni jasiri!!!!Mimi ninaweza!!!!!,,,,,,Asante kaka maneno yako yana faida sana hasa kwangu!!!!barikiwa MUNGU na aendelee kukuongezea maarifa zaidi na zaidi
i am confident, i am intelligent, i can do everything God created me to, i am hardworking, i am talented, i am capable, i am rich, i am fearful and wonderful made.. i am the best
Napenad kujiambi am the best no one like me napia npenda kutatua changamboto mwenyewe cpendi kumshilikisha MTU yoyote ala mm nu msiri na mambo yangu he ni sawa
mungu akubariki sana baba kwa mfundisho yako , nafata mafundisho yako nikiwa katika mji wa kampala uganda, najengwa sana ,nilikuwa na woga wa maoni ya watu inanifanya nisiendelee lakini leo minaisha vizuri siogopi maoni yao tena naendelea sasa na nimekwisha kuanza business yangu, asante baba
Mimi ni mtu wamuhimu sana duniani, Pia Mimi ni mwana Basha mukumbwa nduniani, Siyuko hapa Niko, naenda Bali zaidi đ Asante sana mtumishi wa Mungu, Nimeipenda ushauri wako, mbarikiwa sanađ
Kaka mungu akubaliki na akulinde kwa uelevu na uodal ulokua nao kufikisha ujumbe kwa watu inatufumbua vitu vingi na kutuelimisha sana. big up sana Joel Nanauka đ
kaka m napend kazi zako na vitabu vyako napend sana kuvisoma sijawai kumaliza kukisoma kitabu chote ila vitabu vyako sichoki kuvisoma Asante kwa kutubadilisha
Ubarikiwe kwa somo lako umenitowa mahala. Na zmenitibu kiroho.,, Msongo wa mawazo kama ndo ulikuwa unanafasi katika maisha yangu nimejifunza kituđ đ đ
Mimi ni thinker mkubwa ninauwezo wa kufamya mambo makubwa naweza ishi bila kumtegemea mtu nina uwezo wa kuja kuwa mfanyabiashara mkubwa mungu aniongoze na mkabidhi yeye kila jambo langu
Joel Mafundusho yako yamewasaidia Sana Watanzania Wengi na Wengine wanaotumia Lugha ya Kiswahili Duniani! Mungu aendelee Kukupa Ufahamu wa Kutufundisha Zaidi, Zaidi ya yote Mungu Akubariki
Kaka napenda kukusikilza sana na kufuata maelekezo kiukwel inanisaidia sana kwa sasa mm mfanyabiasha mdogo ila nina amini nitakuwa mfanyabiashara mkubwa naitaji sana masada wako ili niweze kuimalika zaid
Ni kweli kabisa, lakini pia nikwamba pamoja na hayo yote pia Kuwa na imani, maisha pamoja na Mungu ya naongeza furaha, ujari, kujiamini
Ok
asante
True thing
Exactly
Najiamiinin. Ntakua imara
Tenda mema hali ya kua unategemea malipo kwa Allah, isikupite swala ya Alfajir na soma Qur-an namaana kua karibu na muumba. Halafu niambie km utakua na stress. Stress ni mzongo unaotokana na shaitwan. Haitegemei ww ni milionea au bilionea. Kwani hatuwaoni mabilionea na mamilionea wanaojiua kwa stress? Na ukiwa karibu utajiona unafuraha tu ww na mawazo mabaya hayaji hata km chakukila hukijui. Niamini mm
Love Mummy Dadaaa hii ni Kwel Stress zinatokana na Ibilisi na ibilisi kaumbwa kwa moto na moto huzimwa na maji hivyo Mtume muhammad (Sw) Ameseme tunapopataa msongo wa mawazo Tushike uzu na kuendelea na mambo menginee yaan Kuuzima moto
Love Mummy umeongea fact kabisa
nice. huo ndio ukweli na kufanya dhikri zinatuliza moyo
Wazo zuri love!!!!
Joel nanauka nashukurusana kwaushauriwako mungu aendelee kkpa uhai mrefu nilikuwa
Furaha yangu haitashikiliwa na mtu,,,am the best woman in this world, be blessed my brother Joel.
nimekupenda bure kaka daa!!! nimeteseka Sana miaka mingi,ASANTE SANA M/MUNGU akujaalie IN SHA ALLAH
Ameen ahsante sana
Iâm strong girl and no one can destroy my happiness đđȘđż
Yes
acha kujiamin Kama umekula mtori
life uwezo sema hiyo maneno ukiwa hai
nmependa ushauri wako Leo umenikuta katika wakati mgumu I have to change my mindset.... blessed a lot Bro
Asante sana kwa somo
Iam a best
Dah kila mara nisikiapo somo lako baba huwa ni na kitu cha kuondoka nacho...nafurahia sana..kiukweli kwasababu kupitia kuishi katika maneno yako...nimeweza kubadili mind yangu (Mind programming) nimefanya asante Joel...tuko pamoja
Here from kenya Kusema ukweli uyu msee he is the best motivation speaker in tanzaniađĄ very smart guy
Asante sana. Mafunzo mazuri. Mimi ni mshindi- I am an overcomer.
Thanks brother joel., the bless of God should upon you!!!
I will start from today to have mind programming
Mimi ni fundi mwenye uwezo mkubwa! Niliyefanikiwa kiroho na kimwili.
Nimeruhusu furaha yangu ishikiliwe na Mungu naye husema nami niwe hodari tu na ushujaa mwingi!
Ahsante kaka! Umenisogeza mahali.
Naamini kwa kiwango kikubwa kwamba ndani ya hivyo vitu vitano ulivyovigusia ...to be stressless ni silaha tosha no matter what circumstances we are undergoing ...JOEL YOU'RE THE BEST let's meet at the top!
Umeongea kitu kizuri sana, nimejifunza hapo 'self talk' thanx brother..
Mm ni mfanya biashala mzuli
iam healthy iam great...
barikiwa afya tele tuendlee kujifunza video imekuja wakat mzuri kama umeniona vile leo nlivokua na stress.
I can do it even if others think that i cant.
Thank you for the best lesson
Joel, to let you know, your words are ambient and full of sense. You know, whenever I listen to your clips, I get quickly from the deep of valley to the top of mountain. Also to assure you, you are inspiring millions of people. Where ever I share your video, I get thankful responses. May God always bless you.
Ahsante sana sana
Naamini mimi ni mwanabiashara mkubwa sana, bila kusahau Asante sana kaka Joel Mungu akuzidishe maradufu, wewe ni kio cha wengi,â€â€âŁ
Mm ni mtu muhimu
Asante kaka kwa maneno yako ya Busara.
Mimi #Najiamini katika Yesu ndio maana maisha ya stress niliyapiga teke kabisa wala sina stress yoyote. Asante kwa kunitia nguvu zaidi ya kutokaa ndani ya stress
Mimi ninaweza,mimi ninapedwa na Mungu,Asante sana Kaka,utatufunza mengi,ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Ahsante Sana mwalimu JO nitabadilika Sana kupitia mafundisho yako.
waoooooooo Joel I am the best and I CAN,...............................BE BLESSED NANAUKA
Asante kaka. nimejifunza sana na sitaki tena kushikiwa furaha.
Yah! I caught you clearly. I have those problems. I need to start use your advice. Thanks
Brother nanauka salute kwko , naendlea kujifunz sana kutoka kwko , kw kifup mimi najiambia "furaha yangu ipo kwangu mm mwenyew na balance ya furah yangu ni ku keep moving tu"
You have been so helpful to us Mr Joe. God bless you
Mm najiamini sana and am the best person in this world thnx brother for the good words to us
Mimi Ni jasiri!!!!Mimi ninaweza!!!!!,,,,,,Asante kaka maneno yako yana faida sana hasa kwangu!!!!barikiwa MUNGU na aendelee kukuongezea maarifa zaidi na zaidi
Asante kwa somo zuri limenijenga na kubadilisha mtazamo wangu naanza kwa kusema mimi ni baraka nawewe ni baraka kwetu
nashukuru sana nilikuwa namawazo Ila baada yakukusikiliza yameisha
Ubarikiwe sanaaaa
Nimejifunza kitu. Asante ubarikiwe
WaaW thankyu for your advice
I really like this lesson from Congo based in Johannesburg thank you
Unacho kiongea kikosawa kabis Mimi najiamini miminkama mimi
Asante kaka umenifariji sana kupitia somo lako asante mungu mkubwa insha allah
I love this..thanks a lotđ
I am the CEO of my own life.....
Nimeipenda sana hii statement.
Asante sana brother
Daaaaa pastor jo yani umenisema mimi kabisa, point zote zinanihusu, Asante sana ntajitahidi
Shukran kwa kunijuza
Iam blessing with this lesson
I'm saying to myself strong woman I love my son so much your good words and how everyday I make myself happy
hongera Joel Nanauka unaponya watu sana were hujui !
Am a hard worker,Am strong and I can do ,I can stand with my own feet đčđč
Thanks bro umenisaidia
brother am blessed with you're motivation thanks for the message...
Furaha yangu ni mm mwenyewe,mm ni mfanya biashara mkubwa... Mungu akubariki đȘđȘđȘđȘ
umenibariki sana, na shukru kwa somo lako, barikiwa mtumishi wa MUNGU.
i am confident, i am intelligent, i can do everything God created me to, i am hardworking, i am talented, i am capable, i am rich, i am fearful and wonderful made.. i am the best
Alhamdhulilah
Wow
God .bless you Joel good job
Napenad kujiambi am the best no one like me napia npenda kutatua changamboto mwenyewe cpendi kumshilikisha MTU yoyote ala mm nu msiri na mambo yangu he ni sawa
mungu akubariki sana baba kwa mfundisho yako , nafata mafundisho yako nikiwa katika mji wa kampala uganda, najengwa sana ,nilikuwa na woga wa maoni ya watu inanifanya nisiendelee lakini leo minaisha vizuri siogopi maoni yao tena naendelea sasa na nimekwisha kuanza business yangu, asante baba
Thanks for your words they are helping us to survive.. be blessed
Santee my brother. Mimi ni mtu wa maana mbele za machoni pa mungu đđI can do all things in christ đđȘbe blessed so much.
Thanks so much .I am the best and I can get anything that I want.
Umenisaidia sana Asante na Mungu akubariki
Mimi ni mtu wamuhimu sana duniani,
Pia Mimi ni mwana Basha mukumbwa nduniani,
Siyuko hapa Niko, naenda Bali zaidi đ
Asante sana mtumishi wa Mungu,
Nimeipenda ushauri wako, mbarikiwa sanađ
Above all,.ni Mungu kwanza mengine ndio yanafuata.
Barikiwa kaka JN.
"See you at the top"
You are always the best brother
Vzur sana
Asanteee...barikiwa....
Asante kwa ushauli mzuri
I am the CEO of my own life....I love that
Mimi ni bora sana...
Najiamian nitaweza mm nimtafutaj
I am the CEO of my own life daah rah san
For Sure
Iâm the C.E.O of my own life Mungu anitie nguvu nishinde hili jaribu Aamin đđ»
Mungu yupo nami I can do it!
Asante kaka kwaujumbe nzuriiii
Thanks very much for your help đđđđŻđŻđđ
Nasema Asante kaka.umenipunguzia msongo wa mawazo.
Nami pia kama ww dia
Nimeipenda mana imenivusha atua kubwa sana
Tuma Juma mambo naomba unicheki whtsp 0719619494
yaani mm sijui unisaidiaje maana nikisema nisiwaze napata kubwa kuliko
@@kissomundende3696 ya nin tena bro.
Very true. Thank you very much for encouragement
Thanks too sana my brother, napenda sana abavyo umezungumuza.
Asante sana nimejifunza kitu. Barikiwa brother.
Kaka mungu akubaliki na akulinde kwa uelevu na uodal ulokua nao kufikisha ujumbe kwa watu inatufumbua vitu vingi na kutuelimisha sana. big up sana Joel Nanauka đ
Athumani Said
ni kweli kaka umrkomboa wengi
Wow, this is wonderful overâŁïž
Shukran Sana Dr kwa elimu yako mAma yng anattzo hlo
Asante kwa ushauri mzuri.
Najikubali, na sintoruhusu Furaha yangu itawaliwe name mtu mwingine. Biashara ndiyo mpango mzima.
You're a blessing brother!!
Utatatua vipi tatizo la kupenda na kujali sana?
Asante kaka joel
Thanks for your advice
Thanks for your lesson I love it
I'm the best. I'm blessed. I will go so far.
Asante kwa ushauli mzulikaka
kaka m napend kazi zako na vitabu vyako napend sana kuvisoma sijawai kumaliza kukisoma kitabu chote ila vitabu vyako sichoki kuvisoma Asante kwa kutubadilisha
Nashukuru kwa mrejesho,naamini vitakupa matokeo makubwa sana
Nikwelikabisa
nmejifunza kitu,coz kunaixhu imetokea nmejilaum Sanaa,nmekuwa n zaid y stress~ila kuxhika cmu tu nkakutana n iki kituuu*thanks alot
+magreth richard ni kweli kabisa hata mimi imekuwahivyo
Asante Sana Haki nimeumizwa na make wangu Ila kwa ushauri wako KUANZIA sai nasema IAM THE BEST
Ubarikiwe kwa somo lako umenitowa mahala. Na zmenitibu kiroho.,, Msongo wa mawazo kama ndo ulikuwa unanafasi katika maisha yangu nimejifunza kituđ đ đ
Mimi Ni mfanyabiashara
Kwa uwezo wa Allah nitafikia malengo hayo
In Shaa Allah
Yes ,lM appreciated this speaker is talking the truth, in fact about fear.there for l have learned s lot through is talent knowledge
Mimi najiamini
huwa unanibariki sasa kaka Joel Mungu akuinue zaidiiiii
Thank you my brother kila ninapopitia changamto huwa nayakumbuka mafundisho yako napata ujasir wa kuyashinda đđđđ»đđ»
Asante kaka kuanzia leo sitaki mawazo nimekuwa mtu wa mawazo Kila siku na kukonda kisa mawazo
Furaha yangu ni wajibu wangu. Nimejifunza
Kabisa Eunice,You are the CEO of your own Life.
Asante! MUNGU akubariki
Mr joel like this video, it's awaken everything that is seems Impossible in my life and it's reveal things were hidden,
Nkushukuru sana maana me nskonda kwa sababu ya mawazo
Asante sana
I'm the best Graphics designer from Zambia but now in tz my wishes I wish to know more kiswahili
Hey brother
Mimi ni thinker mkubwa ninauwezo wa kufamya mambo makubwa naweza ishi bila kumtegemea mtu nina uwezo wa kuja kuwa mfanyabiashara mkubwa mungu aniongoze na mkabidhi yeye kila jambo langu
Nashukuru kwa elimu nzuri uliyonipa
Sant, mm ni kiongozi bora kwa familia yangu na Jamii piaa...najiamini..I'm am the best
bro ulizaliwa kwaajili ya watu
blessed sana sana
Ninaweza
muda mwingine tunapitia changamoto ili tuone fursa behind-the-scenes
Ahsante Kaka Joel,,umenipa funzo kubwa inshallah Allah anisaidie niweze kuishi maisha yangu bila msongo wa mawazo tena
Katika ndoa yangu sijawahi kua na furaha. Tatizo ni Imani. Iman zetu ni tofauti sijui nifanye Nini
im da master of my own lyf
Haiwezekani hakuna binadam atakaeweza kuishi bill stress
Nimekupat vyema bro
Shukran my kaka. Hii ni point sana. Mungu akubariki sana wallah.
Brother barikwa saana mtumishi wa Mungu aliye hai hakika your my role model
Sina chakukulipa ila tu nakuombea kwa Mungu akupe umri mrefu na mafaanikio tele
Asiah Mariam mambo
There is no way u can live without stress........ila there is the way to overcome stress
C'est bon, félicitations
Joel Mafundusho yako yamewasaidia Sana Watanzania Wengi na Wengine wanaotumia Lugha ya Kiswahili Duniani! Mungu aendelee Kukupa Ufahamu wa Kutufundisha Zaidi, Zaidi ya yote Mungu Akubariki
Kaka napenda kukusikilza sana na kufuata maelekezo kiukwel inanisaidia sana kwa sasa mm mfanyabiasha mdogo ila nina amini nitakuwa mfanyabiashara mkubwa naitaji sana masada wako ili niweze kuimalika zaid