CHAKUHAWATA YAKANA TUHUMA ZA RUSHWA UCHAGUZI - M/KITI na KATIBU TANGA WAFUNGUKA HAYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Chama Cha kulinda na kutetea haki za walimu Tanzania (CHAKUHAWATA) Jijini Tanga chakanusha tuhuma za uwepo wa Rushwa Katika uchaguzi wa Chama hicho Taifa uliofanyika tarehe 26 julai 2024 Jijini Tanga .
    Wakizungumza na vyombo vya habari Muhsin Kasherente Mwenyekiti wa CHAKUHAWATA Jijini Tanga na Simon Anthony ambaye ni katibu wa CHAKUHAWATA wamesema kuwa wao kama viongozi wanapinga vikali taarfa iliyotolewa na waliokua wagombea Katika nafasi ya Naibu Katibu Mkuu na Katibu Mkuu Juu ya uwepo mianya ya Rushwa Katika uchaguzi huo.

Komentáře •