USIYOYAJUA KWA WANAOIZUNGUKA TANZANIA NZIMA KWA MGUU "HATUVUNJI SHERIA YA NCHI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 02. 2022

Komentáře • 129

  • @ivangeorge1578
    @ivangeorge1578 Před 2 lety +4

    Mnapoteza MDA mkizeeka mtakuwa hoi Sana tembea bila kujiengeneza maisha yako

    • @amosjuma4536
      @amosjuma4536 Před 2 lety

      Ukisema ivo unakosea kwasababu sio wonte Nimatajili umemanisha wanapoteza Munda kutafuta maisha ety wanatembea naomba uteguwe kauli

  • @africankidsnegebumamlemale9176

    Njaa sio nzuri

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 Před 2 lety

    Hongereni sana, inawezekana leo watu baadhi wasiwaelewe ila ipo siku watawakumbuka. Hakika ninyi ni wazalendo. Ni dua yangu mbele za Mungu aliye hai awatunze na kuwafanikisha katika malengo yenu kwa Taifa la TZ. Mungu ibariki TZ na Mungu wabariki watu wako hawa.

  • @alexsalum7824
    @alexsalum7824 Před 2 lety +3

    Ongereni na pongezi nyingi sana kwenu kwa wachache ni ngumu kuwaelewa kwa kile mnachofanya lkn kwa kina maana kubwa sana maana hkn serekali yoyote Duniani itakayofanya mipango yake ya maendeleo pasipo kujua idadi ya wananchi wake,M/MUNGU awasimamie........Amina.

  • @songweairport7602
    @songweairport7602 Před 2 lety

    SUPER MTANGAZAJI,SIMPLE AND SHORT QUATIONS.... HONGERA

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 5 dny

    Oooh allah hakika kila penye mwanzo pana mwisho hara wanadamu wafanyaje kama riziki ni ya mtu itabaki kuwa yake tu

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem +1

    Mashaallah nguvu moja💪🔥🔥🔥🔥

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 Před 2 lety

    Hii Ni Sanaa

  • @hadiaali5517
    @hadiaali5517 Před 2 lety

    Safi sana mungu awabariki mbona hujamhoji dd

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Před 2 lety +2

    Heee njaa hizi lazma tuseme nazo jmn

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 Před 2 lety +2

    Kwa mabango hayo, lazima serikali iwape fungu la maana na huwenda wakawa mabalozi wa sensa na chanjo ya uviko- 19

  • @mariasalumu474
    @mariasalumu474 Před 2 lety

    Mmmmmmh mimi huo uzalendo sina kwakweli

  • @zihinjishinifa7573
    @zihinjishinifa7573 Před rokem

    Kwanza nicheke mie😅😅😅😅

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 Před 2 lety +1

    Hasa dude lenyewe mmetengeneza naona kama ni zito mnatumia nguvu mtamaliza mikoa yotee kweli

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Před 5 měsíci

    Acheni kudanganya watu hakuna uzalendo wa kipuuzi Kama huo kwanza kutembea nchi nzima ni uongo na kutembea mme na mke sio mke wako inakuaje na Kwa Nini msitafute shamba shamba mkalime.

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety

    Hamna kaz mbwa nyinyi kalimeni mnajitesa tu hafu hamaambulii kitu shika jembe kalime

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 Před 2 lety

    Wako vzr

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 2 lety

    Kwa mwendo huo ni miaka5

  • @aishambondo8923
    @aishambondo8923 Před 2 lety

    Mnalala wapi

  • @jafarimruke9111
    @jafarimruke9111 Před rokem

    Si wakachunge ng'ombe jaman🤣🤣🤣 desi shaur yako

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Před rokem

    Mmhhj,🤣🤣ety kwa mguuu. C wangebaki vipara kama tairi za gari... wazarendo wa michongo haoooo

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 5 dny

    Hatakama iwekwe kipingamizi namna gani itarudi kuwa haki tu

  • @menikojohn2782
    @menikojohn2782 Před 21 dnem

    Mpaka mmalize hiyo safari huyo Dada atakuwa tayali ana mimba ya miezi mitatu, jiandae kutoa mahali kabisa.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před 2 lety +2

    Nchi yenye wapuuzi watupu wanasahau majukum yao wakiwa vijana

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 Před 2 lety

    Waongo

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před rokem

    😄😄😄😄 mtakuja kuvimba miguu ukienda hospitali ndio mtajua kua hii nchi ngumu

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před 2 lety

    We unafikiri mda wanaozunguka wanakula nn? Na wanafaidika nn wanatuongopea ni mchongo huo

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 Před 2 lety

    Vichaa nyinyi madishi yanayumba

  • @saidasanga3233
    @saidasanga3233 Před rokem

    Tatzo sio uzalendo bali vjana wamekosa Kaz za kufanya mngekuwa nakaz za kufanya msinge pata mda wakuzunguka hvyo vijana tufanye Kaz kwa bidii tusipende kutegemea mafungu bro

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 Před rokem

    😂😂😂😂😂 Eti wanatembea kwa Miguu nchi nzima hahhahaahhaaaaaaa Ni nchi ipi iyo ! Tanzania imekua uwanja wa mpira nini ! Pelekeni ujinga wenu uko Na wapongeza kwa uzalendo ila pelekeni ujinga wenu kwa kunidanganya eti Tanzania nzima kwa miguu Nyoooooooooooooooooooooo

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 Před 2 lety +1

    Kuna kila sababu ya kutoa elimu kuhusu UZALENDO. Uzalendo sio kujitesa! Uzalendo sio kubeba mabango au kutembea kwa miguu, baiskeli nk. UZALENDO ni dhana pana sana.

  • @theprovitionofnature9188

    Hapo sawa

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu6324 Před 2 lety

    wanatafuta rawama2 ili bdae waseme serikari haitujali haitupi chochote kwani mlitumwa

  • @allytv1714
    @allytv1714 Před 2 lety +3

    Mimi naweza kujiita mzalendo pale naisema serikali iliopo madarakani ikikosea na ikipatia kuipongeza lakini nchi yetu daima vyombo vya habari na wasani wanapongeza serikali iliyopo madarakani at kama inakosea ety kisa wapate kula na kusifiwa wapo pamoja huo ni unafki sema ukweli ukuweke huru

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 Před rokem

      Hakika we jembe nimebkukubali 🙏🙏🙏💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před 2 lety

    Mhhhhhh

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Před rokem

    Mtafia njiani, watu wanakula hela nyie mnajitesa tu

  • @mohamedalirachidi380
    @mohamedalirachidi380 Před 2 lety +3

    HAO HATEMBEI KWA MIGUU NCHI NZIMA WASITUDANGANYE

  • @timamusulemani7306
    @timamusulemani7306 Před 2 lety +1

    Awana kz yakufanya Bangi mbaya sana

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 Před 2 lety +2

    Dada atafikia labor moja kwa moja ili azae tu ....dada mwenyewe kanuna kama kala ukwaju

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa Před rokem

      Hapo hakuna kazi. Hapo ni ngoswe, penzi kituvo cha uzembe. Hakuna chochote kitakachotokea hapo.

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety

    Mmekosa kazi

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Před 2 lety +1

    huko maporini ngoja mkutane na MAJAMBAZI muuwawe, mna dhalilisha wasukuma

  • @adamambangile7819
    @adamambangile7819 Před 2 lety +2

    Huyo Dada kanuna au kachoka?

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před rokem

    Safi sana kila kitu kinawezekana

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP Před 2 lety

    Daaaa

  • @evancymassawekenya7521
    @evancymassawekenya7521 Před 2 lety +1

    Serikali nayo imelala unaangalia watu vitu azina Kochwa kwani technology yenu mpaka Leo iko Nyuma hivyo nashangaa hawa watu tangazeni Kwa station za radio Na runingaa,mtaamka lini lakini Aki acheni hizo

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 Před 2 lety

    Duh

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 Před 2 lety +1

    Madhara ya kutoajiri kwa mda mrefu ndo haya matokeo

  • @jacobjoel3804
    @jacobjoel3804 Před rokem

    Hao waache umbea hawatopata kitu chochote wanajichosha tu kutembea waache ujinga warudi wakafanye kazi hatuna cofid hap

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před rokem

    basi ndyo maana hauchoki, mnalala wapi mkichoka 😂

  • @calvinmramba8087
    @calvinmramba8087 Před 2 lety +1

    Hawana kazi hawa

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa Před rokem

    Bangiiiii

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 Před 2 lety

    Kazi zenyewe akuna hichi ndio tulicho kiacha ni kubeba mabango ndio tumekiacha

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP Před 2 lety

    Daaaa sio poa

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 Před 2 lety

    Kuchanja ndio mkome kabisaa tangazani mengine

  • @hemedchuma9603
    @hemedchuma9603 Před rokem

    Ww unampango wako na uyo dem

  • @veronikamkuwele9072
    @veronikamkuwele9072 Před 2 lety

    Upuuzi huo

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Před 2 lety

    Kubwa tuu mtt wa watu asije akabebea mimba brbrni hiyo safari itakuwa ngumu sana

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 2 lety

    Wamefika wapi Hadi sasa jamani 🤣

  • @mkushiandikayakoachananaya7944

    Akili wameishiwa hao!

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 Před 2 lety

    Kazi mnayo

  • @annrobin9291
    @annrobin9291 Před 2 lety +1

    Washezi hawa hawanakazii 😏😏

  • @salomeyuvenali3700
    @salomeyuvenali3700 Před rokem

    Uzalendo gani nawakati sisi teali ni Mali ya mzungu
    mzalendo alikua Nyerere na maguli hakuna tenaa.

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 Před 2 lety +1

    mnatumalizia bandoo milard

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 Před rokem

    Pesa za matumiz mnatoa wap Kula kunywa na n k

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před rokem

    Hakika nyinyi ni wazalendo wa kweli

  • @gambathegreat8997
    @gambathegreat8997 Před 2 lety

    Acheni uongo

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Před rokem

    Mkamwambie mwiguru

  • @allytv1714
    @allytv1714 Před 2 lety

    Mh by foot huo siyo uzalendo ni matumizi mabaya ya muda na icho ndo kinatumiza watu weusi me ningewaona wazalendo kama mngeisemea serika ukweli pale wanapo kosea na pale wanapopatia kuwapongeza acheni kupoteza mda mwisho mtapata maradhi muanze kuomba msaada wa kurejea mlipotoka

  • @kauyegeorge3335
    @kauyegeorge3335 Před 2 lety +1

    Hawawezi tembea kw mguu nchi nzima

  • @anahna6788
    @anahna6788 Před 2 lety

    Duu nimejikuta nacheka tu kwa sauti
    Mmeshakuwa wapenzi
    Sasa kutembea kite huko
    Mnakula kwenye vichaka Yale mambo yetu

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 Před 2 lety

    Alafu mbona host kawa mmbaguzi jamni...
    Hajamuhoji dada mbona ama me ndo sijaelewa?

  • @FakihiNapunda
    @FakihiNapunda Před 2 lety

    Dah

  • @aishambondo8923
    @aishambondo8923 Před 2 lety

    Niwashaurii mpige pichaa na mikoa. Yote muweze kushut na kutoa move ya history

  • @suzanfelix7703
    @suzanfelix7703 Před 2 lety +1

    Kwaiyo wapo mtu na mke wake 😂 wajanja Sana hawa

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 Před 2 lety

    Mpaka unamalizia hiyo safar nadhan tutapata na kachanga

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Před 2 lety

    Wanatfta kiki awa kw mama Samia ili wagange njaa

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Před 2 lety +1

    mafala hawa yani wamekosa kazi kwa kweli

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 Před 2 lety

      Hahahaaaa kule raisi alisema awape zawadi eti kanga karamu na tisheti hahaaaa

  • @evaristimramba9047
    @evaristimramba9047 Před 2 lety

    Kutembea dar nzima muhimbil utapumua kidg

  • @mwanahawarajabu9253
    @mwanahawarajabu9253 Před 2 lety

    LENGO kikuamsha hamasatu kwa vijana kuipenda nchi yao

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 2 lety

    Bongo kwa kutafuta umaarufu na mwishowe jitu kitakwenda kimya barabarani

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 2 lety

    Hawana kazi ya kufanya wanakula nini wanalipwaje hawana family😂😂😂😂

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 Před 2 lety +3

    Jamani hivi vitu si vinatangazwa kwenye vyombo vya Habari huu muda si mngefanya kazi km kweli ni wazalendo 😒

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Před 2 lety

    Niliwaona na mlikuwa nao na sio mmekitana

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 Před 2 lety +1

    Kutembea wa mguu nchi mzima unafikir ni utani musitufanye sio mabwege,tena kwa mwendo huo..😳

  • @victormashauri3374
    @victormashauri3374 Před 2 lety

    Uongo tu nyie

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 Před 2 lety

    Nyie mmechanja

  • @noelmmari8570
    @noelmmari8570 Před 2 lety

    😄😄😄😄😄😄 wamechanja wakachanganyikiwa😁😁😁😁🤒🤒🤒

  • @josephinelyimo2467
    @josephinelyimo2467 Před 2 lety

    Vijana nendeni shambani
    Mkajiajiri kwenye kilimo
    Naamini kwa Tanzania hii huwezi kukosa kabisa eneo la kulima
    Naamini kinachowasumbua
    Ni ukosefu wa ajira na njaa
    Na si uzalendo !

  • @sagilododomamedelipeter1893

    Mbwa nyie hamna kazi za kufanya uzalendo gani upuuzi unailinda nchi ww mnalala wapi 🤣🤣msipotumia akili vzr ujanani na kujishughulisha mtaitesa Sana miili yenu baadae uzeeni endeleeni kupoteza mda usije ikamtia mimba dada wa watu mjinga we🏃🏃🏃

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 Před 2 lety

    kwaiyoo zanzibar mnapasua bahari kama musa

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 2 lety

    Hakuna Tanzania visiwani

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Před rokem

    Watu wanapiga hela wewe unaburuza mkokoten eti uzalendo.Uzalendo? Nenda ukae na familia yako pumbvu zako!!!!

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 Před 2 lety

    Wanajikuta vasco dagama

  • @patrinussanga3081
    @patrinussanga3081 Před rokem

    Jamani jamani muda wa kufanya kazi mnazunguka muda mnaopoteza ungekuwa labda mmepewa fungu

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 Před 2 lety

    Inahitaji moyo kusukuma damu kweli. Hamfiki hata mikoa 15mshazalishana, uzalendo shughuli pevu mjue. Ohooo

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Před 2 lety

    AWA YA KULIPWA MADENI YAKO m.czcams.com/video/NzCJvpVkxHI/video.html

  • @misomisomisoji7722
    @misomisomisoji7722 Před 2 lety

    Pumbavu wee uzalendo sio kuchanja uviko 19, unajua hayo madawa ya uviko 19 yamewekwa nini ndani yake? mabebelu sio wajomba zetu watuletee chanjo.

  • @boniphacewambura1427
    @boniphacewambura1427 Před 2 lety

    Kiki

  • @doreenkaiza9930
    @doreenkaiza9930 Před 2 lety +1

    Wameisha anza kuvimba mikono na miguu

  • @boniphacewambura1427
    @boniphacewambura1427 Před 2 lety +2

    😁😁😁😁😁
    Eti kitembea nchi nzima ivi mnatuona sisi wajinga
    Jambo mnalofanya nizuri sana tena sana lakini kitembea kwa miguu hapo mmetupiga kitu kizito kichwan