ORUMA: AZIZ KI ANATAKA BILIONI 1.2 , Eng. HERSI ''ANATAKA KIKI TU !!''.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Wilson John Oruma amefunguka sakata linaloendelea la mchezaji wa Yanga SC, Stephan Aziz Ki raia wa Burkina Faso kuhitajika katika klabu mbalimbali za nje na ndani ya Tanzania.
    Katika mahojiano haya, Wilson Oruma ameweka bayana kiasi kinachohitajika kumbakisha mchezaji huyo ambaye ni Top Scorer wa NBC Premiere League kwa msimu wa 2023/2024.
    Aidha, Wilson Oruma amesema kuwa Rais wa Young Africans SC, anatafuta njia zote ili klabu hiyo izungumzwe tu.
    #yanga #yangasc #yangaleo #yangalive #wilsonoruma
  • Sport

Komentáře • 3

  • @John-sz9je
    @John-sz9je Před 16 dny +3

    Wanao taka k azizi abaki yanga dondosha like apa tufanye azizi k abaki yangaaaaaaa

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Před 14 dny

    Leo sura unaiweka wapi leo

  • @jackmabirangacharles9398

    Wachambuzi ni Mwanduka Peke yake Hawa Wengine haswa tve wapiga Ramli tu ,
    Maisha yaende family ziishi wapate Hela za fuel ya Magari yao Basi lakini hakuna kitu ni Porojo tu