Video není dostupné.
Omlouváme se.

LIVE: YANGA WANATOA TAMKO MUDA HUU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • ‪@millardayoTZA‬

Komentáře • 378

  • @allytwalib7787
    @allytwalib7787 Před měsícem +77

    ambao tupo sambamba na hersi gonga like hapa........

    • @MichaelPascal-v7b
      @MichaelPascal-v7b Před měsícem +1

      Pamojaaaaa

    • @MichaelPascal-v7b
      @MichaelPascal-v7b Před měsícem +1

      Injinia niwetu haondok popote wajinga tuuu haowazee

    • @godsingu7921
      @godsingu7921 Před měsícem +1

      Tupo pamoja na hers wote tusitaharuki hao wazee wamekurupuka kupuru.

    • @Francegidion
      @Francegidion Před měsícem

      Atoketu manakama anatakakualibu timu hussen kuto inyny

  • @Leonard-jl8gt
    @Leonard-jl8gt Před měsícem +21

    Mlevi ataanguka awezi kushinda wengi Yanga oyee

  • @GiftLeonard-u6z
    @GiftLeonard-u6z Před měsícem +8

    Nina Imani kubwa sana na Baraza la Sheria ktk club ya yanga...Kwa uwezo wa mungu kesi itafika tamati na wanayanga tutaendelea kuifurahia club yetu pamoja na uongozi wake.....KILA LAKHERI KTK UTEKELEZAJI🤲🏽🤲🏽

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 Před měsícem +21

    Kwa hii trending hapa ndo najionea ukubwa Yanga🤔🙌

  • @TamarieKiluwa
    @TamarieKiluwa Před měsícem +13

    Mungu atuepushie husda zote..

  • @Fabrizomramba
    @Fabrizomramba Před měsícem +20

    Hersi simama kidete

  • @happyvalence5352
    @happyvalence5352 Před měsícem +1

    Wape taarifa wazee wote kuwa eng. Hersi ataiongoza YANGA daima.🎉❤

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 Před měsícem +1

    Eng Hersi hapa inaonyesha jinsi gani Yanga ni kubwa na ni namna ambavyo tunaenda kunyakua kombe la Afrika

  • @dastanhaule9463
    @dastanhaule9463 Před měsícem +9

    Msubiriee Tano (5) zingine.!

  • @user-jz6wr5ht2k
    @user-jz6wr5ht2k Před měsícem +1

    Jaman jaman hv hawa wazeee wametoka wap na wanataka nn mungu awasimamie viongozi wetu na wasiteteleke kwa lolote mungu yu upande wao atasmama nao🙏

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 Před měsícem +2

    Kwanza angalia tu makao makuu yalivyo badilishwa lakin bado hawa kenge wanaona sio sahihi kuongozwa badala yake wanataka waongoze wao alafu waturudishe kule tuliko toka yanga ya bakuli,sasa wakiwa kama wanachama wanaweza kuendesha team gani labda team ya usingiz ila sio ya mpira,waache ukuda TFF hili swala inabid ingilie kati kwakweli maana hii sio case ya jinai hii ni yampira inatakiwa kwenda kimpira mpira sasa wao walivyo wakuda wamesha suka mambo yao na wanataka kutuletea siasa kwenye mpira ,jaman huko tulisha toka kama kuna mzee mmoja wapo atapita kwenye hizi comment watuachie rais wetu na wao muda wao ulisha pita tupo kwenye usasa na mambo yanakwenda kisasa maana hata leo waachiwe team hawana uwezo wakuendesha club kwaiyo wakae pemben na wajitqmbue,ikiwa saivi wanapita kifua mbele kesho watajifungia vyumban mwao,huyu pimbi katumwa hana lolote kenge maji mkubwa

  • @RazackRajabu-s6x
    @RazackRajabu-s6x Před měsícem +1

    Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚........

  • @Chamandaayolaiza
    @Chamandaayolaiza Před měsícem +2

    SEREKALI WAFATILIE MAENDELEO NASIO MMBO YAMIPIRA SSI TUNA NJAA WANA NJII

  • @EmmanuelMollel-l9y
    @EmmanuelMollel-l9y Před měsícem +20

    Acheni habari wa kutaka vurugu wakati timu yetu inaendelea vizuri hao wanaolalamika wakaunde timu Yao wenyewe

  • @kulwaseloye
    @kulwaseloye Před měsícem +2

    WASIOPENDA MAENDEREO YAKRABU YETU YANGA TUNAWAOMBA WATUSAMEHE PIA WATUWIERAZI TAFAZARI

  • @kanyinyimusa8766
    @kanyinyimusa8766 Před měsícem +4

    Eng,Heris anzisha timu mpya waachie hawo wazee timu ya Yanga halafu tuone wanafika wapi Anzisha timu mpya inaitwa CSM FOOTBLE CLUB Chukua wachezaji wote waliosajiliwa halafu tuone hawao wazee nahiyo Yanga yao

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před měsícem

      Fisi utamwachiaje bucha, hao hata chakula ya familia ni mashaka.. hao mahayawani waanzishe timu yao.

  • @ErickMgaya-g4r
    @ErickMgaya-g4r Před měsícem +1

    Kwn miaka yote mliouwa wapi Leo yanga ipo kwenye mafanikio makubwa ya clb ya yanga Leomnaivuruga yanga hakika mungu anawaona manepoteza muda wenu tu kiufupi mnaharibu syclogy ya watu

  • @priscaraphael5703
    @priscaraphael5703 Před měsícem +2

    Yanga bingwaaa hadi 2039

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +16

    Hiyo mizeee michawi na njaa

  • @RachideMussaNctheua
    @RachideMussaNctheua Před měsícem +1

    Kuitwa mzee sio kuzaliwa zamani, bali uzee ni busara, magoma ni shushushu, muharibufu, mfunja amani kwenye timu.

  • @user-gf8xu7mr7v
    @user-gf8xu7mr7v Před měsícem +1

    Daah kwan hao wazee walikua wamekufa ndo wamefufuka leo hii yanga iko vzr mbona awakujitokeza kipind cha ñyuma

  • @fedrickmakubi
    @fedrickmakubi Před měsícem +2

    uyo mzee atakufa akiwa ananuka , anataka kutuvulugia club yetu

  • @Siwa-by2yk
    @Siwa-by2yk Před měsícem +1

    Shid yahuyo mzehe imeanzia penye Jin mtu mwenyeakili timam ataitweje ngoma

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Před měsícem +1

    ENGINEER HERSI ALLY SAID KUWA. MAKINI NA HUYO ANAYE JIFANYA. NI RAFIKI YAKO UNAJIFANYA KUKAA NAYE MARA NYINGI KWWENYE MECHI KUBWA KUBWA ZA KITAIFA KAA MBAL NA. HILO JOKA YAAAN. SHETWAN NA IBIRISI NI HILO TU.

  • @hawajohn749
    @hawajohn749 Před měsícem +2

    Sina hamu kwa kweli mungu anitie nguvu kwanza

  • @RamadhaniMtunya
    @RamadhaniMtunya Před měsícem +4

    Hapo wazee walikua wanakula vijihela Sasa ulaji hapo njaa itawaua wote ni Simba hao wazee njaa tupu zama zao zimeisha yote hayo ni Simba damu

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Před měsícem +5

    Dunia hii hakuna taasisi inayo endeshwa na WAZEE

  • @simonmathias6474
    @simonmathias6474 Před měsícem +2

    Hao wazee hela za kulipa mahakamani wanatowa wapi uchunguzi ufanyike haoo wauwaji wa YANGA

  • @twasinsound810
    @twasinsound810 Před měsícem +3

    Wana simba msituingilie nyie niwapumbav tu

  • @AnordFrank-s3v
    @AnordFrank-s3v Před měsícem +2

    M nahic wazee wametumwa kuja kuiteketeza club ila club iwe na migogoro kwa sababu hawaitakii meme club

  • @IddiHassani-s9j
    @IddiHassani-s9j Před měsícem +4

    Wazee mnatka nn sas mnashdwa kumalza wazee wao vzr

  • @barakamuoka1455
    @barakamuoka1455 Před měsícem +2

    Naona huyu mzee kuokota Makopo kumemfanya awe mwehu

  • @Amosmpaji
    @Amosmpaji Před měsícem +7

    Kwan Hao wazee wananafasi gan kwenye timu yetu ya yanga? . Na Kama ni wanaamua kuzalilisha timu yetu kisa njaa zao. Inatakiwa tuwashitaki ili hata siku nyingine wasije kurudia ujinga wao.

  • @manotiomar2927
    @manotiomar2927 Před měsícem +2

    Huyo mzee njaa inamsumbua kamatumwa na jirani haache njaa zake

  • @TheresiaKauno
    @TheresiaKauno Před měsícem +6

    Wazee hao wachaw

  • @leco_ltd
    @leco_ltd Před měsícem +2

    Njaa mbaya sana wazeee huwenda kuna mgao wazee hao hawaupati umezibwa ....hapo kelele tu 😂😂😂😂🤣🤣🤣

  • @Ibrahimmjema15
    @Ibrahimmjema15 Před měsícem +2

    ijinia yupo sana

  • @user-jq9go2db6y
    @user-jq9go2db6y Před měsícem +9

    Wanaumia sana kwa kuwa tunae chama😅😅😅

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u Před měsícem +2

    Hapo. Ni. Lazima. Uongozi. Wetu. Pendwa. Wa. Hersi. Na. Ghalib. Uwepo. Tuu

  • @BhutemiMapalala
    @BhutemiMapalala Před měsícem +9

    Jamaan mnahangaika na wazee wapumbafu

  • @JacksonAsheri-vi8gh
    @JacksonAsheri-vi8gh Před měsícem +1

    Raha sana ila wazee 😊😊😊😊

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Před měsícem +1

    Hili jambo limesukwa na wale waliokuwa wamezoea kutumia Yanga kama chanzo chao cha mapato na kwa sasa zimezibwa na vijana na wanahisi hawana nafasi tena ya madaraka Anachofanya huyu Mangoma ni kumwaga mboga ili wakose wote . Lengo lao sio kutetea katiba ya Yanga kwa maslahi ya Yanga bali ni kwa maslahi binafsi nje na ndani ya Yanga . Kuna kundi la wanayanga wachache wanaopta ushauri na maelekezo kutoka nje na ndani ya Yanga na hata wenye dhamana ya nchi kwa nia ya kuitikisa Yanga ili iharibikiwe katika mipango yake na wao wajipenyeze ili wapate fedha. Hakuna mwanayanga anayefiria ujinga huu kwamafanikio ya Yanga walivyo kwa muda huu. Hii ni hatari na baadhi ya wazee wa daresalam waache kuifanya Yanga kama kitega uchumi chao .

  • @LeilaMohammed-x5u
    @LeilaMohammed-x5u Před měsícem

    Haaaaaaaaa❤yangaaaaa

  • @AbdulmarickLuhoma
    @AbdulmarickLuhoma Před měsícem +4

    Injinia asitoke

  • @inspirationmessages8420
    @inspirationmessages8420 Před měsícem +5

    Braaah
    Braaah
    Braaah
    😂😂😂😂😂

  • @user-dh4lq1jq3d
    @user-dh4lq1jq3d Před měsícem +1

    Safisana Wazee Haovijana walafituu Yanga oyeeee

  • @imanimwandosya370
    @imanimwandosya370 Před měsícem +1

    🙆🙆🙆🙆 MUNGU naomba unisikie maombi yangu, Naomba wote walio peleka kesi uko wafe yaani wakufe kabisa, ndani ya siku 7,.

  • @jacksonmillengo1913
    @jacksonmillengo1913 Před měsícem

    Dozi iongezwe ya Magoli mpaka hata Ali Kamwe nae wajikute wamejichanganya kuwa usajili wake hauna vibali vya uhamisho nadhani wenye D 2 wameelewa... Daima mbele nyuma Mwiko Sisi ndo Yanga

  • @ahmadbihaytv4460
    @ahmadbihaytv4460 Před měsícem

    Njaa zina tutesa sanaaaaaa walio watumavwasubili 7.2 Tena

  • @user-gl4jl9yg5t
    @user-gl4jl9yg5t Před měsícem +4

    Braaah brahaa hatutak kusikia kwan hawo wazee wana maan gan na wawo wanataka nin kam sio ujinga tu tangia mwanzo walikuwa wapi mpak leo hii ndo wafany hvo hawo wazee waache utoto bas

  • @AdamGeorge-i3m
    @AdamGeorge-i3m Před měsícem +1

    Wanasheria hamfanyi kazi zenu kwa umakini wanasubr mpaka yawe makubwa ndo muanze kijitetea hamjui mnatugawa wakati ilikuwa ni swala la kumaliza wenyew mapema kabla hata ya hukumu mngekuwa na hoja hizi nan angetoa hukumu ya namna hiyo

  • @rofacoltanzania589
    @rofacoltanzania589 Před měsícem +1

    Unaendaje tena mahakamani. Chukueni hiyo hukumu mkapate ufafanuzi TFF. Kwenye mpira Mahakama ya Kisutu haihusiki maana hiyo siyo kesi ya Jinai. Msipate presha ipotezeeni, waulize mahakama lini wamepewa mandate ya kusikiliza kesi za mpira?

  • @ezekielgwamaka9998
    @ezekielgwamaka9998 Před měsícem

    Wazee wa hovyo na michawi ktk nchii hii ni tatizo kubwa,na mchawi hapenfi maendeleo timu inafanya vizur mizee inaibuka na kubabwaja nendeni mkalime huko mashambani

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u Před měsícem +1

    Hapo. Ni. Wazee. Wanaotumiwa. Na. Simba. Tu. Timu. Imekuwa. Bora. Chini. Ya. Ininia. Na. Ghalib. Leo. Nani. Ataisaidia. Yanga

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 Před měsícem +8

    Unajua wazeee hao hawajielewi wakati tupo na bakuli walikaa mbali na club leo wameona mafanikio wanakuja kuongea pumba zao ni njaaa zao zinawasumbua tu amna kingine
    Itaku wametumwa na upande wa pili

    • @matikomnanka9154
      @matikomnanka9154 Před měsícem

      Hao wazee wakaanzishe tim yao make walio iyanzisha tiyar walishaga farik toka 1935 had leo ni mzee gan aliopo hai

  • @abalqassim3218
    @abalqassim3218 Před měsícem

    Mlakuku wa mweziwe miguu humwelekea

  • @ALBERTNyemba-uk3fr
    @ALBERTNyemba-uk3fr Před měsícem +1

    Hao wazee tutakufa nao..wametumwa na wasiombe ili swala liishe,likiisha hao wazee tutawafyekelea mbali.

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek Před měsícem +1

    Wananchi TUWE MAKINI,hizo ni fitna za maadui nia yao KUTUVURUGA,Yanga mshikamano daima,DAIMA MBELE NYUMA MWIKO,washindwe/waregee hao MAFISADI kwa Wananchi,Cc ndio Yanga imara

  • @AnordyJames
    @AnordyJames Před měsícem +1

    Mizee yanyewe ukiangalia inanjaa hata ukipa mchezaji mmoja aiezi mlisha mikundu hii tu

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 Před měsícem +4

    Chama ndio kawaumiza hehehe 😅😅😅

    • @MichaelPascal-v7b
      @MichaelPascal-v7b Před měsícem

      Na hapo Bado hajaonekana uwanjani chama atawakera zaidi yanga oyeeeeerrr😊😅😮😢😂😊😊😊😊

    • @SADICKITHOMAS
      @SADICKITHOMAS Před měsícem

      Chama k mmoja tulikua na Samagoal

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy Před měsícem

    Yani nyinyi wazee hamnazo kweli hivi mnataka kuipelekawapi hio yanga yani hii nishidasana

  • @EliyaKudaga-u4q
    @EliyaKudaga-u4q Před měsícem

    Mzee magoma analake analolihutaji,,, Mimi naona Ili tim yetu iendelee kuwa ya moto,,, tuwaheshim wazee,, Kwanza wazee wazamani wanauwezo wa kuimalisha Tim na kuipoteza Tim kabisa,

  • @EliabuJoseph
    @EliabuJoseph Před měsícem +1

    Hani hao wazee miaka mitano hakuna chchte kinachofanyika,leo mnaitaka timu...pumbavu wewe mzee huna akili na hakuna kitu utaifanya Yanga kwa sababu sio ya kwako ..........na uachane na Yanga ufe zako ukapumzike.

  • @JosephJohn-f6m
    @JosephJohn-f6m Před měsícem +1

    Ao wazee watamkumbuka Engineer tuu tunasubili.Yani timu inakaa unyama ndo wanajitoa wanakela sana ao wazee

  • @AthumaniNgonyani
    @AthumaniNgonyani Před měsícem

    Huyoo magoma mshezi kama ana chaaseme tumchagie iri arenawajumkuuwake hiyoni chaa tu tukateekatika wanachama

  • @SalumuHokololo
    @SalumuHokololo Před měsícem

    Aowazee kweli wanaipenda yang

  • @MamuNasri
    @MamuNasri Před měsícem

    Habaki ijinia hers

  • @laulorry6296
    @laulorry6296 Před měsícem

    Safi sana viongozi wetu mungu awatangulie

  • @HamisMatembo
    @HamisMatembo Před 27 dny

    Tushilikiane kuipenda yanga

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata Před měsícem

    Malengo yenye tamaa na chuki,husuda huwa hayafiki popote.

  • @salmamasokola6317
    @salmamasokola6317 Před měsícem

    Huyo Magoma atakuwa katumwa, ashindwe na ALEGEE.

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Před měsícem +11

    Herssssss❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nantoamuli476
    @nantoamuli476 Před měsícem

    Hao wametumwa kuharibu harakati za yanga za mafanikio mafanikio ni vita wavuliwe uana chama tusiwape nafasi

  • @FaustinEdward-dl4yz
    @FaustinEdward-dl4yz Před měsícem

    Tokekeni yanga majizi wakubwa

  • @alfredkilawa478
    @alfredkilawa478 Před měsícem +1

    Hersssss❤❤❤

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Před měsícem

    Rais wetu haendi kokote tunaimani nae yeye magoma ndioandoke yeye Nani kwanza mashabiki wengi hatumjui asitualibie timuyetu mjinga mmojahuyo

  • @user-oh1kd3ns7r
    @user-oh1kd3ns7r Před měsícem +1

    hawa wazee wasenge yani hawataki maendeleo ya timu kweli hawa ndo wachawi wakizamani wanafaa kufinywa hawa mmbwa koko

  • @mathiasmahenge6047
    @mathiasmahenge6047 Před měsícem

    Mwanashseria anajichanganya sana ati kesi ya mwaka 2013, ukanjanja unanukia. Yawezekana waliidharau kesi na kilichotokea kimewashock wa matopeni

  • @JohnPM-235
    @JohnPM-235 Před měsícem

    WATANZANIA MMEZIDI KUA WADAKU NAWAPENDA KIKI INAWEZEKANAJE THOSE SO CALLED WANASHELIA KUOMBA MDA KWENYE MAHAKAM ILEILE ILIOTOA HUKUMU KWANINI WASINGEKATA LUFAA MAHAKAMA ZA JUU ILIHAKI ITENDEKE

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Před měsícem +1

    uyo mzee naona iziraeli uyooooo

  • @ibraramidu5253
    @ibraramidu5253 Před měsícem +1

    Hizi ni mbinu za moooo kutuzohofisha

    • @leahelias5578
      @leahelias5578 Před měsícem

      Mo kaingiaje hapo malizeni mambo yenu kama wazee mmewadhuru kwann wasilalamike

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před měsícem

    Ila bana wa2 cjui huw wanalala wanamka kuvuruga tu timu za wa2 wakaunde timu yao xaxa wawe wanacheza wenyewe ili wajiongoze na mandevu yao!!

  • @DavidGuvete
    @DavidGuvete Před měsícem

    Hao wazee wametumwa waivuruge hiyo yanga

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před měsícem

    Mzee magoma yupo sahihi gongera sana

  • @user-mv5kv5fh7g
    @user-mv5kv5fh7g Před měsícem

    Wazee wasenge xn dawayao kupigwa Tu na kufukuzwa wasixhabikie yanga maana mafuxadi Tu kuma zamanazao pumbavu xn

  • @AnordJoseph-e2e
    @AnordJoseph-e2e Před měsícem

    Hivi mambo gani tena haya shetani gani ametuingilia jamani haya mazee ningekuwa mie ningeyalipua inamaana leo ndo yamejuwa uongozi hauko sawa au kuna mkono wamtu Hapa kuhusu CHAMA simba wameweka mkono ili tuvulugane

    • @AlexMbagata
      @AlexMbagata Před měsícem

      Vile Kuna watu wanaojua Sheria watashindwa na kulegea.

  • @MathayoMlaya
    @MathayoMlaya Před měsícem +1

    Unae sema injinia atoke wewe kwanza siyo shabiki wa yanga.acha bangi ukalale kwa mamako

  • @AgustinoBuhha
    @AgustinoBuhha Před měsícem

    Huyu mzeeeee si.afe tu hata leo mchawi mkubwa sana

  • @YohanaMichael-q4g
    @YohanaMichael-q4g Před měsícem

    Ambao tuko live. Tujuane

  • @ramphordkimaro6644
    @ramphordkimaro6644 Před měsícem

    Kwa kweli haowazee wametukosea sana wanayanga

  • @FlorenceLyaruu
    @FlorenceLyaruu Před měsícem

    Wana yanga wapo na heris ila Simba wapo na wazeee

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 Před měsícem

    hakuna wanasheria hapo kesi toka 2023

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo8228 Před měsícem +9

    Hao wazee mikundu hatuwataki

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda Před měsícem

    Mnawakosea heshima wazee nakuwatukana kosa lingine hilo hivi unaweza kumwambia babako ana njaa

    • @dollasmwanahoka8050
      @dollasmwanahoka8050 Před měsícem

      Simba wewe fara chama tunae na trh 8 itafika mrete ha marojo yenu mriyoyaokoteza

  • @GodluckFednant-yy3tz
    @GodluckFednant-yy3tz Před měsícem +3

    Ndo mpira huu bora mishabikie amapiano wazee washezi kabisa

  • @IsayaJohn-h1o
    @IsayaJohn-h1o Před měsícem

    injinia bado tupo nae sana yanga wapizani mtapata tabu sana mda wetu uuu

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Před měsícem

    Mti wenyewe matunda lazima upigwe mawe rais wetu hersi nimti na unamatunda kibao lazima upigwe mawe usiogope rais wetu hersi hao nawapumbavu tu wasiopenda maendeleo ya timuyetu Ila kingine unapofanyakazi vizuri changamoto lazima

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Před měsícem +1

    Kesi hii imesikilizwa lini hata kuhukumu hukumu kama hivi.

  • @dastanhaule9463
    @dastanhaule9463 Před měsícem +1

    Waondoke ili mfurahii ??! Tabu ipo pale pale . Tumewajua mbinu zenu

  • @JacksonAsheri-vi8gh
    @JacksonAsheri-vi8gh Před měsícem +1

    Wanaho penda hersi ahondoke gonga like