Kiukweli hawa watu sio wa kuwaacha salama lakini swali langu kwa viongozi kwanini timuyetu inakumbwa na mambo ya kisheria ya mala kwamala? Mnge tafakari hili kama panapwaya tafuteni watu sahihi inatuumiza sisi wanayanga
Hao wazee walimletea noma Marehem Manji, na kuna tukio manji aliwafokea waka nyamaza. Mie nnafikiri wanahisi kuna watu wanafaidika sana na mafanikio team inapofika kwenye pick wanasahau kuendesha team ni mziki mnene.
Kitaalamu imekaaje hii. Kesi ilishaamriwa na mpaka imefika kukazia hukumu ndio muombe kuingezewa muda. Lakini pili what if mahakama ikatupilia mbali ombi lenu. Lakini swali la kiakili ni kweli watu wanawezaje kuendesha kesi mahaka kuu taarifa zisiwafikie kipindi chote mpaka kumalizika kwake hasa ukizingatia ukubwa wa timu na upana wa mashabiki waliokuwepo katika kila kada? Nina wasiwasi na hili.
@@user-gy3wo2ez4d tatizo ni viongozi wa yanga kumdharau mzee magoma na team yake..mwanasheria anasubiri agizo la viongozi. Magoma alikaa na hukumu yake tangu mwaka jana akisubiri yanga wavurunde kwenye ligi,yeye achochee kuni..akaona kwa usajili huu, ni sawa na kusubiri meli Airport kwa yanga kupata matokeo mabaya.. akapata usaidizi wa simba ili kuitoa yanga kwenye mstari..ubaya ubwela. Mzee kayatimba
Hakuna aliyebushi sahihi. Inavyoonesha walisaini kweli Lkn mmewatafuta mmewapa ela wakane sahihi zao Tena mnawakana wanayanga wenzenu Tena mnajificha kwenye kivuli cha kusema ety makombe na vyote ni batili Kiongozi kamili huwajibika ili kutoa funzo Mkiongea mbele za umma ni muhimu kuzingatia aina ya watu mnaowafikishia ujumbe sio wote ni akili kisoda
Mhhhhhhhh mpaka nimeshanga Kwan kuna panapovuja wambie wazee hao hawatofika mbinguni make ni wa hovyooooooooooo injinia jipange kuiongoza yanga miaka 100
Yanga bhana eti Kila kitu wanakanusha wanasheria gan wanasubiri hadi kesi itolewe uamuzi ndio wanaamka usingizin,wanasheria wa utopolo sijui kama wana vyeti halali
Mwanasheria umepuyanga sana yan umejaribu kupindisha ukweli lakin hayo mambo ni ya kisheria sio ya kishabiki na mahakama kuu imeamua kisheria , maelezo yak hayaoani pili unaelezea uko unakwama kwama ni waz unajarib kuongea kuwalizisha wanayanga that is too bad lete hoja lete fact lete evidence
Wapumbafu hao, wametumwa kufanya uhuni ,katika Kilabu ya Yanga? Wafutwe kwanza uwanachama alafu wachukuliwe hatua kali,wahaini nafikili wametumwa na wahuni
Ukubwa wa taasisi ya yanga uendane na uwezo wa wanasheria wake kukabiliana na maswala ya kisheria, iwe kitaifa au kimataifa. Kujirudia rudia kwa matatizo yanayohusu mikataba na kesi za ndani na kimataifa ni kiashiria tosha kuwa tunahitaji kujiongeza capacity, exposure na experience ya ku handle legal matters za klabu kubwa tena kisasa. Kitengo kiongezewe nyenzo na competent supporting staff.
Huyu mzee magoma anadhani timu inaendeshwa kwa bei ya kofia ama?yani hawezi hat kumlisha msheri kwa siku halafu anaitak timu,huyu mchawi tutamponda mawe
Mpira wa Bongo ni siasa na upuuzi mtupu uchunguzi gani ufanyike kuhusu uanachama wao? Wakati ukiingiza jina tu kwenye system itaonyesha kwamba huyu si mwanachama au huyu ni mwanachama halali mwenye kadi ooxxy hivyo y mnawafanya wadau wa soka hawajitambui hata kidogo? Issue ya kughushi sahihi huenda nikakuelewa kidogo, baadhi ya viongozi wa soka Bongo janjajanja nyingi sana na hiyo AFCON ambayo tutakuwa wenyeji kama hatutobadilika tutatolewa mapema sana, klabu tunazotegemea sana kutoa wachezaji wenye uwezo wa kupambana kwenye international football ni simba, yanga na nyinginezo, mara Leo uwekazaji wa batili, mangungu na try again hawafai, kesho Hersi na jopo lake la uongozi wapo kibatili yaani! Stupid kabisa!!!
Uongozi wa yanga uko kiboya sana inakuaje jambo limeanza 2020 hadi leo hawalijui ngoja wangolewe na midude isiyojua hata kusoma na kuandika ndio itajua
Hapa kuna walakini, hata kitengo cha sheria cha sheria kujitathimini maana Yanga sc kuna kesi nyingi klabu imeshndwa kwenye kesi za wachezaji. Hapo kuna kitu.
Mmeyatimba ujanjaujanja mwingi,kama munaweza muipinge mahakama kenge nyie ,haiwezekani mtu mmoja afoji saini ya watu watatu,pia kama viongozi makini kwanini kesi tangu 2022 ndio ijulikane leo,mpaka muda wa rufaa umeisha nyinyi hamjakata rufaa mmejichanganya.
Wazembe sana Yanga yaani Kesi inafikia hatuwa hiyo nyiye Viongozi Hamuelewi nini kinaendelea 😦😦😦 Club itauzwa na Hamuna Habari 😀😀😀Hata mukishinda kesi hii lakini Munafaa Kujiuzulu na Kuwaomba Radhi Wanachama na Wapenzi wa Yanga..
Wazee noma na nusu eti Tiwakabiz timu; hadi Chama na Azizi k? Dube, Pacome hata mdaka mishale? Weee unataka kuwauza kkkk Wazee nyie no shikamo from kwangu lakin mume trend
Mwanasheria gani anasema wamegushi kabla jeshi alijasema na anasema wamefanya kosa la jinai kabla vyombo husika havijasema,yeye ni polisi yeye mahakama.chuo gani Cha Sheria kasoma.
Big up My brother Hon. Patrick Advocate of the Champions
Huyuuu mzeeee ananjaaaa sanaaa fanya kazi mzeeee uza ata kahawaaa
Team magoma - tukutane kwenye like apaaa. 👇
Jamani yanga ilikuwa yabakili sasa imekuwa yanga imara watu wanaanza chocho chocho lengo kuturudisha nyuma,jamani tusikubari hali hiyo iendelee,
Nimegundua hata mimi nawezakuwa hakiku jamani... mnikumbuke!
😂😂
hakiku ndo nini
Juz mlicheka ya mangungu leo kwenu ama kweli mwenzio akinyolewa zako tia maji leo kwenu chekeni xaxa
Mashauri mawili tofauti..
Mlungu chibiduuuuu 😂😂
Haujitambui wew sabab hazifanan
😂😂ubaya ubwela
Acha wajichanganye tu sisi kwetu furaha
sio waliojiita wanachama wa Yanga hebu nyoosha kiswahili
Haki itendeke na yanga yetu iendelee kuwa salama.Mungu na azidi kuibariki yanga.
Amina
Asante mwanasheria umefafanua vizuri
Kiukweli hawa watu sio wa kuwaacha salama lakini swali langu kwa viongozi kwanini timuyetu inakumbwa na mambo ya kisheria ya mala kwamala? Mnge tafakari hili kama panapwaya tafuteni watu sahihi inatuumiza sisi wanayanga
Afuu kweli😂😂😂😂
Kutishana,,Kama,kawaida
Mwanasheria,hao,wazee,wanachama,na,ukienda,kitoto,atakushinda,na,kazi,yako,si,uchunguzi
Hao wazee walimletea noma Marehem Manji, na kuna tukio manji aliwafokea waka nyamaza. Mie nnafikiri wanahisi kuna watu wanafaidika sana na mafanikio team inapofika kwenye pick wanasahau kuendesha team ni mziki mnene.
Kila la kher Inshallah😢
Huyoooo mzee mchawii
Nyie siasa ni mbaya sana,
Hawa wazee ukweli wametumwa na SIMBA na sio kitu cha ajabu 😂😂
Kitaalamu imekaaje hii. Kesi ilishaamriwa na mpaka imefika kukazia hukumu ndio muombe kuingezewa muda. Lakini pili what if mahakama ikatupilia mbali ombi lenu. Lakini swali la kiakili ni kweli watu wanawezaje kuendesha kesi mahaka kuu taarifa zisiwafikie kipindi chote mpaka kumalizika kwake hasa ukizingatia ukubwa wa timu na upana wa mashabiki waliokuwepo katika kila kada? Nina wasiwasi na hili.
Hao wazee hawawezi kuiongoza yang ni njaa tu inawasumbuua
Why press, kapambaneni mahakamani kwa hoja na nyie mahakama itoe hukumu
Wazee noma sana
Mdaa wotee huu kesi inaendeleaa mlikuaa wapi kama wanasheriaa hadi hukumu inatokaa ya upandee 1
Walikua hawajui kitu
Eti sain zimegushiwa ina maana mnataka kuwafanya mahakama kuu ni wajinga sana 😂😂😂 au hawana ueled na kaz yao
Kama yanga sporting club haikuwa na wito wala taarifa yoyote kuhusu kesi hadi ikatolewa hukumu labda kuna yanga nyingine ilopelekwa mahakamani..
Uyo mwanasheria muongo sana ... yaan kaongea utumbo mtupu nna wasiwasi na elimu yake
@@user-gy3wo2ez4d tatizo ni viongozi wa yanga kumdharau mzee magoma na team yake..mwanasheria anasubiri agizo la viongozi. Magoma alikaa na hukumu yake tangu mwaka jana akisubiri yanga wavurunde kwenye ligi,yeye achochee kuni..akaona kwa usajili huu, ni sawa na kusubiri meli Airport kwa yanga kupata matokeo mabaya.. akapata usaidizi wa simba ili kuitoa yanga kwenye mstari..ubaya ubwela. Mzee kayatimba
Niwachawi hao mungu kuweka kifo alikuwa sawa,
Mbona unatumia nguvu nyingi kujieleza. Maneno yako yanaoneasha Kuna shida ndani ya Yanga.
Wasizan kuongoza timu ni sawa na kuongoza familia. Safi mwanasheri kwa ufafanuz wako
Wananchi tumfunge mtu tuweke mbali ubinadamu. Kufoji sahihi ya mtu tuikomalie maana wajinga wapo wengi ili tuwakomeshe
Unaushaidi na hilo ?
@@abdallahmzee4335 ukweli ukidhihiri uongo utajitenga mama Fatma karume yupo hai kama wamemsingizia atakuja na sahihi yake
Kaka magoma ana uwezo apeleke guu lake clubuni
Hakuna aliyebushi sahihi.
Inavyoonesha walisaini kweli
Lkn mmewatafuta mmewapa ela wakane sahihi zao
Tena mnawakana wanayanga wenzenu
Tena mnajificha kwenye kivuli cha kusema ety makombe na vyote ni batili
Kiongozi kamili huwajibika ili kutoa funzo
Mkiongea mbele za umma ni muhimu kuzingatia aina ya watu mnaowafikishia ujumbe sio wote ni akili kisoda
Hao wazee hatuwataki kuongiza timu. Tunaupenda uongozi wetu wa sasa wa ENG Herse Saidi
Wafungulieni kesi ya jinai hao matapeli hao namuwafukuze kabisa uwanachama hatuwataki fukuza hao wasitualibie timuyetu wehu hao
Mhhhhhhhh mpaka nimeshanga Kwan kuna panapovuja wambie wazee hao hawatofika mbinguni make ni wa hovyooooooooooo injinia jipange kuiongoza yanga miaka 100
Yanga bhana eti Kila kitu wanakanusha wanasheria gan wanasubiri hadi kesi itolewe uamuzi ndio wanaamka usingizin,wanasheria wa utopolo sijui kama wana vyeti halali
Hawana akili inamana wanatuaminisha mahakama haijui vitu fek
Mwanasheria umepuyanga sana yan umejaribu kupindisha ukweli lakin hayo mambo ni ya kisheria sio ya kishabiki na mahakama kuu imeamua kisheria , maelezo yak hayaoani pili unaelezea uko unakwama kwama ni waz unajarib kuongea kuwalizisha wanayanga that is too bad lete hoja lete fact lete evidence
Huyu mwanasheria anayeongea hapo ana njaa Kali anatetea kibarua chake wakat ameshindwa kutetea kisutu
Kweli kabisa na muongo mkubwa
Wapolowapolo wahuniii!
Jopo hili ndiyo lilimshindwa Bm3 Wanasheria uchwara hawa
Ss tunataka maendelee ya yanga hao wazeee njaaaa ila muwasameee yanga ilivyo moto hata kama waliingia kwa mtutu wa bunduki kwetu ........ ❤❤
Rita nao wanasema hii katiba ya 2020 iliyowaweka viongozi kwenye madaraka ni batiri kwa maana haijasajiliwa je hii nayo Rita niwahuni pia?
Wewe ni mwanasheria wa Klabu au wewe pia ni mwajiriwa unayepoteza kazi yako kwa hii hukumu? Huwezi kuwa fair… step out and speak from outside.
Kama timu ni yao wapeni, mushakula pesa sana ni mda wao sasa
Yana kuhusu wewe
Jaman aje mikoan uyo ndo atajua Kaingia Cha jeshi
Wapumbafu hao, wametumwa kufanya uhuni ,katika Kilabu ya Yanga? Wafutwe kwanza uwanachama alafu wachukuliwe hatua kali,wahaini nafikili wametumwa na wahuni
Ukubwa wa taasisi ya yanga uendane na uwezo wa wanasheria wake kukabiliana na maswala ya kisheria, iwe kitaifa au kimataifa. Kujirudia rudia kwa matatizo yanayohusu mikataba na kesi za ndani na kimataifa ni kiashiria tosha kuwa tunahitaji kujiongeza capacity, exposure na experience ya ku handle legal matters za klabu kubwa tena kisasa. Kitengo kiongezewe nyenzo na competent supporting staff.
Ww mwanasheria usifanye mahakama kuu yetu haina akili wala ueledi ina maana watu wagushi sain wagush uanachama alafu mahakama isijue 😂😂😂😂
Huyu mzee magoma anadhani timu inaendeshwa kwa bei ya kofia ama?yani hawezi hat kumlisha msheri kwa siku halafu anaitak timu,huyu mchawi tutamponda mawe
Wasione vyaelea vimeundwa jamani tamaaa itawauwa kiukweri yaani time imekaa vizuri wanaanza kuleta chokochoko
Unasema sio wanachama wa yanga halafu mnachunguza muwapeleke mkutano mkuu wa club ??? 😂😂😂 sema KIMEUMANA
Mpira wa Bongo ni siasa na upuuzi mtupu uchunguzi gani ufanyike kuhusu uanachama wao? Wakati ukiingiza jina tu kwenye system itaonyesha kwamba huyu si mwanachama au huyu ni mwanachama halali mwenye kadi ooxxy hivyo y mnawafanya wadau wa soka hawajitambui hata kidogo? Issue ya kughushi sahihi huenda nikakuelewa kidogo, baadhi ya viongozi wa soka Bongo janjajanja nyingi sana na hiyo AFCON ambayo tutakuwa wenyeji kama hatutobadilika tutatolewa mapema sana, klabu tunazotegemea sana kutoa wachezaji wenye uwezo wa kupambana kwenye international football ni simba, yanga na nyinginezo, mara Leo uwekazaji wa batili, mangungu na try again hawafai, kesho Hersi na jopo lake la uongozi wapo kibatili yaani! Stupid kabisa!!!
Matapeli walizani wataingusha Yanga hahahaha Yanga iko pale pale
Akakae ndani huyu Mzee mchawi huyo sio bure
Mimi nilijua tu kwenye msafara wa mamba na kenge wamo huyozee hafai kwa lolote
Uongozi wa yanga uko kiboya sana inakuaje jambo limeanza 2020 hadi leo hawalijui ngoja wangolewe na midude isiyojua hata kusoma na kuandika ndio itajua
Ujuaji mwingi
Wanawadanganya mbuz wao si waishtak mahakama kama wanaonew
Ali komwe kibarua kimeota nyasi
Jamani wafatilieni hao watu wanataka kututoa kwenye mudi yetu tena wnatakiwa watuache kbis
Hayo unaonaje ukayapesleka mahakani badala ya kwenye vyombo vya habari
Watoke TU yanga ni yawatu wengi sio ya kikundi
Hapa kuna walakini, hata kitengo cha sheria cha sheria kujitathimini maana Yanga sc kuna kesi nyingi klabu imeshndwa kwenye kesi za wachezaji. Hapo kuna kitu.
Anawatetea mabosi zake nawe ni batili😂wazee hawakujuwi😂
(Principle )
Huo ni mpango wa Simba,siyo wazee wa yanga.mamluki hai
Mi nawatakia kila la heri chama langu
Injiner hersi piga kazi mwamba usitishiwe nyau
Utapeli mtupu
Mmeyatimba ujanjaujanja mwingi,kama munaweza muipinge mahakama kenge nyie ,haiwezekani mtu mmoja afoji saini ya watu watatu,pia kama viongozi makini kwanini kesi tangu 2022 ndio ijulikane leo,mpaka muda wa rufaa umeisha nyinyi hamjakata rufaa mmejichanganya.
Wafukuzwe na tena wachukuliwe hatua kali ya kisheria wanataka kuvurugia furaha zetu
Yani izi timu zetu zinapenda kiki, jambo linatengenezwa tu ili kufuraisha watu
NYIE MAKO MNAPO MZUNGUMZIA RAIS WA YANGA MNAZUNGUMZIA DUDE KUBWA LINALOISHI ANGANI SIKU LIKISEMA LISHUKE LITAIFUNIKA DUNIA MZIMA 💪
Mimi ni wa simba lakin wazo langu naomba haki itendeke.hawa wazee wanyooshwe ili iwe fundisho kwa wengine.
Acha ujanjaujanja watu tunajua kinachojiri
Unaongea maajabu mzee asikilizwe anahoja za msingi acheni dhalau
Wazembe sana Yanga yaani Kesi inafikia hatuwa hiyo nyiye Viongozi Hamuelewi nini kinaendelea 😦😦😦 Club itauzwa na Hamuna Habari 😀😀😀Hata mukishinda kesi hii lakini Munafaa Kujiuzulu na Kuwaomba Radhi Wanachama na Wapenzi wa Yanga..
Wanamchango gani katika yanga hao wazee wala mihogo
Mbona timu iliyumba hamkugombania hivo viti
Wazee noma na nusu eti Tiwakabiz timu; hadi Chama na Azizi k? Dube, Pacome hata mdaka mishale?
Weee unataka kuwauza kkkk
Wazee nyie no shikamo from kwangu lakin mume trend
Yaaan kama wakijitokeza hazaran du Bora tuwapige mawe
Ili swala sio swala la propaganda ni swala la kisheria..... note this points wanayanga
Mwanasheria gani anasema wamegushi kabla jeshi alijasema na anasema wamefanya kosa la jinai kabla vyombo husika havijasema,yeye ni polisi yeye mahakama.chuo gani Cha Sheria kasoma.
Daa kidogo roh imetulia maana duu
Unakes,mahakaman,hadi,hukumu,inatolewa,wewe,haujui?inamaana,,mahakama,,haiwajui,yanga,duuu,kuna,kitu😊😅😮
Hivi ile kesi ya mkuu wa wilaya na changudoa imeishaje jamani , kesi ya mwijaku na kipanya imeishaje jamani, kesi ya mkuu wa mkoa imeishaje jamani
Hao watu wanaoibua uvunjivu wa amani Kama wakidhibiti bc Sheria ifuate mkondo wake wanakuwa Kama watu waliotumwa
Mzee huyu sio mzima kabisa
Yaaan ata alivyo kaaa tu kama katuni
Mimi ni mkenya lakini NI Yanga damu! Hao wazee wasiwatishe,mkitaka tuwaletee GenZ huko wa deal nao!!
Walete mkawachukue hawa mbwa takataka
uyu akimu inabidi apimwe akiri
Mzeeeee fanya kazi bwana
Kweli kizuri hakidumu
Kweli njaa mbaya
Kama nikosa la jinai kugushi nyaraka za club ya Taasisi ya Yanga na kugushi sahihi hili nikosa la jinai inatakiwa kuchukuliwa hatua
Kama kesi imeendeshwa na watu feki, na kufoji sahihi za watu, mi nadhani kesi imeisha na hao jamaa wahukumiwe kwa mujibu wa sheria!
Mmh nyie wanasheria niwaongo kinoma....munauwezo wakugeuza ukweli kuwauongo nauongo kua ukweli....mm sinaimani nahawa watu....
Mwanasheria anatishia watu,
Mwanasheria anatapatapa ngoma nzito. Anaongea kuwapoza wananchi lakini ukweli usemwe viongozi ni batili
Tupeni location wanapoishi tuachieni sisi kazi
tukacheze nao
Nawachukiaje?
Kwa hiyo yanga inakatiba mbili nyosheni maelezo
Sio 2013 ni 2023 boya ww
Ndio kwanza mechi bado mbichi utopwinyo mmekosa wanasheria
Hatutoki relini kamwe nyie fanyeni yenu hao wa zee ni wachawi wametumwa na makolo njaa nyingi
nina mashaka makubwa na uwezo wa huyu mwanasheria. kila kesi anashindwa. hakuna mwanasheri hapo.
UTOPOLO wamejaa uhuni na usela safi sana mr Magoma 😂😂😂😂
Ikiwa kweli walifoji sahihi aisee jela inawaita😂😂😂
Wataiweza Tim au wanatafuta migogolo,2
Hàpo hamna wanasheria inawezekanaje club kila wakati timu inafanya vitu bila kuzingatia sheria? Angalia huku kwetu huwezi kusikia vitu kama hivyo
Mh kwa ss weny akili tunaona unatuingiza chaka iv mahakama mnaichukuliaje na inamaniaha kesi haikusikilizwa pande pande 2 .kiufup wale wasioelew hakuna mahakama inayohukumu bila kusimama pande 2 mpka wameshinda ujue mahakama imejiridhisha mpka hapo mnatakiwa muikosoe mahakama koz washhkumu wadangany mbuz wenzio
sisimashabikiwayanga atumtakiuyuraisiwayanga aondoke😢😢😢
Nyumba ya jilan imeangukaa huko 🤣🤣😁 uwiii
Hilo zee ambalo halina akili lifikishwe mahakamani
Hao ni njaa zinawasubua hao wakamatwe haraka hao arafu wafutwe uanachama