ALI KAMWE AMTETEA INJINIA HERSI, AMCHANA VIBAYA MAGOMA, AJIBU HOJA ZAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 133

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před měsícem +4

    Nikweli Mimi Leo Sikuwa Sawa Nimeonba Ruhusa Kazini Kwavile Siko Sawa.. Asante Sana Semaji..Allah Akuhifadhi Na Kilashari Fitna Zawaja Kwa Choyo...

  • @SwediramadhaniJuma
    @SwediramadhaniJuma Před měsícem +2

    Ally huna hoja mbele ya mzee magoma, unatetea ugali tu mpuuzi ww! Hy mzee anaijuwa yanga kabla hujazaliwa

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 Před měsícem +4

    Nan wa ovyoo 😂😂😂😂 mmeweka viongozi majambazi😂😂😂 magoma kawanyooshaa bisha kwa hoja dogo af ukumbuke uyo n baba ako😂😂😂

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 Před měsícem +1

      Kwenye taasisi ,weka ubaba pembeni😅

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před měsícem +3

    Mimi ni mkenya lakini NI mwana Yanga damu damu!!! Wazee watuwachie Yanga yetu! Yaani sisi huku diaspora tuko pamoja huko!!!

  • @EzekielGittu
    @EzekielGittu Před měsícem +4

    Semaji upo vizuri sanaaaa kwa maelezo yako.

    • @mussandikumana3561
      @mussandikumana3561 Před měsícem

      Ila tuu Manara kesi akifunguliwa watumike pamoja bila chuki ao maneno ya mambo yalio pita wewe Kama wale Bros wa Azam Hadji anaitajika
      (Oublier le passe )

    • @DulaMudi
      @DulaMudi Před měsícem

      m semaji m somi ongea kaka

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj Před měsícem +2

    Unatoa wapi NGUVU ya kupingana na mahakama

  • @SwediramadhaniJuma
    @SwediramadhaniJuma Před měsícem +2

    Wewe kiazi kwel umekuja kutetea uozo, tuambie mahakama imeamuanini

  • @JohnMasonga
    @JohnMasonga Před měsícem +1

    acha kuongea uongo na kudanganya watu ujui historia ya magoma na injinia wenu

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Před měsícem +1

    Ali mdogo wangu tone yako tu inaonesha panics na hasira ndani yake ikumbukwe iliyotoa hukumu ni mahakama ukisema hoja zao ni za hovyo na watu ni wa hovyo means chombo kilichotoa haki kwa hoja za hovyo na chenyewe ni hovyo is that what you exactly mean? Vyema kujifunza kuwa calm kwenye changamoto zinapotokea makasiriko hajawahi leta suluhu sahihi

  • @SwediramadhaniJuma
    @SwediramadhaniJuma Před měsícem +1

    Kama mlifanya marekebisho ya katiba mbn hamkuirudisha kwa wanachama Kama wanahaki.

  • @FrankCharles-gv5cs
    @FrankCharles-gv5cs Před měsícem +3

    Hao wazee hawajitambui wazoea kutuludisha nyuma.Hii ni level nyingine tunataka mafanikio ss watuache vijana tufanye kazi.

  • @franccoz94
    @franccoz94 Před měsícem +2

    WAZEE WA YANGA WAPEWEE TEAM YAO,ACHA JANJA JANJA

  • @likubaro7443
    @likubaro7443 Před měsícem +1

    Jambo hili lilipelekwa muda mrefu Sana,mpaka leo mahakama wanataka hukumu ndio mnaona Kuna mamluki

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před měsícem

    MZEE MAGOMA HAKUTAMBUI NYAMBAFU WEWE😅

  • @williammapunda1012
    @williammapunda1012 Před měsícem +6

    Waache porojo wazingatie Sheria. Kumbuka unaposema hoja za hovyo maana yake MAHAKAMA ni ya hovyo.
    Waandishi hawataenda mahakani jipangeni kisheria

    • @user-sj2rw5ev2v
      @user-sj2rw5ev2v Před měsícem

      Pimbi ww

    • @WakaliFashionTz
      @WakaliFashionTz Před měsícem

      Hata mahakam ni ya hovyo unatoaje hukm Kwa Saini za kughushi

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 Před měsícem

      We kaache kahangaike..kamesema wana Members elf 80 na kwenye Mkutano anasema walikuwa wamekidhi AKIDI..? huyu ni Bwege mtoto

  • @HajiMiraji-hn1dq
    @HajiMiraji-hn1dq Před měsícem

    upo sawa kaka

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 Před měsícem +3

    Iv wew all kamwe unaakil kwahyo unakinzana na maaakamaa au umedharau au umekuja kujifunza kujibu

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 Před měsícem +4

    Mmebaka katiba

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Před měsícem +1

    Ndiyo maana vyombo vya habari vingine hata sitaki kusikiliza mwandishi baada ya kuhoji na kuuliza maswali ya msingi anasikiliza umbea

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂😂kwetu furaha

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před měsícem +1

    Leo umekuwa mkweli mna wanacha elfu 80 tu hahahahahaaaaa

  • @EsteR-dt9iw
    @EsteR-dt9iw Před měsícem

    Huyo mzee asiturudishe nyuma kwani iyo miaka minne iliyo pita hakuona tulivyo teseka? Leo tunakwenda vizuri anataka kutualibia atuachie yanga yetu

  • @emanwelmsuya7320
    @emanwelmsuya7320 Před měsícem +1

    Ivikwanini watu hawapendi kuzungumza vitu vizuri ivi yanga ikikorofishana simba unafurahia yanisielewi hii

  • @hamzayusuph6052
    @hamzayusuph6052 Před měsícem

    Ukipenda kukaa katika MATAKO ya matajiri mengi yatakukuta,WEWE KENGE ALI KAMWE BADO MDOGO USITAKE WAPA HUZUNI YA MAISHA WAZAZI WAKO HUYO MZEE UNGEKUWA NA HEKIMA NA BUSARA HUYO NI UMRI WA WAKUBWA ZAKO KWENU UNAMWITA KAMA MTOTO MWENZIO BASI SUBIRI BACK BURST YAKE.

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 Před měsícem

    Wananchi wote hatuwezi kwenda Bungeni ndio maana kuna wawakilishi

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 Před měsícem

    Bahati hawa wazee wasasa wengi wao walikuwa wavuta bangi katika ujana wao Leo anaonekana Mzee kumbe nijitu la hovyo kabisa

  • @LovelyPipette-ew7lv
    @LovelyPipette-ew7lv Před měsícem

    Wana yanga tupo pamoja kuiombea timu yetu pendwa hakika mungu atatushindia dhidi ya waovu.

  • @HawangaMohamed
    @HawangaMohamed Před měsícem +1

    Inamaana bungeni tungeingia wananchi wote bungeni ndo maana kuna wawakilishi

  • @PacchaYassin
    @PacchaYassin Před měsícem

    Anataka vile visent alivyokuwa anakula avifaid na sasa.

  • @IvanSaid-ef8tb
    @IvanSaid-ef8tb Před měsícem

    Kwahyo wanachoma wote waende mkutanoni ukumbi upi Sasa utatosha mfano bungeni badala ya wabunge wananchi waende watatosha au utaratibu up

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt Před měsícem

    Pamoja na yote ila isifikie hatua ya kumvunjia heshima mzee watu mana huyo ni kama baba yenu pia!mana nimeona wengi wenu hamna hoja bali ni mihemko na kukosa busara!huyo mzee mngemwita kwenye kamati zenu huko muyaongee kwa sababu huyo mzee sio chizi mpaka kufika huko alipofika!heshima ishike hatam hauwezi kumwita mzee wako ni mtu wa hovyo huko ni kukosa hadabu

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga Před měsícem

    Ana miaka mingap yanga

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Před měsícem +1

    Soka la bongo ovyo sana

  • @zakaria924
    @zakaria924 Před měsícem +1

    Kuni zikiwaka huteketea na kugeuka kuwa majivu! Bundi katua na hizo ndiyo kasheshe zake!

  • @jumakuchele3624
    @jumakuchele3624 Před měsícem

    Huyo magoma kumanina zake ataka kuturudisha nyuma kwenye mabakuri tulikotoka sisi hatutaki kuteseka kama mikia fc

  • @yassinhabibu
    @yassinhabibu Před měsícem

    Hao wazee wa ovyo xana badala wawe watu wa maana ndo wanakuwa wa ovyo,nyie wazeee acheni njaa kama mlijisahau kutengenez maisha yenu ujanani Leo ndo mnakumbuka?,acheni njaa

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Před měsícem

    Nyie angaikeni na mipira wenzenu huko wanapiga pesa

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga Před měsícem +1

    Bora usemaji tumpe ommy wa dubai

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před měsícem

    Watu wa hovyo!!!! Semaji kama semaji!!! Leo semaji kacharuka mbaya!!!!

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před měsícem

    DUH! NJA ZINAWATESA HAWA ( ) WALIZOEA KUGAWANA VIJISENTI 😂😂😂😂😂😂

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před měsícem

    Muongo wewe huna Members elf 80 na uwe na Adabu kwa wazee wako..we ni mtoto mdogo sana kwenye Yanga...shauri yako..we idharau Busara utaona...but hata hiyo Katiba ulitakiwa uirudishe kwa Members waipitie..siyo kwa Kamati...acha kurukaruka

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q Před měsícem

    Hao ndiy waliokiendesha maisha yao kupitia yanga, kumkataa Eris ni uchuzi

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před měsícem

    Madram kawashika tayari nyie nendeni mahakani kabla hawajakazia hukum haya mambo ni ya kisheria semaji

  • @emmanuelnyakunga8320
    @emmanuelnyakunga8320 Před měsícem

    Wazee walizoea Kutumika kama kamati ya Ufundi wameona saiv hawaitwi soka limekuwa la kitaalam mno kuliko walivokuwa wanatumika hao wazee kwakupiga Ndumba😂

  • @moneycreator5736
    @moneycreator5736 Před měsícem

    Wazee wakacheze na wazee wenzao

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem

    BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 Před měsícem

    Huyu mtu dressing code yake inaonyesha wazi kabisa ni jitu ambalo halijitambui na hata huyu hakimu inaonyesha wazi hakutumia busara na yeye inaonyesha anajambo lake

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga Před měsícem

    Au ndo Dubai

  • @SHERANasibu
    @SHERANasibu Před měsícem +1

    Sis yanga tumeridhia kumpa tim mzee wetu mzee kagomaaa

  • @user-wb9gy2xx3p
    @user-wb9gy2xx3p Před měsícem

    Anachomaanisha kuwa alikuwa na hoja za hovyo, kikundi cha watu wa hovyo yaani hadi wanasheria,karani wa mahakama na hakimu nao n wa hovyo

  • @user-zn5vu5yi1d
    @user-zn5vu5yi1d Před měsícem

    Mbona serikali hawailalamikii kuhusu wabunge wachache kuwakilisha watu wengi?

  • @nurukimario-ob7dr
    @nurukimario-ob7dr Před měsícem

    Aowazee wapuuuuz akilizao zipo kwawake zao awana akili awajajielewa bado ndowauni walio zeeka ao

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu Před měsícem

    Wew ondoka hujulikan kikatiba mbumbavu wew"tuachie yanga yetuuu!nani aliwachaguaa??

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Před měsícem

    Simba mulichelewa. Timu ipo Avic na inasubir kuwashenyeta mungelianzisha kabla hatujasajili na kwa taarifa yenu mumelichokoza mtapigwa 10 huu msimu. Watu wenu wanaenda kifungoni kwa kosa la kuhushi sahihi ya mama mwenye heshima na jina lake

  • @WilliamuPaulo
    @WilliamuPaulo Před měsícem

    Upo.sswa ndugu chapeni kazi tupo nyuma yenu

  • @user-cr5jy8mk6r
    @user-cr5jy8mk6r Před měsícem

    Nyinyi MAKOLO mwambieni MANGOMA aje klabuni kwenu kupiga ngoma hana lolote huyo hivi anafikiri uendeshaji club ni sawa na kuuza KAHAWA NA KASHATA huyo hata kama ni Mwanachama yeye na mwenzake wafukuzwe hawatufai waende huko waache UPUMBAVU

  • @YohanaMagembe-vz7rg
    @YohanaMagembe-vz7rg Před měsícem

    Yaani mpaka mseme😂😂😂

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 Před měsícem +1

    IPO SIKU MAGOMA ATAELEWEKA LAKINI ITAKUA WAMECHELEWA

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem

    Mkiambiwa usemaji kazi za watu mnabisha😊,,sasa huo mziki angeucheza manara aaah we ujanuna kabisa uko hapi.

  • @MonaMaiko
    @MonaMaiko Před měsícem

    Katumwa huyo akome akome akome Israel mtoa roho huyo mangoma

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před měsícem

    Watu Nataka Nafasi Hiyo Ulio Kalia Aliy Kamwe Kama Hujuwi Na Mzungu Msuwali Yupo Nyuma Yao Wanakuonea Choyo
    Kuhusu Wandishi wahabari Wa Tanzania Wanapenda Unafiki Na Kufanya Fitna Hawana Mazungumzo Wala Hawajuwi Kumuhoji Mtu Wapo Wapo Tuu...

  • @MaryMsenga
    @MaryMsenga Před měsícem

    Huyu dogo kakulia wapi ili tuangalie michezo alicheza

  • @Williammkandawile
    @Williammkandawile Před měsícem

    Shower

  • @evaristgaspa6074
    @evaristgaspa6074 Před měsícem

    Huyo mchawi

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Před měsícem +1

    SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ MAJILANI MKOWAP😢😢😅😅😂😂

  • @VictarKeya
    @VictarKeya Před měsícem

    Alli kamwe akili aina unamtukana mzee wa watu anae kuzaa laana inakuadama mamake wewe ndio wa ovyo

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq Před měsícem

    Huyo mxee akaongoze familia yake

  • @AbdulmarickLuhoma
    @AbdulmarickLuhoma Před měsícem

    Muuwen uyo mpumbavu anaetaka kuivunja yanga

  • @IbrahimOmar-tu5tc
    @IbrahimOmar-tu5tc Před měsícem

    Akaongoze familia yke kwanza yanga nguv moja

  • @salumhamad
    @salumhamad Před měsícem

    uhakik🎉

  • @sulemanaman605
    @sulemanaman605 Před měsícem +2

    Mtajua nyie mmeweka vibaka watoke

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga Před měsícem

    Wakati unafukuzia kazi yanga ulikua mwanachama wa yanga?

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Acheni timu yetu

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje Před měsícem

    Wakwanza wa hovyo niwewe unakula hunenepi ka mchawi

  • @nestoryMlenge
    @nestoryMlenge Před měsícem

    Unareweka somaji

  • @user-nz8uq5lq6x
    @user-nz8uq5lq6x Před měsícem

    Simba nyie acheni midogo

  • @NyabasindiRutayagi-q3i
    @NyabasindiRutayagi-q3i Před měsícem

    Huyo katumwa na hataweza

  • @mrajani786
    @mrajani786 Před měsícem

    Semaji nunua hao wawili kamamagoli matano

  • @LeonardNilongo
    @LeonardNilongo Před měsícem +1

    Oya nachatak injinia habak

  • @experymassawe3521
    @experymassawe3521 Před měsícem

    Unatetea ugali dogo kushabikia team sio, Sawa ita ovyo ila mahakama ndo walisha amua

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Před měsícem

    Nyamaza kimya wee mfungwa. Umepinduliwa na mahakama. Kama unaendelea kudharau mahakama utaenda keko kunyea debe.

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj Před měsícem

    Unatetea ugali wako 😂

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126

    Na wewe si wewe ni njaa zako tu

  • @hassan-sarumbo
    @hassan-sarumbo Před měsícem +1

    😂😂😂ubaya ubwera kumbe yanga mnqsiri na hamsemi

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před měsícem +1

    HAYA MAELEZO KAYATOE MAHAKAMANI

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n Před měsícem

    We dogo2 unajua habari za wazee acha kuchongaa

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 Před měsícem

    Mwehu wewe huna hata kadi

  • @franklaurent216
    @franklaurent216 Před měsícem

    Kawashika vibaya

  • @FeydhullahTwalib
    @FeydhullahTwalib Před měsícem

    Kunanini unajua kulumbiza wewe

  • @RenatusFumbuka-gw4jo
    @RenatusFumbuka-gw4jo Před měsícem

    Hayo maelezo mngetoa mahakamani

  • @Shabani-uz1sb
    @Shabani-uz1sb Před měsícem

    Ww, Unatetea, Ugali, Hunaunachokijua, danganya, matutusa

  • @rizikylaizer1602
    @rizikylaizer1602 Před měsícem

    Nenda mahakamani acha porojo😂😂

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před měsícem

    UKIZUNGUMZA OVYO KUHUSU MAHAKAMA NI UTOVU WA NIDHSMU KWA MAHAKAMA .....UNA WATUSI WAANDISHI WA HABARI

  • @AllyMwitu
    @AllyMwitu Před měsícem

    Haahaha

  • @johnsonsamwel7207
    @johnsonsamwel7207 Před měsícem

    Bwabwabwabwaaaaaaana bado,toka waachie wenye timu yao

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Před měsícem

    Wanaojua kuzungumza wanazungumza mahakamani hapo unabweka tu kama jibwa koko

  • @user-pm7oe5gj8g
    @user-pm7oe5gj8g Před měsícem

    Kwanini maelezo hamkuyatoa mahakamani? Sahv hata ukiongea sana haisaidii....

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Před měsícem

    Umezoe kumtukana na kumsemea hovyo baba yako sasa jiangalie usije kuitukana mahakama na maamuzi yake utakwenda jela,hiyo miwani yalo ya buku jero isikupe kiburi

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Před měsícem

    Sasa mbona unaongea kwa kupanic. Ongea smart na nenda hoja kwa hoja. Pia usimkalipie kana kwamba ni mtoto

  • @PiusMnzajila
    @PiusMnzajila Před měsícem +2

    Mm naambatana na Ali kamwe alicho kisema kwenye mkutano