Yatapita dear hata mi pia niliwai kupitia uchungu ila kwasasa alhamdulillah nilishasahau na nipo OK, hilo Kaka Joel ameongea ni kweli jisemeye tu kimoyomoyo ujiambie siwezi kuwa mtumwa wa huu uchungu taratibu utaskia unapata amani ndani ya moyo
Najivunia xana kuwa na mtanzania kama ww hakika utakikomboa hiki kizazi na vizazi vijavyo. MUNGU akubariki xana na akupe maisha marefu hapa duniani, Amen.
kaka Joel umenitoa mbali sana nimesema leo nirudi kutoa shukran zangu za dhati hii video ilinipata nikiwa na maumivu makali sana lakin kupitia hapa nilipona kanisa ubarikiwe sana kaka mungu akupe uzima na afya bora uzidi kutufunza chukua mau yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante kaka joeli mm ni muathirika wa kuhifadhi uchungu na inanipelekea kutoishi vizuri na watu hata wengine wanahihukumu kua nawachukia lakini hapana ni moyo wangu umebeba mambo manzito nalia na mungu aniondolee hii hali inanichosha
kila nnaposkiliza clips zako ukweli najifunza mengi sana nafarijika sana kila unachokiongea kinanigusa ktk maisha yangu nakushkuru kwa mafunzo na faraja unazotupatia
nimekuelewa joeli mi nakufatalia sanaaaa namoja yakitu kikubwa kwenye maisha yangu namuona mungu kupitia wew napata nguvu yakuinuka tena napitia wakati mugumu sanaaaa wakiisia nakibaya zaidi anae niumiza nimtu wangu wandani inauma sanaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭ila Imani yangu nainuka tena
Asante sn kiongoz kiukweli napitia machungu makubwa baada ya watu wangu Wakaribu kutokunisapoti ktika mahusiano yangu pia wao ikawa ndio sababu yakuvunja mahusiano, dah yani sijui ata vp naweza kusaha maumivu hy
Nimewahi kumpoteza ndugu yangu wa karibu kuzaliwa akitoka yeye nafuata Mimi kuzaliwa(kaka yangu), mwaka 2018 binafsi nilikuwa nampenda Sanaa lakini siku napokea taarifa ya kifo chake mpaka Leo hii uchungu nilionao unanitesa Siwezi kata kuenjoy maisha kwasababu nahamisha maumivu niliyonayo Kila sehemu iwe kwa marafiki,ndugu wengine😢😢 kupitia fundisho hili nimechilia na nimekubali naanza upya Leo Mungu wa Mbinguni anisaidie
Uchungu ndio kitu kinanitesa ila kuanzia leo nasamehe nakuachilia kwa moyo wangu huu uliopondeka naruhusu amani na furaha katika maisha yangu na muomba mungu anisaidie na kuniumbia moyo mpya nisahau yote yanayonitesa 🙏
Kaka Asante kwa somo lako nilimenisaidaia mm niliachika na wanaume watatu zaidi huyu watatu aliniumiza sana maana familia ilinikataa na yeye tunapendana ikafikia wakati nikawa nateseka mpaka presha ata vidonda vya tumbo nashukuru kidogo nilivyosikiliza somo hili nimepata uponyaji
Nimezeeka sanaa kabla ya wakati wangu kwa uchungu nilionao ambao unasababishwa na watu wakaribu ninaoishi nao. Sina furaha ya maisha. Wananidhulumu furaha yangu
Nasema kwel hal hiyo mi niko nayo tangu mwaka 2010mpaka sasa nimeshindwa kusamehe nakusahawu lakin umenifunza wacha nilifanyiye kazi nachukulu sana kwa somo
Sio rahisi Sana Joel,,,inahitaji kujitoa sadaka kamili,,pia itatupasa tujue our identities in spirit,,hapo ndipo uponyaji utapaikana vinginevo itakua Kama motivational tu kwasababu mazingira na maisha tuishiyo wengi yanasababisha uchungu uzidi kua mwingi zaidi,,,Asante Joel
Ka Joel be blessed more and more, ujumbe mzuri sana naona kama huwa unanifikishia mimi tu. Nazidi kujifunza vitu vingi sana kutoka kwako. Mungu akubariki sana
MUNGU akutie nguvu hili SoMo lilikuwa kwa ajili yangu Mimi uchungu umenizeesha umenikondesha lakin neno lako limenipa mwanzo mpya mungu akupe maisha marefu na ufanikiwe zaidi
Asante Sana brother kwaushauri wako.kuna mtu ameniumiza Sana kila nikimuona moyo wangu hupata hasira huibua hisia za uchungu sana.naomba Mungu aniponye anipe neema yakuachilia
Kweli nilipata uchungu Sana Baada ya Rafiki yangu kueleza udhaifu wangu kwa marafiki wake wengine lazima UCHUNGU uniachie IN JESUS NAME (Yohana 14:13-14)
Kwakweli nakalibia kufunga wiki moja toka nianze kuangali video zangu ani nilikua na mambo mengi mengi mno yanayomisumbua lakn toka nimeaanxa kukufatilia matatizo yoote yamekwisha nakushukuru sanaaa kaka joel
Umenigusa 100% Niko hivyo kaka Joel naharibikiwa sana na Mara nyingi tu nitajifunza zaidi maana nimekuwa hivyo muda tu hadi Leo yamekuwa maisha YANGU vile
Mimi nilikuwa narafiki yangu nilimpenda sana kumbe alikuwa wa kunpastress kazi yake nikunichunguza nakunisema vibaya na familia yake na kuniaibisha kila mahali😢😢.Sahi nimeshikwa nahasira na uchungu ndani yangu nimechukia kila mtu hapa nukiona mtu naonanikama nawakamoto ama machozi yanitiririke😢😢.hii Sasa nikiwa muda wa wiki mbili😢😢
Asante sana kaka ,nimeishi na uchungu muda mrefu Sana ,nimejitahidi kusamehe bado uchungu haukuisha,nimegundua kosa langu nikuendelea kumzungumzia aliyenikosea
Uchungu ulinifanya niwaze only solution ni kufa, maana nlifanya vyote hata kutanga msamaha kwa alienisababishia uchungu lakin bado haikusaidia Nashukuru Mungu ananipigania ipo siku nitakua sawa na nitafurahia maisha yangu tena
Somo hili limenigusa San, niliwahi kuishi na uchungu ndan ya Moyo wangu lakin niliona kabisa sipaswi kuendelea kuishi haya maisha maana nilikosa kujiamin kuhusu mambo mbali mbali hasa mahusiano ila tunakosea ili tujifunze 😭😭
Jamani mm namaumivu mpk leo nilidhulumiwa kila kitu baba angu alichoniachia lkn maneno yako yananifariji nakuombea maisha marefu
Wallah endelea tyu kutufarji kaka joeli mana nyoyo znatuvuja dam Allah atupe wepes tusjepata hata strock nnauchunguuu😭😭😭😭😭😭😭
Yatapita dear hata mi pia niliwai kupitia uchungu ila kwasasa alhamdulillah nilishasahau na nipo OK, hilo Kaka Joel ameongea ni kweli jisemeye tu kimoyomoyo ujiambie siwezi kuwa mtumwa wa huu uchungu taratibu utaskia unapata amani ndani ya moyo
Yaani tuko hatarini
czcams.com/video/BaTrBKutq7Y/video.html
Jackline Yesu kristo akutie nguvu
Pole dear
Uchungu umeharibu maisha yangu nikajikuta nafanya Mambo bila kufikiria ikaua kila ndoto ndani yangu, Asante kwa SoMo zuri kaka
daah
Napataje namba ili niwe najifunz zaid
Asant kakaa kW ushaur wak nitaendelea kukufatilia man niliumizw San na presha ju
Pole
😢😢😢😢uchungu unanitesa
Asante sana Joel mungu azidi kukupa afya njema ya roho na mwili.
Najivunia xana kuwa na mtanzania kama ww hakika utakikomboa hiki kizazi na vizazi vijavyo. MUNGU akubariki xana na akupe maisha marefu hapa duniani, Amen.
Uchungu wangu mumewangu anatembea rafiki yangu nimeumia cna
czcams.com/video/BaTrBKutq7Y/video.html
kaka Joel umenitoa mbali sana nimesema leo nirudi kutoa shukran zangu za dhati hii video ilinipata nikiwa na maumivu makali sana lakin kupitia hapa nilipona kanisa ubarikiwe sana kaka mungu akupe uzima na afya bora uzidi kutufunza chukua mau yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ma Shaa Allah very good nitajifunza Asante saaaaana
czcams.com/video/BaTrBKutq7Y/video.html
Wow! @joelnanauka kiroho zaidi. Asante sana ndugu.
Healing is my passion.
Asante kaka joeli mm ni muathirika wa kuhifadhi uchungu na inanipelekea kutoishi vizuri na watu hata wengine wanahihukumu kua nawachukia lakini hapana ni moyo wangu umebeba mambo manzito nalia na mungu aniondolee hii hali inanichosha
😓😓😓hii imeniingia Sana😓😓 nitajitahd niachie tu,, mungu nitetee na uniongoze kwenye hili🙏
Fundisho lako zuri Sana Mimi hio roho y uchungu imesumbua sana nilifikili n roho y rejection lkn umenisaidia nitawasamehe wote
Daaah kuna watu mungu kawashusha kwa ajili ya watanzania.... Thanks Allah 🙏
kila nnaposkiliza clips zako ukweli najifunza mengi sana nafarijika sana kila unachokiongea kinanigusa ktk maisha yangu nakushkuru kwa mafunzo na faraja unazotupatia
Ameen Ameen Mungu Ni mwema sana
@@joelnanauka Kaka naomba namba yako tafadhali
Hii ni huduma yakiroho kabisa, tunabarikiwa brother
Naamua ctakuwa na utumwa wa uchungu ndani ya moyo wangu hata iwaje citakuwa mtumwa mungu nishindie
Uchungu umenifanya nipoteze uelekeo wa maisha yangu nashukuru kwa somo zuri
Asante kuponya mioyo yetu Ubarikiwe
Nice thanks allot i'm stat now
Uko vizr sana jamaa ujumbe huu umeungza moyo wangu mpenz wangu anateseka sana kwa ttzo hlo
Asante kwa somo zuri sana
nimekuelewa joeli mi nakufatalia sanaaaa namoja yakitu kikubwa kwenye maisha yangu namuona mungu kupitia wew napata nguvu yakuinuka tena napitia wakati mugumu sanaaaa wakiisia nakibaya zaidi anae niumiza nimtu wangu wandani inauma sanaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭ila Imani yangu nainuka tena
Kaka nimekuelewa sana umenipa madini kweli moyo wangu unauchungu aise! Naamini nitapona nitaachilia uponyaji
Asante sn kiongoz kiukweli napitia machungu makubwa baada ya watu wangu Wakaribu kutokunisapoti ktika mahusiano yangu pia wao ikawa ndio sababu yakuvunja mahusiano, dah yani sijui ata vp naweza kusaha maumivu hy
Asante kwa somo ,hii hali inanitesa sana maisha mwangu!
From Kenya God bless you brother 🙏 🙏❣️
Mungu akubark Dada cjaelewa kukoga ndo kufanya nin sahaman kwa hlo
Nimeamua Leo kusahau mausiano yangu yazamani Asante Sana Joel nauka
Nimewahi kumpoteza ndugu yangu wa karibu kuzaliwa akitoka yeye nafuata Mimi kuzaliwa(kaka yangu), mwaka 2018 binafsi nilikuwa nampenda Sanaa lakini siku napokea taarifa ya kifo chake mpaka Leo hii uchungu nilionao unanitesa Siwezi kata kuenjoy maisha kwasababu nahamisha maumivu niliyonayo Kila sehemu iwe kwa marafiki,ndugu wengine😢😢 kupitia fundisho hili nimechilia na nimekubali naanza upya Leo Mungu wa Mbinguni anisaidie
Ameen, kila la kheri naamini Mungu atakuvusha.
Ahsante Emma wangu Kwa kunielekeza kaka huyu moyo wangu uliraruka sikuona njia,nimeumizwa mnooooo😭😭😭from now sitolia Tena,be blessed kaka joel
Uchungu ndio kitu kinanitesa ila kuanzia leo nasamehe nakuachilia kwa moyo wangu huu uliopondeka naruhusu amani na furaha katika maisha yangu na muomba mungu anisaidie na kuniumbia moyo mpya nisahau yote yanayonitesa 🙏
Barikiwa sana,Kama unajua yaliyo kwenye mioyo ya watu.Endelea kuponya watu,wote walionokosea ninawasamehe kuanzia sasa hata kama hawajaniomba msamaha.
Kaka Asante kwa somo lako nilimenisaidaia mm niliachika na wanaume watatu zaidi huyu watatu aliniumiza sana maana familia ilinikataa na yeye tunapendana ikafikia wakati nikawa nateseka mpaka presha ata vidonda vya tumbo nashukuru kidogo nilivyosikiliza somo hili nimepata uponyaji
Uchungu uliniletea pressure na stroke,, alhadhulilah joel for this msg
Najitaidi sana kuondoa uchungu moyoni ..ila Leo Mungu nisaidie
Nimezeeka sanaa kabla ya wakati wangu kwa uchungu nilionao ambao unasababishwa na watu wakaribu ninaoishi nao. Sina furaha ya maisha. Wananidhulumu furaha yangu
Pole sana jipange anza kuleta furaha moyoni mwako samehe
Nasema kwel hal hiyo mi niko nayo tangu mwaka 2010mpaka sasa nimeshindwa kusamehe nakusahawu lakin umenifunza wacha nilifanyiye kazi nachukulu sana kwa somo
Nimeikubal sana na imenigusa hii bro Joel, Asante kwa somo zuri Mungu akubariki
Sio rahisi Sana Joel,,,inahitaji kujitoa sadaka kamili,,pia itatupasa tujue our identities in spirit,,hapo ndipo uponyaji utapaikana vinginevo itakua Kama motivational tu kwasababu mazingira na maisha tuishiyo wengi yanasababisha uchungu uzidi kua mwingi zaidi,,,Asante Joel
✊
Asante kwa elimu brother Joel God bless you..🙏🙏
Nimeachilia uchungu wew mmama utoke kwenye ufahamu wangu nimesamehee
thank you brother.I have really learnt the biggest lesson from you
Ka Joel be blessed more and more, ujumbe mzuri sana naona kama huwa unanifikishia mimi tu. Nazidi kujifunza vitu vingi sana kutoka kwako. Mungu akubariki sana
MUNGU akutie nguvu hili SoMo lilikuwa kwa ajili yangu Mimi uchungu umenizeesha umenikondesha lakin neno lako limenipa mwanzo mpya mungu akupe maisha marefu na ufanikiwe zaidi
Asante sana kwa elimu mazuri mm nakufatilia sanaa nanapata faraja kwa maneno yako
Mimi niliwahi kupata uchungu uliosababishwa na mwalimu.
Asante sana ubarikiwe!
Barikiwa Na Mungu. Somo lako limenifungua ufahamu kwa kiasi kikubwa namna ya kupambana na Hali ya Uchungu wa Moyo
Nashukuru nitasamehe ili nipone sasa,ucchungu umeharibu Hadi malengo yangu😭😭😭😭
Asantesana kwasomo zuri kiukweli uchungu umenitesa sana nakujiona sina thamani tena
Joel unasubiri nini kua mchungaji? Najua wewe ni "inspirational speaker, You can be both!
Asante Sana brother kwaushauri wako.kuna mtu ameniumiza Sana kila nikimuona moyo wangu hupata hasira huibua hisia za uchungu sana.naomba Mungu aniponye anipe neema yakuachilia
Kweli nilipata uchungu Sana Baada ya Rafiki yangu kueleza udhaifu wangu kwa marafiki wake wengine lazima UCHUNGU uniachie IN JESUS NAME (Yohana 14:13-14)
Asanteh kaka kwa somo zuri, hakika masomo yako yananibariki na kubadilisha Maisha yangu kwa kiasi kikubwa Sana, ubarikiwe sana
Mungu nisaidie niondokane na hili Roho la uchungu.
God are blesse you guy
Asante kaka joel
Nimebarikiwa sana nasubiri siku ntakaporudi kushuhudia..uchungu umetesa maisha yangu sanaa
Asantee kwelii kuna nguvu katika msamha
Thank you brother Joel
🙏asante kwa ujumbe mzuri let me nisikilize
Mungu akujalie.
Stay strong in real your my role model in life coach journey
Be blessed!
Safi Sana kiongoz haya ndio maisha yanatutesa watu wengi
Nmechelewa kuangalia lakin nmejifunza kitu Asante mungu akubariki kak
Kwakweli nakalibia kufunga wiki moja toka nianze kuangali video zangu ani nilikua na mambo mengi mengi mno yanayomisumbua lakn toka nimeaanxa kukufatilia matatizo yoote yamekwisha nakushukuru sanaaa kaka joel
Umenigusa 100% Niko hivyo kaka Joel naharibikiwa sana na Mara nyingi tu nitajifunza zaidi maana nimekuwa hivyo muda tu hadi Leo yamekuwa maisha YANGU vile
Asante sana kwa maneni mazuri yanatia faraja sanaa
Nashukuru kaka nimekuw mtumwa Sasa nmepata elimu❣️❣️❣️❣️
Bless you
Somo zuri assnte
Nliumia sana na nimepata kama donda la moyo
Hua ninalia ndo napata uafadhali ila umenipa funzo asanta kaka nafwatilia sana vipindi vyako
Mungu nisaidie kupona. Amen
Mung nimwema nimekua nikisononeka mda mwingine ila sasa nsomba tu nisamehe ILI nipo BG kak joel 🙏🙏
Sna cha kusema...lkn lazma ufanye kaz sio rahc 😢
Asante sana kaka Mungu akubariki kwa kazi nzuri anayoifanya kwa hakika tunajifunza mambo mengi sana kutoka kwako
Namshukuru Mungu ameniondolea hiyo hali
Asante sana kaka maneno yako nimazuri sana zaidi ya sana yananipa furaha sana
Shukran Sana, Inanisumbua Sana hali Hii. Yan Nikisikia Jina lake tu Napata Hasira, Uchungu Mpaka Nalia. Ni Jana tu Usiku Nilikua ktk hali Hiyo .
Ata mimi nakuchungu paka leo nimeitwa mchawi mimi
Mungu akubariki brother kw fundisho nzuri
Natamani npate no yko Dr wallah😭😭
Mungu akubariki sana bro J nataman nipate msaada vile naweza kuachilia na kusamehe kabsa
Mimi nilikuwa narafiki yangu nilimpenda sana kumbe alikuwa wa kunpastress kazi yake nikunichunguza nakunisema vibaya na familia yake na kuniaibisha kila mahali😢😢.Sahi nimeshikwa nahasira na uchungu ndani yangu nimechukia kila mtu hapa nukiona mtu naonanikama nawakamoto ama machozi yanitiririke😢😢.hii Sasa nikiwa muda wa wiki mbili😢😢
Nimekukubali yote yapo katika maisha yangu.ata sasa nimeumizwa nakumbuka uchungu wa nyuma.
Asantee snaa kaka nimepona toka nimeanza kukufatilia asntee sana
czcams.com/video/BaTrBKutq7Y/video.html
Ahsante brother kutupa somo nzuri saaana 😢😢😢😢😢😢
Mungu akubariki brother kwa fundisho zuri 🙏🙏
Asnte sanaa broo joel kwa somo zur mung azid kukuweka🙏
Asante kwa kila faida unazo tupa
Asante Sana mch mungu azidi kukutumia zaidi Kila topik yako unayofundisha inagusa
Asante sana kaka maneno yako mazuri yamenipa faraja
Asante kaka nimejifuza kitu kwenye somo hili nmefurahi
Kwanzia Leo sitokua mtumwa wa uchungu wangu
Nmeelewa sana
Your the best psychologist
Asante sana kaka ,nimeishi na uchungu muda mrefu Sana ,nimejitahidi kusamehe bado uchungu haukuisha,nimegundua kosa langu nikuendelea kumzungumzia aliyenikosea
Uchungu ulinifanya niwaze only solution ni kufa, maana nlifanya vyote hata kutanga msamaha kwa alienisababishia uchungu lakin bado haikusaidia
Nashukuru Mungu ananipigania ipo siku nitakua sawa na nitafurahia maisha yangu tena
Somo hili limenigusa San, niliwahi kuishi na uchungu ndan ya Moyo wangu lakin niliona kabisa sipaswi kuendelea kuishi haya maisha maana nilikosa kujiamin kuhusu mambo mbali mbali hasa mahusiano ila tunakosea ili tujifunze 😭😭
Asante nimewasamehe mungu nitie nguvu