ONDOA UCHUNGU NDANI YA MOYO - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 06. 2021
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 301

  • @rehemashayo1613
    @rehemashayo1613 Před 10 měsíci +2

    Jamani mm namaumivu mpk leo nilidhulumiwa kila kitu baba angu alichoniachia lkn maneno yako yananifariji nakuombea maisha marefu

  • @jacklinedickson3104
    @jacklinedickson3104 Před 3 lety +20

    Wallah endelea tyu kutufarji kaka joeli mana nyoyo znatuvuja dam Allah atupe wepes tusjepata hata strock nnauchunguuu😭😭😭😭😭😭😭

    • @asyaasya3766
      @asyaasya3766 Před 3 lety

      Yatapita dear hata mi pia niliwai kupitia uchungu ila kwasasa alhamdulillah nilishasahau na nipo OK, hilo Kaka Joel ameongea ni kweli jisemeye tu kimoyomoyo ujiambie siwezi kuwa mtumwa wa huu uchungu taratibu utaskia unapata amani ndani ya moyo

    • @mwanakhamiskhamis3115
      @mwanakhamiskhamis3115 Před 3 lety

      Yaani tuko hatarini

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 Před 3 lety

      czcams.com/video/BaTrBKutq7Y/video.html

    • @bernarderadi4410
      @bernarderadi4410 Před 3 lety

      Jackline Yesu kristo akutie nguvu

    • @vickie.gpeter1639
      @vickie.gpeter1639 Před rokem

      Pole dear

  • @mariammaligwa8887
    @mariammaligwa8887 Před 3 lety +16

    Uchungu umeharibu maisha yangu nikajikuta nafanya Mambo bila kufikiria ikaua kila ndoto ndani yangu, Asante kwa SoMo zuri kaka

  • @YunusMgunga
    @YunusMgunga Před 26 dny

    Asante sana Joel mungu azidi kukupa afya njema ya roho na mwili.

  • @leonardsilago4221
    @leonardsilago4221 Před 3 lety +6

    Najivunia xana kuwa na mtanzania kama ww hakika utakikomboa hiki kizazi na vizazi vijavyo. MUNGU akubariki xana na akupe maisha marefu hapa duniani, Amen.

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 Před 3 lety +3

    Uchungu wangu mumewangu anatembea rafiki yangu nimeumia cna

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 Před 3 lety

      czcams.com/video/BaTrBKutq7Y/video.html

  • @user-hf9fh6nk6h
    @user-hf9fh6nk6h Před měsícem

    kaka Joel umenitoa mbali sana nimesema leo nirudi kutoa shukran zangu za dhati hii video ilinipata nikiwa na maumivu makali sana lakin kupitia hapa nilipona kanisa ubarikiwe sana kaka mungu akupe uzima na afya bora uzidi kutufunza chukua mau yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hamidaa3886
    @hamidaa3886 Před 3 lety +6

    Ma Shaa Allah very good nitajifunza Asante saaaaana

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 Před 3 lety

      czcams.com/video/BaTrBKutq7Y/video.html

  • @isikesamike
    @isikesamike Před 3 lety +4

    Wow! @joelnanauka kiroho zaidi. Asante sana ndugu.

  • @edsonaminga8572
    @edsonaminga8572 Před 2 lety +2

    Healing is my passion.

  • @joyceamos7956
    @joyceamos7956 Před rokem +1

    Asante kaka joeli mm ni muathirika wa kuhifadhi uchungu na inanipelekea kutoishi vizuri na watu hata wengine wanahihukumu kua nawachukia lakini hapana ni moyo wangu umebeba mambo manzito nalia na mungu aniondolee hii hali inanichosha

  • @mwanaidimsemo6321
    @mwanaidimsemo6321 Před 3 lety +2

    😓😓😓hii imeniingia Sana😓😓 nitajitahd niachie tu,, mungu nitetee na uniongoze kwenye hili🙏

  • @JedidaNdutuu-ys3lx
    @JedidaNdutuu-ys3lx Před 4 měsíci +1

    Fundisho lako zuri Sana Mimi hio roho y uchungu imesumbua sana nilifikili n roho y rejection lkn umenisaidia nitawasamehe wote

  • @saumumagembe2956
    @saumumagembe2956 Před 2 lety +1

    Daaah kuna watu mungu kawashusha kwa ajili ya watanzania.... Thanks Allah 🙏

  • @sharifakhamis1145
    @sharifakhamis1145 Před 3 lety +7

    kila nnaposkiliza clips zako ukweli najifunza mengi sana nafarijika sana kila unachokiongea kinanigusa ktk maisha yangu nakushkuru kwa mafunzo na faraja unazotupatia

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 Před 3 lety +3

    Hii ni huduma yakiroho kabisa, tunabarikiwa brother

  • @hirdajacson8827
    @hirdajacson8827 Před 10 měsíci

    Naamua ctakuwa na utumwa wa uchungu ndani ya moyo wangu hata iwaje citakuwa mtumwa mungu nishindie

  • @rahmashemukombo7097
    @rahmashemukombo7097 Před 9 měsíci

    Uchungu umenifanya nipoteze uelekeo wa maisha yangu nashukuru kwa somo zuri

  • @ngubwene
    @ngubwene Před 3 lety +2

    Asante kuponya mioyo yetu Ubarikiwe

  • @nassraomar144
    @nassraomar144 Před rokem

    Nice thanks allot i'm stat now

  • @user-ji9xm1ln5g
    @user-ji9xm1ln5g Před 10 měsíci

    Uko vizr sana jamaa ujumbe huu umeungza moyo wangu mpenz wangu anateseka sana kwa ttzo hlo

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Před 3 lety +3

    Asante kwa somo zuri sana

  • @frankbenandi8764
    @frankbenandi8764 Před 2 lety +1

    nimekuelewa joeli mi nakufatalia sanaaaa namoja yakitu kikubwa kwenye maisha yangu namuona mungu kupitia wew napata nguvu yakuinuka tena napitia wakati mugumu sanaaaa wakiisia nakibaya zaidi anae niumiza nimtu wangu wandani inauma sanaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭ila Imani yangu nainuka tena

  • @kasililamecksatano7302
    @kasililamecksatano7302 Před 3 lety +1

    Kaka nimekuelewa sana umenipa madini kweli moyo wangu unauchungu aise! Naamini nitapona nitaachilia uponyaji

  • @user-fe5yg4hv4d
    @user-fe5yg4hv4d Před 7 měsíci

    Asante sn kiongoz kiukweli napitia machungu makubwa baada ya watu wangu Wakaribu kutokunisapoti ktika mahusiano yangu pia wao ikawa ndio sababu yakuvunja mahusiano, dah yani sijui ata vp naweza kusaha maumivu hy

  • @sarahmwangamila4441
    @sarahmwangamila4441 Před 3 lety +3

    Asante kwa somo ,hii hali inanitesa sana maisha mwangu!

  • @ibrahimAhmed-zq5hj
    @ibrahimAhmed-zq5hj Před 3 lety +4

    From Kenya God bless you brother 🙏 🙏❣️

  • @JumanneShingsha-ks4vb
    @JumanneShingsha-ks4vb Před 11 měsíci

    Mungu akubark Dada cjaelewa kukoga ndo kufanya nin sahaman kwa hlo

  • @user-pu8zk6du1o
    @user-pu8zk6du1o Před 10 měsíci

    Nimeamua Leo kusahau mausiano yangu yazamani Asante Sana Joel nauka

  • @rachelmwasomola945
    @rachelmwasomola945 Před rokem +1

    Nimewahi kumpoteza ndugu yangu wa karibu kuzaliwa akitoka yeye nafuata Mimi kuzaliwa(kaka yangu), mwaka 2018 binafsi nilikuwa nampenda Sanaa lakini siku napokea taarifa ya kifo chake mpaka Leo hii uchungu nilionao unanitesa Siwezi kata kuenjoy maisha kwasababu nahamisha maumivu niliyonayo Kila sehemu iwe kwa marafiki,ndugu wengine😢😢 kupitia fundisho hili nimechilia na nimekubali naanza upya Leo Mungu wa Mbinguni anisaidie

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před rokem

      Ameen, kila la kheri naamini Mungu atakuvusha.

  • @wardaabdallah2383
    @wardaabdallah2383 Před rokem

    Ahsante Emma wangu Kwa kunielekeza kaka huyu moyo wangu uliraruka sikuona njia,nimeumizwa mnooooo😭😭😭from now sitolia Tena,be blessed kaka joel

  • @MarryMichael-lb8hq
    @MarryMichael-lb8hq Před 11 měsíci

    Uchungu ndio kitu kinanitesa ila kuanzia leo nasamehe nakuachilia kwa moyo wangu huu uliopondeka naruhusu amani na furaha katika maisha yangu na muomba mungu anisaidie na kuniumbia moyo mpya nisahau yote yanayonitesa 🙏

  • @emamkuyu4061
    @emamkuyu4061 Před 3 lety +1

    Barikiwa sana,Kama unajua yaliyo kwenye mioyo ya watu.Endelea kuponya watu,wote walionokosea ninawasamehe kuanzia sasa hata kama hawajaniomba msamaha.

  • @Dimitry-cb5tb
    @Dimitry-cb5tb Před rokem

    Kaka Asante kwa somo lako nilimenisaidaia mm niliachika na wanaume watatu zaidi huyu watatu aliniumiza sana maana familia ilinikataa na yeye tunapendana ikafikia wakati nikawa nateseka mpaka presha ata vidonda vya tumbo nashukuru kidogo nilivyosikiliza somo hili nimepata uponyaji

  • @user-sd7nf1eu5w
    @user-sd7nf1eu5w Před rokem

    Uchungu uliniletea pressure na stroke,, alhadhulilah joel for this msg

  • @stellakins3770
    @stellakins3770 Před 3 lety

    Najitaidi sana kuondoa uchungu moyoni ..ila Leo Mungu nisaidie

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 Před 3 lety +4

    Nimezeeka sanaa kabla ya wakati wangu kwa uchungu nilionao ambao unasababishwa na watu wakaribu ninaoishi nao. Sina furaha ya maisha. Wananidhulumu furaha yangu

    • @joycehaule4520
      @joycehaule4520 Před rokem

      Pole sana jipange anza kuleta furaha moyoni mwako samehe

  • @gtubgxuxj6906
    @gtubgxuxj6906 Před 3 lety

    Nasema kwel hal hiyo mi niko nayo tangu mwaka 2010mpaka sasa nimeshindwa kusamehe nakusahawu lakin umenifunza wacha nilifanyiye kazi nachukulu sana kwa somo

  • @paschaltimotheo5441
    @paschaltimotheo5441 Před 3 lety +1

    Nimeikubal sana na imenigusa hii bro Joel, Asante kwa somo zuri Mungu akubariki

  • @juaupekeewako
    @juaupekeewako Před rokem +2

    Sio rahisi Sana Joel,,,inahitaji kujitoa sadaka kamili,,pia itatupasa tujue our identities in spirit,,hapo ndipo uponyaji utapaikana vinginevo itakua Kama motivational tu kwasababu mazingira na maisha tuishiyo wengi yanasababisha uchungu uzidi kua mwingi zaidi,,,Asante Joel

  • @shamimually1484
    @shamimually1484 Před 2 lety

    Asante kwa elimu brother Joel God bless you..🙏🙏

  • @ruthmsaki7107
    @ruthmsaki7107 Před rokem

    Nimeachilia uchungu wew mmama utoke kwenye ufahamu wangu nimesamehee

  • @africangoldenmusic8061
    @africangoldenmusic8061 Před 2 lety +4

    thank you brother.I have really learnt the biggest lesson from you

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu8299 Před 3 lety

    Ka Joel be blessed more and more, ujumbe mzuri sana naona kama huwa unanifikishia mimi tu. Nazidi kujifunza vitu vingi sana kutoka kwako. Mungu akubariki sana

  • @Happinesabella3654
    @Happinesabella3654 Před 10 měsíci

    MUNGU akutie nguvu hili SoMo lilikuwa kwa ajili yangu Mimi uchungu umenizeesha umenikondesha lakin neno lako limenipa mwanzo mpya mungu akupe maisha marefu na ufanikiwe zaidi

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Před rokem

    Asante sana kwa elimu mazuri mm nakufatilia sanaa nanapata faraja kwa maneno yako

  • @user-rp1jr3jt5q
    @user-rp1jr3jt5q Před 10 měsíci

    Mimi niliwahi kupata uchungu uliosababishwa na mwalimu.
    Asante sana ubarikiwe!

  • @gabbyedward4079
    @gabbyedward4079 Před 2 lety

    Barikiwa Na Mungu. Somo lako limenifungua ufahamu kwa kiasi kikubwa namna ya kupambana na Hali ya Uchungu wa Moyo

  • @leilajoshua8251
    @leilajoshua8251 Před rokem

    Nashukuru nitasamehe ili nipone sasa,ucchungu umeharibu Hadi malengo yangu😭😭😭😭

  • @NeemarichardMarko
    @NeemarichardMarko Před 10 měsíci

    Asantesana kwasomo zuri kiukweli uchungu umenitesa sana nakujiona sina thamani tena

  • @user-mx2tx5eg9x
    @user-mx2tx5eg9x Před rokem

    Joel unasubiri nini kua mchungaji? Najua wewe ni "inspirational speaker, You can be both!

  • @angelinatryphone6152
    @angelinatryphone6152 Před 3 lety

    Asante Sana brother kwaushauri wako.kuna mtu ameniumiza Sana kila nikimuona moyo wangu hupata hasira huibua hisia za uchungu sana.naomba Mungu aniponye anipe neema yakuachilia

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 Před 2 lety

    Kweli nilipata uchungu Sana Baada ya Rafiki yangu kueleza udhaifu wangu kwa marafiki wake wengine lazima UCHUNGU uniachie IN JESUS NAME (Yohana 14:13-14)

  • @VailethAmbokile-xb4ut

    Asanteh kaka kwa somo zuri, hakika masomo yako yananibariki na kubadilisha Maisha yangu kwa kiasi kikubwa Sana, ubarikiwe sana

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 Před 2 lety

    Mungu nisaidie niondokane na hili Roho la uchungu.

  • @imaniathanass1156
    @imaniathanass1156 Před rokem

    God are blesse you guy

  • @kimwanakitaka3607
    @kimwanakitaka3607 Před rokem

    Asante kaka joel

  • @brendagray3281
    @brendagray3281 Před 2 lety +1

    Nimebarikiwa sana nasubiri siku ntakaporudi kushuhudia..uchungu umetesa maisha yangu sanaa

  • @rahellongo9946
    @rahellongo9946 Před 2 lety

    Asantee kwelii kuna nguvu katika msamha

  • @farajhassan1775
    @farajhassan1775 Před 3 lety +1

    Thank you brother Joel

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 Před 3 lety +3

    🙏asante kwa ujumbe mzuri let me nisikilize

  • @AYUBMWANGOKA
    @AYUBMWANGOKA Před rokem

    Stay strong in real your my role model in life coach journey
    Be blessed!

  • @nungularais7253
    @nungularais7253 Před 2 lety +1

    Safi Sana kiongoz haya ndio maisha yanatutesa watu wengi

  • @NasmaHamisi-fs8bq
    @NasmaHamisi-fs8bq Před rokem

    Nmechelewa kuangalia lakin nmejifunza kitu Asante mungu akubariki kak

  • @dattysamia3184
    @dattysamia3184 Před rokem

    Kwakweli nakalibia kufunga wiki moja toka nianze kuangali video zangu ani nilikua na mambo mengi mengi mno yanayomisumbua lakn toka nimeaanxa kukufatilia matatizo yoote yamekwisha nakushukuru sanaaa kaka joel

  • @namnyakimollel6866
    @namnyakimollel6866 Před 3 lety

    Umenigusa 100% Niko hivyo kaka Joel naharibikiwa sana na Mara nyingi tu nitajifunza zaidi maana nimekuwa hivyo muda tu hadi Leo yamekuwa maisha YANGU vile

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Před rokem

    Asante sana kwa maneni mazuri yanatia faraja sanaa

  • @FauuFabian-kk2cx
    @FauuFabian-kk2cx Před rokem

    Nashukuru kaka nimekuw mtumwa Sasa nmepata elimu❣️❣️❣️❣️

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Před 3 lety +2

    Bless you

  • @amarislam1589
    @amarislam1589 Před 3 lety +1

    Somo zuri assnte

  • @rashiasleiman4864
    @rashiasleiman4864 Před 10 měsíci

    Nliumia sana na nimepata kama donda la moyo

  • @luciadaud9298
    @luciadaud9298 Před rokem

    Hua ninalia ndo napata uafadhali ila umenipa funzo asanta kaka nafwatilia sana vipindi vyako

  • @ngubwene
    @ngubwene Před 3 lety

    Mungu nisaidie kupona. Amen

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 Před 3 lety

    Mung nimwema nimekua nikisononeka mda mwingine ila sasa nsomba tu nisamehe ILI nipo BG kak joel 🙏🙏

  • @aishajuma6054
    @aishajuma6054 Před 2 měsíci

    Sna cha kusema...lkn lazma ufanye kaz sio rahc 😢

  • @ramadhanalmashamza3458

    Asante sana kaka Mungu akubariki kwa kazi nzuri anayoifanya kwa hakika tunajifunza mambo mengi sana kutoka kwako

  • @olivermfinanga1268
    @olivermfinanga1268 Před 3 lety

    Namshukuru Mungu ameniondolea hiyo hali

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Před 2 lety

    Asante sana kaka maneno yako nimazuri sana zaidi ya sana yananipa furaha sana

  • @assilaibra4563
    @assilaibra4563 Před 3 lety

    Shukran Sana, Inanisumbua Sana hali Hii. Yan Nikisikia Jina lake tu Napata Hasira, Uchungu Mpaka Nalia. Ni Jana tu Usiku Nilikua ktk hali Hiyo .

  • @WastalaZumo
    @WastalaZumo Před 2 měsíci

    Ata mimi nakuchungu paka leo nimeitwa mchawi mimi

  • @user-rb8yh2xp8w
    @user-rb8yh2xp8w Před 7 měsíci

    Mungu akubariki brother kw fundisho nzuri

  • @badriabegu2469
    @badriabegu2469 Před 2 lety

    Natamani npate no yko Dr wallah😭😭

  • @geraldinejoyce3861
    @geraldinejoyce3861 Před rokem

    Mungu akubariki sana bro J nataman nipate msaada vile naweza kuachilia na kusamehe kabsa

  • @user-ko1dh8zf7p
    @user-ko1dh8zf7p Před 10 měsíci

    Mimi nilikuwa narafiki yangu nilimpenda sana kumbe alikuwa wa kunpastress kazi yake nikunichunguza nakunisema vibaya na familia yake na kuniaibisha kila mahali😢😢.Sahi nimeshikwa nahasira na uchungu ndani yangu nimechukia kila mtu hapa nukiona mtu naonanikama nawakamoto ama machozi yanitiririke😢😢.hii Sasa nikiwa muda wa wiki mbili😢😢

  • @fionathadei39
    @fionathadei39 Před 3 lety

    Nimekukubali yote yapo katika maisha yangu.ata sasa nimeumizwa nakumbuka uchungu wa nyuma.

  • @mwajumahaji8283
    @mwajumahaji8283 Před 3 lety +2

    Asantee snaa kaka nimepona toka nimeanza kukufatilia asntee sana

    • @abelntobi382
      @abelntobi382 Před 3 lety

      czcams.com/video/BaTrBKutq7Y/video.html

  • @mwaminindayishimiye4434

    Ahsante brother kutupa somo nzuri saaana 😢😢😢😢😢😢

  • @rachelmwasomola945
    @rachelmwasomola945 Před rokem

    Mungu akubariki brother kwa fundisho zuri 🙏🙏

  • @salomekombo215
    @salomekombo215 Před 3 lety

    Asnte sanaa broo joel kwa somo zur mung azid kukuweka🙏

  • @amemeabdulrazak1397
    @amemeabdulrazak1397 Před 3 lety +1

    Asante kwa kila faida unazo tupa

  • @miriamnawe1720
    @miriamnawe1720 Před 2 lety

    Asante Sana mch mungu azidi kukutumia zaidi Kila topik yako unayofundisha inagusa

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Před 2 lety

    Asante sana kaka maneno yako mazuri yamenipa faraja

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 Před rokem

    Asante kaka nimejifuza kitu kwenye somo hili nmefurahi

  • @berthelgeorge1137
    @berthelgeorge1137 Před rokem

    Kwanzia Leo sitokua mtumwa wa uchungu wangu

  • @user-te2wq5lp8c
    @user-te2wq5lp8c Před 5 měsíci

    Nmeelewa sana

  • @dianammari8431
    @dianammari8431 Před 3 lety +1

    Your the best psychologist

  • @user-bl9tb5km5n
    @user-bl9tb5km5n Před rokem

    Asante sana kaka ,nimeishi na uchungu muda mrefu Sana ,nimejitahidi kusamehe bado uchungu haukuisha,nimegundua kosa langu nikuendelea kumzungumzia aliyenikosea

  • @doricekadushi3924
    @doricekadushi3924 Před rokem

    Uchungu ulinifanya niwaze only solution ni kufa, maana nlifanya vyote hata kutanga msamaha kwa alienisababishia uchungu lakin bado haikusaidia
    Nashukuru Mungu ananipigania ipo siku nitakua sawa na nitafurahia maisha yangu tena

  • @PaulMalyosi
    @PaulMalyosi Před 10 měsíci

    Somo hili limenigusa San, niliwahi kuishi na uchungu ndan ya Moyo wangu lakin niliona kabisa sipaswi kuendelea kuishi haya maisha maana nilikosa kujiamin kuhusu mambo mbali mbali hasa mahusiano ila tunakosea ili tujifunze 😭😭

  • @rozinachao5256
    @rozinachao5256 Před 3 lety

    Asante nimewasamehe mungu nitie nguvu