Niseme nini sasa, Mungu akubariki sana kila nikiwa mzembe wa kujifunza vitu Vipya nasaha zako zinanileta tena darasani thanks you so much for your advice mentor ❤
Mi nashkuru sana kaka nipo zanzibar ila nakuelewa vizur tu nilickiliza ebook zko nazimenisaidia nashkur sana sana zimenisaidia mungu akulipe heri daima
From south Africa Durban msisitizo wangu ule ule wanafunzi wenzangu usiruke tangazo subiri ifike mwisho utakua ume tisha❤❤❤🙏🤲👍
Asante sana najifunza mengi sana kutoka kwako na mengi katika hayo napata matokeo sahihi, ubarikiwe sana❤
MUNGU AKUBARIKI SANA Asubuhi hatuamki bule tunaamka na kitu
Asante sana
Asante kaka joel kwa maarifa yako kila siku unatulisha madini hakika mungu akubariki zaidi
Asante kwa kuwa unanipa nguvu ya kusonga mbele mollah akuweke
🙌 🙌 🔥 🔥
Asante sana kaka nimejifunza kitu kupitia somo hili mungu akuzidishie maharifa ❤❤
Pamoja sana 👌👌👌
Asante Sana ❤.
ASANTE SANA MENTOR MASTER ARTHUR NANAUKA JOEL,,, MUNGU AKULINDE 🙏🙏
Asante nimejifunza kitu
Asante sana kaka
Thanks boss 🙏 🙌
Niseme nini sasa, Mungu akubariki sana kila nikiwa mzembe wa kujifunza vitu Vipya nasaha zako zinanileta tena darasani thanks you so much for your advice mentor ❤
Noted brother
Thank you Joel🎉
Asante sana kaka ubarikiwe 🤝🏿🙏🏿
Nimejifunza
Shukrani kaka ❤❤
Yenyewe hii ✊
Mungu akubariki kaka ila natamani kupata darasa lako maana mòyo wangu ni tamanio kama wewe
🎉🎉✍️🇨🇩
Wewe niazina yataifa
Kaka joel
🎉
Breakfast ❤
Mi nashkuru sana kaka nipo zanzibar ila nakuelewa vizur tu nilickiliza ebook zko nazimenisaidia nashkur sana sana zimenisaidia mungu akulipe heri daima
Ukitaka kuishinda hofu katika jambo lolote soma kitabu kinaitwa "THE MAGIC OF THINKING BIG " cha David J. Schwartz
Tunashukuru kwa ushauri wako
Sf