ELIMU YA FEDHA ISIYOFUNDISHWA SHULENI - Victor Mwambene

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 01. 2022
  • Elimu ya fedha isiyofundishwa shuleni na Victor Mwambene:
    Kujifunza jinsi fedha inavyotengenezwa na kuelewa namna bora ya kuidhibiti ili isipotee ndicho kitu kikubwa kinachowatofautisha watu matajiri na masikini na ujinga ni kuamini kuwa usichokijua hakina umuhimu na wala hakikuhusu kwakuwa fedha hutengenezwa kwa kitu unachokijua na kupotezwa kwa kitu usichokijua.
    🌀 Kwakutambua Umuhimu wa Elimu ya fedha isiyofundishwa shuleni nimekuandikia Kitabu cha KANUNI 20 ZA FEDHA Kitabu kitachokusaidia Kujua jinsi ya Kutengeneza, Kutunza na Kuwekeza fedha kwa usahihi.
    🌀 Baada ya Kusoma Kitabu hiki utajifunza Mambo mengi ya msingi ikiwemo,
    1. Jinsi ya Kutambua kazi au Biashara sahihi ya wewe Kufanya.
    2. Namna ya Kufanya kazi/Biashara kwa Ubunifu na upekee Mkubwa.
    3. Njia za Kudhibiti fedha zako zisipotee.
    4. Namna ya kutunza na kuwekeza fedha zako kwa usahihi.
    5. Tabia zinazoleta Mafanikio ya Kifedha na namna ya Kuzijenga.
    6. Jinsi ya Kubadili changamoto/Matatizo kuwa Fedha na Biashara.
    7. Maeneo ambako fedha imejificha na
    8. Tofauti kubwa zilizopo kati ya Watu Matajiri na watu Masikini.
    .
    🌀 Kumbuka kuna nguvu katika Kujua na Mark Twain aliwahi kusema " Hakuna kitu mafunzo hayawezi Kufanya na kama kuna eneo lolote hufanyi vizuri iwe ni kwenye Mahusiano,Kazini,Biashara au Fedha ni kwasababu unapungukiwa au Unakosa Maarifa.
    .
    🌀 Bei ya kitabu hiki ni 20,000 TZS tu na Popote ulipo Tanzania unaweza kukipata, Pia una ruhusiwa Kujumua Vitabu hivi.
    .
    KUNUNUA KITABU PIGA NAMBA HIZI
    Line 1: 0744126640
    Line 2: 0658503737
    .
    Nje ya Dar tunatuma kwa uaminifu.
    .
    #Elimu #ya #fedha

Komentáře • 11

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Před 2 lety +3

    KUNUNUA KITABU PIGA NAMBA HIZI:
    Line 1: 0744126640
    Line 2: 0658503737
    BEI: 20,000 TZS
    .
    Nje ya Dar tunatuma kwa uaminifu.

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 Před 2 lety

      Nataka hiki kitabu nipo Dubai naweza kukipata kwa soft copy please nisaidieni

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 Před 2 lety

      Nataka hiki na kile cha elimu ya msingi ya fedha Dr magirita naweza kuvipata vyote viwili kwa njia ya soft copy nitume pesa?

    • @robertmgori8165
      @robertmgori8165 Před rokem +1

      nataka icho kitabu na dr makirita nafanyaje bro

  • @user-yd9vy3mw1t
    @user-yd9vy3mw1t Před 8 měsíci +1

    Vitabu vyenu vinapatikanaje

  • @sandingotobiko9656
    @sandingotobiko9656 Před 2 lety

    Je kazi ya ulinzi kikazi ya mafanikio

  • @robertmgori8165
    @robertmgori8165 Před rokem

    niunganishe kwenye group lako la WhatsApp naitwa Robart paul

  • @Chikunde-zt6vp
    @Chikunde-zt6vp Před rokem

    Assalam alaykum vpi Hali kaka mm naitwa Mohammed nipo nzanzibar unguja nakitaka hicho kitabu kaka nitapata wapi

  • @mundiajamesfurahia477
    @mundiajamesfurahia477 Před 2 lety +1

    FURAHIA MAISHA YAKO

  • @josephkaria7587
    @josephkaria7587 Před rokem +1

    Please tunaweza wasiliana naitajii kitabu ichoo