NGUVU YA KUJUA - Uchambuzi wa Kitabu | Victor Mwambene.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 12. 2023
  • Kitabu Cha NGUVU YA KUJUA Kinaeleza kuwa Mafanikio huanzia Kichwani kwa Maana usipo badili namna unavyo amini na Kufikiria basi siku zote utaishia Kupata matokeo yale yale.
    Pia kitabu kitakufundisha Mambo 16 unayotakiwa kuyajua na kuzingatia ili ufanikiwe kwenye Maisha yako. Haya ni baadhi ya mambo hayo,
    1. Kuwa na Imani na mtazamo chanya kwenye Maisha (Positive Mindset).
    2. Kanuni 7 za Kutumia muda vizuri.
    3. Mbinu za kujenga mtandao na watu wa Maana.
    4. Kuchagua watu sahihi wa kuambatana nao na kujua kuishi na watu Vizuri.
    5. Kuishi kwa malengo na kuwa na Malengo makubwa.
    6. Kutambua na kuishi Kipaji chako na kukigeuza kuwa Biashara.
    7. Mbinu za kuwa na afya Bora na kuishi Maisha marefu.
    8. Sababu 12 kwanini wasomi wengi ni masikini.
    ✍️ Kwa sasa ni Tsh 20,000 tu.

Komentáře • 4