NJIA MBILI ZA KUTENGENEZA FAIDA KUBWA KWENYE BIASHARA | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 4. 02. 2024
- Tumia njia moja kati ya hizi mbili kutengeneza faida kubwa kwenye biashara, Kama utahitaji elimu zaidi Kuhusu Biashara tafadhari wasiliana nami kwa mawasiliano ya hapo chini. .
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Hongera sana Bwana Victor mwambene kwa mafunzo yako🎉
MUNGU akupe maisha marefu bro najifunza mengi kupitia kwko
Somo kubwa😊😊😊 sana mm natumia njia ya 1 jaman🙏🙌ila biashar ni matangazo bila matangazo no biashar hii njia ya 1 ni nxuri sana