HIVI ndivyo unaweza kutengeneza PESA mtandaoni, zifahamu NJIA zinazowapa MAISHA mazuri vijana
Vložit
- čas přidán 13. 01. 2022
- Mahojiano na Baraka Mafole (Digital_Nomad) ambaye ni Freelancer na mwanzilishi wa Sanuka Kidijitali kuhusu fursa za kiuchumi zinazopatikana mtandaoni.
Hizi ni link za majukwaa ya freelancers:
Upwork - www.upwork.com/
Fiverr- www.fiverr.com/
People Per Hour - www.peopleperhour.com/
Freelancer - www.freelancer.com/
Guru - www.guru.com/
Glassdoor - www.glassdoor.com/
Worknasi - worknasi.com/
GigsSpace - www.gigspace.co.tz/
Ahsanteni Simulizi na Sauti kwa kunipa fursa ya kuzungumza na vijana wenzangu
Love from Norway, Oslo
Binafsi na kwaniaba ya wadau napenda kukushukuru sana,
See you at the top.
Thanks for sharing your knowledge. It was impressive
Umenitia moyo sana bro najua siku moja tutaonana. Mungu akubariki sana
Big up Baraka
Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.
Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.
Salamu kutoka Florida, nimesoma maoni mengi kumhusu katika majukwaa mengi, lazima awe mwanamume halali.
Hii sio mara ya kwanza kumsikia Alexander Barnes na athari zake kwenye ulimwengu wa uwekezaji, nadhani nitajaribu kuwekeza naye.
Ninamjua mtu huyu, ni bora katika kile anachofanya. Nilianza tu kufanya biashara naye kwa uwekezaji wa awali wa $1550 na nilipata hadi $3200 katika wiki moja tu ya kufanya biashara naye. Mikakati yake ni ya kutisha
Boss
Moyo wahivi Mungu atambariki saaaana daily kushare hivi Mashaalah
Hatuna community Wabongo maana tuna roho mbaya. Hatupendi kusaidiana. Elimu yetu pia duni sana. Alafu mbongo siku zote anafikiria atampitaje mwenzie hata km ni kwenda kwa sangoma, kwakweli tupo wanafiki sana ndio maana hatuendelei. Wakenya wana mapungufu Yao lakini wana mshikamano ikitokea michongo ya kazi, wanaweka tofauti zao pembeni km Kuna masilahi.
Kweli kabisa
Thanks for bringing this bright young man, I could listen to him for hours. Yaani he has an amazing art of narrating his story that makes one want to listen more. Plus he’s humble but projects the confidence that makes him stand out. Mungu akubariki Baraka . Bundara you have a great sense of tracing such talents, thanks for putting him on , I wish he could also venture into teaching.
pia yupo straight to the point, nimemuelewa sana
Baraka umetuongeza ujasiri keep well bro I will try my best Asante sana Skywalker
Since corona I’m working from home here in the uk for third year running your absolutely right bro the world is changing now .. I’m so impressed with your interview… 💥💥❤️❤️❤️🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Thanks 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hello i want to learn online job help me
Ahsante kwa elimu nzuri,naomba unisaidie kumuelekeza.
Naomba nielekeze boss
Big up kwa SNS and Skywalker Bundala
big up kwa Bwana mdogo, i wish kila kijana na mwanafunzi angepata kuisikiliza hii Interview i know it could change mindset za vijana wote kuhusu soko la ajira i wish ingetokea hii kitu, Baraka you are an amazing and selfish guy keep up this spirit. Sharing is Caring , baraka haziondokagi kwenye mikono na nyumba za watu wenye Mioyo kama yako🙏🙏🙏
ooooshi
how selfish he is?
Hongera Sana baraka una akili Sana mdogo wangu utafika mbali Sana
🙏
Fred umetisha sana kaka,Tuletee madini kama haya usichoke na Mungu akuweke 🔥🔥🔥🔥
Naona mawazo yng yameanza kufanyiwa kazi, nakumbuka kunakipindi niliwaomba SNS wawe wanapost content za kumake hela online, naona sasa waweanza kufanyia kazi, asante sana.🙌🏽
Oya vp Mzee nielekeze hcho kitu
Actually😂😂 this is what people should hear in this Era!!
Hongera sana Baraka.
Thanks for this, SNS and Skywalker Bundala 👊👊👍👍💯💯
Asante Sana Baraka mawazo yako yatasaidia vijana wengi
Story nzuri sana kutoa info kuhusu remote. opportunities . Anajieleza vizuri Sana pia. Asante channel kushare hii hapa. Big up
Hii interview inatakiwa isamabazwe mavyuoni kote, iko na manufaa kweli, halafu the guy anasema ukweli mtupu. Ahsante sana kwa kutufunza.
🙏
Thank you sns
Am very inspired, Nimekuwa nikifanya hizi issue za digital kimasikhara napata pesa ya kawaida, ila now nimekuwa motivated zaidi acha mwaka huu nifanye maamuzi
Shukrani brother
Brother Kama unafaham hiyo issue nielekeze na Mimi nijue
Nimejifunza forex ila nimefeli pakubwa
Real broo mfano me nalipwa 20,000 kwa mwezi kwenye kampuni zaidi ya 6 as side gigz kwaajili ya social media management
@@gynae8407 forex inahitaji elimu saaana
Njia ya kuingiza pesa online ni nyingi sana. Big up kaka 👏🏾 Mungu akubariki kwa kushare na sisi 🙏🏾 sio wote wenye moyo kama wa kwako
Natafuta kazi ya kufanya online ya kulipwa pls yyt anipe connection jamn
Thank you SNS this is big to me I learn alot
I got something ...I won't take it for granted
Hongera Baraka.😊
I am going to do this guys. Sky thank you bringing this guy. That’s why I like this channel .
WAGMI🚀🚀🚀
Asante Sky...
Hiyo definition la freelancing kidogo tumepotezana njia ila twende kazi. Na asante kwa faida hii kutumia mda vizuri
Thanks a lot bro for share your story may god bless you more
You really do a great job , congratulations baraka
🙏
Thsnks
Thanks bro!!!
Thanx a lot SNS this is more than I expect
Kweli
Kuna fedha nyingi sana online. Mim nafanya Forex online. Najua ni kwa kiasi gani imeninufaisha.
Mr. Habari!? Unaweza nielekeza kujiunga na kufanya forex online?
Niliwah kuckia hiyo issue jamaa nilivomuomba kujua alidai ni issue ya kusomea Sana naomba nipate experience yako.
Idea please 🙏
Please
SnS ningekuwa na uwezo ningewa-certify Diamond kabisa.
My nigga 2po apo Alison.....coursera, udomy uchumi hauruhusu..much respect kuiona community yangu
Safi
Unaweza kunisaidia nataka kusoma alson
@@veronicapetro pakua application ya alison then register...
Baada ya apo chagua interested course yako
The Guy is Genius salute kwako kijana barakaa
🙏
@@swahiliugcvideoshelp me please 🙏🏼
Mashallah kijana simuchoyo masikini anataniya nawengine wawe kama yeye mngu akulinde na akubariki
Nawasalimu sana nashukuru sana kwa kutufunza Mimi Niko Somali land tutafanyaje kazi pamoja tuko pamoja
thanks bro for your story
thanks
Learned 🙏🏽🤝🏽
Mungu atawabaliki
Kajana uko vizuri nimependa
Shukrani 🔥🔥🔥🔥🚀
Umechapia 🤪🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera wajina Akina Baraka wote ni wajanja sana
Verry nice keep it up Baraka🙏
Nikweli sana
Respect.. Broh!..
I would like to learn more about trading. People are real making money
Jamaa kanifungua macho sana 🙏🏽
Yaaani Niko omani ntaman kurud ila nawaza maisha ya Tz , mtusaidie na sisi tupate hyo elimu
Don't come back it's hell
Hizi opportunity zipo oman bro, tumia simu vizuri
@Margaeth kiatu 😂😂😂😂 nyumban ni nyumban
Inamaana kwa mda uliokaa umekosa hela ya mtaji kwenda kubuni biashara mbona zipo nyingi chukua hatua acha uoga
Na mimi Oman nipatie number yako please tushare
Hongera Baraka
Big up sana baraka , i hope watanzania wengi wagundue hizi fursa za mtandao
WAGMI
@@swahiliugcvideos for sure bro
Mimi mwenyewe nimeanza Kusoma Digital Garage imenisaidia sanaaaaaa
🙏🙏🙏🙏🙏be blessed
Duuuh bro nakupenda wewe siyo mbinafsi
Am already open the bitcoin account,tupooooo together💪🏽💪🏽
Nakupa sana ongera bundara hii inatuamsha sana Sisi vijana
Jamaaa yukooo vizurii
Nadhani sahivi itabidi tuwekeze Mitandaoni ✅
@travelstylish nurse How
Much love
🙏
Mdogo wangu Umenifungua macho
Thanks my brother balaka
Shukrani
@@swahiliugcvideos naweza pata number yako kaka
Mtu makini sana
First to view first to put comment, i got u Fred bundala
Safi sana, Baraka.
🙏
@@swahiliugcvideosnaomba unisaidie na mimi please 🙏🏼
Hello, I am very glad to know about this interview. I need that platform of freelancers from tz
Actually nmeipenda hii...😀😁😁😁😁
actually
Actually baraka utafika mbali sana
Tena Sana kabisa
neno actualy mzee kalitumia mara miaaa🤣🤣🤣 ila all in all big up
Amazingtoka
Ajira is a government sponsored initiative here in the 254.
Nimepend sana haya mahujiano, Mimi ni mmoja wa wanufaika wa Hizi Kazi za online
Safi sana🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah nimefurahi sana kuona haya mahojiano but nataman sana nijifunze hiki kitu pia nataman maana enternet ninayo natumia kwa mambo yasio na maana nisaidie hili
Naomba idea plz🙏
Help me please 🙏🏼
Nisaidie🙏🏼
Natamani Baraka ungekua mwanangu yani may our God continue blessing you 💪💪
Shukrani sana ,My mom Victoria
Ridhika na Mungu Alichokupa
💪💪💪💪
Mngu akupe roho hiyo mashaalkah
✌
Duhh
👍
Nimevutiwa sana nataka kumjoin
Actually
Nimewahi soma upwork na fiver nkapuuzia. Duuh
Jamaa ana same story kama ya kwangu, nipo chuo freelancing via Fiverr ndo issues zangu, dollar $400+ per month ni kitu cha kawaida
mimi nafahamu adobe illustrator na Photoshop natamani nifanye freelancing pia
@@tumatijr_9142 do it. Anza sasa ili uanze kujifunza.
Naomba Namba yako kipnz
Naweza kujifunza kwako au unawezA kunipa muongozo?
Mkuuu naomba namba yako
Kunktu naweza share na hyo dogo shida mawasiriano yake nayapata vp
Mpaka saa8 cjalala namsikiliza
🙏
@@swahiliugcvideosI’m still listening rn 1 year later help me please
🤙🤙
Jamani na mm munifundishe plz
Several times nimeseach tu hvyo vitu lakini naishiaga kugonga mwamba aisee
Taratibu tu utavielewa🔥🔥🔥
@@swahiliugcvideoshow sasa especially kwenye malipo
Kaka nakukubali sana unajua kugusa vijana nakuona mbali sana na sns Yako miaka kadhaa ijayo... Ila nasikia kuna games zinalipa pia mitandao ya kijamii inayo lipa endelea kutusanua
Safi sanaa! Tanzania imeanza kukua kitechnologia.. I have being work online since 2012. It's being a journey. Full time job for me selling traffic and affiliate marketing.
Keep hustling guys.💯🚀
Please give me online business idea 🙏
@@magafootball6569did you get
Help me too
Naomba connection na huyu jamaa plz
Actual huyu ni shemeji yangu actual anazipenda ila actual anajua mambo mengi pia nataka nijue maana ya actual. Actual anadowld hela online actual actual actual actua
Shemela 🔥🔥🔥🔥
Kusema kweli
@@swahiliugcvideoscan you help me please
#actual 😁😁😁
😅😅😅😅😅
Ulipo taja forex hapo ndio umenitach hongera sana kijana umeamsha wengine mm Nina degree ya Sanaa ya ualimu Ila sijaajiriwa lakini naingiza $800 kwa mweziii kwenye cryto index
@Rasid Juma naomba nielekeze pls
Naomba unisaidie na hitaji kujifunza
Hello sky naomba unisaidie namba ya huyo jamaa
Jamani mmenitoa taka za macho naweza vipi kukutana na huyu kijana nisaidie bro
Gigicom
Bro umenisaidia kwa sehemu
Nipo huko kwenye App wewe jamaa unajuaa
Big up bro,,,actually😅
😅😅😅🔥🚀🔥🔥
So kwa mwenye yuko na elimu ya sekondari si anaeza soma online pia
Yes