HIVI ndivyo unaweza kutengeneza PESA mtandaoni, zifahamu NJIA zinazowapa MAISHA mazuri vijana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 01. 2022
  • Mahojiano na Baraka Mafole (Digital_Nomad) ambaye ni Freelancer na mwanzilishi wa Sanuka Kidijitali kuhusu fursa za kiuchumi zinazopatikana mtandaoni.
    Hizi ni link za majukwaa ya freelancers:
    Upwork - www.upwork.com/
    Fiverr- www.fiverr.com/
    People Per Hour - www.peopleperhour.com/
    Freelancer - www.freelancer.com/
    Guru - www.guru.com/
    Glassdoor - www.glassdoor.com/
    Worknasi - worknasi.com/
    GigsSpace - www.gigspace.co.tz/

Komentáře • 263

  • @swahiliugcvideos
    @swahiliugcvideos Před 2 lety +134

    Ahsanteni Simulizi na Sauti kwa kunipa fursa ya kuzungumza na vijana wenzangu

  • @jackwalson2712
    @jackwalson2712 Před 2 lety +58

    Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.

    • @lovemorepatrick4869
      @lovemorepatrick4869 Před 2 lety

      Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.

    • @arnulfbrand9753
      @arnulfbrand9753 Před 2 lety

      Salamu kutoka Florida, nimesoma maoni mengi kumhusu katika majukwaa mengi, lazima awe mwanamume halali.

    • @emmanuelokoye4855
      @emmanuelokoye4855 Před 2 lety

      Hii sio mara ya kwanza kumsikia Alexander Barnes na athari zake kwenye ulimwengu wa uwekezaji, nadhani nitajaribu kuwekeza naye.

    • @wilsonmurdoch4281
      @wilsonmurdoch4281 Před 2 lety

      Ninamjua mtu huyu, ni bora katika kile anachofanya. Nilianza tu kufanya biashara naye kwa uwekezaji wa awali wa $1550 na nilipata hadi $3200 katika wiki moja tu ya kufanya biashara naye. Mikakati yake ni ya kutisha

    • @shedymontana1351
      @shedymontana1351 Před 3 měsíci

      Boss

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 2 lety +17

    Moyo wahivi Mungu atambariki saaaana daily kushare hivi Mashaalah

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 2 lety +19

    Hatuna community Wabongo maana tuna roho mbaya. Hatupendi kusaidiana. Elimu yetu pia duni sana. Alafu mbongo siku zote anafikiria atampitaje mwenzie hata km ni kwenda kwa sangoma, kwakweli tupo wanafiki sana ndio maana hatuendelei. Wakenya wana mapungufu Yao lakini wana mshikamano ikitokea michongo ya kazi, wanaweka tofauti zao pembeni km Kuna masilahi.

  • @manaseh
    @manaseh Před 2 lety +27

    Thanks for bringing this bright young man, I could listen to him for hours. Yaani he has an amazing art of narrating his story that makes one want to listen more. Plus he’s humble but projects the confidence that makes him stand out. Mungu akubariki Baraka . Bundara you have a great sense of tracing such talents, thanks for putting him on , I wish he could also venture into teaching.

    • @themgizi
      @themgizi Před 2 lety

      pia yupo straight to the point, nimemuelewa sana

  • @demellor129
    @demellor129 Před 2 lety +7

    Baraka umetuongeza ujasiri keep well bro I will try my best Asante sana Skywalker

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 2 lety +27

    Since corona I’m working from home here in the uk for third year running your absolutely right bro the world is changing now .. I’m so impressed with your interview… 💥💥❤️❤️❤️🇬🇧🇬🇧🇬🇧

  • @samsonhamisi6480
    @samsonhamisi6480 Před 2 lety +16

    Big up kwa SNS and Skywalker Bundala
    big up kwa Bwana mdogo, i wish kila kijana na mwanafunzi angepata kuisikiliza hii Interview i know it could change mindset za vijana wote kuhusu soko la ajira i wish ingetokea hii kitu, Baraka you are an amazing and selfish guy keep up this spirit. Sharing is Caring , baraka haziondokagi kwenye mikono na nyumba za watu wenye Mioyo kama yako🙏🙏🙏

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Před 2 lety +10

    Hongera Sana baraka una akili Sana mdogo wangu utafika mbali Sana

  • @40kstore
    @40kstore Před 2 lety +2

    Fred umetisha sana kaka,Tuletee madini kama haya usichoke na Mungu akuweke 🔥🔥🔥🔥

  • @Allen-ju4pb
    @Allen-ju4pb Před 2 lety +12

    Naona mawazo yng yameanza kufanyiwa kazi, nakumbuka kunakipindi niliwaomba SNS wawe wanapost content za kumake hela online, naona sasa waweanza kufanyia kazi, asante sana.🙌🏽

  • @Mateomwakimi
    @Mateomwakimi Před 2 lety +26

    Actually😂😂 this is what people should hear in this Era!!
    Hongera sana Baraka.

  • @tujieleweglobal
    @tujieleweglobal Před 2 lety +6

    Thanks for this, SNS and Skywalker Bundala 👊👊👍👍💯💯

  • @godfreykaisi6867
    @godfreykaisi6867 Před 2 lety +2

    Asante Sana Baraka mawazo yako yatasaidia vijana wengi

  • @saidnchimbi9951
    @saidnchimbi9951 Před rokem +2

    Story nzuri sana kutoa info kuhusu remote. opportunities . Anajieleza vizuri Sana pia. Asante channel kushare hii hapa. Big up

  • @nureyna629
    @nureyna629 Před 2 lety +12

    Hii interview inatakiwa isamabazwe mavyuoni kote, iko na manufaa kweli, halafu the guy anasema ukweli mtupu. Ahsante sana kwa kutufunza.

  • @michaelgodfrey1253
    @michaelgodfrey1253 Před 2 lety +4

    Thank you sns

  • @Simon_J_Msenga
    @Simon_J_Msenga Před 2 lety +14

    Am very inspired, Nimekuwa nikifanya hizi issue za digital kimasikhara napata pesa ya kawaida, ila now nimekuwa motivated zaidi acha mwaka huu nifanye maamuzi

    • @swahiliugcvideos
      @swahiliugcvideos Před 2 lety

      Shukrani brother

    • @simpleboytz255
      @simpleboytz255 Před 2 lety

      Brother Kama unafaham hiyo issue nielekeze na Mimi nijue

    • @gynae8407
      @gynae8407 Před 2 lety

      Nimejifunza forex ila nimefeli pakubwa

    • @mymbaralitv2968
      @mymbaralitv2968 Před 2 lety

      Real broo mfano me nalipwa 20,000 kwa mwezi kwenye kampuni zaidi ya 6 as side gigz kwaajili ya social media management

    • @mymbaralitv2968
      @mymbaralitv2968 Před 2 lety

      @@gynae8407 forex inahitaji elimu saaana

  • @puremagic633
    @puremagic633 Před 9 měsíci +2

    Njia ya kuingiza pesa online ni nyingi sana. Big up kaka 👏🏾 Mungu akubariki kwa kushare na sisi 🙏🏾 sio wote wenye moyo kama wa kwako

    • @regnahillymushi1571
      @regnahillymushi1571 Před 3 měsíci

      Natafuta kazi ya kufanya online ya kulipwa pls yyt anipe connection jamn

  • @Ballboys1112
    @Ballboys1112 Před 2 lety +5

    Thank you SNS this is big to me I learn alot

  • @hbizzymelodist1344
    @hbizzymelodist1344 Před 2 lety +4

    I got something ...I won't take it for granted

  • @brendarichard6005
    @brendarichard6005 Před 2 lety +6

    Hongera Baraka.😊

  • @mrdocta3106
    @mrdocta3106 Před 2 lety +8

    I am going to do this guys. Sky thank you bringing this guy. That’s why I like this channel .

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před 2 lety +2

    Asante Sky...

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Před 2 lety +5

    Hiyo definition la freelancing kidogo tumepotezana njia ila twende kazi. Na asante kwa faida hii kutumia mda vizuri

  • @maseiafricano1250
    @maseiafricano1250 Před 2 lety +3

    Thanks a lot bro for share your story may god bless you more

  • @hanirashuwesu4239
    @hanirashuwesu4239 Před 2 lety +13

    You really do a great job , congratulations baraka

  • @zephaniahmayau5114
    @zephaniahmayau5114 Před 2 lety +3

    Thanks bro!!!

  • @bunditz8477
    @bunditz8477 Před 2 lety

    Thanx a lot SNS this is more than I expect

  • @sayna98
    @sayna98 Před 2 lety +1

    Kweli

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz Před 2 lety +19

    Kuna fedha nyingi sana online. Mim nafanya Forex online. Najua ni kwa kiasi gani imeninufaisha.

  • @jacksonwilson5772
    @jacksonwilson5772 Před 2 lety +10

    SnS ningekuwa na uwezo ningewa-certify Diamond kabisa.

  • @sakuvedoh_3696
    @sakuvedoh_3696 Před 2 lety +5

    My nigga 2po apo Alison.....coursera, udomy uchumi hauruhusu..much respect kuiona community yangu

    • @swahiliugcvideos
      @swahiliugcvideos Před 2 lety +1

      Safi

    • @veronicapetro
      @veronicapetro Před rokem

      Unaweza kunisaidia nataka kusoma alson

    • @sakuvedoh_3696
      @sakuvedoh_3696 Před rokem

      @@veronicapetro pakua application ya alison then register...
      Baada ya apo chagua interested course yako

  • @africano98.
    @africano98. Před 2 lety +5

    The Guy is Genius salute kwako kijana barakaa

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před rokem

    Mashallah kijana simuchoyo masikini anataniya nawengine wawe kama yeye mngu akulinde na akubariki

  • @issahassani9293
    @issahassani9293 Před rokem

    Nawasalimu sana nashukuru sana kwa kutufunza Mimi Niko Somali land tutafanyaje kazi pamoja tuko pamoja

  • @ezekilepaskali1106
    @ezekilepaskali1106 Před 2 lety +1

    thanks bro for your story

  • @funnycomedy-ko1yx
    @funnycomedy-ko1yx Před 2 lety

    thanks

  • @hatuatv
    @hatuatv Před 2 lety +2

    Learned 🙏🏽🤝🏽

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g Před 2 lety +4

    Mungu atawabaliki

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 Před 2 lety +7

    Kajana uko vizuri nimependa

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Před 2 lety

    Hongera wajina Akina Baraka wote ni wajanja sana

  • @mtazamodox
    @mtazamodox Před rokem

    Verry nice keep it up Baraka🙏

  • @princeyabili789
    @princeyabili789 Před 2 lety +3

    Nikweli sana

  • @ibrahimperez8219
    @ibrahimperez8219 Před 2 lety +2

    Respect.. Broh!..

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 Před 2 lety +5

    I would like to learn more about trading. People are real making money

  • @Georges.Kitchen
    @Georges.Kitchen Před 2 lety +8

    Jamaa kanifungua macho sana 🙏🏽

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 Před 2 lety +7

    Yaaani Niko omani ntaman kurud ila nawaza maisha ya Tz , mtusaidie na sisi tupate hyo elimu

  • @Mr.Merveil257
    @Mr.Merveil257 Před 2 lety +1

    Hongera Baraka

  • @hamed_nassoro
    @hamed_nassoro Před 2 lety +8

    Big up sana baraka , i hope watanzania wengi wagundue hizi fursa za mtandao

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 Před 2 lety +4

    Mimi mwenyewe nimeanza Kusoma Digital Garage imenisaidia sanaaaaaa

  • @labanchayonga8103
    @labanchayonga8103 Před 2 lety +1

    🙏🙏🙏🙏🙏be blessed

  • @frankdominic664
    @frankdominic664 Před 2 lety +5

    Duuuh bro nakupenda wewe siyo mbinafsi

  • @morisjasely1655
    @morisjasely1655 Před 2 lety +2

    Am already open the bitcoin account,tupooooo together💪🏽💪🏽

  • @kilimaentertainment1687
    @kilimaentertainment1687 Před 2 měsíci

    Nakupa sana ongera bundara hii inatuamsha sana Sisi vijana

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud Před rokem

    Jamaaa yukooo vizurii

  • @isaackabass5990
    @isaackabass5990 Před 2 lety +5

    Nadhani sahivi itabidi tuwekeze Mitandaoni ✅

    • @Benlogy7
      @Benlogy7 Před 2 lety

      @travelstylish nurse How

  • @halimabakari1085
    @halimabakari1085 Před 2 lety +3

    Much love

  • @herbertshija6326
    @herbertshija6326 Před 2 lety +1

    Mdogo wangu Umenifungua macho

  • @evangelistusengimanaelie9589

    Thanks my brother balaka

  • @kilamegroup2968
    @kilamegroup2968 Před 2 lety +1

    Mtu makini sana

  • @hammybrown6313
    @hammybrown6313 Před 2 lety +3

    First to view first to put comment, i got u Fred bundala

  • @DenisDeusDexter
    @DenisDeusDexter Před 2 lety +4

    Safi sana, Baraka.

  • @megamallex9305
    @megamallex9305 Před 2 lety +1

    Hello, I am very glad to know about this interview. I need that platform of freelancers from tz

  • @djbestseries5634
    @djbestseries5634 Před 2 lety +1

    Actually nmeipenda hii...😀😁😁😁😁

  • @ebbyramadhani
    @ebbyramadhani Před 2 lety

    actually

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 2 lety +1

    Actually baraka utafika mbali sana

  • @user-zd9ei3wx6k
    @user-zd9ei3wx6k Před 9 měsíci

    Tena Sana kabisa

  • @ZANZICTSOLUTIONS2
    @ZANZICTSOLUTIONS2 Před rokem

    neno actualy mzee kalitumia mara miaaa🤣🤣🤣 ila all in all big up

  • @yasinjumanne9209
    @yasinjumanne9209 Před 2 lety

    Amazingtoka

  • @benardkibet8228
    @benardkibet8228 Před 2 lety +2

    Ajira is a government sponsored initiative here in the 254.

  • @ajirayako6992
    @ajirayako6992 Před 2 lety +12

    Nimepend sana haya mahujiano, Mimi ni mmoja wa wanufaika wa Hizi Kazi za online

    • @swahiliugcvideos
      @swahiliugcvideos Před 2 lety

      Safi sana🔥🔥🔥🔥🔥

    • @msalikemediaonline
      @msalikemediaonline Před 2 lety +1

      Daaah nimefurahi sana kuona haya mahojiano but nataman sana nijifunze hiki kitu pia nataman maana enternet ninayo natumia kwa mambo yasio na maana nisaidie hili

    • @magafootball6569
      @magafootball6569 Před 2 lety

      Naomba idea plz🙏

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 Před 6 měsíci

      Help me please 🙏🏼

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 Před 6 měsíci

      Nisaidie🙏🏼

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 Před 2 lety +6

    Natamani Baraka ungekua mwanangu yani may our God continue blessing you 💪💪

  • @fabianalexdesigns
    @fabianalexdesigns Před 2 lety +3

    💪💪💪💪

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před rokem

    Mngu akupe roho hiyo mashaalkah

  • @skyshadow5_233
    @skyshadow5_233 Před 2 lety +2

  • @rashidikanyama7227
    @rashidikanyama7227 Před 2 lety

    Duhh

  • @hamisinuru4201
    @hamisinuru4201 Před 2 lety

    👍

  • @godfreyerasto1208
    @godfreyerasto1208 Před rokem

    Nimevutiwa sana nataka kumjoin

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 Před 2 lety

    Actually

  • @shedluckdevis3098
    @shedluckdevis3098 Před 2 lety +4

    Nimewahi soma upwork na fiver nkapuuzia. Duuh

  • @GLOBALHISTORYTZ
    @GLOBALHISTORYTZ Před 2 lety +9

    Jamaa ana same story kama ya kwangu, nipo chuo freelancing via Fiverr ndo issues zangu, dollar $400+ per month ni kitu cha kawaida

  • @denisychalamila3097
    @denisychalamila3097 Před 2 lety +5

    Kunktu naweza share na hyo dogo shida mawasiriano yake nayapata vp

  • @jack.thegoldenboy1704
    @jack.thegoldenboy1704 Před 2 lety +7

    Mpaka saa8 cjalala namsikiliza

  • @beninternationaltv3136
    @beninternationaltv3136 Před 2 lety +1

    🤙🤙

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g Před 2 lety +2

    Jamani na mm munifundishe plz

  • @nas_tv6101
    @nas_tv6101 Před 2 lety +7

    Several times nimeseach tu hvyo vitu lakini naishiaga kugonga mwamba aisee

    • @swahiliugcvideos
      @swahiliugcvideos Před 2 lety

      Taratibu tu utavielewa🔥🔥🔥

    • @Liloaggy_18
      @Liloaggy_18 Před 6 měsíci

      @@swahiliugcvideoshow sasa especially kwenye malipo

  • @allentzemma9737
    @allentzemma9737 Před rokem

    Kaka nakukubali sana unajua kugusa vijana nakuona mbali sana na sns Yako miaka kadhaa ijayo... Ila nasikia kuna games zinalipa pia mitandao ya kijamii inayo lipa endelea kutusanua

  • @NelsonIzack
    @NelsonIzack Před 2 lety +4

    Safi sanaa! Tanzania imeanza kukua kitechnologia.. I have being work online since 2012. It's being a journey. Full time job for me selling traffic and affiliate marketing.
    Keep hustling guys.💯🚀

  • @traveleremanuel7021
    @traveleremanuel7021 Před 2 lety +1

    Naomba connection na huyu jamaa plz

  • @nanaleetz
    @nanaleetz Před 2 lety +3

    Actual huyu ni shemeji yangu actual anazipenda ila actual anajua mambo mengi pia nataka nijue maana ya actual. Actual anadowld hela online actual actual actual actua

  • @sakuvedoh_3696
    @sakuvedoh_3696 Před 2 lety +2

    #actual 😁😁😁

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 Před 2 lety +2

    Ulipo taja forex hapo ndio umenitach hongera sana kijana umeamsha wengine mm Nina degree ya Sanaa ya ualimu Ila sijaajiriwa lakini naingiza $800 kwa mweziii kwenye cryto index

    • @vj8313
      @vj8313 Před 2 lety

      @Rasid Juma naomba nielekeze pls

    • @veronicapetro
      @veronicapetro Před rokem

      Naomba unisaidie na hitaji kujifunza

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE

    Hello sky naomba unisaidie namba ya huyo jamaa

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 Před 2 lety +1

    Jamani mmenitoa taka za macho naweza vipi kukutana na huyu kijana nisaidie bro

  • @yasinjumanne9209
    @yasinjumanne9209 Před 2 lety

    Gigicom

  • @manasekamnde5802
    @manasekamnde5802 Před 2 lety

    Bro umenisaidia kwa sehemu

  • @kzk111
    @kzk111 Před 2 lety +2

    Nipo huko kwenye App wewe jamaa unajuaa

  • @emmaconlucky9981
    @emmaconlucky9981 Před 2 lety +3

    Big up bro,,,actually😅

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 Před 2 lety +2

    So kwa mwenye yuko na elimu ya sekondari si anaeza soma online pia