Asante Sana Kwa elimu ya hisa kiukweli nimejifunza mengi Sana na nitaendelea kujifunza mengi Zaid ninamatumain kuwa nitakuja kununua hisa na kuwa mwekezaji nzuri wa hisa ...
Vipande ni uhuru wako waweza kuchukua au ukaamua kuacha viendelee kuwepo kwenye uwekezaji. Hisa pia unaweza kuuza zote ukiona umekuza mtaji na ina bei nzuri. siyo kwamba utamiliki milele kampuni labda uache kuuza
Kwa mambo anayoyajua huyo jamaa ni zaidi ya phd holder. Usomi ndio huu sasa, keep it up bro.
Ni kweli
It is 2023 but I found this content helping. Thank you for sharing
Safi sana yupo vizuri sana, Mungu amtangulie.
Classmate wangu duh kweli. Maisha ni kitu cha Ajabu sana. Big up broo
Hongera kwa kwake na hongera kwa Sns kwa kuendelea kutuhabarisha mambo mhimu na adimu
Hii ni moja kati ya interview bora kwangu kuwai kutokea na sky God bless you both
Asante Sana Kwa elimu ya hisa kiukweli nimejifunza mengi Sana na nitaendelea kujifunza mengi Zaid ninamatumain kuwa nitakuja kununua hisa na kuwa mwekezaji nzuri wa hisa ...
Hii video wanaanglia wenye lengo la kutoka tuuuu..
Jamaa yupo njema na anajua nini anachoongea mixer mifano hai🙌🏽 kwa kifupi nimejifunza kitu kuhusu HISA🙏🏽
Vipande ni uhuru wako waweza kuchukua au ukaamua kuacha viendelee kuwepo kwenye uwekezaji. Hisa pia unaweza kuuza zote ukiona umekuza mtaji na ina bei nzuri. siyo kwamba utamiliki milele kampuni labda uache kuuza
This is guy is something else, very genius
I love the contents of this channel. Shout-out to sky walker
Big up boy...love yr book, very educative.
kijana yuko vizuri sana..kaelezea vizuri
Valluable lesson
Interview bora zaidi... Hongera sana... Bwana Mwenda
Aisee SnS mop vizuri sana. Keep up the good work
Daaah good interview wotebwanaongeaa vizurii na kwa kujiaminii
Content nzuri sana 🔥🔥
Daaa Huyu Dogo yupo Vizuri 🙌🏽🙌🏽
🙏🙏🙏🙏🙏🙏baba aliyah
Mungu ambariki Sana bwana ndahani
Kinachokera video za kitanzania Sasa my anaongea huo mziki unaopiga unatia kelele ndo nn Sasa unakera Kwan hamuwez ongea bila kuweka hako kamziki
Video nzuri
Fantastic 👍
Uko vizuri sana Kaka..
Aisee inabidi huyu Fundi mumuwekee kipindi chase cha investment business na uchumi hapa kwenye SnS. Itakuwa poa sana
Tumeelewa somo💖
Ahsante sns
Kitabu tunakipataje wengine tupo nje ya nchi
Wagogo wana akili sana sema tu shule hawapelekwagi. Sijui kwanini hawa jamaa ni balaa wapewe nafasi aise. Wakisoma wanakuwa watu wabad sana
Kweli
Too deep. The guy is good in what he is doing.
Safi
Good
Inteview ni nzuri sana but Background huo mziki kuna namna unapoteza usikivu wa mtazamaji!!!
God bless Kijana anajua
Nice
Bro interview nzuri na elimishi mno, napendekeza nyingi kama hizi.. Asante na well done..
Thanks Cassie
Naweza kupatana na huyo kaka sky
Yuko vizur sana 🎉
Dah very powerful I want to buy a book. How can I get it I live in Finland? Asante
Sky walker una NEEMA kubwaaaaaaa. Keep it up
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥
Kitabu kinapatikana kama E-Book? Asante.
Nakipataje sana
Hicho kitabu ninawezaje kukipata ?
Mimi Niko Arusha, town
Habari,Naitwa Emmanuel niko Mwanza,nahitaji hicho kitabu,nakipataje
Please anaemjua nahitaji elimu zaid
Kaka sky nawezaje kupata kitabu online
Napataje kitabu hicho na naweza ongea na wewe kwa mawasiliano
Kitabu tu jamani atoe mawasiliano
Naitaji kitabu Niko manyara bassotu nitapataje
Asante kwa maelezo. Nawezaje kuagiza kitabu hicho cha muongozo?
Asante.
Wengine tumenununua hisa za kampuni moja tz mwaka wa 2 hakuna gawio,wala hisa hazitembei
Teh teh
Hello tunaomba namba ili tununue kitabu. Jamaa nimemuelewa Sana. Hii elimu niliitafuta muda Ila sikujua naioataje
Contact please boss
Sijamuelewa namna yakununua hissa
Nawezaje kupata hicho kitabu?
Napataje kitabu
Atoe mawasiliano ili kupata icho kitabu
Tatizo pesa
Number ya tafadhali ili tukutumie kama mentor
Napataje hiko kitabu kuhusu HISA?
Nakipataje kitabu
Hko kitabu kinapatikanaje
Huyu jamaa napataje namba yake
Mimipia nitawekeza nikija bongo
Napataje kitabu na nakupataje ww
SnS naomba namba yake
Zc
tunafanyaje kupata hicho kitabu
Nimejifuza slukraan
Nipo na skiliza hapa utajiri na hisa
Nipen jawabu
dah nmepata bonge la somo...kuna watu wanajua wanachokifanya kwa kweli.
Nitapataje kitabu
Kitabu tu jamani atoe mawasiliano
Kampun gan yenye faida kubwa nikawekeze