HATUA 5 ANAZOPITIA MTEJA KABLA YA KUNUNUA BIDHAA | Victor Mwambene.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 02. 2024
  • Baada ya kujifunza somo hili utajua Hatua tano anazopitia mteja kabla ya kufanya maamuzi ya kununua, Wewe kama mteja unapaswa kujua hatua hizi ili ujue jinsi ya kumshawishi mteja kununua kwako.
    .
    Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
    .
    KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
    .
    Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
    KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
    1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
    2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
    3. NGUVU YA KUJUA.

Komentáře • 3

  • @Lunati387
    @Lunati387 Před 5 měsíci

    Tangu nimekufahamu kaka Mwambene umenisaidia sana kupata maarifa mapya,barikiwa sana

  • @user-bt8bk7pm6e
    @user-bt8bk7pm6e Před 5 měsíci

    Nakupenda Dr Mwambene.

  • @user-qv3eo5pb3g
    @user-qv3eo5pb3g Před 2 měsíci

    ❤❤❤