HII NDIO SIRI YA KUJENGA BIASHARA KUBWA YENYE MAFANIKIO | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 17. 01. 2024
- Baada ya kutazama somo hili utakuwa umejifunza jinsi ya kuendesha Biashara ndogo kwa Mafanikio Makubwa. Utajifunza jinsi Biashara ndogo zinavyoendeshwa.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Mafundisho yako yako poa sana mentor
Maelezo yako kaka hiko sawa
Somo zuri Sana,!! 👍👍
Asa kwa sis ambao ndo tunaanza tunwezaj weka watu wote haoo jamnn
Kweli
Shukran coach somo zur sanaaa
Huyu Jamaa Nilicho muelewa anafundisha jinsi ya kuendesha biashara kubwa sio hii Mada alie iweka mezani. Kwakumpruvu tumpe laki mbili aanze biashara afanye yote hayo
Utafanyaje hayo ukiwa na mtaji wa m10 duka la rejareja
Sasa Coacher Victor huo mtaji wa kuajiri watu wote hao na kuwalipa mshahara wakati biashara yako ndogo ndio inaanza
Bado narudia hili somo zaidi ya mara 5 kupata uelewa wa kutosha
Ndani ya studio za SNS
Hi FURAHIA KAZI YAKO UFURAHIE MAISHA YAKO