HII NDIO SABABU KUBWA YA KWANINI BIASHARA NYINGI ZINAFELI | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 8. 11. 2023
- Somo hili litakusaidia kujua Sababu kubwa ya kwanini biashara nyingi zinashindwa kufanikiwa, Ambayo ni kukosea kuchagua biashara ya kufanya.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Safi kabisa
Nimekua nikikufwatilia siku nyingi sana kaka somolako ni zuri sana
Bro unaweza kutuandalia somo la kujilipa mwenyewe au wakati gani sahihi wa kujilipa katika biashara
Samahani nataka kupata vitabu vyako nipo Zanzibar