HII NDIO SABABU KUBWA YA KWANINI BIASHARA NYINGI ZINAFELI | Victor Mwambene.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 11. 2023
  • Somo hili litakusaidia kujua Sababu kubwa ya kwanini biashara nyingi zinashindwa kufanikiwa, Ambayo ni kukosea kuchagua biashara ya kufanya.
    .
    Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
    .
    KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
    .
    Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
    .
    KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
    1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
    2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
    3. NGUVU YA KUJUA.

Komentáře • 5

  • @PatrickMusyoka123
    @PatrickMusyoka123 Před 8 měsíci +1

    Safi kabisa

  • @kingdogootz
    @kingdogootz Před 8 měsíci

    Nimekua nikikufwatilia siku nyingi sana kaka somolako ni zuri sana

  • @JacobEmmanuel-ml9wv
    @JacobEmmanuel-ml9wv Před 8 měsíci +1

    Bro unaweza kutuandalia somo la kujilipa mwenyewe au wakati gani sahihi wa kujilipa katika biashara

  • @user-mt7qm5lb3m
    @user-mt7qm5lb3m Před 6 měsíci

    Samahani nataka kupata vitabu vyako nipo Zanzibar