JINSI YA KUTENGENEZA TANGAZO LITAKALO KUPA WATEJA WENGI | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 28. 05. 2024
- Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
❤❤❤❤Hakikaaa mwalimuuu,nakufatilia sana
Good sir
Safi Sanaaaa....Mr.Mwambene❤
Kak🎉🎉🎉🎉🎉
Kaka allha akulipe san kwa eliminate yako
Hakika kupitia masomo yako nimejifunza mengi zaidi na nimetoka hatua moja kwenda nyingine mwenyezi Mungu azidi kukupa maarifa zaidi....je nipo iringa vitabu nitavipataje
Sisi Tupo Dar, Kwa Iringa Tunatuma Kwa Basi, Kupata Vitabu Vyangu Nipigie Kwa 0744126640.
@@victormwambene thanks...God blessed brother