Matumizi Sahihi Ya Muda - Joel Nanauka

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 26. 12. 2018
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 293

  • @edsonlaurencemwagamasasi9074
    @edsonlaurencemwagamasasi9074 Pƙed 5 lety +20

    Learning to say No....here is where my challenge is... and I need to work on it.... you know what Brother? Sometimes I fail to say no for avoiding what people will talk about me behind..... that I don't care... That I have no sympathy ... that I am not social oriented person... But for the purpose of 2019... today I have learned something... Learning to say no and value my time.... I think this will increase my potentiality...
    Thanks so much brother Joel... and May God bless you
    #See you at the top

    • @kulwaloketa6413
      @kulwaloketa6413 Pƙed 5 lety +1

      Thankyou so much Nanauka,,Focus,, determination!!..

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +2

      #SeeYouAtTheTop

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +2

      @@kulwaloketa6413 #SeeYouAtTheTop

    • @SunsetHunter4526
      @SunsetHunter4526 Pƙed 4 lety

      Tatizo kubwa sana hili mkuuu

    • @ruthmoses6565
      @ruthmoses6565 Pƙed rokem

      Kwakwel nimejifunza kitu kikubwa sana namwomba Mungu anipe wepes WA kuweza kuyafanyia kazi haya be blessed kakaangu uishi sana

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w Pƙed 16 dny

    Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki Sana

  • @MosesFikiriIbrahimu
    @MosesFikiriIbrahimu Pƙed měsĂ­cem

    Ameni sana Hongera kwa Masomo Manzuri Sana Nashukuru Sana
    Maana leo nimepata Jambo la TOFAUTI sana

  • @judithmbwilo7470
    @judithmbwilo7470 Pƙed 5 lety +2

    Brother mbinu zote ni nzuri sana, nitazifanyia kazi moja baada ya nyingine, asante sana na MUNGU akubariki sana!

  • @salumabdulla
    @salumabdulla Pƙed rokem +1

    Excellent Presentation
    Thank you in advance
    Salum Abdalla

  • @justinmmbando5386
    @justinmmbando5386 Pƙed 5 lety +5

    Jifunze kusema hapana imenisaidia sana mwaka 2018 Asante Mwalimu ambaye tunasoma bila kulipa ada

  • @mwachumkhamis6360
    @mwachumkhamis6360 Pƙed 5 lety +4

    Shukran kaka Joel Nanauka.
    Mm niko pamoja na ww kaka haujawahi kukosea kila siku nazidi kujivunia vitu vipya kutoka kwako.. Kanuni zote 7 nitazifanyia kazi ipaswavyo kama ulivo tuelekeza.
    Allah akupe umri mrefu wenye neema tele. 😘😘

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Pƙed 5 lety +7

    Mwanafunzi wa kwanza leo nimetua darasani na kujifunza thanks mwalimu. Hapo kwenye muda ndio tunapoteza kweli kweli

  • @edwardgodfrey6283
    @edwardgodfrey6283 Pƙed 5 lety +5

    Mbinu yakwanza kwangu nikufanya vitu ndani yampangilio wa muda sahihi nasio kufanya kilakitu kinachopita mbele ya macho yangu.Pia nimejifunza uthamani wa mtu ukondani ya mudawake sahihi.Asante kwa Somo zuri na Mungu akibariki

  • @eliasayasini1466
    @eliasayasini1466 Pƙed 5 lety +3

    upo mkn sana kk

  • @emmyfurenho1663
    @emmyfurenho1663 Pƙed 5 lety +2

    Aiseeee kuanzia nw ntasema No.. Ctak kupoteza muda Wang Teeeeeenaa... Ubarikiwe brooo

  • @hasanijumannemlande2792
    @hasanijumannemlande2792 Pƙed 5 lety +3

    mwalim joel nakuelewa sana kaka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 Pƙed 5 lety +4

    Muda kweli kwangu ni tatzo Mungu anisaidie 2019 nibadilike... Asante

  • @andreamlwafu3844
    @andreamlwafu3844 Pƙed 5 lety

    Nataka nianze sasa kujifunza kutumia vzr mda wangu na kuwekeza mda wangu...barikiwa sana broangu.

  • @nehemiamminza4663
    @nehemiamminza4663 Pƙed 7 měsĂ­ci

    Mim hapo nitaanza na specific time limit on my duties, be blessed for your good lesson

  • @clemencehaule3857
    @clemencehaule3857 Pƙed rokem

    Asante Sana kwa ujumbe Mzuri
    Kufanya Kazi moja kwa wakati mmoja

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Pƙed 5 lety

    Asante nimesha amua nitaendelea kujifunza hadi mwisho wa maisha yangu

  • @mercywanjiku3740
    @mercywanjiku3740 Pƙed 5 lety +4

    Asante Sana kwa mafunzo mazuri. Nitaweka mpangilio katika Kila shugli ninayoifanya

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @rchrismbarikiwa
    @rchrismbarikiwa Pƙed 5 lety +2

    Asante sana Sir Joel najifunz mengi sana

  • @careenwasonga
    @careenwasonga Pƙed 3 lety

    Everything spoken is directly pointed at me. Thank youđŸ˜ŠđŸ™đŸŸ

  • @ednaedward3512
    @ednaedward3512 Pƙed 5 lety

    Asante kaka joel hakika Mungu alikuleta duniani kwa kusudi kubwa sana Ubarikiwe kwa elimu unayotuptia.kupnga ratiba ya siku nzima ni nzurii sana😇

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 Pƙed 4 lety

    Ahsante sana brother kwa elimu yako mungu akuongoze akuonyeshe njia pasipo kua na njia kama unapo nionyesha mimi ubarikiwe sana

  • @joycedamares9085
    @joycedamares9085 Pƙed 5 lety

    Asante I'm the kind of person sijui kutumia mda wangu ila kuanzia ss nimebadilika.Nitapataje kitabu chako cha timaza malengo yako.

  • @ibrahimhassan5141
    @ibrahimhassan5141 Pƙed 3 lety

    Focus to the one thing,untill you finish it. That's my new study,maliza jambo moja ndipo tufanye lengine.asante.mr.nanauka kwa muongozo

  • @samweldaniel3774
    @samweldaniel3774 Pƙed rokem

    Mungu akubarik Sana umezungumza ukwel brother napenda mafundisho yako

  • @petrosabore2694
    @petrosabore2694 Pƙed rokem

    Shukran sana Broo nilichojifunza na kimenigusa sana kama Mwanafunzi ni point ya kwanza isemayo FOCUS on the task

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Pƙed 3 lety

    Mwenyez Mungu akubarik daima uendelee kutuelimisha

  • @careenwasonga
    @careenwasonga Pƙed 3 lety +1

    1. Focus on the task - I’m that person who tries to multi task but end up not doing anything productive for HOURS... I will FOCUS ON THE TASK I SET TO DO!

  • @sakinalamadhani8117
    @sakinalamadhani8117 Pƙed 5 lety +2

    Asante sana brother tumekua tukipoteza mda sana hasa kwenye kutenda mambo zaid ya moja kwa wakati mmoja aisee nimejifinza sana asante mungu akujaalie

    • @dadawakwetu6953
      @dadawakwetu6953 Pƙed 5 lety

      Aiseeh Mimi ni mwenzio huwa nafeli sana kwenye muda Japo sina majukumu wengi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      #SeeYouAtTheTop

  • @nusrashaaban7407
    @nusrashaaban7407 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Asante Mwalimu kwa somo zuri. Mimi hii mbinu ya kuorganize day task nitaanza nayo kuifanyia kazi

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Pƙed 5 lety +3

    Umeniongezea tena ujuzi Mungu akubariki

  • @christinarobert8535
    @christinarobert8535 Pƙed 5 lety

    Nina miaka 21 namshukuru Mungu nipo salama nimekuwa nikikutana na scenario ya kuongea na watu hasa wazima lakini wakabarikiwa na mm nazidi kujifunza naamini u will se me at the top b'coz l may , l Will , l can and l am happy new year bro Joel

  • @Shabani-hc6xz
    @Shabani-hc6xz Pƙed měsĂ­cem

    Thanks sana your blessed

  • @naomishayo3628
    @naomishayo3628 Pƙed 5 lety

    learn to say NO - this is the first to me.THANKS MUCH.

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 Pƙed 5 lety +2

    Totally huwa nafeli kwenye time management i need ushauri wa kisaikolojia

  • @mickdaduhuru9191
    @mickdaduhuru9191 Pƙed 2 lety

    Passive time this is one of my favourite

  • @nelsonjonas7334
    @nelsonjonas7334 Pƙed 2 lety

    Good teaching Man of God, NOTED.

  • @oseahmbembela-gi4du
    @oseahmbembela-gi4du Pƙed rokem

    Kaka upo vizuri Sana nashukuru mungu tangia nmeanza kukufuatlia nimeanza kujiamini Sana sana

  • @mwambauliohai5043
    @mwambauliohai5043 Pƙed 5 lety +5

    akili yangu kusema hapana kwenye kitu ambacho Niko nje ya malengo,hiyo naanza
    Kupoteza muda kwenye simu badala kutumia kwenye malengo ya muhimu hiyo naanza.kama vyote vimenigusa kwenye Gari kujibweteka tu hiyo ninayo najirekebisha thanks My teacher Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @Moteswa
    @Moteswa Pƙed 5 lety

    Kaka uko vizuri sana. Nakufuatilia sana. You are changing lives. Welldone

  • @maryvineakondowe1249
    @maryvineakondowe1249 Pƙed 4 lety

    Daaaah.... God bless u

  • @salhinakm4733
    @salhinakm4733 Pƙed 4 lety

    Thanks brother

  • @chrizantkibogoyo6772
    @chrizantkibogoyo6772 Pƙed 5 lety

    Baada ya kutambua umuhimu wa sub conscious mind nimetafuta masomo hayo kwa lugha ya kiswahili ili niwasaidie vijana wangu hadi nilipokutana na mafunzo yako. Kwa hakika nimeanza kuyatumia. Ni masomo ya muhimu sana. Mungu akuongezee nguvu

  • @sadraibra7958
    @sadraibra7958 Pƙed 5 lety

    Mbinu kama zote hizo ulizozieleza zimenigusa kwa kweli ila sasa nmejifunza jinsi ya kupangilia mda wangu asante sana kaka Joel

  • @neemaonesmo7642
    @neemaonesmo7642 Pƙed 5 lety

    Thanks ,hiyo ya mwisho ni nzuri kuanza nayo

  • @yoshuasaiba4652
    @yoshuasaiba4652 Pƙed 2 lety

    Asante Sana🙏

  • @zakiakayanda1444
    @zakiakayanda1444 Pƙed 5 lety

    Asante kwa mafundisho yako imenifunza sana na nitaanza kutumia muda ili kufanikisha malengo,hakika mungu akubariki sana

  • @JanvierVenas-ro9us
    @JanvierVenas-ro9us Pƙed 8 měsĂ­ci

    asante kk Joel kwasomo hili uzidi kubarikiwa

  • @alihassanhaiba6937
    @alihassanhaiba6937 Pƙed 5 lety +3

    Ahsante sana kaka Joel kwa somo zuri,mm nipo katika point ya mwisho organize mpaka sasa ivi nashukuru naenda vizur na muda na kazi zangu hata jamii inafurahia huduma kutoka kwangu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Vizuri Sana Endelea Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @festorymlekwas4050
    @festorymlekwas4050 Pƙed 5 lety +2

    Organize time,ni mbinu nzuri sana ambayo niweza kujifunza asnte sana na ubarikiwe

  • @cheddykipingu8087
    @cheddykipingu8087 Pƙed 5 lety +2

    Daah! Am proud to win u as my doct in my life thk u more mr Joh... 2018 successfully I hope 2019 it'll be dobble..

  • @katemajr9374
    @katemajr9374 Pƙed 4 lety

    Thanks you Brother đŸ™đŸœ

  • @luciewajesus731
    @luciewajesus731 Pƙed 5 lety +3

    Specific time limit, Hili niki rekebisha nianze kuizingatia najuwa nina ufanisi,thanks for great video 🙏💕

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @aleckngoshani8898
    @aleckngoshani8898 Pƙed 3 lety

    Very insightful brother

  • @valentinamruma680
    @valentinamruma680 Pƙed 2 lety

    Learn to say no ....... Thanks

  • @saidseif7469
    @saidseif7469 Pƙed 5 lety

    Asante sana kwa mafunzo yako.Kaka Joel natak kile kitabu cha wanafunzi nitakipataje npo Tanga.

  • @papakefa2201
    @papakefa2201 Pƙed 4 lety

    Ubalikiwe mwalim wetu

  • @danielmerere-sr7xz
    @danielmerere-sr7xz Pƙed rokem

    Mbinu nayojipanga kuanza nayo ni ya 7.., ya kupanga ratiba ya siku nzima , asante.

  • @isackpius250
    @isackpius250 Pƙed 2 lety

    Mbinu ninayojipanga kuanza nayo ni kufanya Batching.
    Asante sana. Ubarikiwe

  • @mariajustuce8918
    @mariajustuce8918 Pƙed 3 lety

    Thanks bro kwa elimu ulioyo toa

  • @ndayizeyedesire8767
    @ndayizeyedesire8767 Pƙed 5 lety +3

    Kitu ca muhim sna time is very important mu maisha kabisa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @obedntiruhoka9905
    @obedntiruhoka9905 Pƙed 3 lety

    Umeniongezea tena ujuzi mungu akubariki.🙏

  • @finiasfidelis1475
    @finiasfidelis1475 Pƙed 5 lety +4

    mbinu ya kwanza kuanza nayo naona ni FOCUS. Ukishaweza focus basi zingine zitakuja automatically

  • @mwanaidimohamed6972
    @mwanaidimohamed6972 Pƙed 5 lety

    Kupangilia nifanyacho kwa siku ndio kitu nitakachoanza nacho leo..asante bro

  • @kabibiscovia9141
    @kabibiscovia9141 Pƙed 6 měsĂ­ci

    asante saan brother

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w Pƙed 3 měsĂ­ci

    Asante sana

  • @thuwaibawadi9672
    @thuwaibawadi9672 Pƙed 2 lety

    Thank u kaka....unatuelimisha kwa kweli

  • @telesiamkumbwa8888
    @telesiamkumbwa8888 Pƙed 5 lety +2

    asante hiii naanza nayo mwaka mpya

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @hamzalibingai3227
    @hamzalibingai3227 Pƙed 5 lety

    Nitaanza na kutofanya vitu viwili tofauti kwa wakati mmoja

  • @abelmwilapwa1111
    @abelmwilapwa1111 Pƙed 4 lety

    Thnx najiona km nimechele maana kuna miez kum toka watu wakoment bt naona kama na mm ninazaidi ya miez hyo kumk i thnx i cn mr thn others ....abt time tatzo sana japo kidogo nalimeji ila siyo kihivyo i need 2 do mr thnx my blood wa faida God bless ur mr

  • @giftsam8458
    @giftsam8458 Pƙed 5 lety

    Mi Kwangu kupangaratibanzima yasikuu ndyoo lakuanzanaloo mungu akubariki Sana'a broo

  • @magrethkimweri5454
    @magrethkimweri5454 Pƙed 5 lety

    Thank you, kupanga majukumu ya siku ni tatizo kwa sisi wamama wa nyumbani na uku bado tunamajukumu ya chuo,shule inakua ngumu

  • @saluwayne9535
    @saluwayne9535 Pƙed 5 lety

    Nakukubali sn Joel una2fundsha v2 muhim xn ktk maisha ye2 thank u so much bro

  • @eugenfredrick2328
    @eugenfredrick2328 Pƙed 5 lety

    NAAMUNI hii organize time itanisaidia sana!! thanks sana bro! God bless?

  • @talibrashid8817
    @talibrashid8817 Pƙed 4 lety

    Kaka umeongea true muda nikila kitu ktk maisha na ukiutumia vibaya utaujutia badae na haurud tena

  • @jemomandua6141
    @jemomandua6141 Pƙed 4 lety

    Nakufatilia san pia nafanyia kaz zaid kwakila utach kisema

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Pƙed 4 lety

    I wish you knew that you have changed my life-style.

  • @christelle9690
    @christelle9690 Pƙed 3 lety

    Yes kaka

  • @kingnews9132
    @kingnews9132 Pƙed 5 lety

    nmejifunza kusema hapana and to focus on the task. asante sana na MUNGU akubariki sana

  • @jomeejooo3717
    @jomeejooo3717 Pƙed 5 lety

    Nimejifunza kusema no
    Asnte sana kwa mafundisho mazuri i

  • @dandebossxakara9939
    @dandebossxakara9939 Pƙed 3 lety

    Blessed bro Mungu akupe miaka mingi uendelee kutufundisha na kuwafundisha wengine

  • @jafarilupimo4537
    @jafarilupimo4537 Pƙed 5 lety

    Happy new year

  • @markbenedict1777
    @markbenedict1777 Pƙed 5 lety

    learn to say no nashukuru sana kwa kujua hilo kwa maan m ni m2 ninayeshindwa kukataa kila ki2 kwa hili nitalitendea kazi

  • @godlistenkweka149
    @godlistenkweka149 Pƙed 5 lety

    Kwa kweli kaka Mungu akubariki najifunza mengi kutoka kwako

  • @meshackngadango6855
    @meshackngadango6855 Pƙed 5 lety

    Ahsante Sana kwa somo Safi. See u at the top!

  • @bajutaboy7588
    @bajutaboy7588 Pƙed 2 lety

    I like it

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Pƙed rokem

    Ubarikiwe sana

  • @marykisima666
    @marykisima666 Pƙed 2 lety

    Kufanya kazi kwa spirit ile ya deadline.Nahitaji msaada hapa

  • @emotionalvoice972
    @emotionalvoice972 Pƙed 5 lety +4

    Nakupata sana kk, nimebadilika sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Hongera Kwa Kubadilika #SeeYouAtTheTop

  • @czakilumanga7060
    @czakilumanga7060 Pƙed 5 lety

    Leo naanza na batching/ grouping
    Asante kaka joe

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin7 Pƙed 5 lety +2

    Thank you Brother, Leo pia umenifundisha na kuniongezea kitu cha mhimu sana ambacho nilikuwa sikijui, God bless you

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @robycharlz171
    @robycharlz171 Pƙed 5 lety

    Ahsante sana

  • @richardmpelasoka5309
    @richardmpelasoka5309 Pƙed 3 lety

    Ahsante sana kka

  • @frankdaniel9815
    @frankdaniel9815 Pƙed 4 lety

    Somo zuri sanaaaa kiongozi

  • @paschalisrael2450
    @paschalisrael2450 Pƙed 5 lety

    Great brother time management is all about

  • @deogratiasndeonio637
    @deogratiasndeonio637 Pƙed 5 lety

    Asante sana kwa mbinu zote muhimu.Naamini kila MTU kuna inayomgusa sana.Mimi naanza na kusema hapana.
    Uzidi kutuelimisha brother..

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 Pƙed 5 lety +3

    thank you so much for your teaching l have learned something new thank you.😁

  • @maishokadori2164
    @maishokadori2164 Pƙed 3 lety

    Learned alot🙏

  • @fettymdoe8890
    @fettymdoe8890 Pƙed 3 lety

    Organise day task👏

  • @jesseyobeid7380
    @jesseyobeid7380 Pƙed 5 lety +2

    Asante kaka