Learning to say No....here is where my challenge is... and I need to work on it.... you know what Brother? Sometimes I fail to say no for avoiding what people will talk about me behind..... that I don't care... That I have no sympathy ... that I am not social oriented person... But for the purpose of 2019... today I have learned something... Learning to say no and value my time.... I think this will increase my potentiality... Thanks so much brother Joel... and May God bless you #See you at the top
Shukran kaka Joel Nanauka. Mm niko pamoja na ww kaka haujawahi kukosea kila siku nazidi kujivunia vitu vipya kutoka kwako.. Kanuni zote 7 nitazifanyia kazi ipaswavyo kama ulivo tuelekeza. Allah akupe umri mrefu wenye neema tele. đđ
Mbinu yakwanza kwangu nikufanya vitu ndani yampangilio wa muda sahihi nasio kufanya kilakitu kinachopita mbele ya macho yangu.Pia nimejifunza uthamani wa mtu ukondani ya mudawake sahihi.Asante kwa Somo zuri na Mungu akibariki
1. Focus on the task - Iâm that person who tries to multi task but end up not doing anything productive for HOURS... I will FOCUS ON THE TASK I SET TO DO!
Nina miaka 21 namshukuru Mungu nipo salama nimekuwa nikikutana na scenario ya kuongea na watu hasa wazima lakini wakabarikiwa na mm nazidi kujifunza naamini u will se me at the top b'coz l may , l Will , l can and l am happy new year bro Joel
akili yangu kusema hapana kwenye kitu ambacho Niko nje ya malengo,hiyo naanza Kupoteza muda kwenye simu badala kutumia kwenye malengo ya muhimu hiyo naanza.kama vyote vimenigusa kwenye Gari kujibweteka tu hiyo ninayo najirekebisha thanks My teacher Joel
Baada ya kutambua umuhimu wa sub conscious mind nimetafuta masomo hayo kwa lugha ya kiswahili ili niwasaidie vijana wangu hadi nilipokutana na mafunzo yako. Kwa hakika nimeanza kuyatumia. Ni masomo ya muhimu sana. Mungu akuongezee nguvu
Ahsante sana kaka Joel kwa somo zuri,mm nipo katika point ya mwisho organize mpaka sasa ivi nashukuru naenda vizur na muda na kazi zangu hata jamii inafurahia huduma kutoka kwangu
Thnx najiona km nimechele maana kuna miez kum toka watu wakoment bt naona kama na mm ninazaidi ya miez hyo kumk i thnx i cn mr thn others ....abt time tatzo sana japo kidogo nalimeji ila siyo kihivyo i need 2 do mr thnx my blood wa faida God bless ur mr
Learning to say No....here is where my challenge is... and I need to work on it.... you know what Brother? Sometimes I fail to say no for avoiding what people will talk about me behind..... that I don't care... That I have no sympathy ... that I am not social oriented person... But for the purpose of 2019... today I have learned something... Learning to say no and value my time.... I think this will increase my potentiality...
Thanks so much brother Joel... and May God bless you
#See you at the top
Thankyou so much Nanauka,,Focus,, determination!!..
#SeeYouAtTheTop
@@kulwaloketa6413 #SeeYouAtTheTop
Tatizo kubwa sana hili mkuuu
Kwakwel nimejifunza kitu kikubwa sana namwomba Mungu anipe wepes WA kuweza kuyafanyia kazi haya be blessed kakaangu uishi sana
Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki Sana
Ameni sana Hongera kwa Masomo Manzuri Sana Nashukuru Sana
Maana leo nimepata Jambo la TOFAUTI sana
Brother mbinu zote ni nzuri sana, nitazifanyia kazi moja baada ya nyingine, asante sana na MUNGU akubariki sana!
#SeeYouAtTheTop
Excellent Presentation
Thank you in advance
Salum Abdalla
Jifunze kusema hapana imenisaidia sana mwaka 2018 Asante Mwalimu ambaye tunasoma bila kulipa ada
#SeeYouAtTheTop
Shukran kaka Joel Nanauka.
Mm niko pamoja na ww kaka haujawahi kukosea kila siku nazidi kujivunia vitu vipya kutoka kwako.. Kanuni zote 7 nitazifanyia kazi ipaswavyo kama ulivo tuelekeza.
Allah akupe umri mrefu wenye neema tele. đđ
#SeeYouAtTheTop
Mwanafunzi wa kwanza leo nimetua darasani na kujifunza thanks mwalimu. Hapo kwenye muda ndio tunapoteza kweli kweli
Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Mbinu yakwanza kwangu nikufanya vitu ndani yampangilio wa muda sahihi nasio kufanya kilakitu kinachopita mbele ya macho yangu.Pia nimejifunza uthamani wa mtu ukondani ya mudawake sahihi.Asante kwa Somo zuri na Mungu akibariki
#SeeYouAtTheTop
batching
upo mkn sana kk
Asante Kwa Kujifunza
Aiseeee kuanzia nw ntasema No.. Ctak kupoteza muda Wang Teeeeeenaa... Ubarikiwe brooo
Hi
nimekuerewa!!!
Frank Onesmo hiii
Boniphace Mgolozi Ubarikiwe
Ubarikiwe Pia #SeeYouAtTheTop
mwalim joel nakuelewa sana kaka
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Muda kweli kwangu ni tatzo Mungu anisaidie 2019 nibadilike... Asante
Kweli Inawezekana #SeeYouAtTheeTop
Nataka nianze sasa kujifunza kutumia vzr mda wangu na kuwekeza mda wangu...barikiwa sana broangu.
Mim hapo nitaanza na specific time limit on my duties, be blessed for your good lesson
Asante Sana kwa ujumbe Mzuri
Kufanya Kazi moja kwa wakati mmoja
Asante nimesha amua nitaendelea kujifunza hadi mwisho wa maisha yangu
Asante Sana kwa mafunzo mazuri. Nitaweka mpangilio katika Kila shugli ninayoifanya
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Asante sana Sir Joel najifunz mengi sana
#SeeYouAtTheTop
Everything spoken is directly pointed at me. Thank youđđđŸ
Asante kaka joel hakika Mungu alikuleta duniani kwa kusudi kubwa sana Ubarikiwe kwa elimu unayotuptia.kupnga ratiba ya siku nzima ni nzurii sanađ
Ahsante sana brother kwa elimu yako mungu akuongoze akuonyeshe njia pasipo kua na njia kama unapo nionyesha mimi ubarikiwe sana
Asante I'm the kind of person sijui kutumia mda wangu ila kuanzia ss nimebadilika.Nitapataje kitabu chako cha timaza malengo yako.
Focus to the one thing,untill you finish it. That's my new study,maliza jambo moja ndipo tufanye lengine.asante.mr.nanauka kwa muongozo
Mungu akubarik Sana umezungumza ukwel brother napenda mafundisho yako
Shukran sana Broo nilichojifunza na kimenigusa sana kama Mwanafunzi ni point ya kwanza isemayo FOCUS on the task
Mwenyez Mungu akubarik daima uendelee kutuelimisha
1. Focus on the task - Iâm that person who tries to multi task but end up not doing anything productive for HOURS... I will FOCUS ON THE TASK I SET TO DO!
Asante sana brother tumekua tukipoteza mda sana hasa kwenye kutenda mambo zaid ya moja kwa wakati mmoja aisee nimejifinza sana asante mungu akujaalie
Aiseeh Mimi ni mwenzio huwa nafeli sana kwenye muda Japo sina majukumu wengi
#SeeYouAtTheTop
Asante Mwalimu kwa somo zuri. Mimi hii mbinu ya kuorganize day task nitaanza nayo kuifanyia kazi
Umeniongezea tena ujuzi Mungu akubariki
Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Nina miaka 21 namshukuru Mungu nipo salama nimekuwa nikikutana na scenario ya kuongea na watu hasa wazima lakini wakabarikiwa na mm nazidi kujifunza naamini u will se me at the top b'coz l may , l Will , l can and l am happy new year bro Joel
Thanks sana your blessed
learn to say NO - this is the first to me.THANKS MUCH.
Totally huwa nafeli kwenye time management i need ushauri wa kisaikolojia
Passive time this is one of my favourite
Good teaching Man of God, NOTED.
Kaka upo vizuri Sana nashukuru mungu tangia nmeanza kukufuatlia nimeanza kujiamini Sana sana
akili yangu kusema hapana kwenye kitu ambacho Niko nje ya malengo,hiyo naanza
Kupoteza muda kwenye simu badala kutumia kwenye malengo ya muhimu hiyo naanza.kama vyote vimenigusa kwenye Gari kujibweteka tu hiyo ninayo najirekebisha thanks My teacher Joel
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Kaka uko vizuri sana. Nakufuatilia sana. You are changing lives. Welldone
Daaaah.... God bless u
Thanks brother
Baada ya kutambua umuhimu wa sub conscious mind nimetafuta masomo hayo kwa lugha ya kiswahili ili niwasaidie vijana wangu hadi nilipokutana na mafunzo yako. Kwa hakika nimeanza kuyatumia. Ni masomo ya muhimu sana. Mungu akuongezee nguvu
Mbinu kama zote hizo ulizozieleza zimenigusa kwa kweli ila sasa nmejifunza jinsi ya kupangilia mda wangu asante sana kaka Joel
Thanks ,hiyo ya mwisho ni nzuri kuanza nayo
Asante Sanađ
Asante kwa mafundisho yako imenifunza sana na nitaanza kutumia muda ili kufanikisha malengo,hakika mungu akubariki sana
asante kk Joel kwasomo hili uzidi kubarikiwa
Ahsante sana kaka Joel kwa somo zuri,mm nipo katika point ya mwisho organize mpaka sasa ivi nashukuru naenda vizur na muda na kazi zangu hata jamii inafurahia huduma kutoka kwangu
Vizuri Sana Endelea Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Organize time,ni mbinu nzuri sana ambayo niweza kujifunza asnte sana na ubarikiwe
Ubarikiwe Pia #SeeYouAtTheTop
Daah! Am proud to win u as my doct in my life thk u more mr Joh... 2018 successfully I hope 2019 it'll be dobble..
#SeeYouAtTheTop
Thanks you Brother đđœ
Specific time limit, Hili niki rekebisha nianze kuizingatia najuwa nina ufanisi,thanks for great video đđ
Hongera Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Very insightful brother
Learn to say no ....... Thanks
Asante sana kwa mafunzo yako.Kaka Joel natak kile kitabu cha wanafunzi nitakipataje npo Tanga.
Ubalikiwe mwalim wetu
Mbinu nayojipanga kuanza nayo ni ya 7.., ya kupanga ratiba ya siku nzima , asante.
Mbinu ninayojipanga kuanza nayo ni kufanya Batching.
Asante sana. Ubarikiwe
Thanks bro kwa elimu ulioyo toa
Kitu ca muhim sna time is very important mu maisha kabisa
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Umeniongezea tena ujuzi mungu akubariki.đ
mbinu ya kwanza kuanza nayo naona ni FOCUS. Ukishaweza focus basi zingine zitakuja automatically
#SeeYouAtTheTop
Kupangilia nifanyacho kwa siku ndio kitu nitakachoanza nacho leo..asante bro
asante saan brother
Asante sana
Thank u kaka....unatuelimisha kwa kweli
asante hiii naanza nayo mwaka mpya
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Nitaanza na kutofanya vitu viwili tofauti kwa wakati mmoja
Thnx najiona km nimechele maana kuna miez kum toka watu wakoment bt naona kama na mm ninazaidi ya miez hyo kumk i thnx i cn mr thn others ....abt time tatzo sana japo kidogo nalimeji ila siyo kihivyo i need 2 do mr thnx my blood wa faida God bless ur mr
Mi Kwangu kupangaratibanzima yasikuu ndyoo lakuanzanaloo mungu akubariki Sana'a broo
Thank you, kupanga majukumu ya siku ni tatizo kwa sisi wamama wa nyumbani na uku bado tunamajukumu ya chuo,shule inakua ngumu
Nakukubali sn Joel una2fundsha v2 muhim xn ktk maisha ye2 thank u so much bro
NAAMUNI hii organize time itanisaidia sana!! thanks sana bro! God bless?
Kaka umeongea true muda nikila kitu ktk maisha na ukiutumia vibaya utaujutia badae na haurud tena
Nakufatilia san pia nafanyia kaz zaid kwakila utach kisema
I wish you knew that you have changed my life-style.
Yes kaka
nmejifunza kusema hapana and to focus on the task. asante sana na MUNGU akubariki sana
Nimejifunza kusema no
Asnte sana kwa mafundisho mazuri i
Blessed bro Mungu akupe miaka mingi uendelee kutufundisha na kuwafundisha wengine
Happy new year
learn to say no nashukuru sana kwa kujua hilo kwa maan m ni m2 ninayeshindwa kukataa kila ki2 kwa hili nitalitendea kazi
Kwa kweli kaka Mungu akubariki najifunza mengi kutoka kwako
Ahsante Sana kwa somo Safi. See u at the top!
I like it
Ubarikiwe sana
Kufanya kazi kwa spirit ile ya deadline.Nahitaji msaada hapa
Nakupata sana kk, nimebadilika sana
Hongera Kwa Kubadilika #SeeYouAtTheTop
Leo naanza na batching/ grouping
Asante kaka joe
Thank you Brother, Leo pia umenifundisha na kuniongezea kitu cha mhimu sana ambacho nilikuwa sikijui, God bless you
Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
Ahsante sana
Ahsante sana kka
Somo zuri sanaaaa kiongozi
Great brother time management is all about
Asante sana kwa mbinu zote muhimu.Naamini kila MTU kuna inayomgusa sana.Mimi naanza na kusema hapana.
Uzidi kutuelimisha brother..
thank you so much for your teaching l have learned something new thank you.đ
#SeeYouAtTheTop
Learned alotđ
Organise day taskđ
Asante kaka
Asante Pia #SeeYouAtTheTop