Mimi ninachangamoto kwenye kazi huyu tajili nimgumu sana kutoa mshahala hivi nina miezi miwili sijapewa mishahala na huu mwezi wa 11 leo tarehe 12 unaweza ukaisha na huu na akiamua kutoa anatoa mwezi mmojatu, je nauliza kuna tajili mwingine nimempata inasemekana huyo analipa kwa wakati kazi yenyewe naendesha gali kubwa huwa tunapeleka mizigo Congo tunaludi na kopa je huyo anayesumbua mshahala nivumilie naetu?au nimuache niende kwa huyo?naomba ushauli wako.
Ubarikiwe sana
Waw mawaidha ya maana sana. Mungu wa mbinguni akubariki siku zote.
Kweli kabisa
Kweli kabisa Asante sana
Nikweli
Nimekupata sana kaka
Shukran 🙏🙏🙏🙏
Safi sana
Hasante sana umenipea nguvu katika changa moto ninao sasa hivi! Mungu akuzidi kupa hekima! Amina
Asante sana, Mungu akubariki
Amina doctor umenielimisha mahali nilikua nasumbuka
Ubarukiwe baba nimekusoma sana umenipa ujasiri
Asante snaa mwalim
Asante sana kaka coz kazi ilikua imenichosha
A very encouraging message it was be blessed in Jesus Christ 🙏
Ni kweli brother
Barikiwa sana tena mungu wa mbinguni akuinue kwa neno la kinabii
Barikiwa docteur
Amina ubarikiwe sana
Ni kweli kabisa , patience pays. A rolling stone gathers no moss. Thanks Doc.
Ubarikiwe sana!
Hujawahi niangusha.Asante sana broo
Ahsante sana 🙏
Haionyeshi Kama unamatatizo lakini kwangu kupitia hii video yamekwisha
Asante Sana
Ubarikiwe.
Ni kweli kak nimeipenda san
Asante Sana Bro Mungu akuweke uzidi kutwelimishe
Asante Sana mungu akubariki na azidi kukupa avya njema uweze kuenlea kutuelimisha zaidi.
Mimi ninachangamoto kwenye kazi huyu tajili nimgumu sana kutoa mshahala hivi nina miezi miwili sijapewa mishahala na huu mwezi wa 11 leo tarehe 12 unaweza ukaisha na huu na akiamua kutoa anatoa mwezi mmojatu, je nauliza kuna tajili mwingine nimempata inasemekana huyo analipa kwa wakati kazi yenyewe naendesha gali kubwa huwa tunapeleka mizigo Congo tunaludi na kopa je huyo anayesumbua mshahala nivumilie naetu?au nimuache niende kwa huyo?naomba ushauli wako.
Nitasimamisha nyumba yangu kupitia kwa hili somo
Be blessed
Amina dr
@@neemamuro877 nimefaidi sana barikiwa sana unaiokoa jamii inayo angamia kweli umeokoawengi sana
Asante sana ubarikiwe