MAMBO HAYA YANAKUCHELEWESHA KUFANIKIWA
Vložit
- čas přidán 23. 06. 2020
- Mambo matano (5) yanayochelewesha mafanikio yako:
Mafanikio ya kweli hujengwa na tabia fulani maalum sana na kwa kuwa ni tabia basi huenda kuna muda tunafanya yale yasiyotupeleka popote kimaendeleo iwe kwa kujua au bila kujua. Karibu ujifunze kitu kwenye somo hili la mambo yanayokuchelewesha kufanikiwa
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Mambo5 #Yanayokuchelewesha #kufanikiwa
Somo zuri sana brother .
Jambo lingine ambalo linaweza likawa la nyongeza ni " KUIISHI HISTORIA YA KULE ULIKOTOKA"
Nikiwa na maana kwamba kuna watu wamekata tamaa kwamba hawawezi kufanikiwa kwa sababu ndani ya ukoo au famila wote wana maisha duni. Kuna wengine utasikia anasema "ntawezaje kununua gari wakati baba yangu hana baiskeli" kwa hiyo unakuta mtu anaishi maisha kwa kuangalia chain ya kwao pasipokutambua kwamba kila mmoja kaumbwa akiwa na greatness ndani yake.
Sure
Thank U
Thanks brother, mm kiupande wangu nimejifunza vizur kiasi Kuna marafiki zng nimesoma nao chuo Ila hawanitafuti mpk wawe na shda zao wamekwama kimawazo huja kutaka msaada ktk Hilo Ila once tukianza kutatua tatzo wananisumbua sm hawapokei na miad haitimii au pia huwa na mawazo mfano ufugaji mm nilikubali na nikawa tyr kwa kila ktu Ila wao walinambia kuku hawana soko mm nikaanza peke yng ingawa cjafanikiwa hadi sasa ni mwezi wa 8 huu Ila naamini nitafanikiwa na la kushangaza ni kwamba wao huhitaji kuku Ila hela yng hawanipatii yote mpk Leo nawadai Ila wale watu kando wananua na wanalipa Cash na zote siwadai hebu nipe ushaur wko hapo
Kwanza nikitaka kutowa shukran sana! Wallah namshukuru Mola. Ivi Sasa Nina mwezi 2 nakufatiliya na kufanyiya kazi ujumbe wako. Alhamdulillah mafanikiyo nayaona.
Nilijilaumu sana kwanini nilichelewa kukufuatilia. Ila nafurahi kwasababu nimemaliza kufuatilia video zako zote. Allah akujalie Kheri na mafanikio zaidi. Nimejifunza mengi na ninaanza kujiona mtu wa tofauti sana..🤝🤝🤝
Shukran.....Allah akuweke Aamiin 🙏
Dah! mimi tatizo langu kubwa ni uwoga wa kuthubutu na watu watanichukuliaje nikithubut hila zaidi nafurah San mafundisho yako mpak mifano yako kama vile ushawai pitia hizo kitu thanks my brother
Ndio bro jumanne nimekukubali sana kwa nasaha zako za maisha yetu ya kila siku wewe mkali unaaminika
Shukurn Jazak Allah khayr
Iko poa sana, shukran kaka
Wee noma sana kaka😀😀😃
Shukrani. Leo nimejifinza kujitoa woga ktk kitu ambacho nakifikira kukifanya
kaka hongera sana kwamafunzo yako mola atakulipa kweli
Nakupenda sana Jumanne Ezeden kwa ucheshi ako maneno mazuli yanipayo ujasili kwel schoki kukusikiza yani namuomba Mungu anipatie mume yuko kama we we nipate laha moyoni
Uko sawa mungu akutumie vile yeye apendavyo,uwe chombo sahihi kwaajili ya wengine akupushe na mabaya ya dunian
Nimependezwa na mafunzo yako kaka Mungu akubariki
Thanks much for this lesson,God bless you
Dah ezden wewe kama unanijua vile. Aise dah Mwenyezi Mungu akuweke miaka mingi bado tunakuhitaji mno.
Mimi niwa Burundi tena mchristo lakini vidéo zako na shauri zako mengi yakusem ninayo ila mungu aku ongoze sana na akufungue zaidi ili uweze kusaidiy watu wengi kma mimi you are blessed
Bro I like the way you advice people.thank I get it
Brother kwa masomo haya mungu atakulipa dunian na akhera! Thanks.
Asante sana bro, kwa point zako nimezielewa endelea kufanya hicho kitu maana unatufundisha vitu vingi sana kwenye uhalisia wa maisha
MASHALLAH Allah azidi kukupa afya uweze kuendeleza darsa zako....kiukweli nimepata faida nyingi asante
So encouraging Mr.
Aise umeongea some strong point..kuwa muwazii iko poa Sana na it has motivated me a lot.. the best lesson don't listen to people thoughts
Jamaa EZDEN ,nimekuelewa sana Kaka Be blessed much more!!!!
Thank you so much bratha
Thank you so much
Brother shukran nazid kuelimika kila siku ,,ubarikiwe sana.
Asante sana broo MUNGU akubaliki
Asante Sana Kaka
Thanks broo
Asante bro
May Allah blessed u....
Mashaallah. Nimejifunza. Barakallahu fyk
Allah akubarik
thank you bro
nimecheka,nikaelimika,na nikaishia kukupa like bro👍.good advice be blessed for us;👏👏👏.
Nilichelewa sanaa
Thanks brother Ezden
Asante sana kaka ☺️☺️
Asantesa mungu akubariki sana
Thanks kwa somo
Jazakallah
Somo zurii..
Thank you 🙏
Nimejifunza kile ninachokiogopa yaan kama biashara naogopa kuanzisha kumbe apo ndo kuna mafanikio yangu Asante Sana kaka 🙏
Yani wanifungua macho and my brain tanx bro mungu akuweke na akupe afya njema
Shukrani sana brother kwa kupush my hope na nina imani itafanya kazi, uwoga pia utaondoka yaa
Haya mafundisho ni zaidi ya shule
Asante sana kwaku tu elimisha
Hii ndo shule yenyewe
Mungu akubariki bro,mafundisho Yako yananifanya nijitambue na nijiamini kazi njema Mr .
Nashukuru sana kaka
Asante san bro
Kweni bro MWENYEZI MUNGU akubariki sana
Asante kaka ezden
Kweli kbs brother God bless you
Broo nakubali sanaa maarifa yakoo 🙏
Asante kwayote
Asante Kaka ezdeni
Shukrani sana kaka somo nzuri katika maisha
God bless you brother
Mungu akuzidishie
Nimeipenda kweli
Asante
Yaani hapo kunavitu 3 vimenigusa kabisa😂 nimejifunza kitu kipya asante sana
Oooh umenifungua akili real you are more gifted and smart
Namshukuru Mungu kukupa neama Na hekima ya kutufundisha vile tunavyo kuwa kimaisha, Mungu akubariki Sana
Exactly brother
Kwanz kabsaa nashkru sana Kwa kukutna na chanel yako Kwa kwel Mungu akubark 🙏🙏
U're my role model Mr. ezden.
Fact. Ila kwa Wanafunzi wengi tunakosea Sanaa hii tunageuza Kama chuo Ni sehemu ya kujifunza kumbe chuo Ni maisha na sio sehemu ya kujifunza.
Kaka napenda sana masomo yako maana yamenibadirisha sana, Asante kaka.
Dahh brother EZDEN big up kwako hvo vitu ulivyo viongelea kwly tupo navyo broo dahh navipo
Umenisaidia sana kaka angu
Blessed
Kuanzia leo nimeondoa uoga ninapo wazia kufungua kz yoyote shukran
Ipo sawa👍
Nimejifunza mengi sana kaka uko vizur sana mungu akubark
Ahsante sana,,Nimejifunzaa kitu hapoo,, Mungu akubariki sanaaaa
Karibu
Wengi tunasoma Hadi vyuoni tukiwa na imani ya kuja kupata ajila ikiwa na maana tunahakikisha kujibu maswali kwa usahiri tunashindwa kujifunza uhalisia wa maisha hatimae tunashindwa hata kufikia mafanikio
Najifunza kujali mda na kufocus kwenye mamb yang ya msing .zaid umenifumbuwa jamb zur ALLAH AKUZIDISHIE ZAID YA HAPO INSHAALLAH
Ninapenda Sana einglish yako unapo ongea big up brother
My brother the word einglish kindly correct spellings....
Jummanne congratulations bro I always learn alot here... may God blesa you... kalasinga from Kenya
Nakukubali sana kiongozi Yan unanipa ujasili wa mafanikio mpaka najiuliza kwann neme chelewa kuzaliwa
Thanks
What i learn most dont be yes man....Dah mm sema ukweli umensaidia knomaa yaan nlikua naona km ntamboa mshkaji afu mtu flan hv wa "no worry about" thanks brah,i believe now its a time to change
Congratulations brother!!
Asante kaka umenifumbua macho
Asante mwanangu, hufu inmates sana
iko sawa
Asante kwa erimu kaka
Kaka salama shukran kwa somo
Nice lesson,kitu kingine kutumia pesa kwa mambo ambayo sio lazima
Ahsante sana braza
Asante unatuelimisha Sana
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
Ubarikiwe sana kwa somo zuri sana
the result is the name of the game,,asante kaka kwa kitu moto moto
Kaka asante sana naingia chuo unanijenga sana
Somo zuri sana kaka,nakukubali mno Mungu azidi kukutumia
Unanifunua ubongo nzuri Sana ata wanangu nitawaambia wakuwatch umenifundisha elimu hii ata mabinti mitaani na wanangu nitawafundisha so good .
Ezden napenda sana kazi yako kwani unayo yazungumza ndio yanatokea kwa asilimia kubwa ktk maisha yetu ya kila siku
Now nimejua nikokundi gani thanks bro naenda kutekeleza majukumu yang now
Kaka mungu akubarik