MAMBO HAYA YANAKUCHELEWESHA KUFANIKIWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2020
  • Mambo matano (5) yanayochelewesha mafanikio yako:
    Mafanikio ya kweli hujengwa na tabia fulani maalum sana na kwa kuwa ni tabia basi huenda kuna muda tunafanya yale yasiyotupeleka popote kimaendeleo iwe kwa kujua au bila kujua. Karibu ujifunze kitu kwenye somo hili la mambo yanayokuchelewesha kufanikiwa
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #Mambo5 #Yanayokuchelewesha #kufanikiwa

Komentáře • 332

  • @linusbenignus2658
    @linusbenignus2658 Před 4 lety +46

    Somo zuri sana brother .
    Jambo lingine ambalo linaweza likawa la nyongeza ni " KUIISHI HISTORIA YA KULE ULIKOTOKA"
    Nikiwa na maana kwamba kuna watu wamekata tamaa kwamba hawawezi kufanikiwa kwa sababu ndani ya ukoo au famila wote wana maisha duni. Kuna wengine utasikia anasema "ntawezaje kununua gari wakati baba yangu hana baiskeli" kwa hiyo unakuta mtu anaishi maisha kwa kuangalia chain ya kwao pasipokutambua kwamba kila mmoja kaumbwa akiwa na greatness ndani yake.

  • @salumyussuf2140
    @salumyussuf2140 Před 4 lety +6

    Thanks brother, mm kiupande wangu nimejifunza vizur kiasi Kuna marafiki zng nimesoma nao chuo Ila hawanitafuti mpk wawe na shda zao wamekwama kimawazo huja kutaka msaada ktk Hilo Ila once tukianza kutatua tatzo wananisumbua sm hawapokei na miad haitimii au pia huwa na mawazo mfano ufugaji mm nilikubali na nikawa tyr kwa kila ktu Ila wao walinambia kuku hawana soko mm nikaanza peke yng ingawa cjafanikiwa hadi sasa ni mwezi wa 8 huu Ila naamini nitafanikiwa na la kushangaza ni kwamba wao huhitaji kuku Ila hela yng hawanipatii yote mpk Leo nawadai Ila wale watu kando wananua na wanalipa Cash na zote siwadai hebu nipe ushaur wko hapo

  • @muslimo6
    @muslimo6 Před 3 lety +2

    Kwanza nikitaka kutowa shukran sana! Wallah namshukuru Mola. Ivi Sasa Nina mwezi 2 nakufatiliya na kufanyiya kazi ujumbe wako. Alhamdulillah mafanikiyo nayaona.

  • @mkiyastories3500
    @mkiyastories3500 Před 4 lety +6

    Nilijilaumu sana kwanini nilichelewa kukufuatilia. Ila nafurahi kwasababu nimemaliza kufuatilia video zako zote. Allah akujalie Kheri na mafanikio zaidi. Nimejifunza mengi na ninaanza kujiona mtu wa tofauti sana..🤝🤝🤝

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 4 lety +3

    Shukran.....Allah akuweke Aamiin 🙏

  • @whitesonkatunzi1003
    @whitesonkatunzi1003 Před 3 lety +1

    Dah! mimi tatizo langu kubwa ni uwoga wa kuthubutu na watu watanichukuliaje nikithubut hila zaidi nafurah San mafundisho yako mpak mifano yako kama vile ushawai pitia hizo kitu thanks my brother

  • @josephjegizh7767
    @josephjegizh7767 Před 3 lety +2

    Ndio bro jumanne nimekukubali sana kwa nasaha zako za maisha yetu ya kila siku wewe mkali unaaminika

  • @sharifarajabu7255
    @sharifarajabu7255 Před 4 lety

    Shukurn Jazak Allah khayr

  • @wahidkombokhamis4330
    @wahidkombokhamis4330 Před 4 lety +2

    Iko poa sana, shukran kaka

  • @elimika7ayo
    @elimika7ayo Před rokem +3

    Wee noma sana kaka😀😀😃

  • @abdullamohd7224
    @abdullamohd7224 Před 4 lety +2

    Shukrani. Leo nimejifinza kujitoa woga ktk kitu ambacho nakifikira kukifanya

  • @abdallahmuhammed2279
    @abdallahmuhammed2279 Před 4 lety +2

    kaka hongera sana kwamafunzo yako mola atakulipa kweli

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 Před 4 lety +6

    Nakupenda sana Jumanne Ezeden kwa ucheshi ako maneno mazuli yanipayo ujasili kwel schoki kukusikiza yani namuomba Mungu anipatie mume yuko kama we we nipate laha moyoni

  • @meleniaelikana7345
    @meleniaelikana7345 Před 4 lety +3

    Uko sawa mungu akutumie vile yeye apendavyo,uwe chombo sahihi kwaajili ya wengine akupushe na mabaya ya dunian

  • @bekaseurizo8669
    @bekaseurizo8669 Před 4 lety +2

    Nimependezwa na mafunzo yako kaka Mungu akubariki

  • @martinamlowe6312
    @martinamlowe6312 Před 3 lety

    Thanks much for this lesson,God bless you

  • @sharifaabdul4850
    @sharifaabdul4850 Před 4 lety +2

    Dah ezden wewe kama unanijua vile. Aise dah Mwenyezi Mungu akuweke miaka mingi bado tunakuhitaji mno.

  • @dodysngl4428
    @dodysngl4428 Před 4 lety +2

    Mimi niwa Burundi tena mchristo lakini vidéo zako na shauri zako mengi yakusem ninayo ila mungu aku ongoze sana na akufungue zaidi ili uweze kusaidiy watu wengi kma mimi you are blessed

  • @worldhiphopcompanybesthiph2610

    Bro I like the way you advice people.thank I get it

  • @sadikathumani1003
    @sadikathumani1003 Před 4 lety +2

    Brother kwa masomo haya mungu atakulipa dunian na akhera! Thanks.

  • @sylvestermushy7540
    @sylvestermushy7540 Před rokem +1

    Asante sana bro, kwa point zako nimezielewa endelea kufanya hicho kitu maana unatufundisha vitu vingi sana kwenye uhalisia wa maisha

  • @shadyaseif7782
    @shadyaseif7782 Před 3 lety +2

    MASHALLAH Allah azidi kukupa afya uweze kuendeleza darsa zako....kiukweli nimepata faida nyingi asante

  • @mwashighadijames3018
    @mwashighadijames3018 Před 4 lety

    So encouraging Mr.

  • @lucasmollel2522
    @lucasmollel2522 Před 4 lety +2

    Aise umeongea some strong point..kuwa muwazii iko poa Sana na it has motivated me a lot.. the best lesson don't listen to people thoughts

  • @deusmanasseh1941
    @deusmanasseh1941 Před 4 lety +1

    Jamaa EZDEN ,nimekuelewa sana Kaka Be blessed much more!!!!

  • @daudiombeni7996
    @daudiombeni7996 Před 2 lety

    Thank you so much bratha

  • @funniestvdo9804
    @funniestvdo9804 Před rokem +1

    Thank you so much

  • @brysonaidan7956
    @brysonaidan7956 Před 4 lety +1

    Brother shukran nazid kuelimika kila siku ,,ubarikiwe sana.

  • @agustinosanga6754
    @agustinosanga6754 Před rokem

    Asante sana broo MUNGU akubaliki

  • @reymasenya6450
    @reymasenya6450 Před 3 lety

    Asante Sana Kaka

  • @martinezmhinho7941
    @martinezmhinho7941 Před 3 lety

    Thanks broo

  • @athumankhalfan7836
    @athumankhalfan7836 Před 3 lety

    Asante bro

  • @tausihasheem5051
    @tausihasheem5051 Před 4 lety +1

    May Allah blessed u....

  • @nashirshaban7066
    @nashirshaban7066 Před 4 lety

    Mashaallah. Nimejifunza. Barakallahu fyk

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 Před 4 lety

    Allah akubarik

  • @saimonwolf5562
    @saimonwolf5562 Před 3 lety

    thank you bro

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 Před 3 lety

    nimecheka,nikaelimika,na nikaishia kukupa like bro👍.good advice be blessed for us;👏👏👏.

  • @farajiawesi5254
    @farajiawesi5254 Před 4 lety +2

    Nilichelewa sanaa

  • @herielykaluse4422
    @herielykaluse4422 Před 3 lety

    Thanks brother Ezden

  • @counals1442
    @counals1442 Před 4 lety

    Asante sana kaka ☺️☺️

  • @fesalsaid5764
    @fesalsaid5764 Před 4 lety

    Asantesa mungu akubariki sana

  • @shamsiamsaghati
    @shamsiamsaghati Před rokem

    Thanks kwa somo
    Jazakallah

  • @jacksonntandu4771
    @jacksonntandu4771 Před 4 lety +3

    Somo zurii..

  • @gracegrace2561
    @gracegrace2561 Před 7 měsíci

    Thank you 🙏

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Před 11 měsíci +1

    Nimejifunza kile ninachokiogopa yaan kama biashara naogopa kuanzisha kumbe apo ndo kuna mafanikio yangu Asante Sana kaka 🙏

  • @rajetjohn7517
    @rajetjohn7517 Před 3 lety

    Yani wanifungua macho and my brain tanx bro mungu akuweke na akupe afya njema

  • @johntaino6411
    @johntaino6411 Před 2 lety

    Shukrani sana brother kwa kupush my hope na nina imani itafanya kazi, uwoga pia utaondoka yaa

  • @landemauriac7232
    @landemauriac7232 Před 4 lety +2

    Haya mafundisho ni zaidi ya shule
    Asante sana kwaku tu elimisha

  • @LawrenceKakuba-xe5zm
    @LawrenceKakuba-xe5zm Před 9 měsíci +1

    Mungu akubariki bro,mafundisho Yako yananifanya nijitambue na nijiamini kazi njema Mr .

  • @jackisonagost125
    @jackisonagost125 Před 3 lety

    Asante san bro

  • @benardpeter1853
    @benardpeter1853 Před 4 lety

    Kweni bro MWENYEZI MUNGU akubariki sana

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před rokem

    Asante kaka ezden

  • @morefireministrychurch177

    Kweli kbs brother God bless you

  • @lionelkibwana6688
    @lionelkibwana6688 Před 4 lety +2

    Broo nakubali sanaa maarifa yakoo 🙏

  • @bencool5839
    @bencool5839 Před 3 lety

    Asante kwayote

  • @asiaabbas7179
    @asiaabbas7179 Před 4 lety

    Asante Kaka ezdeni

  • @sipolasafi9225
    @sipolasafi9225 Před 4 lety

    Shukrani sana kaka somo nzuri katika maisha

  • @tomolenty
    @tomolenty Před rokem

    God bless you brother

  • @zaynabhussein6825
    @zaynabhussein6825 Před 3 lety

    Mungu akuzidishie

  • @theddymkenda7659
    @theddymkenda7659 Před 4 lety +1

    Nimeipenda kweli

  • @patrikeramazani3806
    @patrikeramazani3806 Před 4 lety +2

    Asante

  • @janethkomba4787
    @janethkomba4787 Před 9 měsíci +1

    Yaani hapo kunavitu 3 vimenigusa kabisa😂 nimejifunza kitu kipya asante sana

  • @jamesmwajombe3429
    @jamesmwajombe3429 Před 4 lety

    Oooh umenifungua akili real you are more gifted and smart

  • @damarsd4599
    @damarsd4599 Před 4 lety

    Namshukuru Mungu kukupa neama Na hekima ya kutufundisha vile tunavyo kuwa kimaisha, Mungu akubariki Sana

  • @dicksonrichald3774
    @dicksonrichald3774 Před 4 lety

    Exactly brother

  • @JumanneShingsha-ks4vb
    @JumanneShingsha-ks4vb Před 11 měsíci +1

    Kwanz kabsaa nashkru sana Kwa kukutna na chanel yako Kwa kwel Mungu akubark 🙏🙏

  • @goodluckfelix3776
    @goodluckfelix3776 Před 4 lety +1

    U're my role model Mr. ezden.

  • @josephmethod5509
    @josephmethod5509 Před 4 lety +3

    Fact. Ila kwa Wanafunzi wengi tunakosea Sanaa hii tunageuza Kama chuo Ni sehemu ya kujifunza kumbe chuo Ni maisha na sio sehemu ya kujifunza.

  • @careenchengula2682
    @careenchengula2682 Před 3 lety

    Kaka napenda sana masomo yako maana yamenibadirisha sana, Asante kaka.

  • @salemale6830
    @salemale6830 Před 4 lety +1

    Dahh brother EZDEN big up kwako hvo vitu ulivyo viongelea kwly tupo navyo broo dahh navipo

  • @shabandar2702
    @shabandar2702 Před 4 lety +1

    Umenisaidia sana kaka angu

  • @tedymagala4517
    @tedymagala4517 Před 4 lety +1

    Blessed

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Před 4 lety

    Kuanzia leo nimeondoa uoga ninapo wazia kufungua kz yoyote shukran

  • @Mrshillah
    @Mrshillah Před 4 lety +1

    Ipo sawa👍

  • @barakanjiku3166
    @barakanjiku3166 Před 3 lety

    Nimejifunza mengi sana kaka uko vizur sana mungu akubark

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Před 6 měsíci

    Ahsante sana,,Nimejifunzaa kitu hapoo,, Mungu akubariki sanaaaa

  • @masanjamalugwaja9972
    @masanjamalugwaja9972 Před 2 lety

    Wengi tunasoma Hadi vyuoni tukiwa na imani ya kuja kupata ajila ikiwa na maana tunahakikisha kujibu maswali kwa usahiri tunashindwa kujifunza uhalisia wa maisha hatimae tunashindwa hata kufikia mafanikio

  • @saleheabdallah3438
    @saleheabdallah3438 Před 2 lety +1

    Najifunza kujali mda na kufocus kwenye mamb yang ya msing .zaid umenifumbuwa jamb zur ALLAH AKUZIDISHIE ZAID YA HAPO INSHAALLAH

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 4 lety +5

    Ninapenda Sana einglish yako unapo ongea big up brother

    • @djcolor3238
      @djcolor3238 Před 2 lety

      My brother the word einglish kindly correct spellings....
      Jummanne congratulations bro I always learn alot here... may God blesa you... kalasinga from Kenya

  • @avitusjovin
    @avitusjovin Před 3 lety

    Nakukubali sana kiongozi Yan unanipa ujasili wa mafanikio mpaka najiuliza kwann neme chelewa kuzaliwa

  • @respiqucymarwa3742
    @respiqucymarwa3742 Před 4 lety

    Thanks

  • @kelvinkeejone7371
    @kelvinkeejone7371 Před 4 lety +1

    What i learn most dont be yes man....Dah mm sema ukweli umensaidia knomaa yaan nlikua naona km ntamboa mshkaji afu mtu flan hv wa "no worry about" thanks brah,i believe now its a time to change

  • @esterrobi7789
    @esterrobi7789 Před 4 lety +1

    Congratulations brother!!

  • @user-ib5yb5or4v
    @user-ib5yb5or4v Před 6 měsíci

    Asante kaka umenifumbua macho

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Před 3 lety

    Asante mwanangu, hufu inmates sana

  • @geofreygeofrey6978
    @geofreygeofrey6978 Před 4 lety

    iko sawa

  • @kasigahamisi354
    @kasigahamisi354 Před 3 lety

    Asante kwa erimu kaka

  • @ashaomary347
    @ashaomary347 Před 4 lety +1

    Kaka salama shukran kwa somo

  • @vincentmongi2897
    @vincentmongi2897 Před 4 lety

    Nice lesson,kitu kingine kutumia pesa kwa mambo ambayo sio lazima

  • @renatusmatungwa6800
    @renatusmatungwa6800 Před 3 lety

    Ahsante sana braza

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 4 lety

    Asante unatuelimisha Sana

  • @feisalakbar4759
    @feisalakbar4759 Před 6 měsíci

    Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla

  • @frankkyando5286
    @frankkyando5286 Před 4 lety

    Ubarikiwe sana kwa somo zuri sana

  • @jomeejooo3717
    @jomeejooo3717 Před 4 lety

    the result is the name of the game,,asante kaka kwa kitu moto moto

  • @musasuccessline9713
    @musasuccessline9713 Před 4 lety

    Kaka asante sana naingia chuo unanijenga sana

  • @anickwilliam1237
    @anickwilliam1237 Před 4 lety

    Somo zuri sana kaka,nakukubali mno Mungu azidi kukutumia

  • @safiasuleiman3119
    @safiasuleiman3119 Před 4 lety

    Unanifunua ubongo nzuri Sana ata wanangu nitawaambia wakuwatch umenifundisha elimu hii ata mabinti mitaani na wanangu nitawafundisha so good .

  • @jameskulengwa9333
    @jameskulengwa9333 Před 2 lety

    Ezden napenda sana kazi yako kwani unayo yazungumza ndio yanatokea kwa asilimia kubwa ktk maisha yetu ya kila siku

  • @chriskinn7544
    @chriskinn7544 Před 2 měsíci

    Now nimejua nikokundi gani thanks bro naenda kutekeleza majukumu yang now

  • @hussenijuma7494
    @hussenijuma7494 Před 4 lety

    Kaka mungu akubarik