MPANGO WA BINADAMU KUIHAMA DUNIA NA KWENDA KUISHI SAYARI YA MARS (The Story Book)
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 22. 10. 2020
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
๐ด๐ด.๐ต ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ป | ๐ญ๐ฌ๐ฐ.๐ญ ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ ๐ป | ๐ต๐ฐ.๐ฑ ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐๐ ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zรกbava
Kama na wewe bado unajiuliza maswali mengi kuhusu vitu kama hivi na hupati majibu gonga like ya nguvu hapa twende sawa ๐
ata me jaman naomben like japo at wew unayesoma comment jaman๐๐๐๐
KAMA UNAIKUBALI THE STORY BOOK NA WASAFI TV ACHA MAJUNGU GONGA LIKE YAKO HAPA
Yan ikifikaga ijumaa usiku akili yooote ni storybook Kama sina bando Bora nikakope โค๏ธโค๏ธ
Hahaha jamali kuna watu unawatengenezea madeniii
๐๐
Asante sana endelea kututazama mengi mazuri yanakuja
@@ramxoketti7521
Kweli๐๐๐
kama na wewe ni mmoja wa wale wabongo tutakae achwa duniani, tukigonga supu ya pweza na alkaswis gonga like. mars hakuna pweza wajumbe mtapata tabu
๐๐๐
Ustufokee
๐ฒ๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐๐๐คฃ daaaumetisha mwamba
Bonge la professor akili nyingi n mawazo telee
Jama Mustafa.. jamal April..Ahsnte๐ช๐ฅ
Kweli kabisa jamaa fundi
๐ช๐ค
Jamaa Ni fund ila yule Mtigah ana Radha ya kipekee ,bac tu alizingua
czcams.com/video/wRPhZP2M9WQ/video.html
๐๐๐๐๐๐
Mfahamu shujaa aliekimbia Tanzania ๐ฑ na kwenda kuiongoza Zimbabwe kivita kuipindua serikali ๐ณ Nimekuwekea video Gusa link
@@dadybjustice5901 yeah mtiga ndio lkn sie wengne tushamsahau maan April kawa mbunifu n anajua kuandkaah n saut ineshakaa saw
tunakuomba msamaha professa jamal kumpa heshima mhudumu mtiga abdallaha aliyekua anatuletea chakula kipindi na kukudharau wewe mpishi mwenyewe ๐๐๐tusamehe sana hatutakuja kukudharu tena mpishi mkuu wa hiki chakula bora cha ubongo๐๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kama umependa the story ya leo gonga like twende sawa
Nipate na likes na mimi leo Bas! ๐๐๐ป๐
Razima upate kaka mkubwa
Tuletee muendelezo wa danga bhana ๐
usisahau usb ya kunyongea mtu ๐๐๐๐
Hashuo!
Kkkkk
the story book Number one..!!
Bigg una mtu na nusu hpa #Professor
simba kweli au?
Ni kwer
Nakubali mtu nanus ukoseag
Kaka na ww hua nakufikiriaga sana akili zako maana unawazaga beyond in 3, 6 and 9 kaka simba na team yako hongereni mungu azidi kuwasimamia.
Nyie Wa Mars Nendeni Tu,Me Nabaki Zangu Duniani๐
Ivi tutapaa woote dunia nzima kwani ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mimi pia
@@emmynellyson463 kama una TZS Milion 400 na ushee unaenda
Sio duniani tuu... Balia hapa hapa Bongoland...!
๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kazi nzuri jombaaa mie kama mwalimu wa history na jiografia nimekuelewa unanipa maujanjaaa
Asante chief
its plutnum
Amakwel dunia IPO mkonon mwa mwanadam
It will end in tears , God knows why He put people and life on Earth only
Waende tuu watuache kwenye dunia yetu, watupunguzie Jam ๐คฃ๐คฃ
Ya leo noma sana gonga like kama we ni fun wa the story book #mohatvkenya๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Pesa kidogo2 wote mnataka kuamia Mars,,,,,......like zenu kwa professor Jamal ๐ฅ
Mambo ni ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ, professional jamal
๐HIMSELF JAMAL APRIL ๐THE STORY TELLER LEGEND๐ช
F ๐ฅ
Professor
Ila like zinasaidiaga nn kwani?
Hem nipeni na mm leo ๐
Kama unaikubali the story book acha majungu na wivu gonga like yako hapa
Asante baba yao master Jamal mustapha ๐๐๐ฏ๐ nimekuelewa vizuri sana ๐๐
Na mm leo nmewai wa 44 like jaman kwa profesor jamal
Swahili sound good respect to you guy here from Zambia๐ฟ๐ฒ๐น๐ฟ
Me to๐ฟ๐ฒ๐ฟ๐ฒ๐ฟ๐ฒ๐ฟ๐ฒ๐ฟ๐ฒ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ
The language of Africa
0
@@dottokisaina7217 +bio hip
Professor @jamal king of story in the world ๐๐
Hujambo prof Jamal April, napenda sana historia, hongera from Kenya
The first period to appreciate in wasafi media ,
big up Prof Jamal fanya na endelea kufungua akili za watu wenye uvivu wa kusoma na kufatilia mambo kiundani kupitia story zako tamu โ๏ธโ๏ธ
Kaka upo vizuri,Mimi napenda uandae nyingine ambazo ni za space
Napenda uizungumzie tita n,kepla Andromeda na vinginevyo, Asante
Naombeni like10
Mungu aniweke nikapate na kujenga huko Mana sayar hii ni ngumu Sana๐ฃ๐Mara corona sijui nn aah๐ถ๐ถ
Mie nitakuja kutembea nitakua mgeni wako inshallah ila makazi yngu hapa hapa tukijaliwa
Uko mtaishi na Binadamu wanaitwa Aliens. mimi sitaki kuona macho ya hao Aliensโบ๏ธโบ๏ธ
๐๐๐
Hiv like zina kaz gani jaman ebu npeni namm nizione
Sio taratibu ila kwa uharaka umerufanya tuone mtigana n wa kawaida sanaaa...umetuaibisha tulokubeza mwanzo big up professor
Asante sana professor ๐๐๐๐โค sie wengine tupo tu wallahi hatujui yanaojiri duniani zaidi ya kuamka nashukuru allah kumbe wenzetu pmj nakushukuru lkn wanafanya mengi mno
Inaonekana story hii imewaacha watu midomo wazi๐ปnimepitia coment karibuzote lkn wengi wameishia kuomba like tu๐
NB mungu aliuumba dunia kwa makusid yke, huko mars hakuna maisha tuwaache wazungu wakateketee sisi tutabaki inawezekana tukawa ndo inch ya ahadi aliyotuahidi mungu๐๐
Paka lini utawaachia wazungu?.lini utafanya nawew?(huna akili dogo)
Story za kisanyasi huwa ni ๐ฅ ๐ฅ
the story it's good and clear .... Bt ngependa kipind kijacho ujarbu kutuelkeza kuhusu miungu ya kigiriki ๐ช๐ช
Much love from Kenya
Very good. Proud of you
Ndugu naomba Mungu akulite kwa kila makum yoyote from kenya
Kupitia story book hii nimepataa kuamini kuwa wazungu sio watu was kawaida yani wao wanawaza Sana kwenda juu sis ngozi nyeusi tunawaza kufanya kazi na kujenga nyumba tuu basi
๐
๐๐๐๐ Bora waendetu ili tuwehuru.
Nice brother, unanifungua sn akili yangu, respect โ.
Hakika Allah ni mkubwa kwa kila jambo na kitu tunachokiona kutoka kwake
Nakukubali sana Kitu unachokifanya sio cha kawaida unajua sanaaaaaaa๐๐๐
Leo nmekuwa wa Mwisho, sijasikiliza wala kuona ila naamini ni Madini makini sana, tuko pamoja Pof Jamal.
Kiukweli dunia ndio kila kitu mana ipo katk vitabu vya dini zote na mwisho wetu ni apa duniani uko tunatapa tapa tu dunia imejaa mengi na ina baraka kubwa tuache kuchunguza mungu mengine tuache tu yapite mana apo tunaingilia mpango wamungu ao watakao tupeleka watajiita mungu na kuonesha kuwa wao ni kwa uwezo wao mungu ameumba dunia akatawalisha manabii ktk dunia bas dunia ndio makaz yetu adi mwisho wetu ๐๐ปwanasayansi awa wana tapatapa kweli akimungu wana mchunguza sana mungu
Leo nimewahi mazee embu piga like Apo Sasa
Wow, so interesting I love everything about planets โค
Hello
ooh
The story book ๐ hinanielimisha vingi sana bana unatisha sana brother
Like Jamal u totally inspire me
The Story Book... Chapa kazi... Good Job
Professor naipenda lafudhi yako sana na unasimlia kwa hisia kali
Tupo tofauti sana na watu wenye ngozi nyeupe,hebu fikiria,mtu anapanga kufanikisha jambo lake kwa miaka 10 hadi 20 ijayo.hafikirii kushindwa,hafikirii kifo,hafikirii chochoti bali ni kujikita katika kukamilisha jambo lake...lakini angalia sisi waswahili na mipango yetu tunayojiwekea,imezidi sana mwezi mmoja na hata tukijaribu na ikashindwa tunaiacha kabisa,,,,nimejifunja kuwa na longtime planing na kushikilia mpango wangu hadi ukamilike.thank you bro.
Jamal this channel became my favourite due to you.All love from scotland
Unatoa Story tukiwa tumeshachoka kusubili jitaidi basi kuwa unawaisha Story Nakukubali sana
Hongera Sana Kaka uko vizur nafatilia Sana vipindi vyako
Mungu awabariki sana kwa story Book
Watching from new city nakuru kenya
Ulio angalia ten 2023 wek likes za kutosh
Maprofesa wengine wanatakiwa wajifunze hapa kwa huyu kijana najua mko weng mnaojihita maprofesa,je uprofesa wako unafahida kwa mtanzania ambaye ajui chochote?au ndye uprofesa wa kisiasa
Huyu jamaa anajua sana Jamal your a great story teller ๐๐พ๐๐พ๐๐พ
Jamal you should do this more and more you are the best
Nakikubali san kipindi hichi๐ฏ๐#The story book
Much love โค๏ธโค๏ธโค๏ธ The story book
I got you prof..(you're stories is a key of my knowledge)
Nimeipenda hii sana kazi zuri
No day human being will be like God, God have mercy on ur people. Lucy Kenya.
Akili nyingi nguvu kidogo Like twende sawa kama umemuelewa Professor
mnasemaje atuletee story ya j.k. nyerere keep this sign ๐
Jamal we ni zaidi ya mwalimu hupo vizuri sana broo
Good researcher and story teller salute man
Kipindi changu pendwa kutoka wasafi ๐ฅ๐ฅ. #kondegang4life
โ๏ธ
Hahhhh mpinzani wetu, hatukutaki hahhhh
Yesu atakavyorudi atakuta vijana wake wengine wapo Mars ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Yesu akirudi utajuaje km ni Yesu koz maajabu yote aliyowahi kuyafanya watu washaayafanya. Manabii feki
Yaan ata tukosa
๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐๐
Everything according to me is possible because aeroplane one day didn't exist but with time it can to existence and fully functional, transportation of human from one continent to another through the air being a dream come true..God is working in beings and that's y i concur with him in HIS CREATION that he mad man in his image,a special being...with full capacity to create as it is the CENTRAL CHARACTER of the GOD OF CREATION
Wakwanza Leo the story gonga like twende sawa
Mm nitaeda
Naiona The 100๐
Kabisa, alafu sikuimaliza inabidi niitafute
Nampenda sana huyu msimuliaji daah Safi sana Mungu akubariki sana.
Just fantastic I love it
Asante sana kwa kuteelimisha
Ellon Musk mastermind himself
Mr mafuzzy style
Atari
I like it
Jamali siku moja tunaomba story kuhusu jicho la tatu.๐
Kaka ni kama Mtiga Abdallah alikua anakuchelewesha! Kuna funzo kubwa sana hapo
Professor jamal April nakukubal sana
Professor ๐ฏ๐ฏ
Pamoja Sana Kakaโฅ๏ธโฅ๏ธ
Safi sana ...stor book ..napenda kuwa astronaut
Staki kumkufuru Mungu nabaki bongo hapa hapa
Nomaa sana
Your cool Professor ๐จโ๐ซ๐๐
Wewe ni mwandishi bora Tanzania. Big up
Upo?๐๐
Hivyo ndio vitu vya kuzungumza...
Ngoja nkusaidie vitu vingine ambavyo vitawavutia Sana watu:
1. Ilipokuwa bahari na ilipo Sana na sababu ya kuhama kwa bahari na ushahidi wake
2. Watu wenye jicho moja tu,uwepo wao na kupotea kwao na uwezekano wa kuwepo/kukutana nao
3. Chanzo Cha utofauti wa rangi kwa binaadam wote,na binaadam wa kwanza kuwepo duniani alikuwa na rangi gani..???
NIKIKUMBUKA MWNGINE NTAKWAMBIA
Sijakuelewa
I love your story's
20:28 _"Yesu atarudi kuukomboa Ulimwengu."_ Sayari zote zipo kwenye Ulimwengu, including Mars. *If you know what I mean!*
We msenge yesu ndo nani
@@alimussa2655 acha izo tatizo waislamu mnajionaga kama vile nyie mko top akati nyie ni wanadamu kama wengine unataka umlazimishe mtu aamini unachokiamini....tumia hekima
@@alimussa2655 yesu ni mtume wa Mungu...acha kua kaambae ujasoma dini..
@@gladysmushy1498 mm ni muislam..na najua yesu ni mtume wa mungu.siez dharau yesu kbxa
@@alimussa2655 sasa matusi yann?umelazimishwa kumuamin YESU? ww amin unachoamin nawaache wenzako waamin wanachoamin.baba yako na mama wangekua wapagan ww ungekua nadin gan?hiyodin unayoamin ulichagua ww au ulikuta wazaz wako wanaiamin,
Asante sanaaa brother
Talanta sio ndumba, hichi ni kipaji cha kipekee. Hongera Jamal
The story book naipenda xan
Sijawai ona comments zinazo husu ushauri au maomi juu ya kipindi wote mna ombaga like tuu
Kumbe sayans ya anga imeanza kale Sana .. kweli Mambo ni mengi tatizo muda tu
Ni alikasusi sio alikasusu lakini unajua kaka hongera sana
Hpn n hv hv al kasusu
Wooow๐๐๐๐ฅ๐
Mmmm mungu nisaidie hakika sayansi jogharafia haijamuacha mtu salama katika kuamini ningumu Sana kuamini
Much love ...good talent bro ..from Kenya