Nishawahi kufanya kazi na watu km hao na mpk kunidharau,nikipatwa na madhaifu kwao ni furaha na mpk mwisho kunitilia fitna kwa engineer but kubwa nilieka mungu mbele na kumuomba yy tu kwani yy ndie kila kitu.mwishoe wao walishindwa na kazi na wakaacha kazi .
Kaka joel asnt sana , kwakunifafanulia Mungu akuzidishie baraka kiukweli mm nko kwenye utumwa na mambo yote uliyotaja hapo yote na pitia kwakweli nimefurugiwa maisha , kutenganishwa na ndg cna kazi na tayari na family kilichobaki naomba hdi na mpiga magti lkn bdo .... Ineed you advice my brother
Habari mwalim mimi izo aina za utumwa ulizo zizungumzia ni tabia ambazo anazo baba mzazi kupenda kuniambia maneno ya kunimatosha tamaa kunivunja moyo nilikua naomba mbinu za kukabiliana na aina iyo ya utumwa
Nishawahi kufanya kazi na watu km hao na mpk kunidharau,nikipatwa na madhaifu kwao ni furaha na mpk mwisho kunitilia fitna kwa engineer but kubwa nilieka mungu mbele na kumuomba yy tu kwani yy ndie kila kitu.mwishoe wao walishindwa na kazi na wakaacha kazi .
Nimeanza kusikikiza SAA tatu na dakika ishirini Leo 14.4.2023 nikiwa kibaha pwani.nimejifunza njia za kukandamiza
Jinga Moja hivi lilikua limenigeuza msukule hai wooooii nimepona Kwa neno lako
Mimi nilishakutana na kukandamizwa baada ya kumwambia mtu siri yangu,sitakubali tena kuwa mtumwa,Ee Mungu nisaidie.
Wapo sana ila ni maalifa TU yananifanya niwe huru kwenye maisha yangu
I say ni ukwel Mtupu teacher.... Asante Kwa kutupa muongozo wa MAISHA
Hili somo zuri sana barikiwa
Huyu ni mimi kabisa lakn nimegundua mapema.
Kaka joel asnt sana , kwakunifafanulia Mungu akuzidishie baraka kiukweli mm nko kwenye utumwa na mambo yote uliyotaja hapo yote na pitia kwakweli nimefurugiwa maisha , kutenganishwa na ndg cna kazi na tayari na family kilichobaki naomba hdi na mpiga magti lkn bdo .... Ineed you advice my brother
Somo zuri la kujitambua
Yaani kaka Joel wewe ni kichwa aisee ni mulemule jamaa yangu
Mungu aendelee kukutunza
#JoelNanauka
Habari mwalim mimi izo aina za utumwa ulizo zizungumzia ni tabia ambazo anazo baba mzazi kupenda kuniambia maneno ya kunimatosha tamaa kunivunja moyo nilikua naomba mbinu za kukabiliana na aina iyo ya utumwa
Yah..it makes Sense
Mie ndio yalionikuta nlifikia hali hiyo kupoteza hali ya kujiamini lakini kwa kukufatilia wewe brother jooel umenisaidia sana. Mungu akubarik.
Najifunzaa sana
Ndugu zangu kabisaaa wa wa damu wana mambo haya, na hawaniwezi kwa jina la Yesu
Ni kweli mi imenitokea mtu kusema mabaya yangu baada ya kuona nataka kujitegemea nimwache.
Hallo .mimi niliptiya. Hayo yote. But roho mtakatifu. Akanifunguliya..hukweli..sasa. niko sawa..i m doing good. Na niko happy sana