MBINU 4 ZA WATU WANAOKUKANDAMIZA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 04. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 86

  • @yusufabdalla5526
    @yusufabdalla5526 Před rokem +8

    Nishawahi kufanya kazi na watu km hao na mpk kunidharau,nikipatwa na madhaifu kwao ni furaha na mpk mwisho kunitilia fitna kwa engineer but kubwa nilieka mungu mbele na kumuomba yy tu kwani yy ndie kila kitu.mwishoe wao walishindwa na kazi na wakaacha kazi .

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Před rokem +4

    Nimeanza kusikikiza SAA tatu na dakika ishirini Leo 14.4.2023 nikiwa kibaha pwani.nimejifunza njia za kukandamiza

  • @wardaabdallah2383
    @wardaabdallah2383 Před rokem

    Jinga Moja hivi lilikua limenigeuza msukule hai wooooii nimepona Kwa neno lako

  • @monicakauky8914

    Mimi nilishakutana na kukandamizwa baada ya kumwambia mtu siri yangu,sitakubali tena kuwa mtumwa,Ee Mungu nisaidie.

  • @EmilyMwalongo-sg4ru

    Wapo sana ila ni maalifa TU yananifanya niwe huru kwenye maisha yangu

  • @ismail_4_future.
    @ismail_4_future. Před rokem

    I say ni ukwel Mtupu teacher.... Asante Kwa kutupa muongozo wa MAISHA

  • @user-dq3op3gs2d

    Hili somo zuri sana barikiwa

  • @saidbwila6856

    Huyu ni mimi kabisa lakn nimegundua mapema.

  • @alexmassawe
    @alexmassawe Před rokem +2

    Kaka joel asnt sana , kwakunifafanulia Mungu akuzidishie baraka kiukweli mm nko kwenye utumwa na mambo yote uliyotaja hapo yote na pitia kwakweli nimefurugiwa maisha , kutenganishwa na ndg cna kazi na tayari na family kilichobaki naomba hdi na mpiga magti lkn bdo .... Ineed you advice my brother

  • @aminakibunde5296
    @aminakibunde5296 Před rokem +1

    Somo zuri la kujitambua

  • @himidijenga535

    Yaani kaka Joel wewe ni kichwa aisee ni mulemule jamaa yangu

  • @neemaamon4960
    @neemaamon4960 Před rokem +1

    Mungu aendelee kukutunza

  • @omarjuma1794
    @omarjuma1794 Před rokem +1

    #JoelNanauka

  • @rahimyahaya5776
    @rahimyahaya5776 Před rokem +1

    Habari mwalim mimi izo aina za utumwa ulizo zizungumzia ni tabia ambazo anazo baba mzazi kupenda kuniambia maneno ya kunimatosha tamaa kunivunja moyo nilikua naomba mbinu za kukabiliana na aina iyo ya utumwa

  • @academiazsoft

    Yah..it makes Sense

  • @muniraahmed8794
    @muniraahmed8794 Před rokem

    Mie ndio yalionikuta nlifikia hali hiyo kupoteza hali ya kujiamini lakini kwa kukufatilia wewe brother jooel umenisaidia sana. Mungu akubarik.

  • @gchalijabiri3845
    @gchalijabiri3845 Před rokem

    Najifunzaa sana

  • @mariandesario6468
    @mariandesario6468 Před rokem

    Ndugu zangu kabisaaa wa wa damu wana mambo haya, na hawaniwezi kwa jina la Yesu

  • @rebeccanghwasa7387
    @rebeccanghwasa7387 Před rokem

    Ni kweli mi imenitokea mtu kusema mabaya yangu baada ya kuona nataka kujitegemea nimwache.

  • @salomemrembo7482
    @salomemrembo7482 Před rokem

    Hallo .mimi niliptiya. Hayo yote. But roho mtakatifu. Akanifunguliya..hukweli..sasa. niko sawa..i m doing good. Na niko happy sana