Tafadhal muache hio darsa batil na mrudi kusoma Tawheed ili mue katika mismamo wa sawa. Tawheed ukisoma utajua mipaka yake hio mnayofundisha ni shirk na atakae wafuata atapotea muogopeni Allah jmn na msifanye mambo ambayo hayapo katika dini.
Waislamu wamekwama kwa kukufurishana. Namba utaikwepea wapi, namba ndio hesabu na huwezi kumfahamu Allah bila hesabu, Kuangalia mbingu na ardhi Kisha ukajua kuwa yupo aliyeumba naye ndiye Allah inataka hesabu pia. Kama kitu hujui Kaa chini usome. Umma unaangalia kwa kukosa maalifa.
Subhannallah
Jazaqallah
Masha allah
Jazakaallah khery inshaallah
Sahihi
Masha Allah Sheikhs
Shilkk
Kweli kabisa ila sasa JUMA 12 atakuja kufundisha namba 7:30
Tafadhal muache hio darsa batil na mrudi kusoma Tawheed ili mue katika mismamo wa sawa. Tawheed ukisoma utajua mipaka yake hio mnayofundisha ni shirk na atakae wafuata atapotea muogopeni Allah jmn na msifanye mambo ambayo hayapo katika dini.
Waislamu wamekwama kwa kukufurishana. Namba utaikwepea wapi, namba ndio hesabu na huwezi kumfahamu Allah bila hesabu, Kuangalia mbingu na ardhi Kisha ukajua kuwa yupo aliyeumba naye ndiye Allah inataka hesabu pia. Kama kitu hujui Kaa chini usome. Umma unaangalia kwa kukosa maalifa.
@@jamalkishangu ww ndo hujui tafta darsa za tawheed ndo utajua unakosea wapi hii dini si yakuongezwa na vitu vya shirk ambavo havipo acheni mara moja
Uislamu wa Marekani na Uingereza mtihani.
@@jamalkishangu soma dini si kwa watu ambao hawajui dini walio somea dini acha kuhangaika na dini za youtube shauri zako