Meditation | Mafanikio | Meditation ipi ufanye na Ipi usifanye?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 07. 2024
  • VIDEO YA NGUVU ZA MIUJIZA
    www.youtube.com/watch?v=4yixc...
    JINSI YA KUTOKA NJE YA MWILI
    www.youtube.com/watch?v=frJ8V...
    Mjue Maalim Kisisina l Mchawi Kisisina l Uwezo wake l Elimu yake
    • Mjue Maalim Kisisina l...
    Kwa haya na mengineyo tembelea
    rakimsspiritual.com/
    unajimu.com

Komentáře • 77

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 Před 17 dny

    Amina

  • @mokoboykiller1381
    @mokoboykiller1381 Před 9 měsíci

    Thank you to the world❤

  • @MetodMakungu
    @MetodMakungu Před rokem

    Kaka hongera sana akiliyako inafanya kazi sana

  • @linturenatus3549
    @linturenatus3549 Před rokem +2

    Nimekuelewa maalim wangu shukran nakufatilia sana

  • @justinedonatus8902
    @justinedonatus8902 Před 4 měsíci +1

    Upi ni muda mzuri zaidi wa kufanya Meditation

  • @user-ws3vu5pl3l
    @user-ws3vu5pl3l Před 3 měsíci

    Naipenda sana hi mafuzo yako kweli nitaizingatiya

  • @user-ld1ng9cv1v
    @user-ld1ng9cv1v Před 10 měsíci

    Nzur mwalm

  • @makopamusic
    @makopamusic Před rokem +1

    mungu Akuzidishie maarim nmejikuta t napenda kufatilia na kujalibu

  • @Anithasinga
    @Anithasinga Před 11 měsíci +7

    Mimi nimejaribu kufanya jana.wakati nimemaliza kufanya ibada.ilikuwa mida ya saa nane usiku.nikakaa sawa na kufumba macho,baadae kama ya dakika 15 nikahisi ninapaa juu huku nimekunja miguu.kadti nilivyokuwa nazidi kuomba basi ndivyo nilivyokuwa nazidi kupaa juu na kuiona ardhi chini kabisa.niliogopa sana

  • @user-wh3zd2vs8g
    @user-wh3zd2vs8g Před 4 měsíci +1

    Njia rahisi ya kufungua jicho la tatu ni kuokoka kusoma sana neno na uache kila aina ya uovu focus na mambo ya kiroho utapewa jicho la tatu nalo ni roho mtakatifu.

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před 4 měsíci

      Hii ni kutokana na Imani yako, Tumependezewa pia na mchango wako.

    • @user-rl5qu4zj9b
      @user-rl5qu4zj9b Před 3 měsíci

      Naomba number yako yawhatsapp

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před 10 měsíci

    ASANTE

  • @diskkhan597
    @diskkhan597 Před rokem +1

    Nimekuelewa mwalim

  • @jameskapesa9699
    @jameskapesa9699 Před 11 měsíci +1

    He meditation inauhusiano na kutoka nje ya mwili

  • @ikramsalum5655
    @ikramsalum5655 Před rokem

    Nakufatilia sana vipindi yvako mwalim..

  • @mineflower_01
    @mineflower_01 Před 2 měsíci

    Hii ya kukaa ninzuri zaidi ila miguu yangu haiwezi inauma aisee ya kulala naweza ila unajikita umelala dolo usingizi huo

  • @christianngowi
    @christianngowi Před 11 měsíci +1

    Nmejalibu malanyingi lakin sijafanikiwa kila Style inagoma

  • @Peterjofley-hq9yk
    @Peterjofley-hq9yk Před 9 měsíci

    Mwlm nikitaka kujifunza gharama inakuaje

  • @SylvesterLuhamba-gi3bc
    @SylvesterLuhamba-gi3bc Před 5 měsíci

    Naomba kujifunza kwa undani

  • @ShineRony-go2tr
    @ShineRony-go2tr Před rokem +1

    Je kuna umuhimu au ulazima wa kufanya meditition kabla ya kufungua jicho la tatu

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před rokem +1

      Ndio meditation ni muhimu kwanza. Ingawa kuna meditation ya jicho la tatu na meditation za kawaida

  • @FranciscoKazibure
    @FranciscoKazibure Před 2 měsíci

    Muamlimo, najua no mgumo kusoma coment zote, lakini nakuomba unisaidie kufungua jicho lango la Tato, pleace ukifanya hivyo, naamini mtakuletea wato wengi kotoka huku Msubimji

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před 2 měsíci

      Endelea kufuatilia channel yetu hii tutafundisha jinsi ya kufungua jicho la tatu

  • @asheriddy1092
    @asheriddy1092 Před 4 měsíci

    Naomba kuuliza hivi ni kawaida kuumwa na kichwa baada ya hii meditation? Maana nimejaribu baada ya kumaliz kichwa kimeniuma sana

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před 4 měsíci +1

      Kwa wengine ni kawaida kutokana na experience mpya lakini ikizidi maana yake mtu unakuwa umefanya concentration kwenye giza la macho na kulazimisha focus

  • @wingimrisho4729
    @wingimrisho4729 Před rokem +1

    Kuna watu huuza mafuta ya kufungua jicho la tatu je ni vizuri mtu kuyatumia kama anataka??

  • @user-yu3ym5sx7o
    @user-yu3ym5sx7o Před 8 měsíci

    Ukifanya meditation unaweza kusaidia wengene kwenye majanga

  • @salumujuma0412
    @salumujuma0412 Před rokem

    Sorry. Mwl naweza pata namba yako?

  • @rashidjuma6326
    @rashidjuma6326 Před rokem

    Natumaini kaka hujambo nime jaribu kufunguwa jicho la tatu ila sipati jibu

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před rokem

      Kama ni mfuatiliaji wa channel hii utakuwa umeelewa lakini kama ni mgeni jaribu kufuatilia videos zaidi katika channel hii utaelewa

  • @emmanuelmusa1061
    @emmanuelmusa1061 Před rokem +1

    Samahan mwalim je kwa mtu mwenye vifungo itafany kaz?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před rokem

      Meditation haina mipaka isipokuwa subira na uvumilivu ndio jambo kubwa linalohitajika kwenye meditation.

    • @emmanuelmusa1061
      @emmanuelmusa1061 Před rokem

      @@rakimsspiritual KWAKWEL WEWE NI MWALIM MZURI WAALIMU WENG WAGUM SANA KUJIBU COMMENT ILA MWALIM WETU LIFANYIE KAZI SOMO LA KUBASHILI MHIND ANAKULA SANA PESA ZETU SASAHIVI MAKAMPUN YA KUBETISHA MPIRA YAMEONA TZ NDIO DILI TUSAIDIEN WAKIMBIE KAMA NAIGERIA hahahaha

  • @josephatisakaya1934
    @josephatisakaya1934 Před rokem

    Bro na omba namba zako

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo Před 2 měsíci

    Naweza fanya meditation nikiwa period?

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 Před rokem

    Samahani kiongizi kunatofauti Kati ya meditation na kufungua jicho latatu?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před rokem +1

      Ndio tofauti ipo na kubwa pia kwa maana meditation ni safari ya kufungua chakra zote ikiwemo third eye (Jicho la tatu) na Jicho la tatu ni kipengele tu cha meditation katika safari yako ya meditation ambacho unatakiwa kukimaster pia ili kuwa moja kati ya masters of meditation.

    • @eminenceboy8386
      @eminenceboy8386 Před rokem +1

      @@rakimsspiritual kama kuna kitabu ambacho kinazungumzia hii elimu yote ya meditation pamoja kufungua jicho latatu nijuze.lakini kiwe chakiswahili

    • @user-zq3pi8xp3p
      @user-zq3pi8xp3p Před 6 měsíci

      Sasa kama jicho la tatu alifung liwi na meditation lina funguliwaj star ip😢😢

  • @ZahraKaijage-kl2dv
    @ZahraKaijage-kl2dv Před 10 měsíci +1

    Mwalim mimi nilifanya meditation lakinii gafla nikaona mtu mweusi nikaacha niliogopa

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před 10 měsíci

      Ulimuona katika hali gani?

    • @user-sp1ig8ul2s
      @user-sp1ig8ul2s Před 8 měsíci

      Mm nilimuona mweupe kavaa kanzu hana sura sijafanya tena mwaka wa 3 ndo nataka kufanya tena saiz

    • @wardagogodigo1111
      @wardagogodigo1111 Před 6 měsíci

      @user-sp1ig8ul2s😂😂

    • @olivermfinanga9387
      @olivermfinanga9387 Před 3 měsíci

      ​@@user-sp1ig8ul2s😂😂😂😂nmecheka Ila utaozoea Mara ya kwnza nlvoanza nlkuw naogopa Ila sahv nshazoea

  • @rodriguenacigale
    @rodriguenacigale Před rokem

    Shakra yipi inayo tangulia ku funguka, ama inadipendi?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  Před rokem +1

      Mara nyingi huwa ni base, depending yake hutegemea na ufanyaji wako ikiwa umelenga chakra nyingine utaona dalili za nyingine

    • @IsmailSebari
      @IsmailSebari Před 27 dny

      ​@@rakimsspiritualbase ikifunguka unajuaje

  • @stevenkiula8164
    @stevenkiula8164 Před 6 měsíci

    Je kwa anaetumia pombe hii kitu itafungukaa?

  • @erasmiswai7120
    @erasmiswai7120 Před rokem

    Naomba namba zako

  • @hallelujah-wm7hd
    @hallelujah-wm7hd Před 6 měsíci +1

    😅😅nacheka comment za watu jmn mtajikuta mmekuwa wachawi buure

  • @parmondgoodboy8590
    @parmondgoodboy8590 Před rokem

    Habari yako mwalimo kuna kitu ambachokinanitokeya huwa najikuta kwamba kabla mtuu ajazungunza mimi huwa najuwa anataka kusema nini na pia huwa na mfuatiza anachotaka kusema, iyo ni nini?

  • @mwalilomatila9668
    @mwalilomatila9668 Před rokem

    Kheri bro your number please 🙏