SNAKE BOY | ep 27 | SEASON TWO

Sdílet
Vložit

Komentáře • 2,5K

  • @khalifkhalidsalah
    @khalifkhalidsalah Před 14 dny +128

    Achilieni mara mbili kwa wiki jameni hii inachelewa sana kama mnaniunga nipe like❤

    • @LewiiBrizy
      @LewiiBrizy Před 13 dny +3

      Pia na kubaliana na wewe .....msichukue mda mrefu kuwachilia iyo sehemu ingine.....sinema zote za kakoso na zipenda Sana ..asanteni wausika wote ..

    • @saidathmurekatete938
      @saidathmurekatete938 Před 13 dny +1

      Kweli wanatukawiza sana

    • @Merry-ek5mj
      @Merry-ek5mj Před 12 dny +1

      Kabisa yani wanachelewesha sana angalau kwa wiki mara mbili

    • @AugustinNduwayezu
      @AugustinNduwayezu Před 10 dny +1

      Nikweli

    • @iqttanzania
      @iqttanzania Před 7 dny +1

  • @lemmyajabu8348
    @lemmyajabu8348 Před 14 dny +832

    Tangu nianze kufautilia snake boy sijai pata like ata moja... 254 fans let's gather here

    • @zeyruqhassan4629
      @zeyruqhassan4629 Před 14 dny +17

      Tuko

    • @BarackZephania
      @BarackZephania Před 14 dny +10

      Huo ni ushamba kiwango cha lami

    • @SHEDDTz-k8g
      @SHEDDTz-k8g Před 14 dny +4

      Weee ni mshamba

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Před 14 dny +4

      Hovyo kenge manyoya inaomba like 😅utadhani kacheza 😅vya bure utauponza mk... We omba tu

    • @gracedzombo5772
      @gracedzombo5772 Před 14 dny +4

      Huwa mkipewa hizi like munashiba ama😂😂😂😂

  • @AdrianodePaul
    @AdrianodePaul Před 13 dny +136

    Hongera snake boy ina views weng kuliko nyimb za bongo flavour wapi team clam🎉🎉🎉

    • @janviernzosaba7145
      @janviernzosaba7145 Před 12 dny +1

      Big up sana clam vevo unakipaji ca hali ya juu sana

    • @Mr.D.N.A
      @Mr.D.N.A Před 11 dny +1

      Unajisahau sana wew,sensema siku Moja ilikua na viewers 1M

  • @jordanbarweta3429
    @jordanbarweta3429 Před 13 dny +35

    Kuna jamaa mmoja ana manywele kibao na mandevu mengi amevaa kanzu fulan hivi sijui anaitwa Tanna sijui nan Dah Jamaa anaigiza vizur kinoma,Ana composer sana mwamba maua yake❤❤❤ 🔥 🔥

  • @kingcicero1708
    @kingcicero1708 Před 14 dny +409

    Nilisema kwamba NTANZI ajamezwa na nyoka ile ilikuwa ni ndoto, kumbe ni mawazo na MWASI, leo mmeona acheni kuomba likes tu, muda mwingine toeni maono ndugu zangu.
    One love from Mozambique 🇲🇿🇲🇿

  • @jacksonmassato8017
    @jacksonmassato8017 Před 14 dny +319

    Tunaosubiria vita ya zinga na chief, gonga like hapa

  • @MtiliCharles
    @MtiliCharles Před 10 dny +9

    Tangu nianz kufuatilia snake boy sijai pat like at moj from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @aishasyala1547
    @aishasyala1547 Před 13 dny +41

    Siku bila akikufa naacha kuangalia snake boy....."waachaaa".....nampenda sana bilaa

  • @mauaharun5564
    @mauaharun5564 Před 14 dny +315

    From Kenya kama wakubali snake boy gonga like tukipita🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇶🇦🇶🇦🇶🇦

    • @holykidke
      @holykidke Před 14 dny +1

      From kenya 🎉🎉clam snake boy the best

    • @GilbertKasina
      @GilbertKasina Před 14 dny +1

      Nakubali

    • @mtasha5886
      @mtasha5886 Před 14 dny +1

      😂 😂 Ruto must go..... Anguka nayo

    • @user-ck8ld8nz6o
      @user-ck8ld8nz6o Před 14 dny

      Ww uliekuepo kenya unapata angalau kuanglia snake boy naona mupo vitani saivi sizan kam munaweza shuhulikia filam

    • @joshuasakwa1548
      @joshuasakwa1548 Před 13 dny

      ​@@user-ck8ld8nz6oTuko Kwa vita na nani wakati mandamano yenyewe tuko na simu na power bank data ikiwa on

  • @DonMapro-d6y
    @DonMapro-d6y Před 14 dny +105

    Waliogundua camera ya Leo ina balaa weka like

  • @sivamusic2234
    @sivamusic2234 Před 12 dny +17

    Dah mbn mnabagua jamani ebu nipe like ata 1000 kama kweri ww mfatiliaji mzuri wa #snakeboy #sivamusic #mama #mamaamina

  • @ArafaKajoki
    @ArafaKajoki Před 13 dny +23

    Nilikuwa nasoma comment tu lkn niwambieni kuwa naipenda sana snake boy, mungu awabaliki wahusika nawafatiliaji poa❤️‍🔥

  • @Mzalendotanzania
    @Mzalendotanzania Před 14 dny +292

    Kama unamkubali clam weka like hapo

  • @KizaRachid
    @KizaRachid Před 14 dny +147

    Namimi leo naombeni like zangu vipenzi vya snake boy japo nimechelewa dakika 40 tu a boy from 🇱🇷🇱🇷

  • @djsonofficial5487
    @djsonofficial5487 Před 13 dny +48

    Kazi nzuri sana clam👋ila director😂😂waliopenda namna singo(bubu) alivyoweza kuongea like zenu hapa😂👉

  • @ErickEzekiel-lj8mu
    @ErickEzekiel-lj8mu Před 12 dny +10

    Clamo vevo na timu nzima hakika mmeuwa sana snake boy bonge la movie haijawahi tokea yani inafatiliwa na Africa nzima pig up sana kaka clam 🔥👍🙌

  • @pkcamlesh2465
    @pkcamlesh2465 Před 14 dny +61

    Hivi hizi likes mnaombaga huwa mwazipeleka wapi,Clam much love from Kenya 🇰🇪nakukubali sana

  • @julzproperties3744
    @julzproperties3744 Před 14 dny +38

    Nimekuwa wa kwanza leo Director Kasoso nipe like zako from Kenya 🇰🇪 twawatazama

  • @machotz1113
    @machotz1113 Před 13 dny +14

    This is the real meaning of series
    I never thought of return of SHAHIDI and his family
    Ngoma inazidi kunoga

  • @user-dq8sy1ey5u
    @user-dq8sy1ey5u Před 13 dny +11

    Wenye hawakwamini mtanzi alimezwa na nyoka mpo,hongera sana Clamvevo❤❤❤

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 Před 14 dny +53

    Snake boy nikama haitawai isha kila siku iko tofauti, mko sawa sana

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 Před 14 dny +31

    Moto ni ule ule ukija kuuzima umekoleza zaidi😂😂

  • @abudailamy2577
    @abudailamy2577 Před 13 dny +24

    Huyu jamaa ni fala sana yaan ameigiza ufala sana yaani mkewe amekuwa dadake fala sana

    • @AminaSadallah-yi1dv
      @AminaSadallah-yi1dv Před 12 dny

      Wee aseme ili afe kumbuka nabii Ibrahim na mkewe

    • @EnikahGeorge-fj6ow
      @EnikahGeorge-fj6ow Před 11 dny

      So sad

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 Před 10 dny

      ​@@AminaSadallah-yi1dv Ep iliyo pita mwanamke Ali mtoa Mumewe sadaka kwa mizimu ili Laaana itoweke kwa Hiyo jamaa yupo Sahihi tu..kusema huyo Ni Dada yake..una weza kuvimba mwishowe kifo ksicho na Faida yoyote..

    • @PetroMarko-x3g
      @PetroMarko-x3g Před 9 dny

      Kaka hiyo nizuri sasa ila unaichelewesha sana

    • @PetroMarko-x3g
      @PetroMarko-x3g Před 9 dny

      Kaka wahi kuitoa hiyo inayofuata

  • @rachelpaul460
    @rachelpaul460 Před 13 dny +17

    Wanaoumia kuona snake boy wanachelewa kutoa vipande wa like ili watuwahishie kaz

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 Před 14 dny +85

    Clam unakitu baba utafika mbali Kaz nzuri sana mungu akuongezee ubunifu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @shebbylegrand
    @shebbylegrand Před 14 dny +100

    Wakenya wenzangu wa Team Vevo,gonga likes zako hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @user-he3nz6gt3d
      @user-he3nz6gt3d Před 14 dny +2

      Pamoja sana

    • @DausiDausi-n2g
      @DausiDausi-n2g Před 12 dny +1

      hahahahah nzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @sweetbabymwangi8373
    @sweetbabymwangi8373 Před 14 dny +28

    Maskini Ntanzi. Nakuhurumia. Hii Snake Boy inazidi kuwa tamu. Ama kwa hakika mna ubunifu wa hali ya juu. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-zq9fi4io2i
    @user-zq9fi4io2i Před 12 dny +10

    Aliowaza sanura yupo kwe kipande kijacho gong like❤🎉

  • @sergesntunzwenimana
    @sergesntunzwenimana Před 14 dny +48

    Leo ndohuu Mimi snake boy 2ep27 nigonge like

  • @Walao9Abu_maurice
    @Walao9Abu_maurice Před 14 dny +38

    Kazi_njema_vijana_mnajitahidi_ila_sijapata_sifa_zangu_zakutajwa_huko_sisi_wakongomani_tunao_fuatililia❤

  • @BacarDaudo
    @BacarDaudo Před 13 dny +21

    Eu só de Moçambique mais essa história gosto manique boa história bata palmas para Tanzânia❤

  • @user-xb3nk9cl6d
    @user-xb3nk9cl6d Před 13 dny +7

    Utawa wa kibabe kwenda mbele jaman mtu anatetemeka had mke Anasema dada kwa uwoga ama kweli snake boy inafunza sana clam pokea🎉🎉🎉 yak

  • @BRARITOHCOMEDY
    @BRARITOHCOMEDY Před 14 dny +29

    Nimeingoja kwa hamu sana na kwa hakika imefika.asante sana group wa clam vevo..wap likes zangu kutoka kenya kisii

  • @SafariJamal
    @SafariJamal Před 14 dny +24

    Kumbukumbu zangu zinanambia wewe n Odama,,,,sio wageni machoni mwangu.
    Ziambie zikwambie zaidi.... 😢😢 Noma sana aisee. Big up VEVO from+254🇰🇪

  • @Rigobertpanga9
    @Rigobertpanga9 Před 13 dny +41

    Nimeisubiria hii snake boy Kwa mda mrefu sana nimeukubali sana na wewe kama umeikubali mwaga like yako apa😂😂😂

  • @yassinmuoki9982
    @yassinmuoki9982 Před 13 dny +10

    Nilikua Nisha Anza kusema Kama jamaa kamezwa Sito angalia tena. Leo nime enjoy nika mkoko umeanza UPYAAA😂😂😂

  • @mash02canada
    @mash02canada Před 14 dny +38

    Mimi ni wa kwanza leo mnipe likes from Canada 🎉

  • @muhiirwasadiki448
    @muhiirwasadiki448 Před 14 dny +19

    Congratulations, may Allah protect you and guide you in your activities. I am Congolese I really like your talents 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @kipkiruibrian
    @kipkiruibrian Před 13 dny +1

    🎉😂❤ wakenya mko wapi GENZ mnifollow 😮

  • @Christine-ho5us
    @Christine-ho5us Před 13 dny +6

    Kazi nzuri Vevo sijui mbona watu huomba likes si mnijanue guys 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @freddedresscode2951
    @freddedresscode2951 Před 14 dny +147

    Wakwanza kutoka burundi Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮nipeni like zangu

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo Před 14 dny +12

    Nakubali kazi nzuri clam n timu yote kwa kutuletea kazi nzuri ❤❤❤❤

  • @user-eq6ju8qs2q
    @user-eq6ju8qs2q Před 13 dny +15

    Bom trabalho pessoal 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Cabo Delgado_Mueda...🎉🎉🎉🎉🎉🎉Moçambique❤❤

  • @BushiriLouis
    @BushiriLouis Před 13 dny +2

    Shaidi 😂😂😂 wewe ndie kiboko, nakukubali sana mshikajiwangu🎉🎉🎉

  • @charlespatrick8632
    @charlespatrick8632 Před 14 dny +67

    Ubuntu botho Leo tupo pamoja nipeni like nikupe like bega kwa bega

  • @AsiaOmar-mr7bk
    @AsiaOmar-mr7bk Před 14 dny +23

    Ilikua nimeacha kuwangalia muvi za kiswahili baada yakumfuwatilia clam saiv siwezi kosa kuangalia waswahili wamerudi kwa moto kuna clam " rk & kp mungu awape maisha marefu na afya njema wazidi kutuburudisha

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Před 13 dny +16

    safi mkuu kiliochangu ni kile kile muweke subtitle ya lugha ya kiingereza

  • @OmarJeshi
    @OmarJeshi Před 13 dny +5

    Imagine Mimi tangu snake boy ianze sijapata likes ata mia😢bs acheni roho mbaya kiasi hicho maana nyie na mandug 5:32 u❤

  • @JescaIrakoze
    @JescaIrakoze Před 14 dny +28

    Kazi nzuili lakini mbona mmepunguza tena dakika afu munayuacha njia panda kuwa munawahi bana gonga like basi hap

  • @zephbaraka
    @zephbaraka Před 14 dny +22

    Very amazing..... following this episode all the way from Kenya .

  • @user-wh7jf1el8h
    @user-wh7jf1el8h Před 13 dny +3

    One love 💕💕 from ndola district of Zambia 🇿🇲💯💯💯

  • @user-gz5wr1bg3c
    @user-gz5wr1bg3c Před 13 dny +6

    Na Mimi Leo niombe like Moja wakubwa

  • @hammyboyofficial885
    @hammyboyofficial885 Před 14 dny +52

    Wakwanza naombeni like zangu jamani...

  • @HappyNicholas-be2yn
    @HappyNicholas-be2yn Před 14 dny +43

    Nikisema wakwanza nitakua nawadanganya naomben like team vevo❤

  • @apendwemwamahonje7650
    @apendwemwamahonje7650 Před 13 dny +4

    Watu wa mbaliz tujuan naifatilia San snake boy ❤❤❤❤

  • @NaaMakanu
    @NaaMakanu Před 13 dny +5

    Mm wa mwixho naombeni like zangu❤❤❤❤❤

  • @Shizzoh-f4k
    @Shizzoh-f4k Před 14 dny +31

    Kama unamini kuwa mungu anakupenda tujuane kwa like❤️

  • @alfredbaraha9244
    @alfredbaraha9244 Před 14 dny +15

    Kila mtu wa kwanza mmh jaman nyie vipi bandugu , hongera VEVO boy❤❤❤❤

  • @EMANUELKibelenge-wr2ep
    @EMANUELKibelenge-wr2ep Před 13 dny +3

    Nice job ❤ God bless more work that mnayo fanya 👏👏

  • @DavidJoseph-u1e
    @DavidJoseph-u1e Před 13 dny +3

    Saizi naona mawenge mambo mengi manina 🙌

  • @user-nh5zw9fg1h
    @user-nh5zw9fg1h Před 14 dny +96

    Woyooo mamb ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌🔥👌🔥👌🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👌👌👌👌👌👌👌gonga like hapa kama waipenda hii kazi❤❤❤❤❤❤

  • @MohamedKalivata-qr6sr
    @MohamedKalivata-qr6sr Před 14 dny +56

    Hana baya tajirii wanao amini snake boy ya moto wa like hapa

  • @JoshuaImanuel-fs6hq
    @JoshuaImanuel-fs6hq Před 13 dny +1

    Na nyie mnaenda kufanya movie iwe mbaya kila siku ntazi aponi

  • @SharifuAlbughuli
    @SharifuAlbughuli Před 14 dny +4

    Mbn kam adama kam Ana love bite 😂😂😂😂😂

    • @eviepretty2646
      @eviepretty2646 Před 10 dny

      Inaonekan kabla ya kuingia location alipigw shoo Kali Jana yake🤣🤣

  • @ZulfaMjege
    @ZulfaMjege Před 14 dny +160

    Tulokuwa tunaisubri kwa ham snake boy tujuan kweny like ❤❤

  • @Krod23-p8s
    @Krod23-p8s Před 14 dny +28

    Uyo jamaa aliye mkana mke wake aseee💔🥺

  • @jaffariomar4250
    @jaffariomar4250 Před 13 dny +3

    Hata kama kuigiza lkn hicho kipande cha kumkataa mke wangu hilo haliwezekani

  • @abdullyza532
    @abdullyza532 Před 13 dny +2

    yani snake boy inasisimuwa kila cku unatamani icmalize.....good talent creator director❤❤❤❤

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před 14 dny +30

    Mi wa kwanza Leo naomba like jamn ata mbili tu!

  • @Pazijr
    @Pazijr Před 14 dny +19

    Natumai na mm leo nitapata like maana kila siku mnaomba nyie tu😢

  • @Daniel_kimambo
    @Daniel_kimambo Před 13 dny +2

    Kutoka marekani naomba like zenu😂😂

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur1922 Před 13 dny +4

    Hii Kali caméra ya Léo daah nipeni like zangu wazee
    From m23

  • @LamaMandenga
    @LamaMandenga Před 14 dny +30

    Nakukbari sana pande za Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @MayaOuthman-bd8bg
    @MayaOuthman-bd8bg Před 14 dny +15

    Kama umefurahi kumuona Shahidi nipe lnk❤❤❤

  • @raymondlangatofficial3825

    Hii iko tamu sana naombeni likes jameni from Kenya

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga Před 11 dny +1

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo ila?

  • @FredYassineCheia-di7yj
    @FredYassineCheia-di7yj Před 14 dny +14

    Wa kwanza kutok mozambique nipeni like Zang 🇲🇿🇲🇿 good job

  • @ChingaKenboy-fz8yr
    @ChingaKenboy-fz8yr Před 14 dny +15

    Twende nalo big up kwa washirika wote🎉🎉🎉#ChingaKenboy

  • @BeatriceMussa-y4b
    @BeatriceMussa-y4b Před 12 dny +1

    mmh sasa baba ao na odama si alijinyonga akafa jaman 😂😂 kafufuka !!

  • @user-bz6bl1xo2k
    @user-bz6bl1xo2k Před 13 dny +2

    Aloooooo naona humu ndugu zetu wakenya mpo wengine kwer kwer dah mpaka tuajisikia faraja kwer yaan sis Tz kuwaona hum

  • @AlgaWazamba
    @AlgaWazamba Před 14 dny +8

    Number one from DRC je t'adore clam🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @herllizzythaanaplatnumz8154

    Clam kazi iendelee nawapenda sana tena sana Mozambique

  • @user-gi1ov8of8d
    @user-gi1ov8of8d Před 13 dny +2

    Wanao ukubali ujio wa shaibu na wanawe kwenye snake boy gogeni like tukisonga na utamu snake

  • @user-di5xq6xm3n
    @user-di5xq6xm3n Před 13 dny +2

    Clam vevo tengeneza ata vi chekesho kidog watu wanagombania msemo huku badala ya kufanya kazi😂😅😅 nyoo naijua iyooo😂😂😂

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Před 14 dny +37

    Genz 👊 wapi kelele kw clam vevo weeee nawapenda nikiwa gulf 🇰🇪🇸🇦♥️♥️♥️♥️💕💕💕💞💞pamoja saaaana watu wangu nawapenda nyote gonga like tukisonga mbele

    • @sajentfurecomedymzarendo1270
      @sajentfurecomedymzarendo1270 Před 14 dny +2

      Nime cherewa kidogo ira na mkubali clam vevo WACHEREWAJI KAMA MIMI LIKE❤❤ HAPA

    • @judithpendo9985
      @judithpendo9985 Před 14 dny +1

      💋❣️❣️ nkupenda bure ​@@sajentfurecomedymzarendo1270

  • @user-km5lu2es2d
    @user-km5lu2es2d Před 14 dny +11

    Ayaaaa...
    Zinga atafutweeee😂😂😂
    .....................................

  • @davkatembobaba9338
    @davkatembobaba9338 Před 10 dny +1

    Ongera sana kwa timu yote. Mchezo iko vizuri kabisa kabisa.🎉🎉🎉 Like moja itakuwa vizuri jamani

  • @kipendimusic6859
    @kipendimusic6859 Před 13 dny +4

    Hii ya mfalme mpya kunyang'anywa mke imeni pain sana. Clam and your team mna akili nyingi atari. Big up!

  • @BahaDePrince
    @BahaDePrince Před 14 dny +11

    First to watch in Kenya, please Si leo ata mnipe like 😢 ata 20 tu juu mi ndio shabiki number Moja Kenya uko fb na hapa you tube

  • @directorjey4915
    @directorjey4915 Před 14 dny +7

    Much love from +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    Kazi safi saana 😊

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q Před 14 dny +3

    🔥🔥🔥🔥🔥 kazi tume ipenda walio wengi

  • @KamselaOg
    @KamselaOg Před 13 dny +2

    Kuchukuliwa mke tu haitoshi hadi uwe mshauli

  • @OmegaMwakitalima-e5l
    @OmegaMwakitalima-e5l Před 14 dny +12

    Naombeni nam laik ata 5

  • @AugustinhoManyangaunitedboetz3

    Sanura is back kama unamkubali sanura gonga like kwa cram v❤❤

  • @KisamakaFrancine-mt8vp
    @KisamakaFrancine-mt8vp Před 12 dny +1

    Shadlove from America Yan ningekua najua kiswahili ningewashaur wayitoe marambiri kwa wiki kwamaana inacherea sana

  • @EmmanuelCharo-to4ij
    @EmmanuelCharo-to4ij Před 13 dny +2

    Wakenya oyee tuko na snake boy paa mwisho tujuane apo

  • @KlintonOwenss
    @KlintonOwenss Před 14 dny +26

    This guy is a genius 🎉,If you agree press a like button all the way from kenya 🎉❤

  • @abduladinane
    @abduladinane Před 14 dny +12

    Like nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿🔥💯

  • @TantineKalumba
    @TantineKalumba Před 11 dny +1

    🎉🎉🎉🎉🎉 naipeda sana kazi iyi ❤❤❤ naomba like zangu kutoka Congo 🎉🎉🎉🎉 Namipenda sana

  • @user-ks9uj2nc7r
    @user-ks9uj2nc7r Před 13 dny +9

    Ila Sengo et mama eeh inatoka mama weeeeeee😂😂😂😂😂😂🙌