MIUJIZA YA QURAN | SIRI ILIYOJIFICHA KATIKA NO19 NDANI YA QURAN | DR SULLE NCHINI KENYA MASJID NOUR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 10. 2021

Komentáře • 23

  • @mugabekazimiriam6693
    @mugabekazimiriam6693 Před 2 lety +1

    dr selle kwanza na kushukuru sana kwa elimu hiyo ambayo umetufikishia sasa nauliza hawo maswkhaba ambao walikata kwenda vitani ni maswahaba gani tupe majina yao tafadhili sana mungu aku jaalie khery na mwisho mwema

  • @samiraislam6793
    @samiraislam6793 Před 2 lety +2

    Mashaallah Tabarakallah Allah akujzi kheri

  • @adbulmama5065
    @adbulmama5065 Před 2 lety +1

    Maa shaa Allah.Jazza kAllahu khayri. Cheh Allah akulipe killa la kheri na mwisho mwema

  • @lalybadi5397
    @lalybadi5397 Před 2 lety +1

    Bila shaka Allah atakulipa kwa juhudi zako kusongeza dini yake mbele

  • @sharifasuleiman9134
    @sharifasuleiman9134 Před 2 lety

    Mashallah mwenyezi mungu akupe elimu fi dunia na khera daimani

  • @samiraislam6793
    @samiraislam6793 Před 2 lety +1

    Mashaallah tabarakallah Allah akuzidishie

  • @rokiroki1825
    @rokiroki1825 Před 2 lety

    MashaaAllah barakallah fiykum wajazzakullahu khaira

  • @user-ij2bf8of8h
    @user-ij2bf8of8h Před 2 lety +1

    Mashaa Allah Tabaraka Allah

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 2 lety

    Masha Allah dr Sule leo tu nimesikia hz dawa.

  • @samiraislam6793
    @samiraislam6793 Před 2 lety +1

    Shukran wajazakallah khair

  • @haleemhhaleemh707
    @haleemhhaleemh707 Před 2 lety +2

    Saw tunakusubili

  • @lalybadi5397
    @lalybadi5397 Před 2 lety +1

    ماشاء الله يحفظك

  • @munirakhalfan5716
    @munirakhalfan5716 Před 2 lety

    Jazakamullah baba

  • @abdulragmababdulsalam5107

    Mashaallah

  • @sharifasuleiman9134
    @sharifasuleiman9134 Před 2 lety

    👌

  • @Mbumbuko
    @Mbumbuko Před 2 lety +1

    Allahu Akbar

  • @mugabekazimiriam6693
    @mugabekazimiriam6693 Před 2 lety

    nakuomba utupe majina yahao maswahab hao walikata kwenda vitani

  • @davidgasper956
    @davidgasper956 Před 2 lety

    Acha ukichaa sule quran yako yeny sura 114 haziwez kuwanaelimu ya kuiongoza dunia ni BIBLIA pekee ambayo ni maneno yaliyovuviwa na ROHO MTAKATIFU ambae ni MUNGU mwenyewe

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 2 lety +1

      Kwani nilazima uje kwenye Channel za waislam kwakuwachokoza? Hau hamna kazi kazi zenu ni malumbano yasiokua na maana? Siuamini unacho kiamini sasa hapa umefata nini? Bibilia alipewa nani? Bibilia maana yake ni mkusanyiko wa vitabu, sasa vipi useme nikitabu cha MUNGU?

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 2 lety

      Nivyema ukawa mstaarabu maana ukiamini unacho amini basi endelea na imani yako, yesu alipewa injili, lakini bibilia iko na injili nne mpaka ya watu wasio tahiri ,sasa utasema ni maneno ya MUNGU? Kuna mpaka barua za wapenzi, vipi utasema ni maneno ya MUNGU? Ukiskia matendo ya mitume hayo sio maneno ya MUNGU bali nikama history ya manabii hau vitendo vyao, hau shughuli zao, sisi waislam tuko na vitabu tukiviunganisha hata gorofa ya 4 ni ndogo, lakini QURA'AN ni maneno yaliotoka kwa MUNGU moja kwa moja na ndio haikuongezwa chochote iko kama ilivyo, tuko na adithi za mtume na hatamitume wengine, vitabu hivyo viko kando, tuko na vitabu vya SUNNAH, hivyo viko kando, bibilia ni vitabu na sio kitabu, 75% ni maneno ya watu na habari zisizo na ukweli, kaa chini usome hizo bibilia zenu acha kujali wingi wa makaratasi na hayana maana yoyote

    • @kulthumahmed5162
      @kulthumahmed5162 Před 2 lety +1

      Wacha makasiriko na kumuita nwenzako kichaa
      Mwenye aliyetoa facts na ww wa matusi Nanni aliye boraa hapo

    • @yusuflangat3556
      @yusuflangat3556 Před 2 lety +1

      Hujui unachosema

    • @rehemaramadhan1165
      @rehemaramadhan1165 Před rokem +1

      Kawaida kicha uona Kila mtu ni kicha mpaka biblia yenyewe hujui kutafautisha,Roho mtakatifu Mwenyezi Mungu, namtume