DR.SULLE: MJUE SWAHABA AMABAE YUPO HAI HADI LEO | MUUJIZA WA BWANA MTUME | THE ONLY LIVING SAHABA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 01. 2024
  • #DrSulle #ZvpOnlineTv #MpandaKatavi

Komentáře • 231

  • @suleimankagobe8812
    @suleimankagobe8812 Před 3 měsíci +6

    Allah awajalie moyo wenye ujasiri kama walivyokuwa masawahaba wa mtume na awajalie vizazi bora ambavyo vitakuja kuwasaidia waumini wa kiislamu

  • @user-gz6zs4do3i
    @user-gz6zs4do3i Před 3 měsíci +1

    Maasha Allah, shukran Jazakallahu Khair 🙏 , Shekhe Sule waislam tunakukubali na kukupenda Sana,

  • @user-bu4sj4tv6l
    @user-bu4sj4tv6l Před 3 měsíci +2

    Mashallah kweli kabisa hata Mimi nkakumbuka nilisoma hivyo kwa somo la sira ingawa Sina elmu kubwa

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Před 3 měsíci +3

    Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh.I. Nillikuota ww uniombee dua ili maisha yangu yafunguke innshAllah. Niko na maisha ya madeni shule,na kimaisha.

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 Před měsícem

    Jazskhahul kheiran

  • @rehemamohammed5534
    @rehemamohammed5534 Před 3 měsíci +2

    Ustadh allah akueke Inshallah

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Před 3 měsíci +3

    Unanikumbusha mayatima wangu,wanaokosa haki zao shangazi yao anakula pesa yao ambayo serekali inatoa .Hakuna hta mmoja anataka kujua shida zao.Inaniuma sana lakini namuachia Mungu ndo wakili wangu.

    • @user-yd8dz1vk4x
      @user-yd8dz1vk4x Před 3 měsíci +1

      Ùsijali daa Halima kilio chako Mola anakisikia ba ipo siku atakujibu yooote.Na hiyo ni jaza yao ya baadae.Sio kuwa wanawadhulumu ila wanajidhulumu hao kwa hao.Allah awafanyie wepesi na sahali kwa yoote.

  • @tresorkinyeshe6965
    @tresorkinyeshe6965 Před 3 měsíci +1

    Assalamaleukum kabisa dr sule namupenda sana uyu cheikh kwakweli Allah azidi kumupa pumzi na amzidishiye umri azidi kuendesha kazi yake mbele alahuma Amin

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 Před 3 měsíci +2

    Sheikh Dr Sulle anaongea kweli yuko sawa amesoma ni msomi wa zama zetu hizi na ujue kuwa haongei mambo makubwa hayo kwa utashi wake. Usiingilie mambo usioyajua tafadhali huyu ni msomi amesoma vizuri tu. Kaa kimya kwenye haya mambo uwaachie wenyewe.

  • @miskyabdillah7451
    @miskyabdillah7451 Před 3 měsíci

    Bismillh mashaalh Allah azidi kukulinda sheikh Sule🙏🙏🙏

  • @kurthummohamed6290
    @kurthummohamed6290 Před 4 měsíci +2

    Manshaallh dr sule nakupenda sana ❤❤❤

  • @KassimSuleiman-od2uw
    @KassimSuleiman-od2uw Před 2 měsíci

    Mashallah Allah ukupee maisha marefu inshallah

  • @UmayaHaji
    @UmayaHaji Před 2 měsíci

    Mashallah

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 Před 4 měsíci +1

    Dr. Sule njoo nyumbani ,tuifungue Dunia.

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Před 4 měsíci

    Mashallah Allah Akubarik kwa sote na nyote

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 5 měsíci +1

    Masha Allah ❤️❤️❤️

  • @othmanmaulid4867
    @othmanmaulid4867 Před 5 měsíci +2

    MashaAllah!! Nakupata Kutoka Toronto Canada

    • @ismailsoud3634
      @ismailsoud3634 Před 4 měsíci +1

      Asalaam a.kum.
      Kuna langu Soud , nina habari za moja kwa moja kutokana na mbinguni, hii ni Kalama Mwenyezi Mungu amenipatia. Nazungumza habari sahihi kuanzia za tangu na tangu za mitume wote na vitabu na hadithi zote katika haki. Na hili ni haki imekuja kuitetea haki.

  • @AffectionateAirboat-mz7zt
    @AffectionateAirboat-mz7zt Před 2 měsíci

    Allah akuzidishie baraka do sule

  • @SumaiyaKhamissimba-oj8dg
    @SumaiyaKhamissimba-oj8dg Před 3 měsíci

    Masha allah

  • @ndayisengaamissi6102
    @ndayisengaamissi6102 Před 5 měsíci

    MashaAllah

  • @user-zb8xl9zg2v
    @user-zb8xl9zg2v Před 3 měsíci +7

    Kusoma hamtaki ila watu wakiwasomea mnabisha watazania mbona mechelewa sana ndiyo mnaambiwa yesu mzungu mnasema amen someni mbumbavu

  • @ANITHAPATRICK-jk9yq
    @ANITHAPATRICK-jk9yq Před 2 měsíci

    Maaashaallah bibfatm nakutakia kher

  • @bintmbarouk1004
    @bintmbarouk1004 Před 2 měsíci

    ALLAH AKUBARIK NA KULINDE NA MAADUI
    AMIIIN

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 2 měsíci

    Allahu akbar ama kweli mwenyezimungu ni mwingi wa rehema na hakika hakuna yeyote anae fanana nae

  • @user-rn8us7oj2w
    @user-rn8us7oj2w Před 3 měsíci +1

    Allah akujaze helli

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 2 měsíci

    Allahu akbar mashallah

  • @kiloziDunia-mj1vw
    @kiloziDunia-mj1vw Před 2 měsíci

    Hakika Elimu haina ukomo. Juhudi kujua asili ni Neema toka Muumba ambapo Dr Sulle unajitahidi. Tunafaidika Kupitia jitihada zako.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 3 měsíci +3

    Oooh allah jaalia Kauli zetu ziwe za upendo na sio kashfa kwa sa babu maneno machafu hubaki bila kupotea namaneno machafu hayasauliki hata baada ya kusameheana hivyo tujitahidi kuwa na Kaulitz thabiti tupate radhi za mola wetu mtukufu

  • @RASCOKALUME-no4dp
    @RASCOKALUME-no4dp Před 3 měsíci +1

    M.mungu akulinde n'a akupe wepesi wakila kitu tchini ya djuwa

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 3 měsíci +1

    Hapo kwenye vidole viwili doctor vp

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 Před 3 měsíci +1

    DOCTER SULE SAFI

  • @user-rs1bo1ic7j
    @user-rs1bo1ic7j Před 3 měsíci

    Aww . Ukifika sehemu inaitwa MAJMAAH SAUDA RABIA ni mji unapeyana mpaka na JORDAN . ndomana sheria ambazo zipo jordan ndizo saudie ndizo zipo jordan . Na pesa zao zina samani sana kama sikusahawu . Nilibembelezwa nifike eko niliona uwoga sababu visa yangu ilikuwa niya saudi nikaokopa kusumbuliwa mpakani sababu niko mtu mwewusi

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 Před 3 měsíci

    Dr. Sule Sitaki kusema lolote . MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. ANAJUA UKWELI WA HILO USEMALO. WALLAHI, WABILLAHI, WATALLAHI kama USEMALO ni KISA CHA KWELI BASI NA IWE HIVYO. NA KAMA NI UONGO MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. ATAKUFANYIA WEPESI PIA IN SHAA ALLAH.

  • @HairuIsmaili
    @HairuIsmaili Před 3 měsíci

    ❤❤❤

  • @jumaibrahim7781
    @jumaibrahim7781 Před 3 měsíci

    Inshallah

  • @DarinSalumu
    @DarinSalumu Před 2 měsíci

    ALLAH ndio mungu wa kweri

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Před 4 měsíci +2

    HAKUNAGA SWAHABA WA MITI WEE MZEE
    SOMA DINI KWANZA AU ENDELEA NA KUBISHANA NA WALOKOLE TU.
    SWAHABA NI MTU ALIYEMUONA BWANA MTUME MUHAMMAD S. A. W NA AKAMWAMINI NA KUMFUATA.
    KWA HIYO MTI HAUHUSIANI NA HILO, SOMA KWANZA.

  • @MohamedMalepes
    @MohamedMalepes Před 3 měsíci

    ASALAM ALAYKUM wew unaepinga unaepinga Kwa maandiko iliwatu tujifunze au Kwa utashiwako TU kama una ushahidi utoe nasii kupingatu sisi tunajifunza hapa kama wew pia unahoja juu ya hili leta maandiko ,au dalili

  • @BranMayn
    @BranMayn Před měsícem

    Ukitaja jina la Mtume muhammad pbh lazma uweke salalahu alei wasalaam sikusema tu mtume , tafadhali turekebishane

  • @sitiabas2686
    @sitiabas2686 Před 3 měsíci

    Mmm

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 Před 3 měsíci

    Hakika Ban Israel walipewa mitume yenye sheria baada yao kufa kitambo kisha wakaletewa mitume bila sheria
    kusadikisha mafundisho sahihi ya kitabu hicho kilichoingizwa pumba au chumvi au takataka na maulamaa wa kitabu hicho. Vivyo hivyo tunapoomba dua ya mtume kwa umma wake kama ilivyobarikiwa Ibrahim( as) . Ni neema kuu ya utume usadikishaji usio na sheria kwa mtume wetu mkubwa kuliko wote iweje kitabu chake kisipate mlinzi wa haya madudu yasiyoingia akililini na mantiki za kiasili au kanuni za kiungu? ALLAHU....SWAL... ALAA MUHAMMAD ...KAMAA SWAL..IBRAHIMA...KAMAA BARAKTA....IBRAHIM hii dua ya ukombozi wa Islam. HAKUNA MTU ALIYEZALIWA NA MWANAMKE AKAISHI MIAKA KADHAA KWA KUTOWEKA BILA KUFA HIZI NI DHANA ZA WAPAGANI AMBAO MIUNGU YAO ILIKUFA NA KUFUFUKA ILITOWEKA NA KUSUBIRIWA ITARUDI

  • @raskidali2413
    @raskidali2413 Před 3 měsíci

    Bi Amina alikufa Mtume akiwa 6years

  • @abdulahmahamed3790
    @abdulahmahamed3790 Před 3 měsíci +1

    Nataka hiyo hadithi ipo kwa kitabu gani

  • @SmilingAnacondaSnake-sp8ct
    @SmilingAnacondaSnake-sp8ct Před 3 měsíci +1

    Nimekata sharing huyo swahaba hakuwa binadam atakuwa ni jini majini wanaishi miaka mingi

  • @user-xx8dy9pu6v
    @user-xx8dy9pu6v Před 3 měsíci

    Nahapa sasa ndio nitie neno naomba razi mpaka kwamola wangu kwamba mashekhe zutu unafki utakuja kuwagalim leo mmnamsifia rahisi mwanamama wetu alivyo kubali chonjo mkamsifia halafu kumbe nikitu chenye ifecti kwetu kwanini mmnaogopa kukosoa viongozi mashekhe zetu mmnaogopaga nini

  • @sitiabas2686
    @sitiabas2686 Před 3 měsíci

    Bbb

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1iz Před 4 měsíci

    Mtumishi ako na bodyguards tangu lini kwa kusema ukweli???
    SULE wewe motoni

  • @NtirampebaIdi-nf4mp
    @NtirampebaIdi-nf4mp Před 3 měsíci

    Dini imekuja ikiwa ngeni,na itarudia la allah ikiwa ngeni tena sheh enderea usipingwi

  • @osmandunga7431
    @osmandunga7431 Před 3 měsíci

    @georgekimasa hiyo ni lugha ya lugha ya mfano huyo swahaba aliye hai siyo binaadam kabla ya kukurupuka jipe muda kidogo japo uulize upate elimu nini kilichokusudiwa hapa.

  • @HairuIsmaili
    @HairuIsmaili Před 3 měsíci

    3:04

  • @user-kr5vh9jl9q
    @user-kr5vh9jl9q Před 4 měsíci

    Shekh aslm alykm,niliona picha yako mbinguni ukiwa umevaa kanzu ya yellow,inamaanisha?

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif1802 Před 3 měsíci +1

    Ati Sahaba yuko hai Hadi leo. Wah! Hadithi za Abunuwasi hizi !

    • @Abdulhamid-pw3qy
      @Abdulhamid-pw3qy Před 3 měsíci

      Unajiita KASSIM wakati wewe ni CAMILIUS kafiri wa kianglicana.
      Tulia dawa ikuingie vizuri, nisalimie mtume mwamposa.

    • @kassimabdilatif1802
      @kassimabdilatif1802 Před 3 měsíci

      @@Abdulhamid-pw3qy
      Yaani munaamini kama kuna Sahaba bado yuko hai mpaka leo ?
      Kwani wewehuezi kupima kwenye akili kama hii Ni ya kutungwa. Kama wale mashia wanaosmbiwa Imam wao amekwenda mafichoni tangu karne ya nane?

  • @RamadhaniMwaja
    @RamadhaniMwaja Před 3 měsíci

    Mmefikia Hadi kudanganya kuhusu dini

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV Před 4 měsíci +1

    Hawa massuffi siku hizi wana mafundisho ya ajabu. Hivi hata maana ya swahaba imebadilika?!!

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j Před 3 měsíci

    Msikashif mzivovijua

  • @dicksonpiuswande9489
    @dicksonpiuswande9489 Před 3 měsíci +1

    Acha uongo, yaani ana miaka 12 na akafiwa na mke wake Hadija?

  • @HussainWargama
    @HussainWargama Před 2 měsíci

    Fanya adabu sule si harika lako kumbafu wewe ndio mwongo

  • @user-kr5vh9jl9q
    @user-kr5vh9jl9q Před 4 měsíci

    Nilikuona kwa ndoto,ukiwa mbinguniu umevaa kanzu

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 4 měsíci

    Hao ndo wale nyoyo zao ziko na stamp bro

  • @user-vc1hu8gy6g
    @user-vc1hu8gy6g Před 4 měsíci +1

    Ww unaesema shekh NI muongo tupe yakwako yaliokweli tuyachuje usipayuke TU kwa utashi

    • @user-yd8dz1vk4x
      @user-yd8dz1vk4x Před 3 měsíci

      Sasa huo mti upo nenda fb kuhusu Jordan utapata mapango,hilo dead Sea hata mti na mengi saana zaidi. Ukikosa pia wewe tunga tutasikiliza

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 4 měsíci

    Ndo uskie ukweli sasa sio udanganjwe bro

  • @user-hp1im5ek4r
    @user-hp1im5ek4r Před 3 měsíci

    Uongo

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 3 měsíci

    The year of the Lord 2023.... 2024 AD. Reference belongs to Lird Jesus? Why AD?

    • @Ruu974
      @Ruu974 Před 3 měsíci

      Eti lird 😂 checheto uo apa washirikina aiwahusu

  • @user-nz5zg4lz7l
    @user-nz5zg4lz7l Před 5 měsíci +1

    Mwongo sana

    • @AbbasHussein-zq3yi
      @AbbasHussein-zq3yi Před 4 měsíci

      Huelewi unalolisema.Mw Mungu akuzindue hapo gizani ulipo.Huwezi kuzinduka hapo kila kwa nusra ya Mw Mungu pekee.

    • @user-xx8dy9pu6v
      @user-xx8dy9pu6v Před 3 měsíci

      Sasa maalim inaja gani kumuita muongo kwenye Hilo mwenzako nawakati wewe akilini mwako huna Aya hata Moja utakayo iyongea ituvutie kukusikiliza tuusikie uwongo wako

    • @rizikinassoro419
      @rizikinassoro419 Před 3 měsíci

      Kama shekh ni muongo tuelezeni hayo ya kweli lengo ni elimu kwa jamii

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j Před 3 měsíci

    Wakiristo kaeni pembeni hayawahusu

  • @user-bg5ig2gv2c
    @user-bg5ig2gv2c Před 5 měsíci

    Yarabi,who are you to dought Dr Sule anaeleza uwongo juu ya mtendo ya Nabiyullahi Muhammad! May Allah guide us to the truth,in shaa Allah

    • @victorterry227
      @victorterry227 Před 2 měsíci

      Who are your?na kama wewe ulikuwa unajua kwani usinge tuambia wewe mpaka Dr sule aseme ndoo useme anatudanganya kwa hiyo wewe ulikuwa unasubilia Dr sule aseme ukosoe sio

  • @SumaiyaKhamissimba-oj8dg
    @SumaiyaKhamissimba-oj8dg Před 3 měsíci

    Yan mimi.nipo na wewe kbs kwasababu ulichokua nacho mimi sina

  • @AbdulMutta
    @AbdulMutta Před 3 měsíci

    If you are low educated tulia don't comment maybe Huna elimu

  • @bakarimwaguluwe-yh2dn
    @bakarimwaguluwe-yh2dn Před 3 měsíci

    Nonsense no where to be found

  • @SmilingAnacondaSnake-sp8ct
    @SmilingAnacondaSnake-sp8ct Před 3 měsíci +1

    Uma wawaislam unadanganywa sana na watu kama hawa wanaojiita wamesoma dini kwa akili za kawaida tu haiwezekani swahaba wa kalne hizo awe hai hadi Leo kwa nini asibaki muhamad mtume nimegundua mawaidha mengi yakutunga na hii nayo ni hivyo

    • @Ruu974
      @Ruu974 Před 3 měsíci

      Tunge ambiwa kwa sasa yupo mjigani tukamuone😂

    • @Abdulhamid-pw3qy
      @Abdulhamid-pw3qy Před 3 měsíci

      Nyie wote ni makafiri wapumbavu. Sikilizeni vzr nini kinachoongelewa hapo kabla ya kuleta ubishi wenu msiouelewa.
      Ndio maana na bila shaka ukristo ni ukafiri usiomithilika.
      Endeleeni kuserebuka na sebene makanisani

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1iz Před 4 měsíci

    Dr. Haki bro wewe ni muongo na miongoni mwa wale wapinga kristu.

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Před 4 měsíci

    Alikuwa mumeo kama mtume

  • @LaizaYoung
    @LaizaYoung Před 3 měsíci

    Mwalim haujakosea kbc ichi kisa ni chakwel kbc

  • @user-nz5zg4lz7l
    @user-nz5zg4lz7l Před 5 měsíci +1

    Yule muhamadi siyo mutume hatakidogo acha wongo

    • @AbbasHussein-zq3yi
      @AbbasHussein-zq3yi Před 4 měsíci

      Wewe mgonjwa wa akili.

    • @partsonchundwa2287
      @partsonchundwa2287 Před 4 měsíci

      @@AbbasHussein-zq3yi kwani unafkili kutukana ndo majibu

    • @ikramalmas7039
      @ikramalmas7039 Před 3 měsíci

      Kumbe Mtume nani

    • @KojaMasudi
      @KojaMasudi Před 3 měsíci

      Usibishane na watu wanaotembea na vinyesi vyao kwenye makalio yao wakidai ni wasafi ndugu yangu utachoka bure​@@AbbasHussein-zq3yi

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 Před 3 měsíci

      Ni kweli mbora wa viumbe, Muhammad hakuwa mutume ila ni Mtume (SAW).

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 4 měsíci

    Sina elimu wacha niskilize tu.

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1iz Před 4 měsíci

    Dr. Sule xstian kama mm najua ukifa basi kwisha, Yesu ndio alifufuka. Pinga Yesu tu ukiendanga jikoni na madawa yako ya kienyeji. Duh🏃🏃🏃🏃

    • @mariyammariyam1454
      @mariyammariyam1454 Před 4 měsíci

      Kweli kabisa mie niliishi na aliyekuwa mumewangu nikafanyiwa visa atimae nilitoka pale nikasafiri nasasa ninamaisha mengine nawashukuru JP wtt wangu wamekuwa kwashoda Sana ila Insha Allah

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 Před 3 měsíci

      Hujui usichokijua....ng'ang'ana tu...hadi mauti yako....

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Před 3 měsíci

    Duh hii Dini imejaa uongo hatareeeee Dunia inatafuta kila siku mtu mwenye umri mrefu zaidi Duniani na wanapatina wa 100 na kitu sizaidi ya 120 Leo we unatwambia kuna swahaba yupo hai hadi Leo Toka kipindi Cha Muhammad 😂😂😂😂😂 Waislam bhana

    • @user-du6bd3no2b
      @user-du6bd3no2b Před 3 měsíci

      Wewe mjinga sana...

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 Před 3 měsíci

      Wewe usichokoze dini ya Mwenyezi Mungu. Hasbi allahu Wanamat wakeel.

    • @user-sk1hm7mf2t
      @user-sk1hm7mf2t Před 3 měsíci

      Kama hujikitu uliza usijifanye unajua kumbe hujui kama imejaa uwongo inazidi diniyako sijui upo dinigani ila akuna dini ya ukweli kama uwislam

    • @user-kf9yz6jp8r
      @user-kf9yz6jp8r Před 3 měsíci

      Kwani unaebisha kama akunaswahaba halie Hai kwani unajua mahana ya swahaba kwanza. Swahaba nikiumbe yoyote alie mwamini mtume na kufuata ama kumsaidia kazi zake atamiti ipo ilio kaa mtume kwaiyo nao pia nisahaba bwwge kama ujui.

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 Před 3 měsíci

      @@user-kf9yz6jp8r Elimu ya mashetani Huwa inawatoa kwenye reli Neno swahaba limetumika kama mfuasi wa mtume inakuwaje mti unaitwa swahaba. Eh 🤣🤣🤣 Neno swahaba linawakilisha mfuasi wa .

  • @user-nz5zg4lz7l
    @user-nz5zg4lz7l Před 5 měsíci

    Dr. Sule mwongo

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 3 měsíci

    Hapo ktk kufufuwa vp

  • @zuberinasibu1441
    @zuberinasibu1441 Před 4 měsíci

    Hivi maana ya swahaba ni nini katika uislamu ???

    • @AbbasHussein-zq3yi
      @AbbasHussein-zq3yi Před 4 měsíci

      Waliokuwa marafiki wa karibu na Mtume.

    • @PeterObiri-wj1iz
      @PeterObiri-wj1iz Před 4 měsíci

      Maswahaba walikuwa walevi na walikufa juu ya ulevi but hicho hupati Kwa madrasa kabisa.
      Uzuri amesema majina yao

    • @JumahAShabani
      @JumahAShabani Před 4 měsíci

      Kama unavyo sikia wanafunzi wa Yesu ndiy maswahaba

    • @sitiabas2686
      @sitiabas2686 Před 3 měsíci

      Mlevi mamaako kuma wewe

  • @myaudimazarahu3532
    @myaudimazarahu3532 Před 5 měsíci

    Uongo uongo uongo😂😂😂😂😂

  • @user-po1cq9so9h
    @user-po1cq9so9h Před 3 měsíci

    Shekh huyu mawaidha yake hayafundishi watu yanapotosha watu kuna video moja anasema kuna mskiti comoro umejengwa na majini hakuna jini au shetwan muislam hata mmoja katika hii dunia viumbe hao wote wamelaanika wamejenga mskiti vipi Shekhe anatakiwa atoe mawaidha na ushahidi

    • @KhamisisamaBudzo
      @KhamisisamaBudzo Před 3 měsíci +1

      Kuna mäjini waislamu ....unapotoa comment yako akikisha kitu unachosema umefikiria mara mbili sio kuvuta bangi na kujiongelea ...heshimu mtu amesoma historia ........sio sawa na kwako uliko amini mchungaji ameanza kwa baiskeli baada ya miezi miwili ako na v8

    • @dullnach2310
      @dullnach2310 Před 3 měsíci

      Labda ww ndo ulolaanika

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1iz Před 4 měsíci

    Miujiza ya Muhammad ni ZERO hana lolote

    • @abdoumadiousseni4835
      @abdoumadiousseni4835 Před 4 měsíci

      Ww ni mugonjwa wa akili

    • @shaibumlawa3666
      @shaibumlawa3666 Před 3 měsíci

      Wewe kama nani sasa kwa mfano!watu hatuishi kwa miujiza!

    • @ummyomary6350
      @ummyomary6350 Před 3 měsíci

      Makafiri huwa mmenyimwa akili na maalifa yaaan mpo tu Kama ndio maana mmeitwa kondooo

  • @isihakajarika2668
    @isihakajarika2668 Před 4 měsíci +2

    Kama ni mtu wa kupenda kujifunza Mambo ya kiimani huezi kusema dokta muongo kusema hivyo inamaana wew umesoma na unavijua vitabu vyote
    Muombe sheikh atupe refference ya vitabu alivyosoma

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 Před 3 měsíci

    alafu Muhammad yuko kaburini hivi kwanini hamjitambui ndugu zangu

  • @AshaSalim-xd8xp
    @AshaSalim-xd8xp Před 5 měsíci

    Ninanihuyuanyesemadrsulenimuongompuuzihuyu

    • @mariyammariyam1454
      @mariyammariyam1454 Před 4 měsíci

      Nawewe unayemkosoa sule nawe Aya kuandika uwezi km mwenzio kabarikiwa kutufungua wacha wivu we galatia

  • @partsonchundwa2287
    @partsonchundwa2287 Před 5 měsíci +7

    Acha uongo wewe, yaani miujiza mikubwa hivyo hata Allah mwenyewe haijui wadanganye haohao wenzio

    • @ismailhassan5209
      @ismailhassan5209 Před 5 měsíci +6

      Acha ujinga kuongea kwa usiloijua soma au sikiliza au nyamaza

    • @partsonchundwa2287
      @partsonchundwa2287 Před 5 měsíci

      @@ismailhassan5209 Ujinga wangu ni upi?niambie

    • @MakonkhalidiRadjabu
      @MakonkhalidiRadjabu Před 5 měsíci

      Sasa wew unapinga nin kuhusiana na hiyi Dawa ya Dr Sule. Baba wey kama hurya Muamini Muhammad s.ww baba wey bado huna na fasi.. Here n after....!

    • @partsonchundwa2287
      @partsonchundwa2287 Před 5 měsíci +2

      @@MakonkhalidiRadjabu ninachopinga ni hiyo miujiza mikubwa kiasi hicho Cha ajabu hata Allah haijui

    • @user-lp8pr2sv7c
      @user-lp8pr2sv7c Před 5 měsíci

      Mashaallah

  • @AbbasHussein-zq3yi
    @AbbasHussein-zq3yi Před 4 měsíci +1

    @partsonchundwa2287 kuna ajenda nyuma ya pazia.comment hazichapishwi ila zako zitokeza chini ya maelezo ya Dr Sule. Je!! Kuna nn?

  • @mbwanamtops4936
    @mbwanamtops4936 Před 3 měsíci

    Mashallah

  • @BABALAOGENERALTRADERS
    @BABALAOGENERALTRADERS Před 3 měsíci

    ❤❤❤

  • @AlhajiIsmail
    @AlhajiIsmail Před 3 měsíci

    Inshallah

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j Před 4 měsíci

    Mashallah

  • @umeaperfume-hs2gi
    @umeaperfume-hs2gi Před 4 měsíci

    Mashallah

  • @BABALAOGENERALTRADERS
    @BABALAOGENERALTRADERS Před 3 měsíci

    Mashallah

  • @ramadhanimwambeni1259
    @ramadhanimwambeni1259 Před 2 měsíci

    Mashallah