Je kama mtu sio muisilamu mwisho ataenda wapi ukweli wafichuka kimeeleweka vinzuri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 04. 2024

Komentáře • 75

  • @user-us6ox1xl1u
    @user-us6ox1xl1u Před 3 měsíci +5

    Huyo dogo WA red n chizi ati ISsa n kiumbe wakwandza duniani

  • @rahmaabdalla7643
    @rahmaabdalla7643 Před 3 měsíci +14

    Huyu kijana wa red salimu ,kazi yake nikusumbua hata ile side ya Eslaigh huwa anafukuzwa saa hii amefika huku na maswali ya Mungu ni mwanaume.Allah amuongoze

    • @iddyjuma8036
      @iddyjuma8036 Před 3 měsíci +3

      Namjua huyo n msumbufu..niko Tz lakn nishamuonaga akisumbuana na akina Abbas pale Isreee

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci +1

      Tumeelewa analeta ubishi tu

    • @user-is7pj2fb4u
      @user-is7pj2fb4u Před 3 měsíci +1

      Assalaam alaikum sheikh huyo kijana wa red ni mbishi watu kama hao waachilie mbali wasikupotee muda

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      @@user-is7pj2fb4u walykum msalam warahmatullah wabarakatuh yeah

    • @mangeraalbert7982
      @mangeraalbert7982 Před 3 měsíci

      ALHAMDULILLAH mimi kujua haqi nikafuata.

  • @Fumokale
    @Fumokale Před 3 měsíci +8

    Allah awajaalie kila la khairi ktk kazi nzuri munao fanya na Allah awajaalie IKHLAS...aaaminaaa

  • @mwanaidiissa10
    @mwanaidiissa10 Před 3 měsíci +5

    Nimewahi mashallah Allah awalipe janna

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 Před 3 měsíci +4

    Jamaa kaleta mpya yesu kazaliwa kabla ya mamake

  • @samxx411
    @samxx411 Před 3 měsíci +6

    Sheikh Salim nimemsoma huyo red jacket yupo kiubishi zaidi, hajui ikisha anajifanya anajuwa lakini hajui na hataki kujuwa ila time waster...

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 Před 3 měsíci +7

    asalamu aleykum warahmatulahi wa wa barakatu niko hapa chonjo mashaalah naongojea sana video yenu

  • @samxx411
    @samxx411 Před 3 měsíci +4

    Sheikh salim wakati mwengine hao wote wanakuwa kitu kimoja lengo lao ni kuharibu mkutano kwa kupoteza muda.

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk Před 3 měsíci +9

    Wa mwanzo leo nimefurahii

  • @user-xh6mt8xj9d
    @user-xh6mt8xj9d Před 3 měsíci +2

    AAWWABARAKATU Hamjambo nyote waumini wa
    Kweli Allah akubarik sana Salim na kikosi chako nimetulia nawasikiliza huku Zanzibar nasoma sana kupitia kwenu najivunia kuzaliwa ndani ya uislamu wakristo shida tupu poleni

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote

  • @isaa_ogutu
    @isaa_ogutu Před 3 měsíci +2

    Jamaa hachemuka kwa kutolewa bibilia😂😂😂😂

  • @Leo-xc1nh
    @Leo-xc1nh Před 3 měsíci +1

    😅😅😅 daawah nikazi nzito kabisa musiwe musiwemukichukuwa muda murefu kwawatu kama hawo kama hawo

  • @SalumNyanza
    @SalumNyanza Před 3 měsíci +1

    Mashaallah Allah awalipe masheh wetu kwa kazi kubwa mnayoifanya

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z Před 2 měsíci +2

    Achana na huyo kijana, huwenda ana kasoro kichwani

  • @josemu870
    @josemu870 Před 3 měsíci +2

    Barikiweni

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl Před 3 měsíci +2

    Waaleykumusalama

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398 Před 3 měsíci +1

    MashAllah MashAllah MashAllah

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Před 3 měsíci +2

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb Před 3 měsíci +2

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah...Allah awahifadhi nyote na awalalipe jannatul firdaus,,Huwa nafurahia mafunzo yenu.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote

  • @user-sw3qy2pt4n
    @user-sw3qy2pt4n Před 3 měsíci +1

    Asslam alaikum warahmatullah...leo ni kama time ilitumiwa vbaya,mawaidha yalikuwa mazuri mno Allah awahifadhi walimu wetu na azilinde sauti zenu Ameen..Sheikh Ali anachemka na kuingilia watu wa nje anatoa watu kwa reli,Allah awape subra

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Před 3 měsíci +1

    MashaAllah.

  • @abdirizakali6223
    @abdirizakali6223 Před 3 měsíci +2

    Mwenyezii mungu awalipiee in Sha Allah

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 Před 3 měsíci +1

    Wuyu kiboko mungu na yesu wame Mumba adamu

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 Před 3 měsíci +1

    Masha Allah.

  • @rahmaali6662
    @rahmaali6662 Před 3 měsíci +1

    Yaani Astaghfirullah kufuru ..huyu jamaa alievaa kikoti red kajua kupoteza mda yaani anataka aseme yeye tu asikilizwe akieleweshwa anaruka dah subhanallah

  • @user-rf7wx7og6t
    @user-rf7wx7og6t Před 2 měsíci +1

    Mashalla ❤❤❤

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Před 3 měsíci +1

    MashaAllah Tabarakah Rahman

  • @ramadhaningulinga217
    @ramadhaningulinga217 Před 3 měsíci +1

    Shaikh salim mungu awajalie afya njema muendelee kutoa elimu kenya kuna giza sana

  • @wadadoharam6793
    @wadadoharam6793 Před 3 měsíci +4

    Asalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh brother salim, ambia mzee Ali awe na subra

  • @user-lw4qr7bd6h
    @user-lw4qr7bd6h Před 2 měsíci

    Mungu akujalie kijana unajua kenye unasema,, soma biblia hawa wataaokoka ,,

  • @user-py7re2zu8o
    @user-py7re2zu8o Před 3 měsíci +1

    Huyo kijana amevuta bagi Wachana na yeye aende kuvuta bangi

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Před 3 měsíci +2

    Assalam alaikum.....huyu wa mwanzo anapoteza mda tu hana ata swali 😢😢😢

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před 3 měsíci +1

    Allah amuogoze walim ngu.ampe hekma,elimu n afya

  • @alyumaraos
    @alyumaraos Před 3 měsíci +1

    A.alaikum mungu awape subra sana ktk hii kazi ya daawa ni ngumu sana ila masheik wetu tunawaomba mwalim Aly afanye subra anyamaze amuachie mwalim Salim yy asome t mbona kila siku tunalalamika kuhusu hilo.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin inn shaa Allah

  • @asl6295
    @asl6295 Před 3 měsíci +1

    Kumbe kituko cha TZ umeskia Shekhe

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Yeah tumepata hizo habari Allah amuongoze arudi katika njia iliyo sawa

  • @ZamzamMakoto
    @ZamzamMakoto Před 2 měsíci +1

    huyu red n sumbua tu

  • @isahbarasa
    @isahbarasa Před 3 měsíci +1

    Aslama aleikum waramtulah wabarakatu waah ati Mungu kaaza astaghfirullah

  • @user-us6ox1xl1u
    @user-us6ox1xl1u Před 2 měsíci

    Huyo dogo n shoga hamjielewi sheikh salim

  • @ahmedali279
    @ahmedali279 Před 3 měsíci +1

    mzee ali tulia

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 Před 3 měsíci +1

    Hawa walizoea ushuhuda kuliko maandiko

  • @samxx411
    @samxx411 Před 3 měsíci +1

    Ikisha sheikh salim mwambie sheikh Ali awe mvumilivu kwasababu hao fujo ndio wanataka ili msifanikiwe.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před 3 měsíci +1

      Sheikh Ali hamusikii mtu coz ingekua asikie comment nyingi Sana yuwaona Leo kitu kibaya zaidi NI hapo kuchochea ati vijana watakupiga hyo mambo gani sasa ?

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 Před 3 měsíci +1

    Achana na yule fala hajielewii

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r Před 3 měsíci +1

    Quran 50:30 na sahih Bukhari hadith number 4848
    Inasema Allah yuko na mguu.Tuelezeni zaidi kuhusu mguu please

  • @Ismaelnoton2543
    @Ismaelnoton2543 Před 3 měsíci +1

    Aslam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh. Huyu ni kusumbua tu na wala hataki kuelewa ama kukubali

  • @nayef3903
    @nayef3903 Před 3 měsíci +1

    Watu wa kuwaste time mpeni dakika tano

  • @user-db7jk2pb4u
    @user-db7jk2pb4u Před 3 měsíci

    Nyie ni wa mwilini mtayajuaje ya rohon?

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Před 3 měsíci +1

    Westing of time wallah huyo kijana afaa awachwe

  • @suleimantsanje2939
    @suleimantsanje2939 Před 2 měsíci

    amevuta bangi huyo kijana