WAKRISTO WAKIRI KUWA YESU (AS) HAKUWA MKRISTO BALI MUISLAMU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Straight Path Da'wah katika Da'wah mitaani katika mtaa wa Jacaranda jijini Nairobi. Tunawatakia Ramadhan Mubarak na saum yenye kukubaliwa, ameen.
    Please support Da'wah by subscribing to our channel. Feel free to call or WhatsApp through the following numbers:
    +254722600633
    +254777600777
    Till number (Buy goods and services) 558297
    STRAIGHT PATH ASSOCIATION

Komentáře • 201

  • @AliIbrahim-lv5cq
    @AliIbrahim-lv5cq Před 2 lety +20

    Shekh Ramadhan leo umepatana na watu makiini sana mashaAllah,Allah akuujalie swiha njema wewe pamoja na camera mans wote

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Před 2 lety +3

      Allahuma ameen

    • @naimaabuualii578
      @naimaabuualii578 Před 2 lety +3

      Amin ila jaman kamera meni sija muona siku nyingi 🤗

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Před rokem

      @@StraightPathDawah sasa mi nashangaa hii kenge ya kiislam inawauliza watu eti andiko wapi yesu alikua mkristo , yeye mwenyewe hajatoa andiko wapi yesu muislam huu ujanjaujanja wakipumbafu hauna maana kama unajiamin kwanini usifuate wahaziri wakristo wakonyooshe unawafuta watu ambao hawajui maandiko hawana tofauti na watoto wadogo akizaliwa Kwa Baba muislam naye anafuata coz haelewi

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Před rokem

      @@StraightPathDawah we ni mpumbafu sana Eli yesu aliingia Kwa sinagogy ndomana ni muislam nani aliekwambia sinagogy Hilo lilikua la waislam? Kipindi hicho Muhammad hayupo wala uislam haupo , we kweli chizi sasa hapo unandanganya Nani?

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 Před rokem

      @@francisjoseph1074 yaan ww cku zote huwa ni tahira tu,unajifanya hukuona jins Ndacha alivyo pewa dawa eeeeeeeh...?

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 Před 2 lety +10

    Masha Allah, mashekh wetu Allah awape afya njema pamoja na umri mrefu

  • @abdishakurosmanraahid5141

    Mansahallah sheikh ramadhan mungu akuzidie umri unafanya kazi hii

  • @bahatikenia39
    @bahatikenia39 Před 2 lety +5

    Mashaalah mafundisho mazuri Allah azidi kuwaongoza kueleza njia ya haqi iliyonyooka inshaalah

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Před 2 lety +5

    Masha Allah Ustaz Kuria.wstching from Boston USA

  • @maherzain615
    @maherzain615 Před 2 lety +9

    MashaAllah daawa inaendelea na saum ya mwezi mtukufu.Allah akubali mema yetu na walimu zetu mupate ujira zaidi.

  • @mahadabdi4870
    @mahadabdi4870 Před rokem +2

    Thanks sheikh for telling the truth, everyone Support this DAWAH Channel

  • @farhiaaliabdillahi3276
    @farhiaaliabdillahi3276 Před 2 lety +7

    Wana jaribu kuzuia noor ya Allah namidomo yao Allah atatimiza noor yake walau makafiri hawapendi (As-Saff-7)

  • @jamaljama1093
    @jamaljama1093 Před 2 lety +4

    MASHA ALLAH Na Allah awasamehe madhambi yenu wewe pmj na timu yako

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim6133 Před 2 lety +2

    Maa shaa Allaah
    Masheikh wetu munafanya kazi nzuri sana, Allaah azidi kuwapa nguvu until the last breath.

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Před 2 lety +1

    Mashallah shehe ramadhani unajitahidi sanaaa kuwatowa watu katika giza Allah azidi kukulipa kheri

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 Před 2 lety +6

    Asalam Alaykum ! Masha Allah ! wacha tuwasikize ndugu zetu !

  • @hafsakirao398
    @hafsakirao398 Před 2 lety +2

    Masha'Allah hapo kuna watu wameelewa na ln Shaa Allah wataongoka.

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Před rokem +1

    Nimependa so wakristo wametulia alafu waelevu sana Allah awape hidaya nasisi atufishe tukiwa wacha mungu na wewe muhadhiri wetu shekh ramadhan Allah akulipe kher 🤲

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Před 2 lety +1

    Mashallah sheikh ramadhan na team yako kwa kazi mzuri ya kulingania uisilamu, Allah awape afya na awaruzuku janatul firdaus

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Před 2 lety +2

    Ramazan Kareem

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Před 2 lety +2

    Masha ALLAH Tabarakallah sheikh wetu Ramadhan. ALLAH akulipe pepo ya Fridaus Insha ALLAH..🤲

  • @nooor1120
    @nooor1120 Před rokem +1

    Allah awahifadhi kila anae mkubali Allah

  • @ahmedrustu1283
    @ahmedrustu1283 Před rokem

    Maa shaa Allah mbarikiwe nyote kazi ya dawah ni raha sana lakini ni ngumu inataka subira sana

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Před rokem

    Mashallah mashallah mashallah ,,ramadhan bin kaguoo tukoo pmjaa snaaa,,, Allah akujazee kherii,, kherii

  • @chimohassan8499
    @chimohassan8499 Před 9 měsíci +1

    MashaAllah🤲

  • @mwanaidiissa10
    @mwanaidiissa10 Před rokem

    Mwenyezi mungu akujaalie umri shekhe kwa kuwalingania

  • @catherine7202
    @catherine7202 Před rokem

    God is one from 3 steps God the Father, God the son God the holispirit

  • @kennedyireri1813
    @kennedyireri1813 Před 2 lety +1

    Waisilamu wanashinda kweli, kristo ni jina lisilo na mtu mwingine isipokuwa yesu. Jina kristo ni lake ukristo ni njia zake wafuasi wake wakristo, kusema yesu si mkristo ni sawa na mfano mtu anayeitwa AWA ZAINABU kusema AWA si ZAINABU katika tabia zake. hii in upungufu wa elimu.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před 2 lety +1

    Takbiriii

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb Před 2 lety +2

    Masha Allah

  • @dugulemuse4458
    @dugulemuse4458 Před 4 měsíci

    Yesu ni mwislamu, wakristo wamepotea 😢

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 Před rokem +1

    Allah tunakuomba uwaoneshe haki waeze kuifata hakika yako wewe ndiyo humuongoza umtakaye

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Před rokem

    Wewe Ramadhani kila uamkapo unawaza kumjadili Yesu kristo. Hilo jina unalolichezea unachezea moto. Muulize paulo aliekua anaitwa sauli kilichomkuta

  • @nasseralmaqbali6317
    @nasseralmaqbali6317 Před 2 lety +4

    Thanks Islamic scholars for your best work to call people to accept Islam

  • @mwarabumbarak4342
    @mwarabumbarak4342 Před 2 lety

    Manabii wote walifanya da awah kama hivi kuwafuata watu na kuanza kuwahubiria mashaa Allah Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu. Katika kazi hii ya Da awah.

  • @najaasalim8942
    @najaasalim8942 Před 2 lety

    Mashaallah shekh ramadhan bidii uko nayo mu ngu akuzidishe akupe ufahamu zaidiii uwafunulie ukweli watoke kwenye dhulma

  • @jamesriwatuvana9561
    @jamesriwatuvana9561 Před 2 lety +2

    Muogopeni Mungu, YESU alikuwa Myahudi kazaliwa Bethlehem, Mama yake Mariam ni binti yake Yesse wa Nazareth mkulima wa mizabibu na alibatizwa na Nabii Yohana mbatizaji kwenye mto yordan, dah hakukua na uislam wakati huo.

    • @talibmuhsin5221
      @talibmuhsin5221 Před 2 lety

      Tafuta darasa ukasome UISLAMU utajua yesu alikua Nan

    • @jamesriwatuvana9561
      @jamesriwatuvana9561 Před 2 lety

      @@talibmuhsin5221 huyo wa kwa waislam Alie zaliwa jangwani huyo wenu hatumjui,

    • @jamesriwatuvana9561
      @jamesriwatuvana9561 Před 2 lety

      Msitulazimishe

    • @ambarnelly6304
      @ambarnelly6304 Před 2 lety

      Ndo mana mungu akaumba pepo na moto ,.mana hakuna maandiko ukristo ni dini

    • @kingsdaughter2040
      @kingsdaughter2040 Před 2 lety

      Kwani Muhammad ndio alimpa yesu shahada kweli inawezekana yesu ni mkuu zaidi ya wote na alikuwepo kabla ya yote

  • @hakizimanantawundi9369
    @hakizimanantawundi9369 Před rokem +4

    Yesu alikuwa haingii katika sinagogi kusali. Alikuwa anaingia kufundisha. Na Yesu hakututaka sisi tusali katika masinagogi alitaka tusali kanisani. Na ndiyo maana na yeye aliahidi kuhenga kanisa na siyo sinagogi.
    Soma Mathayo 16:18. "Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda." Someni muelewe ndugu zangu wapendwa.
    Vinginevyo kama mnatutaka nasisi tuje misikitini kuwafundisheni neno na kweli ya Mungu ni sawa kabisa. Tuambieni.

    • @nicetorquato1533
      @nicetorquato1533 Před rokem +1

      JESUS ​​Christ our Savior will punish you if you do not repent of your sins

    • @mohamseyf6243
      @mohamseyf6243 Před rokem +2

      Ungejua maana ya desturi tu ungeacha hizi kelele zako

    • @hakizimanantawundi9369
      @hakizimanantawundi9369 Před rokem

      @@mohamseyf6243 Kalia desturi zako ila ujue hazitakuokoa.

    • @Mercy-ff5tu
      @Mercy-ff5tu Před rokem +1

      Volume please...uko sawa

    • @omarykusah9719
      @omarykusah9719 Před rokem +2

      Paul ndio ameleta ukristo huyu ni muongo kwnz nakujiita ni muisrail wakat yeye ni roma mzungu ndio amelat Hy ya makanisan yesu ukijifamalia yote walikuwa waislamu Waz Waz endeleen kuimbA kwaya mungu mtakutana nae

  • @musanike3079
    @musanike3079 Před rokem

    The best Dawaah Mtaani

  • @reminderafterministry254
    @reminderafterministry254 Před 2 lety +3

    MASHALLAH

  • @nooor1120
    @nooor1120 Před rokem

    Maa shaa Allah sheikh Shaaban tunakuombea kwa Allah akulinde na kila adui akuhifadhi na kila baya akupe umr mrefu na afya kamil uzidi kuendelea na kazi yako.

  • @am_fashabi3888
    @am_fashabi3888 Před 2 lety +2

    mashallah wataelewa tu

  • @asharamdan363
    @asharamdan363 Před rokem

    mashallaaah ❤ mashallaaah ramadhani allaah atupe mwisho mwema ❤❤❤❤

  • @ChristianRamadhan-uf3ob

    wow that's amazing

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 Před 2 lety

    Shelkh Ramadhani Mwenyezi Mungu hakupe afya njema na maisha marefu kusudi uzidi kumtangaza Allah

  • @johnkyania2570
    @johnkyania2570 Před rokem

    Mkristo ni anayefuata Kristo. Yesu atakuwaje Mkristo kama yeye ndio Kristo.

    • @eyeonnature4022
      @eyeonnature4022 Před 5 měsíci

      Mkristo ni anaemfata kristo, ukristo ni nini?

  • @asharamdan363
    @asharamdan363 Před rokem

    mashallaaah ❤ mashallaaah ❤

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Před 2 lety +1

    Safi Sana!

  • @yachyach5619
    @yachyach5619 Před rokem

    Mnafanya kazi nzuri Masha Allah ♥️♥️♥️♥️

  • @mugosolo1602
    @mugosolo1602 Před 2 lety

    Kazi safi sana sheikh Ramadhan.
    Allah subhanna wa taala akuzidishie hapa duniani na pia akhera

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 Před 2 lety

    Kazi nzuri mungu awajalie wepesi

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 Před 2 lety

    MashaAllah

  • @saidali2981
    @saidali2981 Před 5 měsíci

    Shukuran sana

  • @Allymbaruku991-lj1om
    @Allymbaruku991-lj1om Před měsícem

    Naaaam

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 Před 2 lety

    MashaAllah MashaAllah

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255 Před 3 měsíci

    Wa Kenya wandugu yangu bible ame kuja na ukoloni

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před 2 lety

    Mashaallah mashaallah ustadh ramadhan allah akujaalie kila la kher

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 Před 2 lety

    Mashallah mafundisho mazuri ALLAH awahidi

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Před rokem

    Mnawaokota mazuzu. Ukristo ni Imani yenye umri mkubwa kabla ya Imani yeyote inayoishi hata Sasa.

  • @naomiwambuimary108
    @naomiwambuimary108 Před 2 lety +3

    Jesus is the way and true na kila goti litapiwa mbele zake mwache kuongozwa na ujinga

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před 2 lety

    Mas Allah sheikh Ramadan kurya Allah akupe afya njema ili uzidi kuwapa ukweli

  • @princesspatra5494
    @princesspatra5494 Před rokem

    WAILSMAU MKO NA SHIDA NDOGO SANA....LAZIMA MLAZIMISHE YESU KWA UISLLAMU?????...ILE SIKU MTAJUA KUTOFAUTISHA YESU KRISTO NA isa bin maryam, MTAANZA KUKARIBIA PEPONI!!!
    GOODLUCK!!

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 Před 2 lety +1

    Mungu Baba, ana holy spirit,,,na yesu mwanawe.

    • @shushu8105
      @shushu8105 Před 2 lety

      Mwanae gani mungu hajaza wala hajazaliwa 😏😏😏

  • @Sal.0
    @Sal.0 Před 2 lety +7

    Katika Lugha za Ibrania, Aramaic na Arabaic, there is Plural of respect for God, also known as Majestic Plural!
    Therefore God, in the Three Semitic or Middle Eastern languages, can address himself as 'I' or 'WE', when he chooses!
    This SAME Plural of Respect is ALSO used to address an older person, in Semitic derived languages like Urdu.
    For xample, in Urdu, TU or You, becomes TUSI (Plural of respect) when addressing an older person.

    • @hakizimanantawundi9369
      @hakizimanantawundi9369 Před rokem

      You have spoken well and that is what I know. But also let people visit the bible in the epistle of Titus 2:13.
      What is the position of Jesus Christ in Godliness?
      What I understand is, speaking about the Godliness of the God of Abraham, Isaac and Jacob, three souls have to be considered.

    • @Sal.0
      @Sal.0 Před rokem +1

      @@hakizimanantawundi9369
      Sorry to disappount you, but the 'bible' which includes the Roman Paul's writings, is a FICTITIOUS European Book.
      The Bible was INVENTED and written by KingJames and his 46 Pagan Writers, in 1611AD!
      AND LUKE 1:1-4 EXPLAINS how the King James's bible's CONTENT was INVENTED and put together by 'many hands'!
      The Bible says very cleary that GOD, cannot DIE, nor be SEEN nor HEARD!
      Therefore, jesus or anybody else who has been SEEN and has tasted DEATH, can NEVER have ANY 'GODLYNESS' attributes!
      Do you undestand?
      Terms like 'god of isreal' and 'god of ibrahim' are NONSENSICAL phares invented by the bible writers, who were inspired by the Unholy Spirits called Whiskey and Brandy, in 1611AD!
      This is why the 'bible' contains PORN (songs of solomon) , INCEST(Lot n Daughters), abrahim marry sister Sara, brothers n sister Sex(TIMAR) LOOSE MORAL(Boaz n Naomi), DRUKENESS( noah naked n drunk)etc, etc!
      TOTAL DISRESPECT for NOAH (by the DRUNK bible writers) who was a PROPHET of GOD!
      SORRY, that is the TRUTH.

  • @azizalaobaid7520
    @azizalaobaid7520 Před 2 lety

    Kumewaka moto watu hapa, kali sana

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Před rokem +1

    Shehe mtafite ndacha ndo mkaidi anajua uislam ndo dini ya kwl lakin njaa inamuuma ndacha%

  • @catherine7202
    @catherine7202 Před rokem

    Mtachanganyishwa akili na hawa watu 😮😮

  • @talibmuhsin5221
    @talibmuhsin5221 Před 2 lety

    Itakapo kuja nusra ya Allah na ushindi utawaona watu wanaingia ktk uislam makundi kwa makundi

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Před rokem

    Mnajadiliana na wakristo hovyo wasiojua kitu ndio mnawapeleka mnavyotaka nyinyi

  • @kingsdaughter2040
    @kingsdaughter2040 Před 2 lety +1

    Ukweli hakuwa na dini bali alikuja kwa wasio amini

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Před rokem +1

    Kama hakua mkristo ni sawa sababu jina mkristo limetokana nakusema mimi ni wa yesu kristo. Kama nyinyi mseme ni wa mhamadia. Unajua mtu alianza kubishana na watu waliosoma ukubwani ni lazima utachoka. Hapa tungeaanza kumpekua Muhammad. Hizo kanzu msingezivaa kamwe. Kila muakapo ni kumpekua Yesu kristo. Au ndio namna biblia alivyosema: kila ulimi utamkili kuwa ndie atakaehukumu?
    Mnamkili kiaina .yesu oyeeee. Kama mtu huna shuhuli nae huwezi kumtajataja kila wakati .ndugu zanguni mtajaaibika mbele huko

    • @hakizimanantawundi9369
      @hakizimanantawundi9369 Před rokem

      Hawa jamaa hata wasomapo huwa hawaelewi. Sijui ni kwa sababu kiongozi wao hakusoma??? Yesu alijenga kanisa na siyo sinagogi. Mathayo 16:18 "....juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa......"

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 Před rokem

      Kiongozi akiwa kipofu wewe unaemfwata unategemea nini

    • @Haroun_juma
      @Haroun_juma Před rokem

      Mh ndomna pelekwa kwenye uokovu

    • @Haroun_juma
      @Haroun_juma Před rokem

      Mtoke kwenye giza

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z Před 6 měsíci

    Hiyo ndiyo ujue ya kwamba, Ukisoma Biblia kwa makini, utajua maana ya Waislamu. (WISLAAM NDANI YA BIBLIA)

  • @hilalkeis4204
    @hilalkeis4204 Před 2 lety

    takbir

  • @ramajuma4063
    @ramajuma4063 Před rokem

    Sikuya kwanza ni mosi alafu pili alafu tatu alafu nne, tano, alhamis ijumaa

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Před 2 lety

    Ikiwa Wakristo wanasoma katika Biblia kwamba kuna maandishi kwamba Yesu alikuwa anaingia katika Msikiti basi wajue kwamba Nyumba ya Mungu pale watu wanaenda kusujudu kwa lugha ya kiarabu panaitwa MASJID (yaani Msikiti). Kwa nini panaitwa Masjid? Kwa kywa watu wanamuabudu Mungu kwa kusujudu.

  • @samuelondieki9164
    @samuelondieki9164 Před 4 měsíci

    Kujisalimiza Sio uislamu nikujiajia mnapoteza ili mupate asiyeelewa

  • @phoenixhub4454
    @phoenixhub4454 Před rokem

    Christianity come after jesus A.S and the person who brought Christianity was paul but christians choose to ignore that

  • @annendungutheremnant7242

    You should know the meaning of a Christian ,synagogue was started in babylon which is a mosque, because they left the temple in Jerusalem,where was anointed for taking sacrifices, when Jesus came he told the pharisees who were selling and buying in the synagogue 🕍and chased out and also akihutubu alisema ya kwamba atabomoa hilo jengo na kulijenga na siku tatu, inamaana,

    • @sarmajid8603
      @sarmajid8603 Před 2 lety +1

      Synagogue was started in Babylon !!where is your evidence from ?

    • @annendungutheremnant7242
      @annendungutheremnant7242 Před 2 lety

      @@sarmajid8603 read the bible well wacha kuruka ruka ukitafuta justification, the only dini that is true is knowing how you are staying in this world with God,wacheni siasa za dini mkindanganyana na maadiko matakatifu, siku ya kiama hakutakuwa na dini kutakuwa na ni nani alie tenda haki mbele za mwenyezi Mungu, the best dini is your heart wacheni propaganda

    • @annendungutheremnant7242
      @annendungutheremnant7242 Před 2 lety

      @@sarmajid8603 it was started when israel went in babylon when they left the temple in Jerusalem, so they started where they will be meeting to teach the laws of God, in the temple they were taking sacrifices,but in synagogue was only teachings, and this is what JESUS met, and he said to them he will destroy it in three days, because he wanted people to know the truth

  • @prettyaysha7892
    @prettyaysha7892 Před 2 lety +1

    Mtu akiona ukweli na akiamua kuufuata ni kazi kweli maana wagumu kweli

  • @bonfacemuia3541
    @bonfacemuia3541 Před 2 lety +1

    Ata Leo n yeye

  • @ndacyblame1867
    @ndacyblame1867 Před 2 lety

    Nataman unifundishe kuisoma biblia sheikh

  • @ESM1434
    @ESM1434 Před 2 lety

    Najua waislam mna madhehebu makubwa mawili Shia na sunni .WWE uko Gani ili niweze chagua. Na nielezee sifa za kila dhehebu ili niweze fanya auamuzi sahihi Asante

    • @shushu8105
      @shushu8105 Před 2 lety +1

      Kasome utaelewa kila kitu

    • @NurdiinXabiib
      @NurdiinXabiib Před 2 lety +1

      Just read and open mind you will not be disappointed good luck....

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493 Před 2 lety +1

    Tatizo hawasomi maandiko, wakifika kanisani wanasomewa ndio sababu hawajui nini kimeandikwa katika bibilia

  • @josephkenga5627
    @josephkenga5627 Před rokem

    Dini ndizo zimeleta mgawanyiko hasa kwa waafrika;

  • @maherzain615
    @maherzain615 Před 2 lety

    Kiwa bblia nikitabu Cha mungu kwann kiwe na tashwishi Kuna Cha ukweli na Cha urongo? Qur'an sijaskia Kuna yaurongo nayaukweli

    • @TeamKRX
      @TeamKRX Před 2 lety

      Wametengeneza hawa wazungu baba kuichafua kuran yetu toba nimeskia tena wanaisambaza wazimu hawa ila haina nguvu na utakaa ivyo ivyo

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Před rokem

    Talbir

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 Před 2 lety +1

    Kwa hiyo hawajui hata UISLAMU ulianza lini????!!!

    • @ambarnelly6304
      @ambarnelly6304 Před 2 lety +1

      Uislamu ulianza kwa mungu mwenyewe mana ndo alo tuletea

    • @Asiyah2000
      @Asiyah2000 Před 2 lety

      Islam is the only religion brought down to the earth since Adam peace be upon him

  • @jacksonpetem5798
    @jacksonpetem5798 Před rokem +1

    Wapumbavu nyie yesu hana dini "Yesu ni mwana waMungu aliye hai"nani wawote wenye mwili

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 Před 2 lety

    Nyinyi waislamu mnauongo dini ni njia kwa kiswahili na yesu ndie njia yaani dini...

    • @ambarnelly6304
      @ambarnelly6304 Před 2 lety +1

      Kitu gani alicho kifanya yesu nawe unakifuata kama wewe ni mkweli

  • @hakizimanantawundi9369
    @hakizimanantawundi9369 Před rokem +2

    Shehe, kukemea pepo siyo kuomba. Unataka ukemee pepo kama mtu aombaye chai? Na hapo ndipo mnapifeli. Yaani kwenye kutoa pepo mnataka muombe?🤣🤣🤣 Yaombeni ninyi. Maana ni mandugu yenu. Kwa maana maandiko yenu ndiyo yanayotuambia Muhamadi alipozaliwa majini yalifurahi na yakasilimu. Kwahiyo ni halali kwenu muyaombe. Ila kwetu sisi ni kuyakemelea mbali.

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 Před 2 lety

    Kusilimu mlitoa wapi na mnaamini yahye yohana mbatizaji...mbona hambatizwi mkaokoa??

  • @yahchildg7283
    @yahchildg7283 Před 2 lety

    Nawasihi,wenzangu watu weusi,tutokeni katika hizi dini ambazo ,they were religion s imposed on our ancestors against their will,they are a false religion,we are the children of the most high true God,let us return to our roots,repent and humble ourselves before ,the true creator,and he will heal us and our land.

    • @buuwahiid2898
      @buuwahiid2898 Před 2 lety

      Nikulize dada angu hivi ushawahi kuona nchi gani haina uongozi wa katiba bila shaka lazima nchi iwe na serekali na katiba ili iwaongoze raiya Sasa na Mungu vile vile ameuleta uislamu ili utuongoze kaa ukijuwa ktk Quran ambacho ndio kiarabu cha uislamu hakuna kitu chochote kile hakikutajwa ukija mambo ya chemistry physics n.k yamepatikana ktk Quran Sasa dada angu mpendwa washwahili wanasema usikihukumu Kitabu kw kuona kava yake nikukaribishe uje nikufahamishe uislamu halafy ndio utajuwa ni dini ya waarabu au Mungu

    • @yahchildg7283
      @yahchildg7283 Před 2 lety +1

      @@buuwahiid2898 ninajua kiislamu,nimekaa Saudi Arabia more than five years,naelewa,nakuelewa.but niambie hivi .Sisi Kama ,watu weusi,unataka kuniambia hatukumjua mungu,kabla Hawa wageni, wa arabu na wazungu waje?na Kama ni mungu was ukweli na mwena,mbona Sasa walilazimisha na kuwatesa mababu wetu? enslaved to a them,tourtured ,hate, castrated,raped our women, threw our children to the crocdiles n killed them.????kwa Nini Sasa,Sisi, weusi watu,Kila mtu anatuletea dini zao na tabia zao,ilhali hakuna anayeinga tabia na dini zetu,why do they want to wipe out beliefs n culture,why do they all hate the melanated race,even as if now?ilhali tunajua Africa is the cradle of mankind,we are the original race,Hawa wengine wote ni recessive genes,kwa Nini Sisi tuendelee kufuatilia hizi dini na tabia ambazo wengi wetu,si hiari yetu, listen we as black people are awakening to the truth ,seek and you shall find,or u LL b left behind to b annihilated together with these heathen,coz tuko nyakati za mwisho,and their rule will soon b over,and the everlasting kingdom prepared for the chosen is at hand,who is the chosen and children of promise? Do u know.

    • @buuwahiid2898
      @buuwahiid2898 Před 2 lety

      @@yahchildg7283 asant kw suali zuri kwanza nirejee tena kukujibu ili ujuwe ukweli wa kitu chochote ni lazima ukifatilie au ukisome ndio utakijuwa sasa dada angu ww umesoma historia pengine kitabu kimoja utakosea unapofanya utafiti au kujuwa historia unatakiwa kusoma vitabu zaidi ya kimoja mfano uislamu unasoma au hata mm naweza kukufahamisha vizuri uislamu ukafahamu ukauanga je kweli hii dini ndio mafunzo yake kutesa watu au hii dini ni ya waarabu au Mungu ukisoma Uislamu haujaamrisha kuuwa kutesa watu kiufupi usiwaangalie watu km wazungu wengi wanaslimu kutokana na kusoma uislamu vitabu vyake wanagunduwa uislamu ni dini ya kweli tofauti na watu wanavyo uchafuwa na baadae uislamu utakuwa dunia mzima kw hayo ya iuteswa babu zetu hayausiani na dini na dini ya uislamu inayakataza kuna wale walikuja kueneza dini mbali na waliokuja kuwatesa babu zetu mbali ukisoma historia utayakuta lkn usisime kitabu kimoja tu soma zaidi

    • @Asiyah2000
      @Asiyah2000 Před 2 lety

      @@yahchildg7283 the religion that enslaved you is Christianity so you should know your history atleast

  • @hakizimanantawundi9369
    @hakizimanantawundi9369 Před rokem +1

    Sasa unapouliza Yesu alikuwa dini gani ni swali gani hilo?
    Yesu mwenyewe ndiye dini. Na wewe unauliza Yesu ni dini gani!!!
    🤣🤣🤣🤣 Sijaelewa kiufupi. Jua kwanza maana ya neno dini kisha utembelee bibulia takatifu kitabu cha Yohana 14:14. Soma uone Yesu ndiye dini na kweli na uzima. Sasa Yesu alikuwa dini gani! Tengeneza swali hilo vizuri.

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v Před 8 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 WAISLAMU ACHENI UONGO WENU
    MATHAYO 16
    16 SIMONI PETRO AKAJIBU AKASEMA; WEWE NDIWE KRISTO; MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.
    18 NAMI NAKUAMBIA; WEWE NDIWE PETRO; NA JUU YA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA LANGU ; WALA MILANGO YA KUZIMU HAITALISHINDA.
    AMEN❤❤❤ SIO MSIKITI

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 Před 2 lety

    Wacha kuchannganya watu sinagogi ni msikiti wa wayahudi sio msikiti wa waarabu maccer.. elewa. misikiti ni mingi duniani tofauti

  • @catherine7202
    @catherine7202 Před rokem

    Msikubali kubadilishwa hapo😅😅😅

  • @isaackbuudi5417
    @isaackbuudi5417 Před 2 lety

    Vitabu viwili viliadikwa Miaka mingi hiliyo pita, bibilia na coroan, mbona mwa NGA ngania Imani?? Si mtu amini kimoja?

  • @brightzone.
    @brightzone. Před 8 měsíci

    Unakutana na watu wasiojua maandiko.
    Watu hawaelewi hata kitabu cha LUKA kiko New tastement au old tastement.
    Sinagogi sio msikiti na Yesu hakuwa Muislamu na hakuna nabii yoyote aliyewahi kuwa muislamu.
    Wacha kupotosha watu.

  • @tomayodi3762
    @tomayodi3762 Před rokem

    Wacha kudanganya watu uisamu umeanza na Mohammed na hata haungekubalika Israel

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z Před 6 měsíci +1

    Hivi nyie Wakiristo, huo utatu maanake nini ?? Na mliitoa wapi !?? ACHENI KUABUDU KWA MAZOEA. MWENYEZI MUNGU NI MMOJA TU. KUBALI, USIKUBALI, NDIVYO ILIVYO.

  • @yangaaSC
    @yangaaSC Před rokem

    Shekhe mwizi huyu kakutana na watu awajui maandiko😂

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 Před 2 lety +1

    Ustadhi unanifuraisha wewe

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Před rokem

    Sasa vijana kama hao niwakuwauliza habariza yesu? Kama sikukosa kazi za kufanya. Narudia kila ulimi utamtaja yesu mnapewa uvuvio wa kumtaja kila wakati. Mjadilini asiejua kusoma wala kuandika

  • @user-xt3es5bv7i
    @user-xt3es5bv7i Před 5 měsíci

    setani anaesa kutega uanguke kwa lengo lake