Kisa cha Miraj - Othman Maalim

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 03. 2021
  • #Kisa #Mawaidha

Komentáře • 38

  • @AliNzaphila
    @AliNzaphila Před 4 měsíci +3

    Allah akupe njiA nzuri ya kueneza dini yetu ya kislamu naomba Tu dua Mimi nilikua kila Aina ya uraibu lakini namshukuru mungu nimeacha kila kitu na sai naswali nikikosa swala hua naumia sana

  • @johnmoses2345
    @johnmoses2345 Před rokem +3

    Masomo na wasio mzuri, naenda, mola akupe maisha mrefu, uendelee kunufaisha umma wake mtume.

  • @thumalove1886
    @thumalove1886 Před 3 měsíci +1

    ALLAH AKUHIFADHI SHEKH OTHMAN NA MASHEKHE WOOTE WANAO TUILIMISHA IN SHA ALLAH

  • @zenaibrahim437
    @zenaibrahim437 Před 28 dny

    Jazaakallaah kheri shekh othman mashallah

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 Před rokem +3

    Mashalla jaeak Alla million billion kheir

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 Před 4 měsíci +1

    Mashaallah mungu atuongoze

  • @user-fz5ff7rg1l
    @user-fz5ff7rg1l Před 6 měsíci +2

    InshaAllah mungu nijalie nikutane na shekhe othman

  • @mishikatana-ws4wi
    @mishikatana-ws4wi Před 3 měsíci

    Allah akuhifadh pamoja na kizazi chako.

  • @amurimzungu-tn4jf
    @amurimzungu-tn4jf Před rokem +2

    Mola akuhifadhi Maalim othman Maaalim

  • @josuzajsk398
    @josuzajsk398 Před rokem +5

    Mashaa Allah tabaraka arrahmaan sheikh Othman.... in shaa Allah Allah azidi kukujaalia ilmu na sisi tunufaike 😍

  • @zuberikijangwa6708
    @zuberikijangwa6708 Před rokem +1

    Mashaallah 🥰🥰 jazakanllah kheri othmani maalimu

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 Před 5 měsíci

    Mashaallah mwenyezi mungu akujalie Kilalaher

  • @zenazena2451
    @zenazena2451 Před 4 měsíci +3

    Allwa akupe heri kumbwa pamoja na kizazi chako kiwe na ilimu

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 Před 9 měsíci

    Ma sha Allah Allah Othman Malim

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 Před 5 měsíci

    SubhanaLLAH ALLAH ni Mwingi wa Rehma

  • @hamisaabdalah6232
    @hamisaabdalah6232 Před 4 měsíci

    Masha Allah... Allah tabaraq

  • @rehemawanjala-bu5oq
    @rehemawanjala-bu5oq Před 5 měsíci

    Mashaallah tabaraka Allah 🎉🎉🎉

  • @user-pi3pg5we1c
    @user-pi3pg5we1c Před 3 měsíci

    Mashallah

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 Před rokem

    Jazaaka lahu haira sheikh wutu

  • @user-os4eu4qd5m
    @user-os4eu4qd5m Před 4 měsíci

    Jazzakah llah sheikh🤲🤲🤲

  • @fatumamwinyi1943
    @fatumamwinyi1943 Před 2 lety +1

    Masha Allah kisa kizuri

  • @laufterchal8104
    @laufterchal8104 Před 4 měsíci

    Allah Akbar

  • @ngendakumanaselemani6722

    Shukran sana sheikh wetu

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 Před 6 měsíci

    Ma sha Allah

  • @amirisandoke19
    @amirisandoke19 Před rokem

    Masha Allah tabaraka llah

  • @pedrojoaonkavinge9535
    @pedrojoaonkavinge9535 Před 9 měsíci

    Isso está muito claro, allah te abençoe Osman

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 Před 2 lety

    Mashallah jazaka llahu lkheir 🥰

  • @asminamzamilu2550
    @asminamzamilu2550 Před 4 měsíci

    Mashaaallah

  • @bahiyaseleman5838
    @bahiyaseleman5838 Před 5 měsíci

    Moyo wangu hufarijika sana nikiwa na skiza visa

  • @abedishafii2054
    @abedishafii2054 Před rokem

    Maashallah

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed1871 Před 2 lety

    Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu JazakAllahu kheri

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 Před 7 měsíci +1

    She Unasema Wanawake wana Tabia ya kutokupenda Kushirikiana haswa kweye kushirikiana Mwanaume kwamba mwananamke anapenda Mume wake mwenyewe na sio mume kuoa wake wengine. Je, Wanaume nao Mbona hawapendi kushirikiana Mke mmoja wanaume wawiwili? Kwanini Kwa Wanawake iwe Raihisi kushirikiana Mume Lakini kwa Mwanaume hataki kushirikiana na Mwanaume mwingine? Hapo ndio penye kasoro kubwa ya Mwanamke kukandamizwa na kumfanya Mwanaume kama Mungu wa Duniani

    • @ms.zeyana7175
      @ms.zeyana7175 Před 5 měsíci +3

      Hio ni sheria na imeekwa kwa mazingatio makubwa na aliamrishalo Allah basi limetolewa kwa mazingatio makubwa sana.. Sheria ni wanaume ndio waneruhusiwa ila wanawake sisi kwa maumbile yetu Allah ameona tunatosheka na mmoja na tukiwa na wengi basi athari kubwa anaweza kuipata mwanamke

    • @user-by1hy9gu4b
      @user-by1hy9gu4b Před 5 měsíci

      Ameamrisha allah,Allah ni mjuz

  • @user-hf2ip3yj3w
    @user-hf2ip3yj3w Před 8 měsíci

    Mashallah jazakaallahu kheiran

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336

    Mashallah