DR SULE USIMFANANISHE MBWIA UNGA NA WANAMARUSHWA NI SAWA NA MASAHABAVHUO MFANO NI UPOTOFU HPO UMEKOSEA .HESHIMA YA MASWAHABA HUWEZI KUWAFANANISHA NA HUYO NA HUYO UNALIPWA KIASI GANI KWELI UWAOMBE MSAMAHA MASWAHABA
إنالله وإنا إليه راجعون ، Yaani nyie MADAAI uchwara ni khatari sana unaropoka tu ili kuwachekesha wanaokusikiliza ila unachoongea huna mazingatio nacho wala hutafakari madhara na faida zake, Swahaba Abdirrahman ibn Awf unamfananisha na MO Dewji Kisha unaomba ukutanishwe naye kabla ya Mtume !!! ???, yaani ye ni Bora kuliko Mtume, au MO Dewji ni bora kuliko Mtume, KHATAAAAARI KUBWA , NYIE MNAOSILIMU TUNAWAOMBA BAADA YA KUSILIMU ISOMENI DINI YA ALLAH KWANZA JAPO KWA KUONGEA HAMUWEKANI
Huenda labda ulighafilika ukajikuta umeropokwa na Domo lako hilo na huenda hujui mpaka sasa, akili ilijaam kufikiria utawauziaje Dawa za KISUNA **HESHIMA YA NYUMBANI** Ila mbona pamoja na watu wanaoendelea ku comment bado umedorora tu hata hujibu ?, MUHIMU KAFANYE ISTIGHFAAR KWA WINGI
Uyu jamaa Kama simuelewi vile swahaba anakua Bora kiliko mtume pole sana ndoo maana mwaipopo alisema we n tapeli Sasa unaanza kututapeli tumpende swahaba kiliko mtume
Masheikh mizigo ktk uislam sasa wewe mpumbavu unamfananisha tajiri wa kiswahaba na matajiri ambao wala riba wakubwa hivi nyie mnaakili kweli au mnatafuta wawaite wakawape posho?
Hata kama sina Ilmu hili sikweli unaomba bola kukutana na sahaba wamtume mbele ya mtume Astaghfirullah Ikiwa kuna Mtu Bola kitu bola kuliko Mtume wallah sisi hiyo Imani yako tunakua tunashaka nao Allayalaam
وروى البخاري من حديث أنس بن مالك رضي الله عنه أن النبي صلى الله عليه وآله وسلم قال: "لا يؤمن أحدكم حتى أكون أحب إليه من والده وولده والناس أجمعين". وكذلك عن أنس عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: ثلاث من كن فيه وجد حلاوة الإيمان أن يكون الله ورسوله أحب إليه مما سواهما.." الحديث Anas bin malik asema .kwamba mtume swalallahu alahi wasalam amesema.haitimii imani ya mmoja wenu mpaka anipende mimi zaidi kuliko wazazi wake na watoto wake na watu wote.na vile vile Anas radhi za Allah ziwe juu yake amesema mwenye kua na mambo matatu atapata utamu wa iman.awe mwenyezimungu na mtume wake ndio anaowapenda zaidi kuliko yoyote yule ama chochote kile. Hapa kateleza kidogo
Dr sule yupo sawa kama kuna mapungufu kidogo ni yakibinidamu2 ila kwakazi unayofanya sisi tunaiyona mwenyezi mungu akupe kheri nyingi kwakazi yako inshaallah
Sasa unafikiri sehemu atakayokuwa aliyetabiriwa pepo yaan suhaba Abdurrahman RA mtume hatokuwepo.... Huyo anayofanya ni kwa ajili ya radhi za Allah na mtume maana hao ndio moja kwake
Wallah hawawazushi huyuni jahili Hana akili kabisa someni sunna Soma Quran hakunakulimbe chochote chakukipenda kulimtume salana Salam zimfikie hivi nyie mashekh wanganga mnasoma vitabu vya kiganga ndo mnakua wanafiQ hivi subhanallah hatachizi anakupinga kwahili wallah inasikitisha Sana ndomaana mtume swalalahu ayhiwasalaam alisema tuombe elimu yenye manufaa sababu unaweza kusaoma pia ukawa mjinga kama Sulley sababu huna elimu yenye manufaa
jazakkallahu kheir sheikh may you live long bidhinllah
INSHAALLAH tutakutana nae kwa uwezo wa Allah
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Afwan
DR SULE USIMFANANISHE MBWIA UNGA NA WANAMARUSHWA NI SAWA NA MASAHABAVHUO MFANO NI UPOTOFU HPO UMEKOSEA .HESHIMA YA MASWAHABA HUWEZI KUWAFANANISHA NA HUYO NA HUYO UNALIPWA KIASI GANI KWELI UWAOMBE MSAMAHA MASWAHABA
Dr,sule Masha Allah Kwa Tiba unazotoa Kwa umma
Allahu Akbar
NIMEKUELEWA SANA SANA DR SULE, UNA MAPENZI MAKUBWA KWA MTUME NDIO MAANA UNAMPENDA SWAHABA ALIYEMPENDA MTUME SANASANA
Ma Sheikh wa Bongo noma kweli unapimanisha wacheza kamari watu wanakula mali za watu kwa batwi unapanisha na swahaba aya sawa
Yani dk Sule upo tayari ukutanishwe na swahaba mwanzo kuliko Mtume mm kwa mawazo yangu nahisi umechemka sn
Sifa a kijinga zitamponza na watu wanamsikilozatu anjiona mjanjaa
Mashallah
Innalilahi wainna irahi rajoon wallah hawawazushi hawasomi? Hivi umtume na swahaba Nani bora tumeambiwa kumpenda mtume kuliko mtu yoyote
Yaskitisha sanaa. Pengine amekosea tu apewe naswaha
Ameteleza kibinaadam
إنالله وإنا إليه راجعون ،
Yaani nyie MADAAI uchwara ni khatari sana unaropoka tu ili kuwachekesha wanaokusikiliza ila unachoongea huna mazingatio nacho wala hutafakari madhara na faida zake, Swahaba Abdirrahman ibn Awf unamfananisha na MO Dewji Kisha unaomba ukutanishwe naye kabla ya Mtume !!! ???, yaani ye ni Bora kuliko Mtume, au MO Dewji ni bora kuliko Mtume, KHATAAAAARI KUBWA ,
NYIE MNAOSILIMU TUNAWAOMBA BAADA YA KUSILIMU ISOMENI DINI YA ALLAH KWANZA JAPO KWA KUONGEA HAMUWEKANI
Huenda labda ulighafilika ukajikuta umeropokwa na Domo lako hilo na huenda hujui mpaka sasa, akili ilijaam kufikiria utawauziaje Dawa za KISUNA **HESHIMA YA NYUMBANI** Ila mbona pamoja na watu wanaoendelea ku comment bado umedorora tu hata hujibu ?, MUHIMU KAFANYE ISTIGHFAAR KWA WINGI
Yani mtihani Sana a naona Bola asikutane na mtume muhaamad sawalallahu alahi wasalam. Sifa zingine hizi
Kweli kabisa ukhuyya mtihan hawa mashkhe kashasha
Mwenzako kaacha Mali zake zote kunfuata mungu na mtume je ww unamkubaki umeacha Mali ngapi kwaajili ya dini.
Doctor sule nakukubali sna,achana na watu wa chuki
Hamna sheikh hapo njoo.kwenye usalafi uisome tauhidi.kwanza alf ukalinganie
Hahahaaaaa
Ww Kuna mahala umemkosea Mungu omba maghfira mapema
DR SULE UNAYUMBA...
mm huyu jamaa kuna muda mwingine namuonaga kama kibaraka hivi yaani mnafiki mnafiki Allah ànisamehe kwa kweli lkn huyu nina walakini nae
Allah Akbar
Walillahil-hamdu
Aaaaa
Shk. Asalam alaikum... hapo kwa kumtanguliza swahaba kabla ya mtume... umekosea shk...
Kweli kabisa hapa shekhe sijamuelewa kabisa
Ameteleza
Kaka unayumba mbona unatembea vibaya mtu sw wee usionane nae was Kwanza wakati.mtume sw awo masahaba wao ndo.wa.mwanzo wamuone.mtume.alaa
Naomba unipatie namba za huyu shehe
Tanzania
Waislam wake
Wanajua sana sana
Wana elim sana sana sana
dokta sule kwanza kasome TAUHEED
Ww umesoma
nitakapo kujibu kwamba nimesoma au nikijibu sijasoma itakuaje?
dahh huyu anapotea itabidi swahaba ni bora kuliko mtume huyu xio shekh
❤❤❤ Allah barik
Uyu jamaa Kama simuelewi vile swahaba anakua Bora kiliko mtume pole sana ndoo maana mwaipopo alisema we n tapeli Sasa unaanza kututapeli tumpende swahaba kiliko mtume
Masheikh mizigo ktk uislam sasa wewe mpumbavu unamfananisha tajiri wa kiswahaba na matajiri ambao wala riba wakubwa hivi nyie mnaakili kweli au mnatafuta wawaite wakawape posho?
Mitume ni bora kuliko muumini yeyote.
Hata kama sina Ilmu hili sikweli unaomba bola kukutana na sahaba wamtume mbele ya mtume
Astaghfirullah
Ikiwa kuna Mtu Bola kitu bola kuliko Mtume wallah sisi hiyo Imani yako tunakua tunashaka nao
Allayalaam
وروى البخاري من حديث أنس بن مالك رضي الله عنه أن النبي صلى الله عليه وآله وسلم قال: "لا يؤمن أحدكم حتى أكون أحب إليه من والده وولده والناس أجمعين". وكذلك عن أنس عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: ثلاث من كن فيه وجد حلاوة الإيمان أن يكون الله ورسوله أحب إليه مما سواهما.." الحديث Anas bin malik asema .kwamba mtume swalallahu alahi wasalam amesema.haitimii imani ya mmoja wenu mpaka anipende mimi zaidi kuliko wazazi wake na watoto wake na watu wote.na vile vile Anas radhi za Allah ziwe juu yake amesema mwenye kua na mambo matatu atapata utamu wa iman.awe mwenyezimungu na mtume wake ndio anaowapenda zaidi kuliko yoyote yule ama chochote kile. Hapa kateleza kidogo
Dr sule yupo sawa kama kuna mapungufu kidogo ni yakibinidamu2 ila kwakazi unayofanya sisi tunaiyona mwenyezi mungu akupe kheri nyingi kwakazi yako inshaallah
kaka unakoelekea sasa kuukwaa ubalozi kama siyo gsm ama mo dewj
Mh
Sasa mo dewj anatoa bilioni 20 simba anashindwa kujenga hata madrasa vituo vi 5 watoto wajifunze kuhusu MUNGU uislam kaz kwel
Mashehe wa kibongo wa mchongo huyu
Huyu jama wa ajabu sana , akutwanish na abdurhaman kabla ya mtume😳😳
Sasa unafikiri sehemu atakayokuwa aliyetabiriwa pepo yaan suhaba Abdurrahman RA mtume hatokuwepo....
Huyo anayofanya ni kwa ajili ya radhi za Allah na mtume maana hao ndio moja kwake
Mwaipopo alisema sule sio shehe kaongea pumba kishenz huyu
Acha jazba
Wallah hawawazushi huyuni jahili Hana akili kabisa someni sunna Soma Quran hakunakulimbe chochote chakukipenda kulimtume salana Salam zimfikie hivi nyie mashekh wanganga mnasoma vitabu vya kiganga ndo mnakua wanafiQ hivi subhanallah hatachizi anakupinga kwahili wallah inasikitisha Sana ndomaana mtume swalalahu ayhiwasalaam alisema tuombe elimu yenye manufaa sababu unaweza kusaoma pia ukawa mjinga kama Sulley sababu huna elimu yenye manufaa
We ndo mnafiki mkubwa hujamskiliza vzr unaanza kuropoka mtot wakaaba wew
kisa cha bible sehemu ya tatu
😂😂😂😂😂