DR.SULLE: HUYU NDIO SWAHABA WA MTUME S.A.W ALIEKUWA TAJIRI KAMA MO DEWJI AU GSM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 08. 2021
  • DR.SULLE: HUYU NDIO SWAHABA WA MTUME S.A.W ALIEKUWA TAJIRI KAMA MO DEWJI AU GSM

Komentáře • 59

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Před rokem +1

    jazakkallahu kheir sheikh may you live long bidhinllah

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 Před 3 lety +4

    INSHAALLAH tutakutana nae kwa uwezo wa Allah
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  Před 3 lety +2

      Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

    • @khamisshee5131
      @khamisshee5131 Před 3 lety +1

      Afwan

  • @tariqbathawab1147
    @tariqbathawab1147 Před 3 lety +1

    DR SULE USIMFANANISHE MBWIA UNGA NA WANAMARUSHWA NI SAWA NA MASAHABAVHUO MFANO NI UPOTOFU HPO UMEKOSEA .HESHIMA YA MASWAHABA HUWEZI KUWAFANANISHA NA HUYO NA HUYO UNALIPWA KIASI GANI KWELI UWAOMBE MSAMAHA MASWAHABA

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm Před 2 lety +1

    Dr,sule Masha Allah Kwa Tiba unazotoa Kwa umma

  • @abdallamoha3224
    @abdallamoha3224 Před rokem +1

    Allahu Akbar

  • @mariamngadoa7808
    @mariamngadoa7808 Před 2 lety

    NIMEKUELEWA SANA SANA DR SULE, UNA MAPENZI MAKUBWA KWA MTUME NDIO MAANA UNAMPENDA SWAHABA ALIYEMPENDA MTUME SANASANA

  • @MrAmissi
    @MrAmissi Před 2 lety +1

    Ma Sheikh wa Bongo noma kweli unapimanisha wacheza kamari watu wanakula mali za watu kwa batwi unapanisha na swahaba aya sawa

  • @ismailnassor785
    @ismailnassor785 Před 3 lety +3

    Yani dk Sule upo tayari ukutanishwe na swahaba mwanzo kuliko Mtume mm kwa mawazo yangu nahisi umechemka sn

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 3 lety

      Sifa a kijinga zitamponza na watu wanamsikilozatu anjiona mjanjaa

  • @amadoukimpembe4827
    @amadoukimpembe4827 Před rokem

    Mashallah

  • @jumanneissa8226
    @jumanneissa8226 Před 3 lety +3

    Innalilahi wainna irahi rajoon wallah hawawazushi hawasomi? Hivi umtume na swahaba Nani bora tumeambiwa kumpenda mtume kuliko mtu yoyote

  • @muhammadkifakara2573
    @muhammadkifakara2573 Před 3 lety +7

    إنالله وإنا إليه راجعون ،
    Yaani nyie MADAAI uchwara ni khatari sana unaropoka tu ili kuwachekesha wanaokusikiliza ila unachoongea huna mazingatio nacho wala hutafakari madhara na faida zake, Swahaba Abdirrahman ibn Awf unamfananisha na MO Dewji Kisha unaomba ukutanishwe naye kabla ya Mtume !!! ???, yaani ye ni Bora kuliko Mtume, au MO Dewji ni bora kuliko Mtume, KHATAAAAARI KUBWA ,
    NYIE MNAOSILIMU TUNAWAOMBA BAADA YA KUSILIMU ISOMENI DINI YA ALLAH KWANZA JAPO KWA KUONGEA HAMUWEKANI

    • @muhammadkifakara2573
      @muhammadkifakara2573 Před 3 lety

      Huenda labda ulighafilika ukajikuta umeropokwa na Domo lako hilo na huenda hujui mpaka sasa, akili ilijaam kufikiria utawauziaje Dawa za KISUNA **HESHIMA YA NYUMBANI** Ila mbona pamoja na watu wanaoendelea ku comment bado umedorora tu hata hujibu ?, MUHIMU KAFANYE ISTIGHFAAR KWA WINGI

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 3 lety

      Yani mtihani Sana a naona Bola asikutane na mtume muhaamad sawalallahu alahi wasalam. Sifa zingine hizi

    • @allycomm1553
      @allycomm1553 Před 3 lety

      Kweli kabisa ukhuyya mtihan hawa mashkhe kashasha

  • @mahmouduchiwembi2939
    @mahmouduchiwembi2939 Před 2 lety

    Mwenzako kaacha Mali zake zote kunfuata mungu na mtume je ww unamkubaki umeacha Mali ngapi kwaajili ya dini.

  • @sadathboutique6253
    @sadathboutique6253 Před 2 lety

    Doctor sule nakukubali sna,achana na watu wa chuki

  • @rajabuathuman8825
    @rajabuathuman8825 Před 3 lety +4

    Hamna sheikh hapo njoo.kwenye usalafi uisome tauhidi.kwanza alf ukalinganie

  • @maryamshuraim4163
    @maryamshuraim4163 Před 3 lety +1

    DR SULE UNAYUMBA...

    • @abubakarihamissi4178
      @abubakarihamissi4178 Před 3 lety

      mm huyu jamaa kuna muda mwingine namuonaga kama kibaraka hivi yaani mnafiki mnafiki Allah ànisamehe kwa kweli lkn huyu nina walakini nae

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 3 lety

    Allah Akbar

  • @user-qk7zm1dn8e
    @user-qk7zm1dn8e Před 7 měsíci

    Aaaaa

  • @sheikh.abuusamuhath
    @sheikh.abuusamuhath Před 2 lety +1

    Shk. Asalam alaikum... hapo kwa kumtanguliza swahaba kabla ya mtume... umekosea shk...

  • @alimash1872
    @alimash1872 Před 3 lety +1

    Kaka unayumba mbona unatembea vibaya mtu sw wee usionane nae was Kwanza wakati.mtume sw awo masahaba wao ndo.wa.mwanzo wamuone.mtume.alaa

  • @rashidikidume6363
    @rashidikidume6363 Před 2 lety

    Naomba unipatie namba za huyu shehe

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 3 lety +1

    Tanzania
    Waislam wake
    Wanajua sana sana
    Wana elim sana sana sana

  • @abuumudhakkir3688
    @abuumudhakkir3688 Před 3 lety +3

    dokta sule kwanza kasome TAUHEED

  • @nabilsuleimanhaji2437
    @nabilsuleimanhaji2437 Před 3 lety

    dahh huyu anapotea itabidi swahaba ni bora kuliko mtume huyu xio shekh

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Před rokem

    ❤❤❤ Allah barik

  • @bashkidana9404
    @bashkidana9404 Před 2 lety

    Uyu jamaa Kama simuelewi vile swahaba anakua Bora kiliko mtume pole sana ndoo maana mwaipopo alisema we n tapeli Sasa unaanza kututapeli tumpende swahaba kiliko mtume

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 3 lety +1

    Masheikh mizigo ktk uislam sasa wewe mpumbavu unamfananisha tajiri wa kiswahaba na matajiri ambao wala riba wakubwa hivi nyie mnaakili kweli au mnatafuta wawaite wakawape posho?

  • @abuusaad5791
    @abuusaad5791 Před 2 lety

    Mitume ni bora kuliko muumini yeyote.

  • @hajaniacharamadhani8074
    @hajaniacharamadhani8074 Před 3 lety +2

    Hata kama sina Ilmu hili sikweli unaomba bola kukutana na sahaba wamtume mbele ya mtume
    Astaghfirullah
    Ikiwa kuna Mtu Bola kitu bola kuliko Mtume wallah sisi hiyo Imani yako tunakua tunashaka nao
    Allayalaam

  • @amarislam1589
    @amarislam1589 Před 3 lety +1

    وروى البخاري من حديث أنس بن مالك رضي الله عنه أن النبي صلى الله عليه وآله وسلم قال: "لا يؤمن أحدكم حتى أكون أحب إليه من والده وولده والناس أجمعين". وكذلك عن أنس عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: ثلاث من كن فيه وجد حلاوة الإيمان أن يكون الله ورسوله أحب إليه مما سواهما.." الحديث Anas bin malik asema .kwamba mtume swalallahu alahi wasalam amesema.haitimii imani ya mmoja wenu mpaka anipende mimi zaidi kuliko wazazi wake na watoto wake na watu wote.na vile vile Anas radhi za Allah ziwe juu yake amesema mwenye kua na mambo matatu atapata utamu wa iman.awe mwenyezimungu na mtume wake ndio anaowapenda zaidi kuliko yoyote yule ama chochote kile. Hapa kateleza kidogo

    • @nurdinkamote6178
      @nurdinkamote6178 Před 3 lety

      Dr sule yupo sawa kama kuna mapungufu kidogo ni yakibinidamu2 ila kwakazi unayofanya sisi tunaiyona mwenyezi mungu akupe kheri nyingi kwakazi yako inshaallah

  • @kusakisoma3168
    @kusakisoma3168 Před 3 lety

    kaka unakoelekea sasa kuukwaa ubalozi kama siyo gsm ama mo dewj

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Před 2 lety

    Sasa mo dewj anatoa bilioni 20 simba anashindwa kujenga hata madrasa vituo vi 5 watoto wajifunze kuhusu MUNGU uislam kaz kwel

  • @user-fm8ll7ln9i
    @user-fm8ll7ln9i Před rokem

    Mashehe wa kibongo wa mchongo huyu

  • @ndayishimiyeabdallah98

    Huyu jama wa ajabu sana , akutwanish na abdurhaman kabla ya mtume😳😳

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Před 2 lety

      Sasa unafikiri sehemu atakayokuwa aliyetabiriwa pepo yaan suhaba Abdurrahman RA mtume hatokuwepo....
      Huyo anayofanya ni kwa ajili ya radhi za Allah na mtume maana hao ndio moja kwake

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah7461 Před 3 lety +1

    Mwaipopo alisema sule sio shehe kaongea pumba kishenz huyu

  • @jumanneissa8226
    @jumanneissa8226 Před 3 lety +1

    Wallah hawawazushi huyuni jahili Hana akili kabisa someni sunna Soma Quran hakunakulimbe chochote chakukipenda kulimtume salana Salam zimfikie hivi nyie mashekh wanganga mnasoma vitabu vya kiganga ndo mnakua wanafiQ hivi subhanallah hatachizi anakupinga kwahili wallah inasikitisha Sana ndomaana mtume swalalahu ayhiwasalaam alisema tuombe elimu yenye manufaa sababu unaweza kusaoma pia ukawa mjinga kama Sulley sababu huna elimu yenye manufaa

    • @husseinkazigo6189
      @husseinkazigo6189 Před 2 lety

      We ndo mnafiki mkubwa hujamskiliza vzr unaanza kuropoka mtot wakaaba wew

  • @salehhuty2887
    @salehhuty2887 Před 2 lety

    kisa cha bible sehemu ya tatu