EPUKA HAYA KATIKA MALENGO YAKO
Vložit
- čas přidán 4. 08. 2020
- Mafanikio katika maisha yanategemea sana ukubwa wa malengo uliyojiwekea. Sasa leo bwana Victor Mwambene atafundisha makosa 8 ambayo watu wengi huyafanya katika kupanga malengo na kuwakwamisha.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Malengo #VictorMwambene #SPN
ASANTE SANA KWA ELIMU ila Kwa yeyote anayesoma hii..
nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.!
Amiin kwa sote inshaa Allah 🤲🤲
Same to you 🙏
Amin
Ahsante sana kaka Victor...najifunza zaidi jinsi ya kufocus ktk maisha.
Asante mwalimusinasapoti, Zidi kuhusu elimuhii Mmungu nisaidie huu mwanzo Amin ...
Asante sana sana sana zaidi ya sanaaa umenifunza sanaaa brooh
Nice my brother .success paths is direction on my future
Mwenyezi Mungu akubariki sana kaka Victor. Nimekuelewa vizuri.
Assante saana kaka, mara ya mwisho nitaomba tuwasiliane unisaidie kibinafsi.
Nimependa elimu hii
Asante sna Kaka nimefurahia sna mafunzo yko ila katika vinanipa tabu sna hili suala la kumtafuta menta wako pamoja lingine la kumtauta aliyefikiwa kuliko wwe inakuwa n mitihan sna
Asante Kaka mmekuwa wakomboz wa maskin kwa elimu yenu
Asante kwa kutupa elimu bureeeeee kabisa
karibu sana
Asante sana brother malengo ninayo sema bado nakwama sijui nakosea wapi
Elimu nzuri Sana spn mko vizuri
Asante sana kwa kutupa elimu ya bureeee allah akujalie sana kaka daaah kwa moyo huu vipo vitu vingi nimejifunza kupitia mafunzo yako kaka
Miaka 5 ijayo labda ntakua kaburini
Malengo yangu ni mwa ujao insha, Allah sai niko kwenye mikakati na nisiri yangu manake binadamu wamekua na husda Sana.
Thanks.
Bro nakubali
Asante kwa somo nimejifunza kitu kikubwa sana barikiwa sana kaka
Asante sana Betty Obedy kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Asante kaka Victor Mwambene🙏 wallah umenifungua ubongo wangu
Asante sana kwa darasa👍👍👏👏
Ubalikiwe kaka mkubwa
Sijakupa asante hapa dunian tu hata mwisho wako uwe mwema, umepushi mambo muhimu bro.
Good Luck
Asante Sana kaka
Powa sana
Ok
Somo nzuri sana asante brother
Asante sana kaka kwa mafunzo mazuri 🙏🙏
dh umenigusa kaka uko sahihi
Shukrani kaka 👏
Thank you so much may God bless you and your family 🙏🙏keep doing what you doing
Kaka umenifungua zaidi big work you have done thank you!!!
Malengo muhimu. Lakini maisha hupangwa na Mungu
Ahsante kwa somo
Asante sana brother nimejifunza mengi kwenye hili somo
Asante Sana kwa kutujuza
Iko vizuri
Shukrani sana kaka 👏
Yaap bro hapo super
Asante sana pamoja sana
Nice bro
Thanks thou for the Great contents, Hit like If this video is helpful at your side
God bless you Victor
elimu nzur sana iyi
Thanks Soo much my brother,you have open my mind,you make me to know how to success untill nw
Hakika
mungu.azidi.kukueka.asante.sana.kaka.kwa.elimu.yako
Nashukuru sana mungu akujaalie
Good
Shukran sana
Asante,, ubarikiwe sana bro
Bro nakubal motivation zak
Hii ni vizur
Shukran sana.kaka nikwelii
sichoki kusikiliza bro mungu akubariki miaka mingi zaidi.
Shukran kaka
du akika unatupenda sana
thnx alot bro
You can't know your tomorrow
Thanks bro for your time and efforts to help us God bless you in your life
Thanks braza
Thank you my Brother Victor Mwabene you made it Bro your lessons are very helpful indeed, Shout out To the entire Team of Success path this is the real meaning of EACH ONE TEACH ONE we Appreciate you guys🙏🙏🙏🙏
Nawakubali sana na nmfuatiliaji sana wa hii channel, , But Nina nakala nmeandaa but cjapata presenter , , nakala inafundisha na nzuri ktk maisha pia
Nimefulah San nimependa
Hicho kitabu cha kutimiza malengo unacho na unauza bei gani nakihitaji
Naomba niuliz kit mfano umefanya biashara badae ukajikuta unafeli unachotakiw kufanya nn?
Unacho takiwa kufanya ni kuchunguza kitu gani haswa kimepelekea biashara yako ifeli.. Na ukisha gundua hicho kitu usi kirudie tena uki kirudia tena utafeli tena..
Nahitaji audio ya elimu hii na mada zenu kwa ujumla nifanyeje
Bro uko vizuri kuliko Ezden
Usiwachonganishe mwalim na mwanafunzi wake
Kitabu cha nanauka naipataje?
Na ni sh ngapi?
Mm nimekuelewa sana sana .. naomba namba ya kaka jumanne nataka nimwelezee ndoto yangu ...
Nkbl ichokitb bei gn nakipataje
Wasomi tuelimike
kitabu tunaweza kukipata vipi kaka?