UMEUMBWA KUFANIKIWA
Vložit
- čas přidán 4. 08. 2020
- Kila mtu anatamani mafanikio lakini kibaya zaidi kuna watu wengi sana wanaamini kuwa mafanikio ni kwa ajili ya watu wachache tu au watu wenye mazingira fulani au kutoka familia za namna fulani.
Sasa jifunze leo kuwa wewe umeumbwa ili ufanikiwe kupata zaidi sikiliza katika somo hili, fuatana na Victor Mwambene akituchambulia zaidi kwa undani.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
.
For Business please send me an email
successpathnetwork@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Mafanikio #Victor #Mwambene
First watching thank you and comment from Canada
Karibu sana Alaki.
Yap, nakubal sna🙏👍
Nimefurahia sana na maelezo yako lakini, sauti ya muziki imefanya wengi wetu hapa mahali tulipo tunakusikiliza hatukuifurahia hiyo sauti. Tunaomba isijitokeze kwa sauti au isiwepo kabisa
Asante
Issa Ally ni ukweli swadakta niko makini kuwasikiliza darasa la maisha kazi njema.
Victor Mwambene you're just blessings to the people!,thanks in advance brother!.
I appreciate that
God bless you 👋👋👋
Kwakweli Uposahihi mafanikio yapo mikononi mwako ukimtanguliza mungu Akuna linaloshindikana
Kweli kabisa Mungu anafurahi tukifanikiwa ila shetani ananuna.
Thank you so much brother
mashaallah very nice
Asante sana kaka.Ubarikiwe kaka.🙏🙏🙏
Blessed Brother 💖
Mungu akubariki❤️❤️
Big up I love you guys 💪
Yan leo ndo nmeanza kukwelewa mr mambene
Ukifanikiwa wewe Mungu Nae amefanikiwa ktk mipango aliyokupangia
Naam
Nikiitaji msaada zaidi
Naelewa sana chakula hiki Cha ubongo
Channel namba moja kwangu tz na east Africa napenda sana mafunzo yenu yamekuwa motivation kubwa kwangu
Tunashukuru Sana Dee
nimekupata vema mr
Mjomba wewe kombi gani ? Unaonekana una sign zaki genius
Hakika endelea kutujaza na elimu ya ubongo
Marcellah
mashallah