FANYA BIASHARA HIZI NNE (4) UFANIKIWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 04. 2023
  • Biashara leo zinategemea falsafa nyingi tofauti, na inaweza kuwa ngumu kuamua ni aina gani ya biashara inayofaa kwako. Katika video hii, nitajadili aina mbalimbali za falsafa za biashara na jinsi zinavyoweza kufaidika na wewe.
    Baada ya kuangalia video hii, utaweza kuamua ni aina gani ya biashara inayofaa kwako: ile inayotegemea talanta, ile inayotegemea mazoea ya kawaida, ile inayotegemea weledi, au ile inayotegemea kuwa mpatanishi. Maarifa haya yatakusaidia kuchagua biashara inayofaa kwa mahitaji yako na malengo yako ya kipekee!
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
    .
    WASILIANA NA VICTOR MWAMBENE
    Mshauri wa masuala ya fedha na biashara
    Instagram: @victor_mwambene
    Phone: 0744126640
    CZcams: / channel
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @jewajua5506
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO YA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #biashara #za #mafanikio

Komentáře • 78

  • @happinessgeorge
    @happinessgeorge Před 5 měsíci +4

    Local business kwer kutoboa ni ngumu aisee talent yangu nashndwa elewa maana nahs nna ktu zaid ya kimoja ngoja nijitafte shukran san

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 Před 11 měsíci +9

    ahsante sana nimejifunza kitu ambacho sikuwai kuwaza kwamba kuna biashara huwezi kurithisha

  • @nasibujohn-nt2pv
    @nasibujohn-nt2pv Před 4 měsíci

    its so wonderful speech am real appreciate it

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo Před 8 dny

    Sauti yako inasikika vzr sana matamshi yako yanaeleweka pia somo lako zuri asante sana

  • @dankirunda3368
    @dankirunda3368 Před rokem +7

    Shukran Sana kwa somo 🙏

  • @gabrielchristopher1979
    @gabrielchristopher1979 Před rokem +7

    Barikiwa zaidi brother.

  • @KijaMama-eg7gy
    @KijaMama-eg7gy Před 9 měsíci +2

    Asante kaka kwaushauli

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d Před 5 měsíci

    Ahsante sana kakaangu 🎉🎉🎉

  • @evaristlazaro6634
    @evaristlazaro6634 Před 3 měsíci +1

    nimejifunza asante

  • @user-pj1is6lw8m
    @user-pj1is6lw8m Před 9 měsíci +2

    Nakubali

  • @Xiiss72
    @Xiiss72 Před 11 měsíci +1

    Big up!

  • @rogersndaiga5832
    @rogersndaiga5832 Před rokem +1

    Aiseee, kweli kabisa.

  • @mkalitalkshow
    @mkalitalkshow Před 6 měsíci +1

    Nakukubali

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +2

    Asante

  • @henrykombe7335
    @henrykombe7335 Před 5 měsíci

    Nice nice

  • @noelaclaudy4721
    @noelaclaudy4721 Před měsícem

    Barikiwa kaka

  • @user-kw6bv9qp4e
    @user-kw6bv9qp4e Před 3 měsíci +2

    kaka ndio upo sahihi pia unaeleka lets us do it coz life is not easy

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz Před 3 měsíci

    Nakupata sana kaka

  • @smart_trendingshoes
    @smart_trendingshoes Před 6 měsíci +1

    🔥🔥👍

  • @danielnyari1119
    @danielnyari1119 Před 9 měsíci +1

    Thax sn

  • @lydiahmonyancha9383
    @lydiahmonyancha9383 Před 25 dny

    Kweli

  • @jamalaprilofficialthestory100

    uko vizur

  • @user-df1dh6qp8t
    @user-df1dh6qp8t Před 9 měsíci +2

    nakubali Sana good lesson ❤❤

  • @beatriceelison5047
    @beatriceelison5047 Před 3 měsíci +2

    Kaka nashkur Mimi ndio naanza naomba tuzungumze

  • @user-mj4qx3lr5r
    @user-mj4qx3lr5r Před 4 měsíci +1

    Nimependa biashara ya dagaa japo sijui nitawaoaje na wapi

  • @user-he5qo9wl5g
    @user-he5qo9wl5g Před 6 měsíci

    Habar nawezapata no yako....????

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 Před rokem +2

    Brother victor nimekupata.ubarikiwe

    • @victormwambene
      @victormwambene Před rokem +1

      Hongera, Endelea Kutufuatilia.

    • @AshuraIsaack
      @AshuraIsaack Před 4 měsíci

      Mimi hata sielewi maana uhandishi najua kushauri najua kutengeneza sabuni najua na matunda pia napenda kuuza

  • @harunaathumani1672
    @harunaathumani1672 Před rokem +2

    Thank u bro , I gained thing

  • @user-gd2qf4ee4n
    @user-gd2qf4ee4n Před 4 měsíci

    Kweli umenifunza kitu

  • @luciagabriel4520
    @luciagabriel4520 Před rokem +2

    Namba za simu za kukutafuta vp

  • @rashidomary5914
    @rashidomary5914 Před 11 měsíci +2

    Hapo kwenye tradition nimekukubali mana nishafanya ila kila nikipambana inakufa

    • @juliusappornaly215
      @juliusappornaly215 Před 11 měsíci

      😂😂😂😂😂 pole sana Mimi nilifunguaga mgahawa sehem nikapiga bao kweli kweli miez mitano badae nilikutana na kimbunga balaa ckupata pesa Tena tangia hapo nikaamua kufunga

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Před 5 měsíci +1

    Ahsante sana kaka,,,Sasa ninswali naomba unisaidiee Mimi kipaji changu saloon ya kike nifanyee nini ili niweze kuwaa imperk zaidi 🙏🙏🙏

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před 5 měsíci

    Nikweli ukijua kipaji chako hutumii nguvu nyingi

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před rokem +20

    Binafsi chakula yani chakula nikipika hakuna mtu anachomoka nakumbuka nilifanya kazi ya kupika sehemu wayeja wanaokula chakula walikua wanasema mkibadilisha mpishi tutajua tu na tutahama so na mie sikuwa mkaaji nilienda kushika kwa muda tu kwa sababu ya Corona ckuwa na kazi nilipoondoka biashara ilianguka ndani ya siku kadhaa tu naambiwa wanapika kilo moja ya wali na haiishi

  • @user-rl7zm6xu5t
    @user-rl7zm6xu5t Před 2 měsíci

    Kwa watu wa nnje utakipataje

  • @user-he5qo9wl5g
    @user-he5qo9wl5g Před 6 měsíci +1

    Kaka naomba unisaidie jambo ninahis kam ninakipaji cha canseling ushaur na huwa nikiongea na watu hunielewa sana na wengu huvutiwa san na mawazo yangu katika stor,, hebu nishaur mm sijasom nafanyaje ili niweze kifanikiwa katik hilo....???

  • @SaidDominick-tc2su
    @SaidDominick-tc2su Před 4 měsíci

    Uko sahihi kabisa mim nimekupenda sana ila mim Nina vipaji japo naishi kijijini unanishaulije hapo mwenzangu

  • @mwitathomas6832
    @mwitathomas6832 Před 3 měsíci +4

    Tatzo lenu ujuaji mwingi, mnasoma vitabu mnakuja kutupanda
    Muwe mnaingia site mfanye tafiti then ndo uzungumze

  • @editambwilo6383
    @editambwilo6383 Před 3 měsíci +1

    Mmmmmnhhhhhh Apo kwenye professional business Kaka kwa mwalimu kujenga shule unachukulia simple ee

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Před 4 měsíci +1

    Mimi nafundisha ufugaji bora na watu wanafanikiwa sana lakini hawanilipi kabisahii ni chanel yangu

  • @user-rp5ck7js7r
    @user-rp5ck7js7r Před 5 měsíci

    Victor😂😂

  • @user-gx4bz5zc3p
    @user-gx4bz5zc3p Před 5 měsíci +1

    Mimi naitwa travens naomba nambazako

  • @josephsantos5879
    @josephsantos5879 Před 8 měsíci +7

    Nimekusikiliza kwa makini umekuwa na story nyingi with no point yaani una aminisha watu fikra zako
    Una uwezo mzuri wa kuongea na nakushauri pitia vzr uhalisia wa maisha ya watanzania pia washauri kuhusu biashara zenye mtaji wa hali yao...
    Unashauri watu wafanye udalali utapata kazi ngapi?? Si utakufa njaa the rest zote ni educated needs
    Wengi wetu hatujasoma

    • @EstherMbise
      @EstherMbise Před 5 měsíci

      Yaaan uko sawa kabisaa .....kwanza anapoteza watu eti kipajii kwaiyo kama huna kipaji ya kupika usiuze chakulaa😂😂😂😂 mxiuuu 2:07

    • @missarepafra3973
      @missarepafra3973 Před 5 měsíci

      Baki hapo maana ndio unapataka. Kwa maelezo ya huyu mwlm lazima utajipata uko mwelekeo Gani tafuta, fanya taka msaada kwa watu wako wa karibu.

    • @kianokessy729
      @kianokessy729 Před 25 dny

      Soma ukiwa umerelax...tatizo umeshajiwekea mipaka ktk fikra zako kwahiyo lazima utaona kila kitu hakiwezekani. Uliza mawinga Kariakoo wanavyoendesha maisha yao kwa kuwa tu mtu kati.

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff Před 5 měsíci

    Umetusanua bro...watu wengi wanafanya traditional business...laki mbili adi tano ni ofisi..mh! Utabadilisha raba na jinsi ya mtumba tu..viwanja,magari, nyumba utaviona na kusikia story ukiwa kwenye kijiwe chako...

  • @abeljonaslupimo5117
    @abeljonaslupimo5117 Před 5 měsíci +2

    Uko sawa lakini umezingua saana maana mi sina tarent wala taaluma

    • @user-el6ec5qh6q
      @user-el6ec5qh6q Před 4 měsíci +1

      Hakuna binadam asie na talent

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 Před 2 měsíci

      kazungumzia upande wote tradition business sio lazima uwe na taalamu

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 10 měsíci +6

    Kipaji changu labda kupenda wanawake wenye makalio maana mpaka sasa sijaona kipaji changu chengine hahahahhahhaa

  • @jacojize4095
    @jacojize4095 Před 11 měsíci +8

    KWA UPANDE WANGU NAONA UPO SAHIHI KWA KIASI KIDOGO SANA..
    😊 KUNA WATU WANAFANYA BUSINESS KWA KUNUNUA NAKUUZA BIDHAA KUTOKA NJE. E.g ELECTONICS, NGUO, SPARE E.T.C
    😊 KUNA WATU WANAFANYA PRODUCTION KILIMO NA VIWANDA PIA WANAFANYA VIZURI KIMASOKO KATIKA BIDHAA WANAZO ZALISHA.
    😊WEWE UMEMALIZA CHUO KIKUU HIO SHULE UNAANZAJE KUIFUNGUA. LABDA CHEKECHEA😂
    😊MAWAKILI KILA MUHITIMU AFUNGUE OFISI.
    😊 CAPITAL YAKUFUNGUA ENGINEERING CONSULTANCY UNAJUA KIASI CHAKE.
    PROFESSIONAL BASED NA TALENT BASED BUSINESS SIO NTIA PEKEE ZA KUWA TAJIR AU KUFIKIA TARGET FLANI ZIPO NYINGI. ANGALIA HATA MATAJIRI 10 WA TZ NA DUNIA 10 ANGALIA HIZO NJIA ZAKO KAMA KUNA HATA MMOJA ANAFITI.
    HIO TALENT NA PROFESSIONAL UTAHISHIA KUAJIRIWA TU. KAMA HAUTA KUWA MAKINI NA NDIO KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WALIO SOMA......
    🎉NIWAZO TU........

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 11 měsíci +1

      Hapo nawe haupo sawa Talent pia uweza kumtajirisha mtu, . kwasababu msingi wamafanikio ni kitu kile ulichonacho sasa shida kubwa kwa wale walivyonavyo je wanamaarifa ? mfano mtu mwanamuzi anaweza akapata mil 10 na tayali ni mtu maarufu sasa changamoto inakuja je huyo mwanamuziki ana uwezo wakuongeza alichonacho mkononi 🤣 ndio unakuta watu wengi wenye asili ya vipawa fulani wanaweza kupata fedha nyingi kwa kipindi arafu mwishowe wakaishia patupu shida je unaweza kuendeleza fedha hicho kipawa pia unacho lakini li wazi talent umpa mtu utajiri tena mapema tu,

    • @neemakerefu4876
      @neemakerefu4876 Před 9 měsíci

      safiiiii

    • @user-ep3ho5gn2f
      @user-ep3ho5gn2f Před 6 měsíci

      Real brooh....biashar zake sjazielewaaa