FANYA BIASHARA HIZI NNE (4) UFANIKIWE
Vložit
- čas přidán 5. 04. 2023
- Biashara leo zinategemea falsafa nyingi tofauti, na inaweza kuwa ngumu kuamua ni aina gani ya biashara inayofaa kwako. Katika video hii, nitajadili aina mbalimbali za falsafa za biashara na jinsi zinavyoweza kufaidika na wewe.
Baada ya kuangalia video hii, utaweza kuamua ni aina gani ya biashara inayofaa kwako: ile inayotegemea talanta, ile inayotegemea mazoea ya kawaida, ile inayotegemea weledi, au ile inayotegemea kuwa mpatanishi. Maarifa haya yatakusaidia kuchagua biashara inayofaa kwa mahitaji yako na malengo yako ya kipekee!
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
.
WASILIANA NA VICTOR MWAMBENE
Mshauri wa masuala ya fedha na biashara
Instagram: @victor_mwambene
Phone: 0744126640
CZcams: / channel
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO YA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#biashara #za #mafanikio
Local business kwer kutoboa ni ngumu aisee talent yangu nashndwa elewa maana nahs nna ktu zaid ya kimoja ngoja nijitafte shukran san
ahsante sana nimejifunza kitu ambacho sikuwai kuwaza kwamba kuna biashara huwezi kurithisha
its so wonderful speech am real appreciate it
Sauti yako inasikika vzr sana matamshi yako yanaeleweka pia somo lako zuri asante sana
Shukran Sana kwa somo 🙏
Barikiwa zaidi brother.
Asante kaka kwaushauli
Ahsante sana kakaangu 🎉🎉🎉
nimejifunza asante
Nakubali
Big up!
Aiseee, kweli kabisa.
Nakukubali
Asante
Nice nice
Barikiwa kaka
kaka ndio upo sahihi pia unaeleka lets us do it coz life is not easy
Nakupata sana kaka
🔥🔥👍
Thax sn
Kweli
uko vizur
nakubali Sana good lesson ❤❤
Kaka nashkur Mimi ndio naanza naomba tuzungumze
Nimependa biashara ya dagaa japo sijui nitawaoaje na wapi
Habar nawezapata no yako....????
Brother victor nimekupata.ubarikiwe
Hongera, Endelea Kutufuatilia.
Mimi hata sielewi maana uhandishi najua kushauri najua kutengeneza sabuni najua na matunda pia napenda kuuza
Thank u bro , I gained thing
Hongera, Endelea Kutufuatilia.
Kweli umenifunza kitu
Namba za simu za kukutafuta vp
Hapo kwenye tradition nimekukubali mana nishafanya ila kila nikipambana inakufa
😂😂😂😂😂 pole sana Mimi nilifunguaga mgahawa sehem nikapiga bao kweli kweli miez mitano badae nilikutana na kimbunga balaa ckupata pesa Tena tangia hapo nikaamua kufunga
Ahsante sana kaka,,,Sasa ninswali naomba unisaidiee Mimi kipaji changu saloon ya kike nifanyee nini ili niweze kuwaa imperk zaidi 🙏🙏🙏
Anza kufanya, hata kama ni Kwa udogo anza
Nikweli ukijua kipaji chako hutumii nguvu nyingi
Binafsi chakula yani chakula nikipika hakuna mtu anachomoka nakumbuka nilifanya kazi ya kupika sehemu wayeja wanaokula chakula walikua wanasema mkibadilisha mpishi tutajua tu na tutahama so na mie sikuwa mkaaji nilienda kushika kwa muda tu kwa sababu ya Corona ckuwa na kazi nilipoondoka biashara ilianguka ndani ya siku kadhaa tu naambiwa wanapika kilo moja ya wali na haiishi
Waoh Hongera sana
@@victormwambene asante sana
Njaa atachomokaje
@@user-ol9vy7zn3z sio njaa tu
Nitumie contacts zako
Kwa watu wa nnje utakipataje
Kaka naomba unisaidie jambo ninahis kam ninakipaji cha canseling ushaur na huwa nikiongea na watu hunielewa sana na wengu huvutiwa san na mawazo yangu katika stor,, hebu nishaur mm sijasom nafanyaje ili niweze kifanikiwa katik hilo....???
Jina lako ninan kaka
Uko sahihi kabisa mim nimekupenda sana ila mim Nina vipaji japo naishi kijijini unanishaulije hapo mwenzangu
Kipaji gani
Tatzo lenu ujuaji mwingi, mnasoma vitabu mnakuja kutupanda
Muwe mnaingia site mfanye tafiti then ndo uzungumze
Umeona eeee. 😂😂😂
Mmmmmnhhhhhh Apo kwenye professional business Kaka kwa mwalimu kujenga shule unachukulia simple ee
Mimi nafundisha ufugaji bora na watu wanafanikiwa sana lakini hawanilipi kabisahii ni chanel yangu
Victor😂😂
Mimi naitwa travens naomba nambazako
Chukua namba kwenye description
Nimekusikiliza kwa makini umekuwa na story nyingi with no point yaani una aminisha watu fikra zako
Una uwezo mzuri wa kuongea na nakushauri pitia vzr uhalisia wa maisha ya watanzania pia washauri kuhusu biashara zenye mtaji wa hali yao...
Unashauri watu wafanye udalali utapata kazi ngapi?? Si utakufa njaa the rest zote ni educated needs
Wengi wetu hatujasoma
Yaaan uko sawa kabisaa .....kwanza anapoteza watu eti kipajii kwaiyo kama huna kipaji ya kupika usiuze chakulaa😂😂😂😂 mxiuuu 2:07
Baki hapo maana ndio unapataka. Kwa maelezo ya huyu mwlm lazima utajipata uko mwelekeo Gani tafuta, fanya taka msaada kwa watu wako wa karibu.
Soma ukiwa umerelax...tatizo umeshajiwekea mipaka ktk fikra zako kwahiyo lazima utaona kila kitu hakiwezekani. Uliza mawinga Kariakoo wanavyoendesha maisha yao kwa kuwa tu mtu kati.
Umetusanua bro...watu wengi wanafanya traditional business...laki mbili adi tano ni ofisi..mh! Utabadilisha raba na jinsi ya mtumba tu..viwanja,magari, nyumba utaviona na kusikia story ukiwa kwenye kijiwe chako...
😂😂😂😂😂
Uko sawa lakini umezingua saana maana mi sina tarent wala taaluma
Hakuna binadam asie na talent
kazungumzia upande wote tradition business sio lazima uwe na taalamu
Kipaji changu labda kupenda wanawake wenye makalio maana mpaka sasa sijaona kipaji changu chengine hahahahhahhaa
😂😂😂
Fanya iyo iyo ni biashara pia
Wake up men
Subiri mauti maana hiyo ndio njia nyepesi ya kuifikia harala na mapema
mmmh napita
KWA UPANDE WANGU NAONA UPO SAHIHI KWA KIASI KIDOGO SANA..
😊 KUNA WATU WANAFANYA BUSINESS KWA KUNUNUA NAKUUZA BIDHAA KUTOKA NJE. E.g ELECTONICS, NGUO, SPARE E.T.C
😊 KUNA WATU WANAFANYA PRODUCTION KILIMO NA VIWANDA PIA WANAFANYA VIZURI KIMASOKO KATIKA BIDHAA WANAZO ZALISHA.
😊WEWE UMEMALIZA CHUO KIKUU HIO SHULE UNAANZAJE KUIFUNGUA. LABDA CHEKECHEA😂
😊MAWAKILI KILA MUHITIMU AFUNGUE OFISI.
😊 CAPITAL YAKUFUNGUA ENGINEERING CONSULTANCY UNAJUA KIASI CHAKE.
PROFESSIONAL BASED NA TALENT BASED BUSINESS SIO NTIA PEKEE ZA KUWA TAJIR AU KUFIKIA TARGET FLANI ZIPO NYINGI. ANGALIA HATA MATAJIRI 10 WA TZ NA DUNIA 10 ANGALIA HIZO NJIA ZAKO KAMA KUNA HATA MMOJA ANAFITI.
HIO TALENT NA PROFESSIONAL UTAHISHIA KUAJIRIWA TU. KAMA HAUTA KUWA MAKINI NA NDIO KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WALIO SOMA......
🎉NIWAZO TU........
Hapo nawe haupo sawa Talent pia uweza kumtajirisha mtu, . kwasababu msingi wamafanikio ni kitu kile ulichonacho sasa shida kubwa kwa wale walivyonavyo je wanamaarifa ? mfano mtu mwanamuzi anaweza akapata mil 10 na tayali ni mtu maarufu sasa changamoto inakuja je huyo mwanamuziki ana uwezo wakuongeza alichonacho mkononi 🤣 ndio unakuta watu wengi wenye asili ya vipawa fulani wanaweza kupata fedha nyingi kwa kipindi arafu mwishowe wakaishia patupu shida je unaweza kuendeleza fedha hicho kipawa pia unacho lakini li wazi talent umpa mtu utajiri tena mapema tu,
safiiiii
Real brooh....biashar zake sjazielewaaa