JINSI YA KUGUNDUA KIPAJI CHAKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 03. 2019
  • JINSI YA KUGUNDUA KIPAJI CHAKO
    Ili ufanikiwe kwenye maisha ni muhimu sana kufahamu ni kitu gani wewe unaweza fanya bila hata kutumia nguvu nyingi, au ni kipi kipaji chako au uwezo ndani yako.
    Sasa katika video hii nakupa nafasi ya kujinza mambo Matano muhimu yatakayokusaidia kugundua kipaji chako kwa urahisi kama utayafuatilia kwa makini.
    1. listen to others (wasikilize wengine)
    2. Determine what is easy to do (Tafuta kile rahisi kwako kufanya)
    3. Check your conversations (Fuatilia maongezi yako)
    4. Ask others about you (waulize wengine kuhusu wewe)
    5. What you enjoy most (Tafuta kile unachopenda zaidi)
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #Gundua #Kipaji #Chako
  • Jak na to + styl

Komentáře • 537

  • @leonardmbito6488
    @leonardmbito6488 Před 5 lety +64

    Ezden ndio umenifanya nianze kusoma vitabu umenifanya nitengeneze seemu ya kusomea home now kila siku nazidi kubadilika sanaa naishi maisha ya tofauti mbaka rafiki zangu wananishangaa mungu akubariki sana🤲🙏🏻🙏🏻

    • @jacksonchibuga7686
      @jacksonchibuga7686 Před 5 lety +4

      Off cause yes wachache wanatambua hilo but nigm sana pia

    • @jacksonchibuga7686
      @jacksonchibuga7686 Před 5 lety +3

      Off cause yes wachache wanatambua hilo but nigm sana pia

    • @neemamjengi9913
      @neemamjengi9913 Před 5 lety +3

      Mungu akubariki zaidi kaka kwakunifungua

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 5 lety +4

      Asante sana kwa kufuatilia na hongera sana kwa kufanikiwa

    • @asherigavana8007
      @asherigavana8007 Před 5 lety +1

      Yeah have be get now my talent through that clips thanks for that clips

  • @denisrutha8992
    @denisrutha8992 Před 4 lety +6

    Kipaji changu ilikuwaga ni kuendesha mitambo na kujitengenezea vifaa vya umeme tangu nikiwa mdogo ndo maana mpaka leoo mm ni opareta wa mashine na mitambo asante sana mtumishii

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 Před 5 lety +23

    Allah atakulipa kwa kutoa elimu hizi bure.

  • @ramadhanbashir8484
    @ramadhanbashir8484 Před 4 lety +3

    Mungu akulinde na kila shari na uadui,na aifanye hii elimu ya maarifa unayotupa iwe swadaqa tujaria yako AMIN.

  • @danielshauri7904
    @danielshauri7904 Před 5 lety +5

    unachokizungumza ni kweli mr. hayanaubishi ni rahisi sana kwa msomaj mzuri wa vitabu , kuwa na muunganiko mzuri wa kutimiza malengo hii ni kutokana na hamasa ambayo inachochewa na mwandishi wa kitabu husika. ni mara yangu ya kwanza kutizama video yako.. wew n sehem mojawapo ya watu wanaosaidia wengine kuweza kutambua uwezo walionao ...Mungu akutie nguvu uzidi kuhamasiha ili tuwezekuzifikilia njia za mqfanikio

  • @luluallybintiwaamani6303
    @luluallybintiwaamani6303 Před 5 lety +18

    Mmmmmmnh wallahii M.mungu azidi kukupa umri mrefu nakuzidi kukupandisha darja zaidi ya hapo ulipooo..na azidi kukupa moyo huo huo wakutochoka kutuelimishaa blessing broo shukran

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 Před 5 lety +13

    Brother Nakushukuru sana, kupitia masomo yako nime fanikiwa kubadilisha mfumo wa Maisha yangu, Nime kuwa Mtu wa kuamka mapema sana, na fanya mazoezi, naandaa Ratiba yangu ya kila siku, na nimeanza kusoma vitabu.MUNGU akubariki sana kaka

  • @Aisha-xx8qq
    @Aisha-xx8qq Před 5 lety +31

    Asalaam aliykum, hakika haya mafunzo yatabaki milele Allah atuongoze tuyaelewe na kuyafanyie kazi ,kila nafsi ina nafasi yake duniani hakuna aliyeumbwa kwa ajili ya wengine bali umeumbwa kwa ajili yako,mjenzi wa nyumba nyingi na nzuri yeye anaishi kwenye nyumba ya kupanga watu watacheka Sana wakifikiria kuwa ni mjinga ,Ezden muombe Allah wanaadam wanufaike ili ikusaidie pale wakati utakapofika uwezi tena kuzungumza liwe moja Kati ya yale matatu (3) MTOTO MWEMA ,SADAKA YENYEKUENDELEA na ELIMU YENYE MANUFAA amiini baraka-llwahu-fikih

    • @jeffmauzo5483
      @jeffmauzo5483 Před 5 lety

      Mashallah

    • @jeffmauzo5483
      @jeffmauzo5483 Před 5 lety

      Mashallah

    • @kassimsaadmsuya5352
      @kassimsaadmsuya5352 Před 5 lety

      Good

    • @sangajackson6509
      @sangajackson6509 Před 4 lety +1

      Safi ezy

    • @abdulnassirkhalid784
      @abdulnassirkhalid784 Před 4 lety

      Asaalam alaykum
      Allah akuzidishie umzidi Robert Kaisaki
      Unakuja vizuri mwanangu, nilikua sijakuona lakini upo vizuri.
      Wosia wangu endelea kujifunza, isikupitikie kujiona bora kuliko wengine hata kama utakua hivyo, endelea kua mchamungu, ni kwa uchamungu tuu utaweza kushinda uadui na hasadi zitakazo elekezwa kwako.
      Inshaa Allah nitakapo kuja bongo ninahamu tukutane
      Assalam alaykum.

  • @wizzgane9396
    @wizzgane9396 Před 5 lety +6

    Hakika nimetambua vingi nanimejua huwa najichelewesha.......Mungu akubariki zidi kuinua watu kupitia ulicho barikiwa

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 4 lety +2

    Everybody is unique let us show what we are made of. Ni kweli bro

  • @gambajunior2275
    @gambajunior2275 Před 5 lety +1

    Pamoja Sana bro Ezden nilijigundua nina kipaji ila kupitia ww ukagundua ukubwa wa kipaji changu ndugu yangu bila wewe nisengekua .. underground hip-hop ninae fanya kazi zangu bila kujali magumu mangapi ninayapitia... ubarikiwe Sana

  • @hemedhongo8687
    @hemedhongo8687 Před 5 lety +2

    Nmejigundua napenda KUBETI na kucheza Kamari... #Hii mbaya lakini, najitahidi zaidi kujisoma vizuri

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 Před 5 lety +3

    Pow sana kaka maana kujua kipaji ni ishu ya muhimu sana kwenye maisha haya

  • @piquephd7791
    @piquephd7791 Před 5 lety +7

    Yeah!! Uko sahihi kaka na hivi vitu tunakutana navo ila ttz hela ili kuweza kufanikisha kwa kufikia lengo husika...

  • @youngtz5619
    @youngtz5619 Před 2 lety

    Duuuh very interesting...................................................................................ma best

  • @boniphacejackson5962
    @boniphacejackson5962 Před 5 lety +8

    Vzr nimejifunza hapo bro shukran zikufikie.!

  • @abelbenedicto5392
    @abelbenedicto5392 Před 5 lety +13

    Thanks much Ezdzeee Hujawahi Kunipa mawe, Nimeyadaka haya Madini.

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 Před 5 lety +6

    Shukran bro. Vizuri kujitambua. 👌🏽👍🏽

  • @lightnessntaganyila8272
    @lightnessntaganyila8272 Před 4 lety +3

    Broo you are ma insperation...I really appreciate and like how u open my brain by giving me a lot of lessons....Mungu akubariki

  • @junefother7890
    @junefother7890 Před 3 lety

    Eeeeeeeh unanifunza kbisa mungu akuzidishie🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @amonfelix625
    @amonfelix625 Před 5 lety +1

    Sahihi sanaaa brother @Steve_Browntz ndio nimeanza kujifunza na nahisi Kitu ulichonacho wewe na mimi ninacho unajua nini......Confidante

  • @justinemihayo1458
    @justinemihayo1458 Před 5 lety +8

    You always make me strong through your conversations and make me struggle for success

  • @GaysonMaduka
    @GaysonMaduka Před rokem

    Daaaaah uko vizur

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 Před 4 lety +2

    thank you for sharing, dah ivo vitabu navitamani ila kwa arusha hakuna kwenye maduka

  • @AshaAbdallah-mm9ej
    @AshaAbdallah-mm9ej Před rokem

    Yan mm bro hapo kweny sual la kupik bro hua sinag masihar nip tayar kwend kweny mashindan na chef mkuu wa dunia bas nip tayari nahap kweny kuigiz saut zawat kwasabab ninapendelea sn kutizam kwaiy nimezoea kusm km katuni amin hy niliy sm😍😍

  • @khadijamaulid668
    @khadijamaulid668 Před 5 lety +1

    Jazakallah khayran brother

  • @aash4145
    @aash4145 Před rokem

    Uko sawa,,, ni bora mtu ujitambue unakipaj gan

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah2719 Před 5 lety +3

    Somo zr mashaallah , Allah azidi kukulinda Kaka angu shukran 🙏

  • @weddyeliascharles1190
    @weddyeliascharles1190 Před 5 lety +3

    Wohooo so nice brother

  • @athumansingitu2723
    @athumansingitu2723 Před 5 lety

    Shukran.

  • @zdtz4438
    @zdtz4438 Před 4 lety

    Asante sana broo kwa kutupa elimu mungu akubariki napenda saana vipindi vyako god bless you🙏🙏🙏🙏

  • @arnoldishengoma8458
    @arnoldishengoma8458 Před 5 lety +2

    Thank you Ezden Jumanne

  • @priscaalex4939
    @priscaalex4939 Před 4 lety +1

    Asante sana somo lako zuri

  • @barakahjuma4598
    @barakahjuma4598 Před 5 lety +1

    Up bro shukulan

  • @zanzibarone6906
    @zanzibarone6906 Před 2 lety

    Dah Asante sana kaka

  • @zakiafaustine3620
    @zakiafaustine3620 Před 4 lety

    Nimejua napenda sana kipaji changu ❤️😇bro utalk fact

  • @mtanthekiller7666
    @mtanthekiller7666 Před 4 lety +1

    Nice bro nimepata funzo hivi...

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 5 lety +3

    Shukran ❤❤

  • @catherinecleatus7046
    @catherinecleatus7046 Před 4 lety

    Asante sana nimejifunza ubarikiwe

  • @elesimdeka7422
    @elesimdeka7422 Před 4 lety +1

    Stay blessed..... Unaeleweka and you are taking reality

  • @silamsokoto4180
    @silamsokoto4180 Před 4 lety

    Ezden mwenyezimungu akuzidishie wema huu unaoufanya katika jamii nakuzidishie umri mrefu.Allah huma amin

  • @ibrahzackahzacharia6400

    Kaka umeshanifanya Sasa nijue kile nilicho nacho umenipa uhakika.aisee.kuna kitu hua nafanya na hua spati taabu kabisaa💪💪💪💪

  • @asahdkhaled5041
    @asahdkhaled5041 Před 5 lety +3

    well brother Mungu akubarik

  • @akimananinanadege2518

    Kweli nimeanza kugundua kipaji cangu ni kupika keki na vitu kama ivo acha nitajiongeza🥰asante

  • @oxygenthemimi1600
    @oxygenthemimi1600 Před 5 lety

    Hizi ndio video za kuangalia zina motivate vizr km tukizichulia serious zinaweza kutufikisha mbali mm kipaji changu ni music art hii kuna marafiki zngu wamenifanya nigundue kipaji changu hiki daaah raha sana

  • @salhaomary8144
    @salhaomary8144 Před 4 lety

    Kaka kwanza thanks kwakunifungua nakujitambua ktk vitu vig nilivokuwa siko sawa umeniweka sawa now nimerudi nakutendea haki kipaji changu nilichokatia tamaa naku give up Asante my brother

  • @ELOTZ944
    @ELOTZ944 Před rokem

    Nzuri sana brother

  • @deborahmohamed5786
    @deborahmohamed5786 Před 4 lety

    Asante nimejifunza kitu kikubwa mnoooo,barikiwa

  • @suzanaagustino7940
    @suzanaagustino7940 Před 5 lety

    Ni
    kweli kabisa m watu walikuwa wwakiniambiya we Suzy unapenda sana kujituma na adi sasa najituma mungu akubariki sana

  • @hudahope8613
    @hudahope8613 Před 5 lety +4

    asante kaka nimejifunza kitu ubarikiwe

  • @ibrahimfrance1576
    @ibrahimfrance1576 Před 5 lety +5

    Nakuelewa xn kaka Mungu akupe maisha marefu ili uzid kutoa elimu kwa jamii na mabadiliko tuyafanye kwa kutendea Kaz tulicho elimishwa

  • @ashaally7084
    @ashaally7084 Před 4 lety +1

    Asante Sana umefanya nijue kty gan nlichonacho god bless you brother

  • @johnrenard492
    @johnrenard492 Před 2 lety

    Asante bwana kala kwani mafundisho yako mazuri Sana.

  • @kachopehorrat8160
    @kachopehorrat8160 Před 5 lety +4

    Waooo thanks bro be blessed you just opened my mind! Ninaanza kulifanyia kazi!

  • @emalinefilbert2128
    @emalinefilbert2128 Před 5 lety +1

    U don't gave us a fish , but u show us how to gate a fish, salute edzen

  • @helenamsese8339
    @helenamsese8339 Před 4 lety

    Ubarikiwe sana bro,

  • @lilianbenson5774
    @lilianbenson5774 Před 4 lety

    Asante sana kaka kwa somo lako nzuri .nimejifunza kwa kweli kutambua kipaji .

  • @njeremoleliani5816
    @njeremoleliani5816 Před 5 lety +1

    Da! Nimejifunza kitu kizuri sana natamani nianze kufanyia kazi

  • @lucysumaye3044
    @lucysumaye3044 Před 5 lety

    Asante sana kaka kwamafundisho mazuri Mungu akutie nguvu ktk kz zako

  • @juliusmarwa2669
    @juliusmarwa2669 Před 5 lety

    Upo vizuri nimependa sana

  • @benedictordavidmeshack4ben333

    Asante sana kwa ujumbe mzuri

  • @stiveerasto1683
    @stiveerasto1683 Před 5 lety +6

    Saizi tupo katika ulimwengu ambao watu tunawekeza kwenye maarifa. ila ni vizuri zaidi ukagundua kipaji chako mapema.

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 Před 5 lety +1

    brother shukrani sanaa

  • @mudyhassan3716
    @mudyhassan3716 Před 2 lety

    Safi sana

  • @subirachrispin9209
    @subirachrispin9209 Před 4 lety

    Nice kaka umeongea mambo mazuri sana

  • @kulsoomkulsoom8897
    @kulsoomkulsoom8897 Před 5 lety +2

    Shukran kaka

  • @mpembamweusi6188
    @mpembamweusi6188 Před 4 lety

    Ninakipaji Sana

  • @fundi.505
    @fundi.505 Před 5 lety +3

    Thanks so much for the insight bro!

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 Před 4 lety

    Kazi nzuri.

  • @kelvinrmwacha2607
    @kelvinrmwacha2607 Před 5 lety +3

    Braza asante San kwa haya machache unayotupa

  • @devothamedard9142
    @devothamedard9142 Před 5 lety +2

    Thank you very much

  • @annahcallixte1321
    @annahcallixte1321 Před 4 lety

    Thanks kaka nimejifunza kitu barikiwa sana

  • @user-nw2gf1qz3x
    @user-nw2gf1qz3x Před 9 měsíci +1

    Kaka Ezdanjumanne asant sana nimegundua kitu

  • @gracerichard1326
    @gracerichard1326 Před 4 lety

    Mungu akubariki sana

  • @uwizeyeghyslaine5468
    @uwizeyeghyslaine5468 Před 8 měsíci +1

    Asante sana brother nimegundua kipaji cangu ni kwandika nyimbo na kuimba but Mimi ni muoga sana

  • @shabanishabani9067
    @shabanishabani9067 Před 5 lety +35

    Brother nimekuelewa sana mm nimezaliwa katika umaskin sana lakin nikiwa darasa la 3 nikiwa namiaka11 nilishanga sana watu wazima wakiniita jina la boss wakati nyumbani kwetu nimaskin wakutupwa nilijalibu sana kuwaoji kwa nn wanalitumia ilo jina ckupata jibu lakin nimekua nailo jina lakini nikafanya kazi kwa bidii naleo jina nihilo na chochote ninacho ongera brother

    • @salumalawi3434
      @salumalawi3434 Před 5 lety +2

      Shabani Shabani mm pia watu wananitaga hivyo hivyo lkn laakushaanga kwetu maskini na mm pia mjasilia wakawaida sasa unadhani naweza nikasibiwa na hilo jina ninaloitwaga (boss)

    • @maherali7403
      @maherali7403 Před 4 lety +1

      Shabani Shabani pamoja

    • @samwelikastuli2857
      @samwelikastuli2857 Před 4 lety +1

      Bizuri sana mkuu tupo pa1 san

    • @eliasijohn1376
      @eliasijohn1376 Před 4 lety +1

      Hata mm pia,cjajua kwann na kila wanayeniona wananiomba hela

    • @rukiabaybe8594
      @rukiabaybe8594 Před 4 lety +1

      Mi mwenyew najishangaa kwann wananiita madam

  • @feisalakbar4759
    @feisalakbar4759 Před 4 měsíci

    Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla

  • @frankmalimamatagasyajr6617

    Be blessed Brother 👏

  • @leahjames9061
    @leahjames9061 Před 4 lety +1

    Daaaaah pamoja Sana nakukubali bro
    Madini unayotema sio dhahabu au almasi lkn unaimarisha fikira za watu

  • @ommysabih9378
    @ommysabih9378 Před 4 lety

    Yes pamoja sana bro

  • @juliuslabarani8575
    @juliuslabarani8575 Před 4 lety +3

    You're talented brother

  • @AbdulHalim-kx3mc
    @AbdulHalim-kx3mc Před 4 lety

    Napenda sana kuzungumza hata watu husema hivyo

  • @khalifmaalim8056
    @khalifmaalim8056 Před 2 lety

    Masha.Allah

  • @yohanakangaro5724
    @yohanakangaro5724 Před 5 lety +1

    Nimekuelewa sana kaka

  • @khalidhaji8570
    @khalidhaji8570 Před 2 lety

    MASHA ALLAH Ukiachana na kujifunza , napata furaha pale Brother ezden anapoweka UTANI HHAHHAHAHH MASHA ALLAH GOOD BLESS YOU.

  • @melkizedecknestory4467
    @melkizedecknestory4467 Před 4 lety +2

    brother thanks for your beautful work
    For the your massages changed me totally,stay blessed and god's love take care of you

  • @mulimarwezaula8722
    @mulimarwezaula8722 Před 5 lety

    Samaan brother Unaweza kua na kipaj zaidi ya kimoja

  • @birthmonthtwins5158
    @birthmonthtwins5158 Před 5 lety +2

    Nimekupenda kiukweli

  • @joycelameck5990
    @joycelameck5990 Před 4 lety

    Nmeelewa kaka asante sanaaaaaaa

  • @fadhilamwalimu2090
    @fadhilamwalimu2090 Před 4 lety +1

    Great

  • @zabiluhaifaimdimbe5449

    ahsante San kwa mafunzo yako kak

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 Před 5 lety +15

    Mimi Nina kipaji cha uwana sheria👍

    • @bisekobernard5212
      @bisekobernard5212 Před 5 lety +2

      Ukhty najrat Girl Karibu kwenye taaluma yetu

    • @thegirl1405
      @thegirl1405 Před 5 lety +3

      @@bisekobernard5212 Ahsante kuna vitu narekebisha nitarejea kikazi zaidi

    • @bisekobernard5212
      @bisekobernard5212 Před 5 lety +1

      Ukhty najrat Sawa usijali

    • @mapenzitz
      @mapenzitz Před 5 lety +2

      Sidhan kama icho ni kipaji, ni ujuzi

    • @noelraphael6808
      @noelraphael6808 Před 5 lety

      @Ukhty Najrat Girl Hiyooo ni taaluma so kipaji

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 Před 4 lety

    Huyu kaka namkubali halafu mcheshi sana mr anacheka

  • @alhandroraj8009
    @alhandroraj8009 Před 5 lety +3

    Ezden nakupenda, una mafunzo mazuri sana asante

  • @maridhiamndeme8558
    @maridhiamndeme8558 Před 4 lety +2

    Yeah i gat u

  • @luhungukyando2332
    @luhungukyando2332 Před 4 lety

    Nice broo

  • @gideonmtelah2027
    @gideonmtelah2027 Před 13 dny

    Barikiwa

  • @obachristopher4389
    @obachristopher4389 Před 5 lety +2

    Kk asante brother kwa Wema wako

  • @mustaphaart2037
    @mustaphaart2037 Před 4 lety +1

    Puente 🤝❤️❤️. I like that

  • @NaomyDaudi
    @NaomyDaudi Před 4 měsíci +1

    vizur kak nakupata🙏