JINSI YA KUGUNDUA KIPAJI CHAKO
Vložit
- čas přidán 11. 03. 2019
- JINSI YA KUGUNDUA KIPAJI CHAKO
Ili ufanikiwe kwenye maisha ni muhimu sana kufahamu ni kitu gani wewe unaweza fanya bila hata kutumia nguvu nyingi, au ni kipi kipaji chako au uwezo ndani yako.
Sasa katika video hii nakupa nafasi ya kujinza mambo Matano muhimu yatakayokusaidia kugundua kipaji chako kwa urahisi kama utayafuatilia kwa makini.
1. listen to others (wasikilize wengine)
2. Determine what is easy to do (Tafuta kile rahisi kwako kufanya)
3. Check your conversations (Fuatilia maongezi yako)
4. Ask others about you (waulize wengine kuhusu wewe)
5. What you enjoy most (Tafuta kile unachopenda zaidi)
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Gundua #Kipaji #Chako - Jak na to + styl
Ezden ndio umenifanya nianze kusoma vitabu umenifanya nitengeneze seemu ya kusomea home now kila siku nazidi kubadilika sanaa naishi maisha ya tofauti mbaka rafiki zangu wananishangaa mungu akubariki sana🤲🙏🏻🙏🏻
Off cause yes wachache wanatambua hilo but nigm sana pia
Off cause yes wachache wanatambua hilo but nigm sana pia
Mungu akubariki zaidi kaka kwakunifungua
Asante sana kwa kufuatilia na hongera sana kwa kufanikiwa
Yeah have be get now my talent through that clips thanks for that clips
Kipaji changu ilikuwaga ni kuendesha mitambo na kujitengenezea vifaa vya umeme tangu nikiwa mdogo ndo maana mpaka leoo mm ni opareta wa mashine na mitambo asante sana mtumishii
Allah atakulipa kwa kutoa elimu hizi bure.
Mungu akulinde na kila shari na uadui,na aifanye hii elimu ya maarifa unayotupa iwe swadaqa tujaria yako AMIN.
unachokizungumza ni kweli mr. hayanaubishi ni rahisi sana kwa msomaj mzuri wa vitabu , kuwa na muunganiko mzuri wa kutimiza malengo hii ni kutokana na hamasa ambayo inachochewa na mwandishi wa kitabu husika. ni mara yangu ya kwanza kutizama video yako.. wew n sehem mojawapo ya watu wanaosaidia wengine kuweza kutambua uwezo walionao ...Mungu akutie nguvu uzidi kuhamasiha ili tuwezekuzifikilia njia za mqfanikio
Mmmmmmnh wallahii M.mungu azidi kukupa umri mrefu nakuzidi kukupandisha darja zaidi ya hapo ulipooo..na azidi kukupa moyo huo huo wakutochoka kutuelimishaa blessing broo shukran
Aaaamiiin
Brother Nakushukuru sana, kupitia masomo yako nime fanikiwa kubadilisha mfumo wa Maisha yangu, Nime kuwa Mtu wa kuamka mapema sana, na fanya mazoezi, naandaa Ratiba yangu ya kila siku, na nimeanza kusoma vitabu.MUNGU akubariki sana kaka
Asalaam aliykum, hakika haya mafunzo yatabaki milele Allah atuongoze tuyaelewe na kuyafanyie kazi ,kila nafsi ina nafasi yake duniani hakuna aliyeumbwa kwa ajili ya wengine bali umeumbwa kwa ajili yako,mjenzi wa nyumba nyingi na nzuri yeye anaishi kwenye nyumba ya kupanga watu watacheka Sana wakifikiria kuwa ni mjinga ,Ezden muombe Allah wanaadam wanufaike ili ikusaidie pale wakati utakapofika uwezi tena kuzungumza liwe moja Kati ya yale matatu (3) MTOTO MWEMA ,SADAKA YENYEKUENDELEA na ELIMU YENYE MANUFAA amiini baraka-llwahu-fikih
Mashallah
Mashallah
Good
Safi ezy
Asaalam alaykum
Allah akuzidishie umzidi Robert Kaisaki
Unakuja vizuri mwanangu, nilikua sijakuona lakini upo vizuri.
Wosia wangu endelea kujifunza, isikupitikie kujiona bora kuliko wengine hata kama utakua hivyo, endelea kua mchamungu, ni kwa uchamungu tuu utaweza kushinda uadui na hasadi zitakazo elekezwa kwako.
Inshaa Allah nitakapo kuja bongo ninahamu tukutane
Assalam alaykum.
Hakika nimetambua vingi nanimejua huwa najichelewesha.......Mungu akubariki zidi kuinua watu kupitia ulicho barikiwa
Everybody is unique let us show what we are made of. Ni kweli bro
Pamoja Sana bro Ezden nilijigundua nina kipaji ila kupitia ww ukagundua ukubwa wa kipaji changu ndugu yangu bila wewe nisengekua .. underground hip-hop ninae fanya kazi zangu bila kujali magumu mangapi ninayapitia... ubarikiwe Sana
Nmejigundua napenda KUBETI na kucheza Kamari... #Hii mbaya lakini, najitahidi zaidi kujisoma vizuri
😂🤣🤣
Pow sana kaka maana kujua kipaji ni ishu ya muhimu sana kwenye maisha haya
Yeah!! Uko sahihi kaka na hivi vitu tunakutana navo ila ttz hela ili kuweza kufanikisha kwa kufikia lengo husika...
Duuuh very interesting...................................................................................ma best
Vzr nimejifunza hapo bro shukran zikufikie.!
Thanks much Ezdzeee Hujawahi Kunipa mawe, Nimeyadaka haya Madini.
Saw kabis
Shukran bro. Vizuri kujitambua. 👌🏽👍🏽
Broo you are ma insperation...I really appreciate and like how u open my brain by giving me a lot of lessons....Mungu akubariki
Eeeeeeeh unanifunza kbisa mungu akuzidishie🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Sahihi sanaaa brother @Steve_Browntz ndio nimeanza kujifunza na nahisi Kitu ulichonacho wewe na mimi ninacho unajua nini......Confidante
You always make me strong through your conversations and make me struggle for success
Thank you
Daaaaah uko vizur
thank you for sharing, dah ivo vitabu navitamani ila kwa arusha hakuna kwenye maduka
Yan mm bro hapo kweny sual la kupik bro hua sinag masihar nip tayar kwend kweny mashindan na chef mkuu wa dunia bas nip tayari nahap kweny kuigiz saut zawat kwasabab ninapendelea sn kutizam kwaiy nimezoea kusm km katuni amin hy niliy sm😍😍
Jazakallah khayran brother
Uko sawa,,, ni bora mtu ujitambue unakipaj gan
Somo zr mashaallah , Allah azidi kukulinda Kaka angu shukran 🙏
Wohooo so nice brother
Shukran.
Asante sana broo kwa kutupa elimu mungu akubariki napenda saana vipindi vyako god bless you🙏🙏🙏🙏
Thank you Ezden Jumanne
Asante sana somo lako zuri
Up bro shukulan
Dah Asante sana kaka
Nimejua napenda sana kipaji changu ❤️😇bro utalk fact
Nice bro nimepata funzo hivi...
Shukran ❤❤
Asante sana nimejifunza ubarikiwe
Stay blessed..... Unaeleweka and you are taking reality
Ezden mwenyezimungu akuzidishie wema huu unaoufanya katika jamii nakuzidishie umri mrefu.Allah huma amin
Kaka umeshanifanya Sasa nijue kile nilicho nacho umenipa uhakika.aisee.kuna kitu hua nafanya na hua spati taabu kabisaa💪💪💪💪
well brother Mungu akubarik
Kweli nimeanza kugundua kipaji cangu ni kupika keki na vitu kama ivo acha nitajiongeza🥰asante
Hizi ndio video za kuangalia zina motivate vizr km tukizichulia serious zinaweza kutufikisha mbali mm kipaji changu ni music art hii kuna marafiki zngu wamenifanya nigundue kipaji changu hiki daaah raha sana
Kaka kwanza thanks kwakunifungua nakujitambua ktk vitu vig nilivokuwa siko sawa umeniweka sawa now nimerudi nakutendea haki kipaji changu nilichokatia tamaa naku give up Asante my brother
Nzuri sana brother
Asante nimejifunza kitu kikubwa mnoooo,barikiwa
Ni
kweli kabisa m watu walikuwa wwakiniambiya we Suzy unapenda sana kujituma na adi sasa najituma mungu akubariki sana
asante kaka nimejifunza kitu ubarikiwe
Nakuelewa xn kaka Mungu akupe maisha marefu ili uzid kutoa elimu kwa jamii na mabadiliko tuyafanye kwa kutendea Kaz tulicho elimishwa
Amiin
Safi sana
Asante Sana umefanya nijue kty gan nlichonacho god bless you brother
Asante bwana kala kwani mafundisho yako mazuri Sana.
Waooo thanks bro be blessed you just opened my mind! Ninaanza kulifanyia kazi!
U don't gave us a fish , but u show us how to gate a fish, salute edzen
Ubarikiwe sana bro,
Asante sana kaka kwa somo lako nzuri .nimejifunza kwa kweli kutambua kipaji .
Da! Nimejifunza kitu kizuri sana natamani nianze kufanyia kazi
Asante sana kaka kwamafundisho mazuri Mungu akutie nguvu ktk kz zako
Upo vizuri nimependa sana
Asante sana kwa ujumbe mzuri
Saizi tupo katika ulimwengu ambao watu tunawekeza kwenye maarifa. ila ni vizuri zaidi ukagundua kipaji chako mapema.
brother shukrani sanaa
Safi sana
Nice kaka umeongea mambo mazuri sana
Shukran kaka
Ninakipaji Sana
Thanks so much for the insight bro!
Kazi nzuri.
Braza asante San kwa haya machache unayotupa
Thank you very much
Thanks kaka nimejifunza kitu barikiwa sana
Kaka Ezdanjumanne asant sana nimegundua kitu
Mungu akubariki sana
Asante sana brother nimegundua kipaji cangu ni kwandika nyimbo na kuimba but Mimi ni muoga sana
Brother nimekuelewa sana mm nimezaliwa katika umaskin sana lakin nikiwa darasa la 3 nikiwa namiaka11 nilishanga sana watu wazima wakiniita jina la boss wakati nyumbani kwetu nimaskin wakutupwa nilijalibu sana kuwaoji kwa nn wanalitumia ilo jina ckupata jibu lakin nimekua nailo jina lakini nikafanya kazi kwa bidii naleo jina nihilo na chochote ninacho ongera brother
Shabani Shabani mm pia watu wananitaga hivyo hivyo lkn laakushaanga kwetu maskini na mm pia mjasilia wakawaida sasa unadhani naweza nikasibiwa na hilo jina ninaloitwaga (boss)
Shabani Shabani pamoja
Bizuri sana mkuu tupo pa1 san
Hata mm pia,cjajua kwann na kila wanayeniona wananiomba hela
Mi mwenyew najishangaa kwann wananiita madam
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
Be blessed Brother 👏
Daaaaah pamoja Sana nakukubali bro
Madini unayotema sio dhahabu au almasi lkn unaimarisha fikira za watu
Yes pamoja sana bro
You're talented brother
Napenda sana kuzungumza hata watu husema hivyo
Masha.Allah
Nimekuelewa sana kaka
MASHA ALLAH Ukiachana na kujifunza , napata furaha pale Brother ezden anapoweka UTANI HHAHHAHAHH MASHA ALLAH GOOD BLESS YOU.
brother thanks for your beautful work
For the your massages changed me totally,stay blessed and god's love take care of you
Samaan brother Unaweza kua na kipaj zaidi ya kimoja
Nimekupenda kiukweli
Nmeelewa kaka asante sanaaaaaaa
Great
ahsante San kwa mafunzo yako kak
Mimi Nina kipaji cha uwana sheria👍
Ukhty najrat Girl Karibu kwenye taaluma yetu
@@bisekobernard5212 Ahsante kuna vitu narekebisha nitarejea kikazi zaidi
Ukhty najrat Sawa usijali
Sidhan kama icho ni kipaji, ni ujuzi
@Ukhty Najrat Girl Hiyooo ni taaluma so kipaji
Huyu kaka namkubali halafu mcheshi sana mr anacheka
Ezden nakupenda, una mafunzo mazuri sana asante
Yeah i gat u
Nice broo
Barikiwa
Kk asante brother kwa Wema wako
Puente 🤝❤️❤️. I like that
vizur kak nakupata🙏