SIRI ZA KUWEZA KUONGEA KIINGEREZA HARAKA | James Mwang'amba
Vložit
- čas přidán 5. 03. 2022
- Unawezaje kuongea lugha ya kiingereza haraka na kwa ufasaha? Fuatilia somo hili lililojaa mifano hai toka brother James Mwang'amba.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA JAMES MWANG'AMBA
Phone: (+255) 767 797 779
Email: ceo.mwancom@gmail.com
Instagram: @jamesmwangamba
Facebook: James Mwang'amba
CZcams: James Mwang'amba
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ @footballskill01
.
VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
swahilivoiceover.com
.
KUJIUNGA GROUP LA VITABU:
- Pata faida za kwenye vitabu kila wiki.
- Jifunze kwa audio zenye quality nzuri.
- Kama huna muda wa kusoma "jiunge fasta"
Tuma ujumbe huu "SPN BOOK CLUB"
Kwenda whatsApp No. 0759 191 076
Ada ya group hili: 2,000 TZS kwa wiki.
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: voiceoverswahili@gmail.com
.
.
#kuongea #kiingereza #haraka
Tunapenda masomo yenu Kwa nchini Rwanda. Asanteni.
Aaaaaaaaah mjomb upo vizuriii xan kadri ya vitu nilivo fuatilia ww umevitaj vyote mungu akulip anko nimeikubali xan huu uxhauri🙏🙏🙏🙏
Thanks Mr. James mwang'amba you are all the best keep on truck assisting us length and width of how to learn English easily.
Thanks sana mjoba mm nimkenya sikufanikiwa na masomo kilasiku nilikua najiuliza nitajua kigereza anje bat nashuru kutuelimisha
Completely correct even for me it was difficult but now I know a little bit
Uhali gani mwalimu, mimi nilikuwa naomba utupostie lile somo mbinu 12 za kuwacha ajira na kwenda kujiajiri shukran, naomba uposti ile video full
tunaitaj namba yasimu tuko bali ili tukipate ijo kitabu
Asante sana. Ninaweza kuongea kingeleza sana bila hofu na mtu yeyote yule. Shida yangu, siwezi kuelewa kumuelewa movies za kingeleza au nyimbo za kingeleza. Haswa haswa za ulaya na marekan. Naomba msaada wako.
Wanatumia idioms ndo mana inakuwa ngumu mm ndo nimeligundua sikuizi mfano anaweza sema not my books anamanisha I disagree mfano hurry up mzungu anasema shake a leg balaa zito
Great! I like it, quite true brother.
Mwalimu, James, nimeipenda Sana mafundisho hayo, naomba kitabu chako,
Alright thank you very much
Bro James very thanks for the lesson
Thank you for your message
Thank you so much man of God,Leo nimekamatika
Asante kakaangu mwenyezi Mungu akuweke
Asante sana Mungu akubariki
upo vzr Sana mwl I accept your training.
Asante sana mwalimu kwa maelekezo sahii
Thank You!
You are right my brother
Nakubali Sanaa mwalimuu me mwenyewe naweza kusoma kiingreza vizuri Ila kuongea siwez
Utaongea vipi na haufanyi mazoezi yakuongea pia hauongei na mtu
Anzeni chekechea kuwafunza watoto wenu...sassa shuleni hata maths, chemistry ni kiswahili.mtazoea lini kuongea..kenya tuko mbele both english and kiswahili..am proud
Swahili gonjwa
Ahsante na MUNGU akubariki..
Thank you mr james we will can go speak this language
Aiseee nimekuelewaaaa umeongea vitu vingi mnoo 👌 nimepata vingi zaidi ya hivyo vitano upivyo sema
Asante sanaaaa nitafanyia kazi
Thanks brother
Asante sana kwa somo zuri
Asante sana kwa kutambua hili
Brilliant. I have enjoyed indeed
Ata nataka kuongea Kikuyu haraka kiingereza hakina faida sana kwa maisha yangu kama Kikuyu, Kiswahili na kiarabu
🤣🤣🤣🤣
Njoo nikufunze Arabic utajua kuongea fasta
Ahsante mwalimu Barikiwa kutoka Kenya
Amiin
Amazing learning Mr James. From Kenya
Nakupataje meal na you tube
Thank you mr james
Thanks a lot brother
Hongera Sana Kaka nimekuelewa.sana
Thank you
Kwakweli huko kwenye kuzama kwenye kingereza imanisaidi sana mm nilikuwa sielewe kabisa kingereza ila baada ya kuanza kufatilia movie za kingereza na music wa kingereza sasa hivi hunisemi kingereza kabisa japo kuongea ndio bado
Shukran Sana nimejifunza kitu.
Thank you so much ilike
Mi nahitaji CD ya full mafunzo naipataje!? Naomba kujua na gharama zake tafadhali!!
Ubarikiwe mwalimu
Thanks so much
Ahsante sana pia naomba mawasiliano yako
Thank broo
Asante Sana
Amazing❤
Hongera Sana mwalimu nmefurahi Sana kukuta madam hii mtandaoni, pia mm nitakuwa mwanafunzi wako
Nitumie nambake madam ya whatsap
Asante brother
Asante mwl Mimi nipo Canada na sijui rugha ya kiingereza i'la kwasasa naongea baadhi ya maneno lakini wakiongea huwa naelewa lakini nimeipenda uliposema tunatakiwa kuongea misamiati hio nikweli kabisa teacher Asante naubarikiwe
Dadaangu samaani nindotoyangu kwenda canada nixhatapeliwa sana naomba nisaidie mbinu
Nice lesson
Hongera sana mwalimu
Thank much
Asantee
Asante sana
Ila Asante kwa bidii yako n'a mafasilio mazuri
Thanks
Shaloom ni unge
Asante sana kwa somo hili, limenifikia asubh sana ya leo
Thx
Kweli kabisa nipo pamoja
🎉thank
Asante mwalim
mi inanipa tambu kuijua jamani ira nimetambua sili naimani haitonishida Tena💪🤝
Kiswahili tu hukijui utaijua English 😀😀😂😂😂??? Umeandika maneno kama (Tambu, ira, sili, haitonishida)
@@raffeiystar2870 jamani walimwengu wana mambo ,mbavu zangu mie
Don't worry brother utajua to hakuna aliyezaliwa anatembea
nimependa sana sana
Asante sana❤❤🎉
good lesson
Amina
Fact my brother
Mmefanya vizur Sana kumla for huyu mwl wangu wa Enzi zile ase
Asante
Nateseka sana kujua kifaransa jaman sijui nianzie wapi niko ugenini😪😪
Tumia hizi mbinu nilizozielezea. Hasa full immersion
I get something today thanks alot mr
You're welcome
It's true to me am fail to speak English
Good job
Thank
So wonderful,
Ok sar , thank you ,I need that book please how can I gate and where? Yes ndo nimeanza zoezi jamani natamani sana kuongea kwa kujiamini
Hahaha utajua tu practice make perfect
Good mazeee
Hongera sana
Hakika mm kuandika naweza na kusoma ila kuongea na mt siwezi🤣🤣🤣🤣hata kidogo alaf vitu vingi navielewe maana ila kumjibu mt ndo nashindwa
Kaka Mimi naitwa yakobo nipo mkoa wa Mara mpakani mwa Kenya na Tanzania natamani nijue kigereza Kila nikijaribu kuongea maneno yanakuwa magum kwangu nisaidie nifanyenje kaka
Kweli kabisaaaaaaa
Hahaha umetisha mzee
Sure kabisa
hapa tanzanie watu wengi wanajua kuongea kiingereza shida kwakuongelea hakuna mtu akiongea wanasema anajivuna serikali ingepeleka mswada bungeni wa kuruhusu kiingereza kutumika kama ilivyo kenya ili watu wajifunze kuongea Kingereza mtaani hilo ndio litakuwa suluhisho. vinginevyo watafundishwa wachache kingereza mashuleni watafahamu lkn wataka jua wachache mwisho wa yote hawataweza kuongea kwakuwa watu waliowazunguka wengi hawajui kuongea Kingereza wanaongea kiswahili tu serikali iruhusu Kingereza kiongelewe mtaani ndipo watu wote watazungumza
strong point!
Nice
Amazing and talented teacher.
Nakubal mkuuuu
Hi ni kweli kabisa mwalimu kama wanisemea me sikua muoga kuongea hata nikikosea naongea to kumbe ndio kujua alihamdulinllah kweli some time uwoga mbaya sana English kuandika kusoma lahisi lakini kuongea inakua ngumu hasa kwetu tzd tunaongea sana kiswahili ss tukija uku tunaanza kuona ugumu kuongea sante kwa somo zuli mwalimu
Nisaidie Basi na mimi
Its a good speech brother. But na uwezo binafsi unahitajika. Lugha ya kusafirishwa na ndege duu nooomaa.
😂
Shukrani
Asante Mr.Mwang'amba, unaweza kua Coach wa mtu wewe kama wewe?
Naomba uniunganishe na darasa lako
Mimi sijui ila nataka kujua unaweza kufundisha online naomba unisaidie ili niweze kujua kingereza
Sana bro
Cool
Natamani sana kujua kuongea kiingereza
uko sawa
Am tz kweli hata mimi ni mmoja wapo😅😅
Bora. Utuletee Icho kitabu
Heee we ndugu na mama angu kbs mwana mboziiii
Brother mambo vipi