Jinsi Ya Kujitambua Kwa Haraka Zaidi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 10. 2023
  • Jinsi Ya Kujitambua Kwa Haraka Zaidi:
    Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kujitambua kwa haraka zaidi. Kujitambua ni hatua muhimu kuelekea kuelewa na kuboresha maisha yetu. Tutashirikiana nawe njia za kutambua uwezo wako, malengo yako, na njia za kukuza utambuzi wako wa kibinafsi. Pamoja, tutachunguza mazoea na mikakati inayoweza kutumiwa ili kukuza ufahamu wa kujitambua kwa ufanisi. Jiunge nasi katika safari hii ya kugundua undani wa nafsi yako na kuwa bora zaidi katika maisha
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
    .
    OUR SPONSOR’S DETAILS:
    Al-Rahmah Schools
    Location: Mkuranga
    Phone: 0673-52-66-44
    IG: / alrahmahschools
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @jewajua5506
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #success #path #network

Komentáře • 23

  • @fatumaabdallah-ui7pj
    @fatumaabdallah-ui7pj Před 9 měsíci +4

    Kaka mungu akubariki sana kwa kazi nzuri unayotoa. Hakika kupitia wewe nimeanza kujitambua mimi ni nani. Huwezi amini kwa miezi miwili ya kufuatilia masomo yako yamenipa ujasiri mkumbwa wa kutatua tatizo kubwa lililokua katika famili yangu. Sijisifu ila Alhamdulillah ni hatua kubwa sana katika safari ya kubadilisha maisha yangu.
    Nakufatilia nikiwa Mombasa Kenya ❤

  • @user-uu1dp5rr7h
    @user-uu1dp5rr7h Před 9 měsíci +2

    Asante kaka ezdeni mwenyezi Mungu akulinde uzidi kutu helimisha inshaallah

  • @Africa.Athuman
    @Africa.Athuman Před 8 měsíci +1

    MashaAllah unanisaidia sana Allah akupe elimu zaidi uzidi kusaidia watu, kijana wako kutoka Burundi

  • @badrahibrahim6867
    @badrahibrahim6867 Před 8 měsíci +1

    nzuri

  • @eliasmathias9454
    @eliasmathias9454 Před 9 měsíci +1

    Fact broo

  • @AsnelySteve
    @AsnelySteve Před 9 měsíci +1

    Oky

  • @user-jn9oz3to8x
    @user-jn9oz3to8x Před 9 měsíci +1

    Nasukuru sana dugu yangu laiti wati wengi wangepeda kujifunza dunia ingebaki amani

  • @IluMshana-ni8xf
    @IluMshana-ni8xf Před 9 měsíci +1

    Safi....somo limeeleweka vema na ni zuri.Nafurahi kuwa hapa kukufuatilia

  • @user-gw9qr7nm6k
    @user-gw9qr7nm6k Před 9 měsíci +2

    My name is marcline eoba . I am very grateful for teaching me today s teachings can educate me a America make good secrets may God help you

  • @johnshimba288
    @johnshimba288 Před 9 měsíci +1

    👏👏👏

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo Před 3 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @nuhumoren5103
    @nuhumoren5103 Před 9 měsíci +4

    Siku zote unaongea fact broo thanks so much👑🙏🙏🙏

  • @Benja-min.
    @Benja-min. Před 9 měsíci +1

    Nakupata nikiwa 🇺🇸

  • @suyutwi
    @suyutwi Před 9 měsíci +1

    Suyutwi from saudia Arabic

  • @user-vm4ep8lw2r
    @user-vm4ep8lw2r Před 9 měsíci +1

    Asanta🙏🙏

  • @YokenKelese-to1gq
    @YokenKelese-to1gq Před měsícem

    Uhakika

  • @StevenElias-sw8mz
    @StevenElias-sw8mz Před 6 měsíci

    Blaza funzo ila naomba utupe elimu mfano kuanza kutoka Kwa wazazi na mpaka kujitegemea hii kitu inaniumzq sana nashindwa nianze vp broo please naiyomba hii elimu😢😢

  • @user-uu1dp5rr7h
    @user-uu1dp5rr7h Před 9 měsíci +2

    Kaka ninishda na kitabu cha elimu ya kutunza akiba

  • @user-mv7uf7jo1j
    @user-mv7uf7jo1j Před 9 měsíci +1

    Rafiki angu tunapataje vitabu