Jinsi Ya Kujitambua Kwa Haraka Zaidi
Vložit
- čas přidán 9. 10. 2023
- Jinsi Ya Kujitambua Kwa Haraka Zaidi:
Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kujitambua kwa haraka zaidi. Kujitambua ni hatua muhimu kuelekea kuelewa na kuboresha maisha yetu. Tutashirikiana nawe njia za kutambua uwezo wako, malengo yako, na njia za kukuza utambuzi wako wa kibinafsi. Pamoja, tutachunguza mazoea na mikakati inayoweza kutumiwa ili kukuza ufahamu wa kujitambua kwa ufanisi. Jiunge nasi katika safari hii ya kugundua undani wa nafsi yako na kuwa bora zaidi katika maisha
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#success #path #network
Kaka mungu akubariki sana kwa kazi nzuri unayotoa. Hakika kupitia wewe nimeanza kujitambua mimi ni nani. Huwezi amini kwa miezi miwili ya kufuatilia masomo yako yamenipa ujasiri mkumbwa wa kutatua tatizo kubwa lililokua katika famili yangu. Sijisifu ila Alhamdulillah ni hatua kubwa sana katika safari ya kubadilisha maisha yangu.
Nakufatilia nikiwa Mombasa Kenya ❤
Asante kaka ezdeni mwenyezi Mungu akulinde uzidi kutu helimisha inshaallah
MashaAllah unanisaidia sana Allah akupe elimu zaidi uzidi kusaidia watu, kijana wako kutoka Burundi
nzuri
Fact broo
Oky
Nasukuru sana dugu yangu laiti wati wengi wangepeda kujifunza dunia ingebaki amani
Safi....somo limeeleweka vema na ni zuri.Nafurahi kuwa hapa kukufuatilia
My name is marcline eoba . I am very grateful for teaching me today s teachings can educate me a America make good secrets may God help you
You're welcome
👏👏👏
❤❤❤❤❤
Siku zote unaongea fact broo thanks so much👑🙏🙏🙏
Pamoja sana
Nakupata nikiwa 🇺🇸
Suyutwi from saudia Arabic
Asanta🙏🙏
Uhakika
Blaza funzo ila naomba utupe elimu mfano kuanza kutoka Kwa wazazi na mpaka kujitegemea hii kitu inaniumzq sana nashindwa nianze vp broo please naiyomba hii elimu😢😢
Kaka ninishda na kitabu cha elimu ya kutunza akiba
Njoo What'sApp 0759191076
Rafiki angu tunapataje vitabu
Njoo What'sApp