We jamaa unafundisha vitu vikubwa Sana katika maisha ya binadamu ya kila siku ! Ukifuatilia huyu jamaa na kuyaishi yale anayofundisha lazima ufanikiwe na utakuwa mtu wa tofauti Sana
Asnte sana kaka ubarikiwe Sana Kwa mafundisho yako najua sijanunua bndo langu bure...kabis nimejifunz zaizldi na zaidi...na hapa naendelea kukagua nijfuze zaidi tena
Thanks kwa somo zur nimependa sana point ya mwisho...unapotaka kubadilika anza kwa hatua ndogo....hii ni kweli kabisa hata mm nilijaribu kutakakubadilika kwa hatua kubwa nikashindwa...but today l got good points...!!!🙏🙏
Asante sana kaka JOEL NANAUKA nimejifunza mengi sana kutoka kwako mpaka naamua kukuita mwalimu Mimi naitwa Daniel Gabriel nilipata ajali iliyopelekea mwili mzima kupooza lakini na ndoto ya kua motivational speaker niweze kuwa inspire wenye ulemavu kama wangu au wanao pitia changamoto mbalimbali naomba nisaidie support yako mwalimu
Hii ndio video yangu bora ya mwaka hongera sanah kaka joel mungu akupe maisha marefu sana naiman ntatimiza ndoto yangu yakukutana na ww kabla xjaondoka dunian amen.
Asee Joel hii Ni video nyingine ambayo imenigusa kwa Kila ulichokielezea. Kuna tabia nilikuwa nayo na nilipata kibarua kizito Sana kuiacha. Vijana tunapitia changamoto Nyingi Sana😭😭😭😭😭
Naxhukuru xana umeniongezea maana nilikuwa nacha lakin inarudi , xx nimepata mubadala na xehem zinazo chochea au ktembelea xtafanya , Barikiwa xana Mkuu.
Habari za leo. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Mazingira ni tatizo kubwa sana, na wakati mwengine ni vigumu kuyaepuka, inabidi uwe nao watu ambao wanaosababisha tabia isio nzuri.
Nadhani Kuna kazi kubwa Sana ya kuweza kuwaelimisha watu juu ya kujua their real nature and their identities especially in spiritual way hii itaweza kufanya Jambo ingawa ni mchakato mrefu
Kiukweli mwalim Joel ananibarik sana mpaka kuna mda najiuliza haya mambo anayatoaga wapi? Mana ni ukweli mtupu, kiukweli miongoni ya tabia ambayo inawatafuna watu wengi na mimi nikiwemo ni upuuzi wa kufanya mambo yaani unakuta jambo ni la muhimu na unajuwa namna ya kulifanya unajikuta hulifanyi unapuuza, mfano pesa unapata unjuwa njia ya kuziweka lakini unazitumia kwa mabo yaliyo nje ya ratiba au bajeti yako, nadhani kwa somo hili kwanz nakubali upuuzi wangu na nadhani kwa imani nimeushinda tayari kutokana na somo hili asante san mwalim joel
Asante Mr Joel! Ningependa siku moja utuandalie video ya nivitabu gan vizur MTU anaeweza kuanza navo kuvisoma mbali na vya kwako ambavo nafikiri karibia vote nimevisoma.(hata kama n English au Swahili ni sawa) Asante.
Ahsante.Ila uzuri wa kitabu inategemea na uhitaji ulionao kwa wakati huo.So naweza kusema hivi ni vizuri ila vikawa sio sahihi kwako kwa wakati huo.Ndio maana huwa napendekeza kitabu kulingana na Topic.Kuhusu kutaja vya waandishi wengine hiwa navitaja,ukinisikiliza nimeshawahi kutaja kadhaa vikiwemo:Richest man in babylon,The millionaire Next Door,5AM Club, The Slight Edge etc
Brother umenifanyia niangushe machozi on this video.... Kila ulichokielezea ni kama vile unanisema mm umenifungua kweny kifungo kikubwa sanaa kaka shukran sanaa kaka ubarikiwe milele kaka GOD bless you alot am free now i believe am going to stop these behaviors i gat
We jamaa unafundisha vitu vikubwa Sana katika maisha ya binadamu ya kila siku ! Ukifuatilia huyu jamaa na kuyaishi yale anayofundisha lazima ufanikiwe na utakuwa mtu wa tofauti Sana
Wangapi tumeangalia tena mwaka 2023.🎉🎉🎉 Upewe maua Yako Mr. Nanauka.
This man is a genius ❤❤
Nakukubali sana... Yani hatari mungu akuzidishie naakupe mwisho mwema
🙏hili somo limenipa mwanzo mzuri wa mapambano juu ya tabia sugu inayonifanya nishindwe kuiacha na kuendelea kuwa muhanga kila siku.
Joel Nanauka Asante kaka Mafunzo yako yananisaidia sana ktk maisha yangu hususani ya kibiashara Allah akulipe Kheri kaka Amin Amin
U don't change the habit,u replace the habit"umegusa hapo
Mr. joel tunajifunza mengi ahsante kwa kutuwezesha kuwa na utulivu mindset zetu. from zanzibar island
Nashukuru mno kwa somo lako Mungu akubariki sana naamini nitabadilika sasa nitaanza hatua moja na Mimi kwa kuoitoa somo hili amen
Nitakuwa mchoyo wa fadhila km sitosema ahsante mwalim
Ahsante snaa Salehe🙏🏻
sio vibaya ukitengeneza utaratibu wa watu kukushukuru yaan kutoa sadaka ili uendelee kukusanya matirio
Asante kwa mafundisho yako. Mungu awe mwalimu bora kwako ili akufunze mengi zaidi.
Asante saaana mwalimu, Mungu wa mbinguni akulinde
I found myself following most of the video posted. A lot of heavy lessons. Congrats.
Iseee nimekupata vzur zaid may God bless u,
Asnte sana kaka ubarikiwe Sana Kwa mafundisho yako najua sijanunua bndo langu bure...kabis nimejifunz zaizldi na zaidi...na hapa naendelea kukagua nijfuze zaidi tena
Karibu Joshua, tuendelee kujifunza.
Mada zako unagusa watu mioyo,
Hongera sana, 👍👍👍
Kazi nzuri sana✍️
Kaka uko vizuri wewe ni jiazi serikali inatakiwa iwape urizi watu kama hawa wanatufundishi vitu vyote vinavyo tuzunguka.
Thanks kwa somo zur nimependa sana point ya mwisho...unapotaka kubadilika anza kwa hatua ndogo....hii ni kweli kabisa hata mm nilijaribu kutakakubadilika kwa hatua kubwa nikashindwa...but today l got good points...!!!🙏🙏
Asante sana kaka JOEL NANAUKA nimejifunza mengi sana kutoka kwako mpaka naamua kukuita mwalimu Mimi naitwa Daniel Gabriel nilipata ajali iliyopelekea mwili mzima kupooza lakini na ndoto ya kua motivational speaker niweze kuwa inspire wenye ulemavu kama wangu au wanao pitia changamoto mbalimbali naomba nisaidie support yako mwalimu
Ubarikiwe mie nikajua nimepigwa jini yaan nimelogwa kumbe
Hii ndio video yangu bora ya mwaka hongera sanah kaka joel mungu akupe maisha marefu sana naiman ntatimiza ndoto yangu yakukutana na ww kabla xjaondoka dunian amen.
Sawa jamani ndug nimeshukur kwa ushaur ya vitabu vyako nitapataj vitabu ixo
Asee Joel hii Ni video nyingine ambayo imenigusa kwa Kila ulichokielezea. Kuna tabia nilikuwa nayo na nilipata kibarua kizito Sana kuiacha. Vijana tunapitia changamoto Nyingi Sana😭😭😭😭😭
Asante sana Mwalimu umekuwa msaada sana kwangu, Mungu akubariki sana
My all time mentor live longer my brother Joel 🙏🙏
Naxhukuru xana umeniongezea maana nilikuwa nacha lakin inarudi , xx nimepata mubadala na xehem zinazo chochea au ktembelea xtafanya , Barikiwa xana Mkuu.
Thanks kwa somo zur ‘’unapotaka kubadilika anza na hatua ‘’...nimeipenda sana...!!!
Habari za leo. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Mazingira ni tatizo kubwa sana, na wakati mwengine ni vigumu kuyaepuka, inabidi uwe nao watu ambao wanaosababisha tabia isio nzuri.
Mwalimu somo zuri sana hasa kwa vijana, Wakolosai 3:5 imekuwa kipengele sana keep Educating dem
Ahsante mtumishi wa Mungu. ..ubarikiwe sana
Aiseee thanks for all you toking about
Nadhani Kuna kazi kubwa Sana ya kuweza kuwaelimisha watu juu ya kujua their real nature and their identities especially in spiritual way hii itaweza kufanya Jambo ingawa ni mchakato mrefu
Kiukweli mwalim Joel ananibarik sana mpaka kuna mda najiuliza haya mambo anayatoaga wapi? Mana ni ukweli mtupu, kiukweli miongoni ya tabia ambayo inawatafuna watu wengi na mimi nikiwemo ni upuuzi wa kufanya mambo yaani unakuta jambo ni la muhimu na unajuwa namna ya kulifanya unajikuta hulifanyi unapuuza, mfano pesa unapata unjuwa njia ya kuziweka lakini unazitumia kwa mabo yaliyo nje ya ratiba au bajeti yako, nadhani kwa somo hili kwanz nakubali upuuzi wangu na nadhani kwa imani nimeushinda tayari kutokana na somo hili asante san mwalim joel
Very informative, thanks for sharing
Mwenyenzi mungu ukubarik uzid kutuelimisha nimebarikiwa sana🙏
Asante Mr Joel!
Ningependa siku moja utuandalie video ya nivitabu gan vizur MTU anaeweza kuanza navo kuvisoma mbali na vya kwako ambavo nafikiri karibia vote nimevisoma.(hata kama n English au Swahili ni sawa)
Asante.
Ahsante.Ila uzuri wa kitabu inategemea na uhitaji ulionao kwa wakati huo.So naweza kusema hivi ni vizuri ila vikawa sio sahihi kwako kwa wakati huo.Ndio maana huwa napendekeza kitabu kulingana na Topic.Kuhusu kutaja vya waandishi wengine hiwa navitaja,ukinisikiliza nimeshawahi kutaja kadhaa vikiwemo:Richest man in babylon,The millionaire Next Door,5AM Club, The Slight Edge etc
@@joelnanauka Asante San!🙏
SaldalhzgsdlsjlsllhmamlavksllbAvnzvnahsklagbazmFmaxnlgskdhalgaljldbalalhllaagdladklkvagljllshakaklhajldaadhdgllaaajkagdkahlhlafllksldhkallaalgkakhaagllhajgndhabgaksfsljgkgsdashlgghllagjlgsagkskaklaMllhHdjfslalfsgkjladlhgglsflhflgggzaddlsjagag
Thank you,God bless you
Ubarikiwee mwalm nakupend kak
Ahsante Sana kiongozi.
Asante Sana Kaka Joel na mmi ngoja nitumie hizi kanuni nikifanikiwa nitakujulisha. #seeyouathetop
Ahsantee sana ubarikiwe
Joel MUUMBA anaondoa kabisa tabia jeshini nilijifunza matusi baada ya wokovu matusi yalikuwa hayatamkiki muda nilipochukia
Dah Asante sana kweli 🎉🎉🎉🎉
Yupo beste yangu anashindwa kuacha kupiga nyeto😃😃..hii video itamsaidia
JOEL NANAUKA RESPECT BROO
So nice my brother my God bless you
Mambo mazuri sana. Mungu akubariki
Uko vizuri akubaliki
Brother umenifanyia niangushe machozi on this video.... Kila ulichokielezea ni kama vile unanisema mm umenifungua kweny kifungo kikubwa sanaa kaka shukran sanaa kaka ubarikiwe milele kaka GOD bless you alot am free now i believe am going to stop these behaviors i gat
Ahsante kwa elimu nzuri ngoja niifanyie kazi niziondoe tabia nazoziona ni mbaya kwangu ubarikiwe sana🙏
Ubarikiwe sana mwalimu
Asante Sana kwa somo
LEO NI SIKU YA KWANZA I NAPATA UFAHAMU MPYA AMBAO SIKUWA NAO GOD BLESS YOU
God ukubleas maana unatufulia njinsi ya kuishi good
Nakubali sana kaka,uko sahihi
Asante Sana kwa mafunzo mazuri
Yaani mimi kaka Nanauka nikiwa na stress natumia hela kwaajili ya kula sana... Eee Mungu turehemu
Nashukuru sana boss nondo zako zinatuvushae
Yani upo sawa kabisa ngudu
Nime jifunza kitu🙏🙏🙏
Asante mwalimu🙏
Thnxx a lot....
Good Teacher
Shukran Sana
Uko sahihi Brother Good🙏🙏🙏
Asante sana kaka joeli nanauka kwaelimu unayoitoa
Joel vizuri sana MUNGU BABA anakutumia
Thenk you my brother
Mazingira
God bless you
Genious JN
Allahubarik
Duu leo umenigusa best video
Asante rafiki umenifungua akili na kuniongezea maarifa
Safi bro,kazi nzur!
Nimekupata kijana Mungu akubariki sana
Unani inspire sana kakaa God bless you!!!!!🎉🎉
Mazingira ndo changamoto ila nashukuruu God bless you
Thanks for ushauri mzuri
Good inspiration
Nimekupata sana wecant change the behaviour, the only thing is to re place
Dah me Joel ajaeee nakupenda sana kaka
See you at the top
Barikiwa mno
kiukweli hayo mafundisho yako yamefumbua macho 🙏🙏🙏🙏 kaka joel
Nimejikuta nakumbushwa somo la procastination, Kwa Kweli leo hii umekuwa baraka sana kwangu, Joel, Mungu akubariki sana.
Wee jamaa unajua sana natamani sana siku moja niwe na uwezo mkubwa kma ww,,,
Asante sana kaka
See u at the top
U ar genius bro..upo right na umetugusa sana honger brother
Hakika Nimeipenda sana
I love you Broo nakueelw can❤
Duu hakika we umeniamsha kimaisha jaman
Good advice
Ahsante kaka mafunzo yako yananiponya
Thank you 👋👋👋👋
Aisee umekua na mchango mkubwa San kuikuza furaha yangu asante sana bro na nimeshea mafundisho yako na yanapendwa san kazi nzuri
Hayo usemayo Ni ya kwelii kabisa
Unajua sana kaka
Thumbs up bro.
Daaah umenigusa sana kaka angu,hasa pale pa kipengele cha kushindwa kiacha jambo kutokana na mazingira,yan utafikili umenipoint mimi aisee
nice 01
Much respect blood
Hello