Jinsi ya kuacha tabia usiyoipenda.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 11. 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 322

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 Před 3 lety +26

    We jamaa unafundisha vitu vikubwa Sana katika maisha ya binadamu ya kila siku ! Ukifuatilia huyu jamaa na kuyaishi yale anayofundisha lazima ufanikiwe na utakuwa mtu wa tofauti Sana

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl Před 8 měsíci +12

    Wangapi tumeangalia tena mwaka 2023.🎉🎉🎉 Upewe maua Yako Mr. Nanauka.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 9 měsíci +12

    This man is a genius ❤❤

  • @ShealifuVuai
    @ShealifuVuai Před 3 měsíci +2

    Nakukubali sana... Yani hatari mungu akuzidishie naakupe mwisho mwema

  • @frowinchirwa4963
    @frowinchirwa4963 Před 3 lety +9

    🙏hili somo limenipa mwanzo mzuri wa mapambano juu ya tabia sugu inayonifanya nishindwe kuiacha na kuendelea kuwa muhanga kila siku.

  • @williamandrea7940
    @williamandrea7940 Před 3 lety +6

    Joel Nanauka Asante kaka Mafunzo yako yananisaidia sana ktk maisha yangu hususani ya kibiashara Allah akulipe Kheri kaka Amin Amin

  • @omarykajembe4385
    @omarykajembe4385 Před 3 lety +7

    U don't change the habit,u replace the habit"umegusa hapo

  • @twahaally1969
    @twahaally1969 Před 3 lety +5

    Mr. joel tunajifunza mengi ahsante kwa kutuwezesha kuwa na utulivu mindset zetu. from zanzibar island

  • @rebbecamgana6059
    @rebbecamgana6059 Před 3 lety +1

    Nashukuru mno kwa somo lako Mungu akubariki sana naamini nitabadilika sasa nitaanza hatua moja na Mimi kwa kuoitoa somo hili amen

  • @salehali4saleh19
    @salehali4saleh19 Před 3 lety +8

    Nitakuwa mchoyo wa fadhila km sitosema ahsante mwalim

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety +1

      Ahsante snaa Salehe🙏🏻

    • @user-gh3zf4ow4c
      @user-gh3zf4ow4c Před měsícem

      ​sio vibaya ukitengeneza utaratibu wa watu kukushukuru yaan kutoa sadaka ili uendelee kukusanya matirio

  • @joshuankunda5366
    @joshuankunda5366 Před 7 měsíci +1

    Asante kwa mafundisho yako. Mungu awe mwalimu bora kwako ili akufunze mengi zaidi.

  • @DiazPilipili
    @DiazPilipili Před měsícem

    Asante saaana mwalimu, Mungu wa mbinguni akulinde

  • @GEORGEOUMA1
    @GEORGEOUMA1 Před 4 měsíci +1

    I found myself following most of the video posted. A lot of heavy lessons. Congrats.

  • @bennyjaahbj7909
    @bennyjaahbj7909 Před 2 lety +2

    Iseee nimekupata vzur zaid may God bless u,

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 Před 3 lety +2

    Asnte sana kaka ubarikiwe Sana Kwa mafundisho yako najua sijanunua bndo langu bure...kabis nimejifunz zaizldi na zaidi...na hapa naendelea kukagua nijfuze zaidi tena

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety +2

      Karibu Joshua, tuendelee kujifunza.

  • @MrJuma-in5io
    @MrJuma-in5io Před 7 dny

    Mada zako unagusa watu mioyo,
    Hongera sana, 👍👍👍
    Kazi nzuri sana✍️

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 Před 3 lety +2

    Kaka uko vizuri wewe ni jiazi serikali inatakiwa iwape urizi watu kama hawa wanatufundishi vitu vyote vinavyo tuzunguka.

  • @mickidadyplanet6476
    @mickidadyplanet6476 Před 3 lety +1

    Thanks kwa somo zur nimependa sana point ya mwisho...unapotaka kubadilika anza kwa hatua ndogo....hii ni kweli kabisa hata mm nilijaribu kutakakubadilika kwa hatua kubwa nikashindwa...but today l got good points...!!!🙏🙏

  • @danielgabriel915
    @danielgabriel915 Před 2 lety +1

    Asante sana kaka JOEL NANAUKA nimejifunza mengi sana kutoka kwako mpaka naamua kukuita mwalimu Mimi naitwa Daniel Gabriel nilipata ajali iliyopelekea mwili mzima kupooza lakini na ndoto ya kua motivational speaker niweze kuwa inspire wenye ulemavu kama wangu au wanao pitia changamoto mbalimbali naomba nisaidie support yako mwalimu

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Před rokem +1

    Ubarikiwe mie nikajua nimepigwa jini yaan nimelogwa kumbe

  • @deotv503
    @deotv503 Před 3 lety +3

    Hii ndio video yangu bora ya mwaka hongera sanah kaka joel mungu akupe maisha marefu sana naiman ntatimiza ndoto yangu yakukutana na ww kabla xjaondoka dunian amen.

    • @patrickmugo1288
      @patrickmugo1288 Před 3 lety

      Sawa jamani ndug nimeshukur kwa ushaur ya vitabu vyako nitapataj vitabu ixo

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 Před 3 lety +7

    Asee Joel hii Ni video nyingine ambayo imenigusa kwa Kila ulichokielezea. Kuna tabia nilikuwa nayo na nilipata kibarua kizito Sana kuiacha. Vijana tunapitia changamoto Nyingi Sana😭😭😭😭😭

  • @fabianmshai5789
    @fabianmshai5789 Před 2 měsíci

    Asante sana Mwalimu umekuwa msaada sana kwangu, Mungu akubariki sana

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 3 lety +8

    My all time mentor live longer my brother Joel 🙏🙏

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 3 lety +3

    Naxhukuru xana umeniongezea maana nilikuwa nacha lakin inarudi , xx nimepata mubadala na xehem zinazo chochea au ktembelea xtafanya , Barikiwa xana Mkuu.

  • @mickidadyplanet6476
    @mickidadyplanet6476 Před 3 lety +1

    Thanks kwa somo zur ‘’unapotaka kubadilika anza na hatua ‘’...nimeipenda sana...!!!

  • @samohazakwani6899
    @samohazakwani6899 Před 3 lety +3

    Habari za leo. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Mazingira ni tatizo kubwa sana, na wakati mwengine ni vigumu kuyaepuka, inabidi uwe nao watu ambao wanaosababisha tabia isio nzuri.

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 3 lety +2

    Mwalimu somo zuri sana hasa kwa vijana, Wakolosai 3:5 imekuwa kipengele sana keep Educating dem

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 Před 3 lety

    Ahsante mtumishi wa Mungu. ..ubarikiwe sana

  • @yothampetro5097
    @yothampetro5097 Před 9 dny

    Aiseee thanks for all you toking about

  • @juaupekeewako
    @juaupekeewako Před rokem +1

    Nadhani Kuna kazi kubwa Sana ya kuweza kuwaelimisha watu juu ya kujua their real nature and their identities especially in spiritual way hii itaweza kufanya Jambo ingawa ni mchakato mrefu

  • @user-we1wt2kg8m
    @user-we1wt2kg8m Před rokem +1

    Kiukweli mwalim Joel ananibarik sana mpaka kuna mda najiuliza haya mambo anayatoaga wapi? Mana ni ukweli mtupu, kiukweli miongoni ya tabia ambayo inawatafuna watu wengi na mimi nikiwemo ni upuuzi wa kufanya mambo yaani unakuta jambo ni la muhimu na unajuwa namna ya kulifanya unajikuta hulifanyi unapuuza, mfano pesa unapata unjuwa njia ya kuziweka lakini unazitumia kwa mabo yaliyo nje ya ratiba au bajeti yako, nadhani kwa somo hili kwanz nakubali upuuzi wangu na nadhani kwa imani nimeushinda tayari kutokana na somo hili asante san mwalim joel

  • @hagailema5366
    @hagailema5366 Před 10 měsíci

    Very informative, thanks for sharing

  • @ronaldomselleronaldomselle6238

    Mwenyenzi mungu ukubarik uzid kutuelimisha nimebarikiwa sana🙏

  • @greatman296
    @greatman296 Před 3 lety +6

    Asante Mr Joel!
    Ningependa siku moja utuandalie video ya nivitabu gan vizur MTU anaeweza kuanza navo kuvisoma mbali na vya kwako ambavo nafikiri karibia vote nimevisoma.(hata kama n English au Swahili ni sawa)
    Asante.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 3 lety +2

      Ahsante.Ila uzuri wa kitabu inategemea na uhitaji ulionao kwa wakati huo.So naweza kusema hivi ni vizuri ila vikawa sio sahihi kwako kwa wakati huo.Ndio maana huwa napendekeza kitabu kulingana na Topic.Kuhusu kutaja vya waandishi wengine hiwa navitaja,ukinisikiliza nimeshawahi kutaja kadhaa vikiwemo:Richest man in babylon,The millionaire Next Door,5AM Club, The Slight Edge etc

    • @greatman296
      @greatman296 Před 3 lety

      @@joelnanauka Asante San!🙏

    • @muslimocho1097
      @muslimocho1097 Před 3 lety

      SaldalhzgsdlsjlsllhmamlavksllbAvnzvnahsklagbazmFmaxnlgskdhalgaljldbalalhllaagdladklkvagljllshakaklhajldaadhdgllaaajkagdkahlhlafllksldhkallaalgkakhaagllhajgndhabgaksfsljgkgsdashlgghllagjlgsagkskaklaMllhHdjfslalfsgkjladlhgglsflhflgggzaddlsjagag

  • @shedrackbarnabas2471
    @shedrackbarnabas2471 Před 2 lety

    Thank you,God bless you

  • @DanboyDarangey
    @DanboyDarangey Před 3 měsíci

    Ubarikiwee mwalm nakupend kak

  • @josej9888
    @josej9888 Před rokem +1

    Ahsante Sana kiongozi.

  • @philipinashine837
    @philipinashine837 Před 3 lety +1

    Asante Sana Kaka Joel na mmi ngoja nitumie hizi kanuni nikifanikiwa nitakujulisha. #seeyouathetop

  • @lovenesslukas5360
    @lovenesslukas5360 Před rokem

    Ahsantee sana ubarikiwe

  • @inviolataluena8713
    @inviolataluena8713 Před rokem

    Joel MUUMBA anaondoa kabisa tabia jeshini nilijifunza matusi baada ya wokovu matusi yalikuwa hayatamkiki muda nilipochukia

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Před 10 měsíci

    Dah Asante sana kweli 🎉🎉🎉🎉

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Před 2 lety +1

    Yupo beste yangu anashindwa kuacha kupiga nyeto😃😃..hii video itamsaidia

  • @husseinomary6304
    @husseinomary6304 Před 3 lety +1

    JOEL NANAUKA RESPECT BROO

  • @AshaMasoud-dt9xd
    @AshaMasoud-dt9xd Před 9 měsíci

    So nice my brother my God bless you

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 Před rokem +1

    Mambo mazuri sana. Mungu akubariki

  • @rajaburamadhan8187
    @rajaburamadhan8187 Před rokem

    Uko vizuri akubaliki

  • @joshuajohn6997
    @joshuajohn6997 Před 3 lety +1

    Brother umenifanyia niangushe machozi on this video.... Kila ulichokielezea ni kama vile unanisema mm umenifungua kweny kifungo kikubwa sanaa kaka shukran sanaa kaka ubarikiwe milele kaka GOD bless you alot am free now i believe am going to stop these behaviors i gat

  • @hashkhantantrasiraji118

    Ahsante kwa elimu nzuri ngoja niifanyie kazi niziondoe tabia nazoziona ni mbaya kwangu ubarikiwe sana🙏

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 Před 3 lety

    Ubarikiwe sana mwalimu

  • @justinmsigwa1791
    @justinmsigwa1791 Před 3 lety

    Asante Sana kwa somo

  • @mwesigamgambeki7386
    @mwesigamgambeki7386 Před rokem

    LEO NI SIKU YA KWANZA I NAPATA UFAHAMU MPYA AMBAO SIKUWA NAO GOD BLESS YOU

  • @Peterpetro-gj1gn
    @Peterpetro-gj1gn Před rokem

    God ukubleas maana unatufulia njinsi ya kuishi good

  • @emanuelifredi5436
    @emanuelifredi5436 Před 6 měsíci

    Nakubali sana kaka,uko sahihi

  • @jeanbb1385
    @jeanbb1385 Před 3 lety

    Asante Sana kwa mafunzo mazuri

  • @truthch1642
    @truthch1642 Před 2 měsíci

    Yaani mimi kaka Nanauka nikiwa na stress natumia hela kwaajili ya kula sana... Eee Mungu turehemu

  • @joycemoshi-zc7ie
    @joycemoshi-zc7ie Před rokem

    Nashukuru sana boss nondo zako zinatuvushae

  • @papymaliro7849
    @papymaliro7849 Před rokem

    Yani upo sawa kabisa ngudu
    Nime jifunza kitu🙏🙏🙏

  • @geofreykalinga9193
    @geofreykalinga9193 Před 3 lety

    Asante mwalimu🙏

  • @ddfg945
    @ddfg945 Před 3 lety

    Thnxx a lot....

  • @costabreezy374
    @costabreezy374 Před 2 lety

    Good Teacher

  • @mahadimatsawily5809
    @mahadimatsawily5809 Před 3 lety

    Shukran Sana

  • @mathiasijaphet6348
    @mathiasijaphet6348 Před 3 lety

    Uko sahihi Brother Good🙏🙏🙏

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 Před 3 lety

    Asante sana kaka joeli nanauka kwaelimu unayoitoa

  • @inviolataluena8713
    @inviolataluena8713 Před rokem

    Joel vizuri sana MUNGU BABA anakutumia

  • @jackiemuhiri23
    @jackiemuhiri23 Před rokem

    Thenk you my brother

  • @user-wz5cv8tk5x
    @user-wz5cv8tk5x Před 5 měsíci

    Mazingira

  • @jenisanga2281
    @jenisanga2281 Před 3 lety

    God bless you

  • @jerryloventikha1456
    @jerryloventikha1456 Před 3 lety

    Genious JN

  • @mariamahmad1716
    @mariamahmad1716 Před 3 lety +1

    Allahubarik

  • @jaxxjoo1973
    @jaxxjoo1973 Před 3 lety

    Duu leo umenigusa best video

  • @user-xe7tw3xi6b
    @user-xe7tw3xi6b Před 9 měsíci

    Asante rafiki umenifungua akili na kuniongezea maarifa

  • @safaribukukuru5660
    @safaribukukuru5660 Před 3 lety +2

    Safi bro,kazi nzur!

  • @mondulielliwai657
    @mondulielliwai657 Před 2 lety

    Nimekupata kijana Mungu akubariki sana

  • @user-sm1el6bn9e
    @user-sm1el6bn9e Před 4 měsíci

    Unani inspire sana kakaa God bless you!!!!!🎉🎉

  • @reginamkuti7615
    @reginamkuti7615 Před 2 lety

    Mazingira ndo changamoto ila nashukuruu God bless you

  • @Giliad-atsua1y
    @Giliad-atsua1y Před 5 měsíci

    Thanks for ushauri mzuri

  • @joaneslaurent5896
    @joaneslaurent5896 Před 2 lety +1

    Good inspiration

  • @carolinejohncaroline3341
    @carolinejohncaroline3341 Před 4 měsíci

    Nimekupata sana wecant change the behaviour, the only thing is to re place

  • @phellysianponsian3004
    @phellysianponsian3004 Před 3 lety +2

    Dah me Joel ajaeee nakupenda sana kaka
    See you at the top

  • @janghyuk9435
    @janghyuk9435 Před 2 lety

    Barikiwa mno

  • @smithjunior9288
    @smithjunior9288 Před 3 lety +1

    kiukweli hayo mafundisho yako yamefumbua macho 🙏🙏🙏🙏 kaka joel

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před 3 lety +4

    Nimejikuta nakumbushwa somo la procastination, Kwa Kweli leo hii umekuwa baraka sana kwangu, Joel, Mungu akubariki sana.

  • @Tobejr
    @Tobejr Před měsícem

    Wee jamaa unajua sana natamani sana siku moja niwe na uwezo mkubwa kma ww,,,

  • @shauricastusi5488
    @shauricastusi5488 Před 2 lety

    Asante sana kaka

  • @amaniezekiel8777
    @amaniezekiel8777 Před 3 lety

    See u at the top

  • @paulaloyce1352
    @paulaloyce1352 Před 3 lety

    U ar genius bro..upo right na umetugusa sana honger brother

  • @jumaalexis6020
    @jumaalexis6020 Před 3 lety

    Hakika Nimeipenda sana

  • @user-ql5cn1lt1l
    @user-ql5cn1lt1l Před 4 měsíci

    I love you Broo nakueelw can❤

  • @christopherwilson-xt4bl
    @christopherwilson-xt4bl Před 9 měsíci

    Duu hakika we umeniamsha kimaisha jaman

  • @musayajoshua6002
    @musayajoshua6002 Před rokem

    Good advice

  • @rahabpeules2830
    @rahabpeules2830 Před 3 lety +1

    Ahsante kaka mafunzo yako yananiponya

  • @noelakyungu4559
    @noelakyungu4559 Před 3 lety

    Thank you 👋👋👋👋

  • @jackisonagost125
    @jackisonagost125 Před 3 lety +1

    Aisee umekua na mchango mkubwa San kuikuza furaha yangu asante sana bro na nimeshea mafundisho yako na yanapendwa san kazi nzuri

  • @estareliasmagesa8791
    @estareliasmagesa8791 Před 2 lety

    Hayo usemayo Ni ya kwelii kabisa

  • @macvoice8557
    @macvoice8557 Před 2 lety

    Unajua sana kaka

  • @paulmmakoye8363
    @paulmmakoye8363 Před 3 lety

    Thumbs up bro.

  • @veronamayange7017
    @veronamayange7017 Před 2 lety

    Daaah umenigusa sana kaka angu,hasa pale pa kipengele cha kushindwa kiacha jambo kutokana na mazingira,yan utafikili umenipoint mimi aisee

  • @directorkingright
    @directorkingright Před 5 měsíci

    nice 01

  • @sadikimwamlima5775
    @sadikimwamlima5775 Před 3 lety +3

    Much respect blood