UTAFANIKIWA SANA UKIELEWA JAMBO HILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 08. 2023
  • Utafanikiwa sana kama utalifahamu au kulielewa jambo hili kwa undani.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
    .
    OUR SPONSOR'S DETAILS:
    Al-Rahmah Schools
    Location: Mkuranga
    Phone: 0673-52-66-44
    IG: / alrahmahschools
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @jewajua5506
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #Fahamu #Jambo #Hili

Komentáře • 26

  • @romanasilvan2963
    @romanasilvan2963 Před 10 měsíci +2

    Busara zenu zimenisaidia sana, kufika hapa nilipo, MUNGU AWABARIKI ZAIDI.

  • @mshanajunior8877
    @mshanajunior8877 Před 8 měsíci +1

    Nimejifunza Kua Natakiwa Kua Na Mahusiano Mazurii na watu hata zitokeapo Fursa Huwa inakua rahisi kupata pia kujiamini Ni Jambo Muhimu sana tabia nzurii nidhamuu Katika chochote utakachokifanya mbali na kazi popote pale nidhamu Ni Muhimu Sana Mshana junior kutoka Banana ukonga

  • @RukiyaButoyi-sk5nm
    @RukiyaButoyi-sk5nm Před 10 měsíci +2

    Nimejifunza mengi kaka hakika tabiya njema ni silaha Yako yamaisha.Allah akubariki

  • @user-cj6pw8zd4e
    @user-cj6pw8zd4e Před 10 měsíci +2

    Hakika ukiwa na tabia njema utaweza kujiamini zaidi nimependa sana maashaallah shukraan

  • @fatumaabdallah-ui7pj
    @fatumaabdallah-ui7pj Před 10 měsíci +1

    Masha Allah hakika unatabis njema ndio sababu nimevutiwa kujifunza na wewe.
    Shukran ubarikiwe sana

  • @rahmakassim1632
    @rahmakassim1632 Před 10 měsíci +2

    Shukran Sana Ezden

  • @asiansky9767
    @asiansky9767 Před 10 měsíci +2

    Hakika tabia njema ni mtaji❤

  • @MWEMBETV
    @MWEMBETV Před 10 měsíci +2

    Somo zuri sana🙏🙏

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Před 10 měsíci +2

    Dah Asante sana kaka🎉🎉🎉❤

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 Před 10 měsíci +2

    Niko pamoja sana na wewe kaka

  • @jonasebuela8975
    @jonasebuela8975 Před 10 měsíci +2

    Asante

  • @user-cj6pw8zd4e
    @user-cj6pw8zd4e Před 9 měsíci

    Nimependa ya kuwa na mahusiano mazuri na watu maashaallah upo vizuri Allaah akuhifadhi

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni1135 Před 10 měsíci +2

    🔥🔥 💪💪

  • @clovicemusobozi3891
    @clovicemusobozi3891 Před 5 dny

    Asante sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @user-xv9th2rj7b
    @user-xv9th2rj7b Před 10 měsíci +2

    Nimekuelewa vizuli kaka

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 měsíci

    Shukran sana

  • @castmvanda7378
    @castmvanda7378 Před 5 měsíci +1

    Kwakweli nakuamini sana nipo iringa

  • @Fredmanyama
    @Fredmanyama Před 9 měsíci +1

    Pongezi sana broo ezden jumanne elimu yako itasaidia sana kukuza mtandao wa watu wanao elimika kila siku japo nishauri uwongeze ubunifu kidogo ili uzidi kuwapata watu wengi sana wanaokufuatilia kwenye Chanel yako

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 9 měsíci +1

      Safi nashukuru sana ndugu Kwa maoni. Lakini unaweza kutusaidia zaidi kwamba ubunifu hasa upande gani, au ubunifu kwenye nini unadhani?

    • @Fredmanyama
      @Fredmanyama Před 9 měsíci

      tengeneza mfumo ambao uwe unamshawishi mteja wako kuendelea kukufuatilia kwa mfano unaweza kuandaa topic inayohusu biashara ya mtandao mda huohuo unamwonesha mteja wako kitufe ambacho akikibonyeza inakuja topic nyingine mfano jinsi ya kuepuka na matapeli wa mtandaoni, hasala za biashala ya mtandaoni,jinsi ya kukuza mtandao

  • @sadothaudax4744
    @sadothaudax4744 Před 10 měsíci +1

    Tabia njema ni msingi wa mafanikio kwetu.
    Somo sahihi kwa wakati sahihi kutoka kwa mtu mwenye kupenda kujitoa mr Edzen - Jumanne . Ili watu wengine wafanikiwe kupitia wewe.

  • @user-qw1ft2ss7u
    @user-qw1ft2ss7u Před 3 měsíci

    Nimejifunza kwamba tabia njema inaimarisha afya ya akili

  • @yusuphmadelemo-ul1zp
    @yusuphmadelemo-ul1zp Před 10 měsíci +1

    Tabia njema ni punda wako