UTAFANIKIWA SANA UKIELEWA JAMBO HILI
Vložit
- čas přidán 31. 08. 2023
- Utafanikiwa sana kama utalifahamu au kulielewa jambo hili kwa undani.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR'S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Fahamu #Jambo #Hili
Busara zenu zimenisaidia sana, kufika hapa nilipo, MUNGU AWABARIKI ZAIDI.
Nimejifunza Kua Natakiwa Kua Na Mahusiano Mazurii na watu hata zitokeapo Fursa Huwa inakua rahisi kupata pia kujiamini Ni Jambo Muhimu sana tabia nzurii nidhamuu Katika chochote utakachokifanya mbali na kazi popote pale nidhamu Ni Muhimu Sana Mshana junior kutoka Banana ukonga
Nimejifunza mengi kaka hakika tabiya njema ni silaha Yako yamaisha.Allah akubariki
Hakika ukiwa na tabia njema utaweza kujiamini zaidi nimependa sana maashaallah shukraan
Masha Allah hakika unatabis njema ndio sababu nimevutiwa kujifunza na wewe.
Shukran ubarikiwe sana
Aamiin... Nashukuru sana
Shukran Sana Ezden
Hakika tabia njema ni mtaji❤
Somo zuri sana🙏🙏
Dah Asante sana kaka🎉🎉🎉❤
Niko pamoja sana na wewe kaka
Asante
Nimependa ya kuwa na mahusiano mazuri na watu maashaallah upo vizuri Allaah akuhifadhi
Allahumma ameen
🔥🔥 💪💪
Asante sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nimekuelewa vizuli kaka
Shukran sana
Kwakweli nakuamini sana nipo iringa
Pongezi sana broo ezden jumanne elimu yako itasaidia sana kukuza mtandao wa watu wanao elimika kila siku japo nishauri uwongeze ubunifu kidogo ili uzidi kuwapata watu wengi sana wanaokufuatilia kwenye Chanel yako
Safi nashukuru sana ndugu Kwa maoni. Lakini unaweza kutusaidia zaidi kwamba ubunifu hasa upande gani, au ubunifu kwenye nini unadhani?
tengeneza mfumo ambao uwe unamshawishi mteja wako kuendelea kukufuatilia kwa mfano unaweza kuandaa topic inayohusu biashara ya mtandao mda huohuo unamwonesha mteja wako kitufe ambacho akikibonyeza inakuja topic nyingine mfano jinsi ya kuepuka na matapeli wa mtandaoni, hasala za biashala ya mtandaoni,jinsi ya kukuza mtandao
Tabia njema ni msingi wa mafanikio kwetu.
Somo sahihi kwa wakati sahihi kutoka kwa mtu mwenye kupenda kujitoa mr Edzen - Jumanne . Ili watu wengine wafanikiwe kupitia wewe.
Karibu sana...
Nimejifunza kwamba tabia njema inaimarisha afya ya akili
Tabia njema ni punda wako