TABIA MBAYA ZA KUACHA MARA MOJA
Vložit
- čas přidán 1. 09. 2023
- Zipi tabia kama wanadamu inatakiwa kuziacha mara moja vinginevyo hazitaweza kukuruhusu kuipata njia ya mafanikio. Somo hili ni muhimu sana sababu wengi hujikuta wamezama ndani ya tabia hizi mara nyingi bila kujua na kuwa vigumu sana kujitoa ndani yake. Karibu tuchambue kwa undani kidogo...
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR'S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Acha #Hizi #Tabia
Nikweli...pia zakuongezea hapo kidogo.
Tabia ya udokozi
Tabia ya kutegemea mtu
Tabia ya kusema uwongo
Tabia ya kuwa na wivu mbaya...
Tabia ya Tamaa mbaya n.k yangu Ni hayo Ila yote kwayote SoMo limekaa poa na kueleweka no kupuuza thanks brother
SPN to the world.
huyu noel mwenye nywele kwenye visigino tunaomba tumuonee.
Kuupuzia wengine nimeshuhudia kabisa imevunjika ndoa aisee! Ilipelekea mtu kukata tamaa na kujiona bora ajiondokee Asanteh kwa maarifa yenye kuendelea hakika hii ni swadakatul jariya!
uzembe uzembe yani uzembe kweli nikikwazo cha safar ya mafanikio yoyote yale , na nidhamu ni jambo muhimu sana. shukrani sanaa
Ni kweli mtupu hayo yote uliyoyasema siyo tabia mbaya tu, Bali ni mizizi ya kufeli kimaisha.
Masha Allah ❤❤❤
Asante Sana kaka Enzden
that's true and that is to different from people's basically we must make dua to Allah inshaallah we will have much good energy for doing all you things to practice coz practice makes perfect amin
Kaka iyo tabia ya kutoa maneno ya uvumi "Kuna watu kla mda huzungumzia maisha ya watu message sent and delivery!!
Nimekuelewa sana na ntabadilika in nsha allah
Very Powerful Lessons
Thanks.
Ahsant nimepona nmejfunza
Asante kaka nimekuelewa vizuri kabisa
Asante sana kaka, umeniongezea maarifa.
Shukrani
Kweli
Nimejifunza kuacha Uchoyo
Asante sana bro❤❤❤❤❤❤❤❤