NJIA 4 ZA KUACHA TABIA ZINAZOKUKWAMISHA KUENDELEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 05. 2021
  • Kuna siri kubwa sana katika tabia zetu kama wanadamu, na kama tukilifahamu hili na kulifanyia kazi basi tunaweza kujieletea mabadiliko makubwa katika maisha yetu.
    .
    Tabia nzuri ni zile zinazotufanya tuendelee na mara zote huwa ni ngumu sana kuzijenga ila ni rahisi sana kujenga tabia mbaya (ambazo zinatukwamisha sisi wenyewe kuendelea) basi somo hili ni maalum kabisa kwako kama unatafuta njia za kuachana na tabia hizo mbaya ili uweze kuisafisha njia yako ya mafanikio.
    .
    GROUP LANGU LA VITABU (WHATSAPP):
    (SPN BOOK CLUB):
    Karibu ujiunge ikiwa wewe:
    - Unapenda kupata faida toka kwenye vitabu
    - Ni mvivu kusoma na ungependelea kusikiliza (Audio) zaidi.
    - Unataka kufahamu/ kupata vitabu vizuri vya mafanikio.
    Utapata AUDIO CLIPS kwenye simu yako zilizosomwa kwa ufasaha na hazichoshi kusikiliza.
    Ili kujiunga tuma ujumbe "whatsapp" andika: SPN BOOK CLUB kwenda namba 0759191076
    .
    ADA NI SHILINGI 2,000/= TU KWA WIKI
    .
    SUBSCRIBE - COMMENTS - LIKE - SHARE
    .
    UNGANA NAMI MITANDAONI:
    INSTAGRAM (SPN): / successpath. .
    INSTAGRAM : / ezdenjumanne
    FACEBOOK : / ezdenjumanne
    TWITTER : / ezdenjumanne
    LINKEDIN : / ezdenjumanne
    CZcams : / ezdenjumanne
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    SUBSCRIBE CHANNEL YA HAMASA YA LEO HAPA:
    / hamasayaleo
    .
    .
    #Acha #Tabia #Mbaya

Komentáře • 53

  • @abelntobi382
    @abelntobi382 Před 3 lety +4

    Kiukweli tabia mbaya ni nyepesi kuzipata na ngumu kuziacha lakini tabia nzuri ni ngumu kutengeneza na nyepesi kuziacha so keep up

  • @Laila-zl8lj
    @Laila-zl8lj Před 3 lety +6

    Shukuran San nillikuwa nahiyo tabia yakupanga kitu nakuailisha 😀 Mungu akujali kila la kher 🙏 Naanza kuanza kubadilika

    • @jacksononesmo6124
      @jacksononesmo6124 Před 3 lety

      Bro mimi ni mfuatiliaji wa karibu sana kwa ushauri wako.naomba kuongea na wewe

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt Před 3 lety +2

    Shukran sana al akhy
    Nakupata kwa ukaribu nikiwa hapa ukonga magereza DSM

  • @hassanmnyonge3155
    @hassanmnyonge3155 Před 3 lety +1

    Shukrani ziwaendee popot mlipo kak mwendee kutupa daras mung awabariki

  • @yasluhumilemohammed7461
    @yasluhumilemohammed7461 Před rokem +2

    Hii vdio imenigusa maisha yangu kabsa mpaka nimeichukuwa ili iwe mwalimu wangu kila sku asant sana brother God bless you 🙏

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem

      Nashukuru sana kusikia huo ushuhuda. Allah akufanyie wepesi katika mambo yako

  • @witnekidoti6160
    @witnekidoti6160 Před 3 lety +1

    Shukrani sana kaka najifunza vingi kupitia wewe

  • @salimgarama470
    @salimgarama470 Před rokem +1

    barakaAllah jazakaalla kheir

  • @ibrahimkapate981
    @ibrahimkapate981 Před 3 lety +1

    Shukraan Sana elimu nzuri Big Up Bro

  • @adyyboytz9938
    @adyyboytz9938 Před 3 lety +1

    Shukran bro

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 Před 3 lety +1

    Nzuri bro

  • @ohanga_master
    @ohanga_master Před 11 měsíci +2

    Wacha kujieleza saana

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před 11 měsíci +1

    "you hang around the barbershop long enough, you gonna get your hair cut"

  • @wakuwezaclassic6947
    @wakuwezaclassic6947 Před 3 lety +2

    Asante bro 🙏🏿🙏🏿

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 3 lety +1

    Ahsante

  • @norbypoltv
    @norbypoltv Před 3 lety +1

    Asante kaka..ubarikiwe🤝✍️ nimenote something

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 2 lety

    Wahoo unatisha,

  • @esrommasunzu6712
    @esrommasunzu6712 Před 2 lety

    Good teacher somo zuri hakika nimeelewa zaidi kuhusu point ya "Jenga shauku ya kutaka kubadilika" ahsante Sana MUNGU akubariki Kaka kwa kazi nzuri.

  • @yusuphmsigwa
    @yusuphmsigwa Před měsícem

    Asante sana mkuu

  • @emmanuellucas4036
    @emmanuellucas4036 Před 2 lety

    Kaka na kukubali sana

  • @allyosama4054
    @allyosama4054 Před 3 lety

    Shukran bro nimejifunza kitu

  • @marymutindi-iy4uh
    @marymutindi-iy4uh Před 4 měsíci

    Asante

  • @disanatv4485
    @disanatv4485 Před 3 lety +2

    Kaka ezedeni jumanne shukrani lakini na mi niongzee apo kwenye tabia mbaya kusahau kushukuru, kulike na comment yako apa pia hiyo ni tabia mbaya.

  • @mwanaidialiame318
    @mwanaidialiame318 Před rokem +2

    Thanks 🤌 kaka tunafaidika sana na uwepo wako 🔥💯

  • @abedikabura9637
    @abedikabura9637 Před rokem

    Sahihi

  • @salafitvsalafitv910
    @salafitvsalafitv910 Před 3 lety +1

    Mashaallah darsa nzuri sana

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 Před 3 lety +2

    Show me your friend and I’ll tell you your future
    Dan lock )

  • @evansfwoti4321
    @evansfwoti4321 Před 2 lety

    Naitaji kubatilika bro niache mabaya nipende mema tu ,Niombeeee tuwe kimoja kiroho

  • @melvinnakhungu2504
    @melvinnakhungu2504 Před 2 lety

    Amen

  • @ramadhaniathumani2636

    🙏🙏🙏

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 Před 9 měsíci

    Uyo wa kuairisha mambo ni mm kabisa😂

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 3 lety

    Umetema madini tupu mzee barikiwa sana Kaka 🙏🤝

  • @exaudimafyis1206
    @exaudimafyis1206 Před 3 lety

    Shkrn kwa ujumbe wako sas hzo kongamano nawezaje kupata taarfa zake ili ikitokea n mm nikapt nafasi niwez kwend kishrk

  • @amemeabdulrazak1397
    @amemeabdulrazak1397 Před 3 lety +3

    Shukran kwa faida nzuri

  • @johnirankunda9191
    @johnirankunda9191 Před rokem

    Nataka gutambua mimi mambo ya hizi chêne?

  • @seiftv7783
    @seiftv7783 Před 3 lety

    Naiomba uniunge kwenye group

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      whatsapp me andika SPN BOOK CLUB kwenda whatsapp namba 0759191076

  • @paulolugano514
    @paulolugano514 Před 3 lety

    apo kwenye kuchange tabiaa

  • @drramadhaniman1529
    @drramadhaniman1529 Před 2 lety

    uko vizul kaka

  • @benjux2645
    @benjux2645 Před 3 lety +2

    Asante sana braza,mm ninachangamoto tabia naamini nafungua new Page na kuwa mtu wa tofauti,big up braza

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op Před 3 lety

    Wewe kama muislamu ni ukubaliane na mafundisho ya jicho kwa jicho, as long as ni kwa haki na sio kwa dhulma, Jesus amefundisha different kwamba akupigae kofi ni umpe upande wa pili, just imagine mtu apige mtoto wako and then umpe nawapili ampige, I think Mohamed was right sababu akutusiae mamako you have to react on it otherwise itabaki kifuani na huleta maradhi

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 3 lety +2

    Nakufuatilia nakuskiliza najifunza sana kupitia ww na masomo haya unayo post