NJIA 4 ZA KUACHA TABIA ZINAZOKUKWAMISHA KUENDELEA
Vložit
- čas přidán 18. 05. 2021
- Kuna siri kubwa sana katika tabia zetu kama wanadamu, na kama tukilifahamu hili na kulifanyia kazi basi tunaweza kujieletea mabadiliko makubwa katika maisha yetu.
.
Tabia nzuri ni zile zinazotufanya tuendelee na mara zote huwa ni ngumu sana kuzijenga ila ni rahisi sana kujenga tabia mbaya (ambazo zinatukwamisha sisi wenyewe kuendelea) basi somo hili ni maalum kabisa kwako kama unatafuta njia za kuachana na tabia hizo mbaya ili uweze kuisafisha njia yako ya mafanikio.
.
GROUP LANGU LA VITABU (WHATSAPP):
(SPN BOOK CLUB):
Karibu ujiunge ikiwa wewe:
- Unapenda kupata faida toka kwenye vitabu
- Ni mvivu kusoma na ungependelea kusikiliza (Audio) zaidi.
- Unataka kufahamu/ kupata vitabu vizuri vya mafanikio.
Utapata AUDIO CLIPS kwenye simu yako zilizosomwa kwa ufasaha na hazichoshi kusikiliza.
Ili kujiunga tuma ujumbe "whatsapp" andika: SPN BOOK CLUB kwenda namba 0759191076
.
ADA NI SHILINGI 2,000/= TU KWA WIKI
.
SUBSCRIBE - COMMENTS - LIKE - SHARE
.
UNGANA NAMI MITANDAONI:
INSTAGRAM (SPN): / successpath. .
INSTAGRAM : / ezdenjumanne
FACEBOOK : / ezdenjumanne
TWITTER : / ezdenjumanne
LINKEDIN : / ezdenjumanne
CZcams : / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
SUBSCRIBE CHANNEL YA HAMASA YA LEO HAPA:
/ hamasayaleo
.
.
#Acha #Tabia #Mbaya
Kiukweli tabia mbaya ni nyepesi kuzipata na ngumu kuziacha lakini tabia nzuri ni ngumu kutengeneza na nyepesi kuziacha so keep up
Sahihi kabisa
Shukuran San nillikuwa nahiyo tabia yakupanga kitu nakuailisha 😀 Mungu akujali kila la kher 🙏 Naanza kuanza kubadilika
Bro mimi ni mfuatiliaji wa karibu sana kwa ushauri wako.naomba kuongea na wewe
Shukran sana al akhy
Nakupata kwa ukaribu nikiwa hapa ukonga magereza DSM
Shukrani ziwaendee popot mlipo kak mwendee kutupa daras mung awabariki
Hii vdio imenigusa maisha yangu kabsa mpaka nimeichukuwa ili iwe mwalimu wangu kila sku asant sana brother God bless you 🙏
Nashukuru sana kusikia huo ushuhuda. Allah akufanyie wepesi katika mambo yako
Shukrani sana kaka najifunza vingi kupitia wewe
barakaAllah jazakaalla kheir
Allahumma ameen
Shukraan Sana elimu nzuri Big Up Bro
Shukran bro
Nzuri bro
Wacha kujieleza saana
"you hang around the barbershop long enough, you gonna get your hair cut"
Asante bro 🙏🏿🙏🏿
Ahsante
Asante kaka..ubarikiwe🤝✍️ nimenote something
Wahoo unatisha,
Good teacher somo zuri hakika nimeelewa zaidi kuhusu point ya "Jenga shauku ya kutaka kubadilika" ahsante Sana MUNGU akubariki Kaka kwa kazi nzuri.
Amiin...
Asante sana mkuu
Kaka na kukubali sana
Shukran bro nimejifunza kitu
Asante
Kaka ezedeni jumanne shukrani lakini na mi niongzee apo kwenye tabia mbaya kusahau kushukuru, kulike na comment yako apa pia hiyo ni tabia mbaya.
hahahaha nashukuru kaka. Pamoja sana
Thanks 🤌 kaka tunafaidika sana na uwepo wako 🔥💯
Shukrani sana
Sahihi
Mashaallah darsa nzuri sana
Mashaallah darsa
Show me your friend and I’ll tell you your future
Dan lock )
Naitaji kubatilika bro niache mabaya nipende mema tu ,Niombeeee tuwe kimoja kiroho
Amen
🙏🙏🙏
Uyo wa kuairisha mambo ni mm kabisa😂
Umetema madini tupu mzee barikiwa sana Kaka 🙏🤝
shukrani pamoja sana kaka
Shkrn kwa ujumbe wako sas hzo kongamano nawezaje kupata taarfa zake ili ikitokea n mm nikapt nafasi niwez kwend kishrk
Shukran kwa faida nzuri
Nataka gutambua mimi mambo ya hizi chêne?
Naiomba uniunge kwenye group
whatsapp me andika SPN BOOK CLUB kwenda whatsapp namba 0759191076
apo kwenye kuchange tabiaa
uko vizul kaka
Asante sana braza,mm ninachangamoto tabia naamini nafungua new Page na kuwa mtu wa tofauti,big up braza
Wewe kama muislamu ni ukubaliane na mafundisho ya jicho kwa jicho, as long as ni kwa haki na sio kwa dhulma, Jesus amefundisha different kwamba akupigae kofi ni umpe upande wa pili, just imagine mtu apige mtoto wako and then umpe nawapili ampige, I think Mohamed was right sababu akutusiae mamako you have to react on it otherwise itabaki kifuani na huleta maradhi
Nakufuatilia nakuskiliza najifunza sana kupitia ww na masomo haya unayo post
shukran Chris. Tuko pamoja
@@successpathnetwork KAKA Asante sanaa chuo hulia ukurasa wako nakubali sanaa KAKA