hichi kitabu kilinisaidia shukran sana mwalimu, pia umefanya vizuri sana kuweka kitabu kwa sauti kwa vitabu vilivyopita endelea hivyo hivyo mwenyezi mungu akubariki. tunaomba muendelezo wa vitabu kwa sauti vile vitabu vilivyo pita yaani vitabu ambayo vimeshakulipa.
Kaka Joel kusemakweli nimekisikiliza iki kutabu umenipa kimenipa maono nakupa asante mimi ni MR. Rajabu billionea mwenye umli mdogo nimeiyona keshoyangu asante 🙏 barikiwa sana amina
Ahsante Sana nakuombea Kwa mungu akupe umri mrefu uendelee kutufundisha Mimi nilifeli form four baadae nilikusikiza nikarudia Tena nikafaulu kwasasa nipo chuo kikuuu ahsnte
My couch for sure yote unayo ya zungumzaga, yana gusa maisha yanguu, kwel umenibadilisha Sana mwalimu, saiv nimeacha kuangalia vitu visivyo na maana mtandaoni badala yake najifunza vitu mbalimbali kutoka kwako na wengine Kama ww
Leo Tar 1.12.2023, ninaanza kufuatilia video na coachings zoooote you have beeen sharing. I hope i am going to change, nitarudi na ushuhuda haphapa. Thank you in advance.
Aisee bro joel nimesikiliza mwanzo mwisho kwakweli nimejifunza vitu muhimu sana ambavyo kiukweli nikifanyia kazi naona kabisa vitu vitakuja kufunguka. Mungu akubariki pia kwa kuendelea kutupa nondo muhimu zinazotusaidia kwenye maisha yetu ya kila siku.🙏
😢Mm ni muhanga hususani matumiz makubwa ya kimtandao, kuliko kazi, pia najua kua mziki wakidunia ni dhambi Lakin nashindwa kuacha kusikiliza kutokana na upweke nilio nao nataman Hali hii initoke kabisa😢
Asante Sana kaka Joel Mimi binafsi unanijenga japo nipo Veta nasoma level two naendea kujivunia uwepo wako Pia nazidi soma kitabu chako cha Timiza Malengo Asante sana...Bwana akubariki
kaka joel, kwa maneno yako naweza kusema unanifufua kila siku, hakika kwa mafanikio yangu yote sito kusaau, naitwa william dk naishi canada🇨🇦 ila tanzania nimezaliwa
Nimevuka hakika, naweza kufanya vikubwa kuanzia Sasa. MUNGU akubariki. Lakini naomba na kwa vitabu vingine ufanye hivi Ili kuwasaidia pia wenye changamoto ya uoni🙏🙏
Naamin mahamzi yangu nikiyoyaogopa kuyafanya kwa mda mrefi hapa dawa imeshapatikana kujiamni na kufanya bila kughaili mungu anishike mkona mafanikio tumeumbiwa wote hapa duniani kumbe
Kubadilika ni njia ngumu sana lkn inahitaji subra na plans na kudum nayo Naamini video zako ni njia moja lakini umuhimu zaidi ni ww mwenyewe kuwa tayari ahsante kwa maneno mazuri na yenye kutia hamasa
My mental master amefikia kwenye game la *Audibook* Someone said ..YEAH. Lem see.... Nimegundua wanaokomenti huku woooote ni Mabilionea miaka michache ijayo. aamin lab...
Merci beaucoup pour ton précieux livre. Vraiment il est très riche. Plus encore, ta voix qui lit. C'est comme si tu me parle directement. Be blessed. 🇨🇩🇨🇩
Kanuni ya 18/40/60 imenisaidia sana Mkuu mimi kama kijana tangu nilipo jifunza nina fanikiwa kufanikisha Mambo niliyo yapanga kufanya bila kujali kua kuna watu au jamaa watanitazamaje au watasemaje. MUNGU AZIDI KUKUTUMIA PASTOR JOEL NANAUKA See U at the top
Mchungaji wewe niwabaraka Sana kwangu Ila ninaombi tusaidie kutubadilishia audio za secret books mara nyingi vitu vingi vinatupika lkn tunaitaji kujifunza Kwa Lunga raisi za kiswahili
hichi kitabu kilinisaidia shukran sana mwalimu, pia umefanya vizuri sana kuweka kitabu kwa sauti kwa vitabu vilivyopita endelea hivyo hivyo mwenyezi mungu akubariki. tunaomba muendelezo wa vitabu kwa sauti vile vitabu vilivyo pita yaani vitabu ambayo vimeshakulipa.
Umenitoa mbali sana mwalimu videos zako zimebadilisha maisha yangu, ubarikiwe mchungaji Mimi ni shabiki wako sana nikiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
kabisa ame tu towa mbali kabisa
Ukiona hv unabaini hii T.O haikuwa yamchongo, keep ongoing br may Lord God bless u as much ur saving ur society.
We also see u at the top.
Binafsi napenda sana vitabu vya audiobook ubarikiwe sana kaka joel
Hakika kaka Joeli Mungu kakupa kipaji na unakitumia umenita mbali..
Mungu akuweke mwalimu wangu Amin
Kaka Joel kusemakweli nimekisikiliza iki kutabu umenipa kimenipa maono nakupa asante mimi ni MR. Rajabu billionea mwenye umli mdogo nimeiyona keshoyangu asante 🙏 barikiwa sana amina
ASante sana kwa elimu.Nimeitumia na nimeona mafanikio
Asante sana Joel Umenifaa sana.Mungu akubariki.
Ahsante Sana nakuombea Kwa mungu akupe umri mrefu uendelee kutufundisha Mimi nilifeli form four baadae nilikusikiza nikarudia Tena nikafaulu kwasasa nipo chuo kikuuu ahsnte
I am glade that you know why you was born
Nime jifunza kaka na nipata elimu kuhusu kugailisha màmbo asante
Fanya na vitabu vingine joel.
Mwalimu
Asante sana,ubaarikiwe
Tuna hitaji Audio book ya Elimu ya Fedha, Na ipi Biashara ya kufanya.
Nina omba Mwalim 🙏🙏.
Nashukuru sana Kaka kwa kitabu hiki kizuri...
Naanza Leo kuyafanyia kazi
🔥🔥🔥🔥pastor
Ahsante Mentor.
Ahsante Teacher.
Ahsante Joel.
Umenikomboa, Umetukomboa Wengi. Binafsi Ninapenda Kusikiliza Kuliko Kusoma.
🙏🙏🙏🙏🙏
Kuna zaidi ❤❤❤❤
Kaka mkubwa .Aina ya voice nimeikubali haina tofauti na wale ,safi cn uko good
ASante sana kwa elimu
Asante kaka najitaidi Sana kukutangaza ubalikiWe
Hongera sana
Mmh Asante love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nipo naww kaka umenisaidia mambo mengi sn
My couch for sure yote unayo ya zungumzaga, yana gusa maisha yanguu, kwel umenibadilisha Sana mwalimu, saiv nimeacha kuangalia vitu visivyo na maana mtandaoni badala yake najifunza vitu mbalimbali kutoka kwako na wengine Kama ww
Nimejifunza vingi sana kaka Joel..kupitia wewe. Be blessed indeed our mentor 🙏
Munguakujalie maishamarefu nimejifuza mengi naninaendelea kukufuatilia
great work Couch
Ubarikiwe zaidi Nanauka
#JoelArthurNanauka Jenius By Discovery
Ubarikiwe
nimeanza kutumia 2 mnts rule, duuh it works aisee, ndo nimeanza rasmi, Thanks Joel
Ndugu Asante kwa kurefusha masomo tunashukuru mungu akulinde
Limbic & Prefontal Contex ⏱️ for time management.💯
Mungu akubariki nimejifunza na ntafikia mbali ahsante sana
Leo Tar 1.12.2023, ninaanza kufuatilia video na coachings zoooote you have beeen sharing. I hope i am going to change, nitarudi na ushuhuda haphapa. Thank you in advance.
Shukrana
Ubarikiwe sana coach Joel kwa kushare huu maarifa kuu kwa youtube... You're a blessing in my life 😇
Eagerly waiting to hear your reading coach🤗
Ameen, thank you and remain blessed
@@joelnanauka I'm humbled
Napateje hiki kitabu?
shukrani bradha Joel kwa elimu pana
Jeuri yangu mjini na utajiri ninao miliki unatokana na kitabu cha kughairisha mambo
Thank you so much for this content, God bless you so much, I promise you I gonna change in Jesus name
Aisee bro joel nimesikiliza mwanzo mwisho kwakweli nimejifunza vitu muhimu sana ambavyo kiukweli nikifanyia kazi naona kabisa vitu vitakuja kufunguka.
Mungu akubariki pia kwa kuendelea kutupa nondo muhimu zinazotusaidia kwenye maisha yetu ya kila siku.🙏
Ahsante sana, tuendelee kujifunza na endelea kuwaalika na wengine.
Naomba nikushukuru kwamara yakwanza mkuu nanauka mm nimepata mafanikio mengi sana kupitia kwako mungu akujalie kila lililo jema kwako amin
Thank you for the gift
Hbr my kaka. Yaaan ubarikiwe sana. Mungu akubariki sana kwa kazi zako 🙏🤝. Shukran sana nimejfunza sana. Nitatafuta vtabu
Yaani nimelengwa Moja Kwa Moja Hadi nahisi nimechomwa mkuki khaaa
Brazer somo zuri,Naomba namba zako ili tupate vitabu
😢Mm ni muhanga hususani matumiz makubwa ya kimtandao, kuliko kazi, pia najua kua mziki wakidunia ni dhambi Lakin nashindwa kuacha kusikiliza kutokana na upweke nilio nao nataman Hali hii initoke kabisa😢
Asante Sana kaka Joel Mimi binafsi unanijenga japo nipo Veta nasoma level two naendea kujivunia uwepo wako Pia nazidi soma kitabu chako cha Timiza Malengo Asante sana...Bwana akubariki
Hongera Joel Mungu akulinde
Asante sana Kwa kutuamsha
Safi sana kaka hii ndio nzul sana tulio wengi hatupendi kusoma ila tunapenda kusikiliza sana
Nanauka , barikiwa brother ❤️❤️❤️
kaka joel, kwa maneno yako naweza kusema unanifufua kila siku, hakika kwa mafanikio yangu yote sito kusaau, naitwa william dk naishi canada🇨🇦
ila tanzania nimezaliwa
mungu akupe maisha marefu
mafanikio yetu yawe kwa kizazi chako kijacho..
Nimevuka hakika, naweza kufanya vikubwa kuanzia Sasa. MUNGU akubariki. Lakini naomba na kwa vitabu vingine ufanye hivi Ili kuwasaidia pia wenye changamoto ya uoni🙏🙏
Congratulations dear, great job
Asante
Asante studios
Nilikisoma miaka 4 iliyopita, kimenisaidia sana kufocus, ahsante sana!
Naamin mahamzi yangu nikiyoyaogopa kuyafanya kwa mda mrefi hapa dawa imeshapatikana kujiamni na kufanya bila kughaili mungu anishike mkona mafanikio tumeumbiwa wote hapa duniani kumbe
Subiri ni download 🙌🙌🙌🙌💃😍iiii video 💔
Ubarikiwe sana kaka
Sijui mi ntaoa lini jaman Yan Kila nikipanga naona maisha ya ndoa yatanishinda sio kwa kuogopa huku na miaka inakimbia kinyama daaah
Nalewa sana kaka joel
Kaka shukrani sana
Ubarikiwe sana kaka kitabu chako nilikisoma na kwa hakika kimenisaidia sana kuondokana na tabia ya kughairisha mambo
Hongera sana sana👏🏼👏🏼👏🏼
Good creativity kwa kutusomea kitabu kizima. Hongera Mwalimu
mwalimu ame weza kabisa
@@nitunda haina ubishi
Kubadilika ni njia ngumu sana lkn inahitaji subra na plans na kudum nayo
Naamini video zako ni njia moja lakini umuhimu zaidi ni ww mwenyewe kuwa tayari
ahsante kwa maneno mazuri na yenye kutia hamasa
Heko sana nanauka
Nipoo
Salute mkuu mungu ata zidi kukubariki coz umenitoa kwenye gizaaa
My mental master amefikia kwenye game la *Audibook*
Someone said ..YEAH.
Lem see....
Nimegundua wanaokomenti huku woooote ni Mabilionea miaka michache ijayo. aamin lab...
Awesome 💐
Hakika bro
daaaah kwakweli unanishibisha ubongo kk yani kitabu icho nnacho na jinsi nilivo kielewa uwa napenda kukirudia kusoma mara kwa mara kk
Merci beaucoup pour ton précieux livre. Vraiment il est très riche. Plus encore, ta voix qui lit. C'est comme si tu me parle directement.
Be blessed.
🇨🇩🇨🇩
C'est vrai.
jambo andika kiswahili 😂😂
nzur sana life coach ila ningepndkez uwe unaweka may be audio mark au boom play
Tunasubili na vitabu vingine.Mutuwekee
Tupo pamoja
Kaka je audio ipo kwenye boardcast
Uwiiiiiiii😫😫😫😫 uyo ni mimi 🥹🥹
Asant sana kiongozi nahitaji vitabu vyako
Karibu sana 0762 31 21 71
Hizi mbinu zilinisaidia sana kipindi nipo Secondary,ulifundishaga Clouds kwenye kipindi Cha terminal
At that time nilikuwa kidato cha tano, kilinisaidia sana na mimi, nilisikiliza CLOUDS FM
TABIA NZURI NI NGUMU KUIJENGA NA NI RAHISI KUIACHA "JOEL NANAUKA
Kanuni ya 18/40/60 imenisaidia sana Mkuu mimi kama kijana tangu nilipo jifunza nina fanikiwa kufanikisha Mambo niliyo yapanga kufanya bila kujali kua kuna watu au jamaa watanitazamaje au watasemaje. MUNGU AZIDI KUKUTUMIA PASTOR JOEL NANAUKA
See U at the top
Hii content nzuri sana thank you kaka 🙏🏾
Niko dani kabisa 🤣
💔
Mchungaji wewe niwabaraka Sana kwangu Ila ninaombi tusaidie kutubadilishia audio za secret books mara nyingi vitu vingi vinatupika lkn tunaitaji kujifunza Kwa Lunga raisi za kiswahili
Kitabu ninacho na Audio hii Nitadownload. 😁shukran sana
Hongera Dea madini ayo ume nunuwa wapi naomba na mim basi nisome
@@faudhiasalum7279 Nilinunua Dar kwenye book shop zake Joel pale ubungo. Ila niliondoka nacho, ningekua karibu ningekuletea usome Dea.
Asante
Natamani ningejua haya mapema nilihairisha jambo wenzangu wapo juu walioendelea wamenizidi mara dufu