MEDICOUNTER: Unadhani kwa nini unashindwa kuacha kucheza kamari? hii inakuhusu
Vložit
- čas přidán 25. 02. 2019
- Katika miaka ya hivi karibuni, kumejitokeza wimbi kubwa la vijana wanaojihusisha na uchezaji wa michezo ya bahati nasibu (Kamari) na wengine kujikuta wameangukia kwenye ‘uraibu’ (Addiction).
Unadhani kwa nini wanaojihusisha na kamari wanashindwa kuacha? Ungana na Msaikolojia Tiba kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Noel Mrema kujua zaidi.
Kamar haifai kwa dini zote serkal Haina dini tujihadharni
Acha tu , umeongea vizuri sana. Kamari ni janga
Majini yale
Hatar Sana hayo Madude yanafrisi atar
haifai kabisa
nimekuwa mhanga wa uchezaji wa kamari kwa miaka minne.. namuomba Mungu kila siku niache na kuna dalili za kuacha.
Kamali "kamari"
Hii michezo haifai
Brother naomba naomba yak nielewe zaid
Ipeni talifa serikali watu hawajengi Tanzania pesa wanachukua wazungu
Nàtaka kcheza kwenye sim nifanyeje
Brother naomba namba ako unisaidie niweze kuacha kamali
Naomba sana kmali sio nzr Kamal imenifilis paka anashindwa nifanyeje ili niache kila nikijalbu kuacha kesho Mimi ndyo wa kwnza kuhamasisha wenzangu tuchze duh!