MEDICOUNTER: Unadhani kwa nini unashindwa kuacha kucheza kamari? hii inakuhusu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 02. 2019
  • Katika miaka ya hivi karibuni, kumejitokeza wimbi kubwa la vijana wanaojihusisha na uchezaji wa michezo ya bahati nasibu (Kamari) na wengine kujikuta wameangukia kwenye ‘uraibu’ (Addiction).
    Unadhani kwa nini wanaojihusisha na kamari wanashindwa kuacha? Ungana na Msaikolojia Tiba kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Noel Mrema kujua zaidi.

Komentáře • 13

  • @babukarani1212
    @babukarani1212 Před rokem +1

    Kamar haifai kwa dini zote serkal Haina dini tujihadharni

  • @bashirukhamisi4311
    @bashirukhamisi4311 Před 5 měsíci

    Acha tu , umeongea vizuri sana. Kamari ni janga

  • @hamisiluhende2280
    @hamisiluhende2280 Před rokem

    Majini yale

  • @hamisiluhende2280
    @hamisiluhende2280 Před rokem

    Hatar Sana hayo Madude yanafrisi atar

  • @user-sn1od6jg5y
    @user-sn1od6jg5y Před rokem

    haifai kabisa

  • @eliamakere3089
    @eliamakere3089 Před 3 lety

    nimekuwa mhanga wa uchezaji wa kamari kwa miaka minne.. namuomba Mungu kila siku niache na kuna dalili za kuacha.

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 Před 5 lety

    Kamali "kamari"

  • @alexsilvano332
    @alexsilvano332 Před 2 lety +1

    Hii michezo haifai

  • @fanuelkidava5655
    @fanuelkidava5655 Před rokem

    Brother naomba naomba yak nielewe zaid

  • @SalmahalfanSaidy
    @SalmahalfanSaidy Před 5 měsíci

    Ipeni talifa serikali watu hawajengi Tanzania pesa wanachukua wazungu

  • @jumanneizengo1025
    @jumanneizengo1025 Před 3 lety

    Nàtaka kcheza kwenye sim nifanyeje

  • @nasramaturo2212
    @nasramaturo2212 Před 3 lety +1

    Brother naomba namba ako unisaidie niweze kuacha kamali

    • @mudymome4562
      @mudymome4562 Před 3 lety +1

      Naomba sana kmali sio nzr Kamal imenifilis paka anashindwa nifanyeje ili niache kila nikijalbu kuacha kesho Mimi ndyo wa kwnza kuhamasisha wenzangu tuchze duh!